Kimenukaa!!!..MBOWE na CCM RASMI, nchi YATIKISIKAAAA!!

  Рет қаралды 42,843

KHADIJA UTAMU

KHADIJA UTAMU

Күн бұрын

Пікірлер: 76
@theonestruta216
@theonestruta216 8 күн бұрын
Smart gin noma sana. Daa mzee yuko chakali
@AthumanKinyange
@AthumanKinyange 8 күн бұрын
Acha kuongea ujinga mambo ya ubara na visiwaniacha kuongea ujinga hicho chama unacho kitetea hakuna hata mmoja kati Yao mwenye hadhi hata kidogo anyeweza kuwa rais mbowe mungu akubariki sana kuwa mkweli
@manasemanase4286
@manasemanase4286 8 күн бұрын
😂😂😂mwamba amependeza balaa... ana stress atarudishaje rushwa aliyopokea😂😂😂😂
@Meneja-m3c
@Meneja-m3c 8 күн бұрын
Haha😅😅😅😅
@Meneja-m3c
@Meneja-m3c 8 күн бұрын
Pombe mbaya kumbeeee😅
@MrossoBarth
@MrossoBarth 9 күн бұрын
Huyu ni mfanya biashara sio mwanasiasa
@KizibaDunia
@KizibaDunia 8 күн бұрын
Sawa chawa hahah uyo umepewa pesa uuwe chama
@ommarallyhamad7435
@ommarallyhamad7435 8 күн бұрын
Mtaongozaje nchi mzima hali bado yako maeneo na vijiji mmeshindwa kuweka wagombea wa serikali ya vijiji Hata mfikirie na kuñidanganya hii nchi h
@HamoudSaid-w9c
@HamoudSaid-w9c 5 күн бұрын
Tangu hiyo kale znz cdm ipo jina tu na marahii sidhani kama atapata kura hata moja
@KilimoMichael
@KilimoMichael 8 күн бұрын
Chadema itashinda wekeni wagombea ayo mambo ya kwamba mpaka tume huru tume iii tunashinda Mungu yuko upande wetu
@LightnessMushi-d4k
@LightnessMushi-d4k 8 күн бұрын
Kumbe mbowe ni mlevi kiasi hiki nimejisikia vibaya sana
@AhaziSichona
@AhaziSichona 7 күн бұрын
Huyu chawa alikua anawazunguka wenzake
@personalitiesan9806
@personalitiesan9806 8 күн бұрын
Iyo inaitwa mix by Yas....😂😂😂😂
@JumaAbedi-g6x
@JumaAbedi-g6x 9 күн бұрын
Sisi wapizani baada yakuangalia vipi tutaiondoa ccm madarakani tunaangalia kumuondoa mbowe na wafuasi wake
@RashidAlly-h3e
@RashidAlly-h3e 6 күн бұрын
Chadema kumbe mnakichaa Bado sana mmekiua Chama cha kafu kwakujifanya mjiunge leo hii mnataka madaraka acheni uroho kama kweli mnaweza wekini mgombea mwingine wa urais miaka yote mtu huyohuyo
@Ramadhanilawoga
@Ramadhanilawoga 8 күн бұрын
Wewe ni mwongo hujui siasa unadhani siasa ni ubondia CDM mmekwisha Kwa heri
@saidsalhe-d9p
@saidsalhe-d9p 9 күн бұрын
Yaani mama kua mzanzibari wewe Heche unasema hawezi shinda uchaguzi?Chadema musahau kabisa kura za wazanzibari.
@AsiaAroun
@AsiaAroun 4 күн бұрын
Nikweli baba upinzani sio vita wanao sema waache waseme
@allyopi6101
@allyopi6101 9 күн бұрын
Kumbe mbowe bwege unampigia mama debe ushavuruga chama
@frankjohn8706
@frankjohn8706 6 күн бұрын
Hapo sio kudhulumu chadema Bali ni kudhulumu wanainchi
@jamesdaud3054
@jamesdaud3054 9 күн бұрын
Mtashindwa vibaya sana nyie chadema mnajisumbua tu na hizo kelele zenu na chama chenu na kinaenda kufa hiki chama kwa sababu kinaongozwa na watu ambao hawajielewi kwa sasa
@RidhioneSabury
@RidhioneSabury 9 күн бұрын
Wewe unajielea😂😂😂
@halimamasai2234
@halimamasai2234 8 күн бұрын
Chadema medoda hamna hoja washenzi nye nchi hii hamtashika maisha
@RidhioneSabury
@RidhioneSabury 8 күн бұрын
@@halimamasai2234 Bora sisi washenzi tunatuseka sijui nyie wenzetu maisha mazuri🤣🤣🤣 kwa matusi hayo tu ni haki yako kuwa CCM na hayo matusi siyo akili zako ni ugumu wa maisha🤣🤣🤣
@RidhioneSabury
@RidhioneSabury 8 күн бұрын
@@halimamasai2234 Ulitakiwa iwe Dr Congo ndyo nchu inayokufaa maana brain ni zeroooo Yani unajiona kuwa CCM na wewe maisha umeyapatia tafuta Hela hivi vyama ni kama mpira ni sehemu za kujiliwaza tu maana wanaofaidika wachache sanaaa asilimi 99 tunashabikia kama simba na yanga ila wewe umekalia unazi na kuweka uaduni😅😅😅
@MaryNyiraa
@MaryNyiraa 6 күн бұрын
Huyu mzee kachizika alizoea vya wiz Sasa ni lazma atapetape
@KostaJoseph
@KostaJoseph 9 күн бұрын
UBAGUZI UBAGUZI UBAGUZI
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 8 күн бұрын
Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa.....❤❤
@valenakomba9218
@valenakomba9218 9 күн бұрын
Ulevi mbaya
@ZaidAKissinza
@ZaidAKissinza 8 күн бұрын
Mangi wa Machame anahutubia huku akiwa kapiga bohora kubwa
@madegezakayo3232
@madegezakayo3232 8 күн бұрын
Mbona kama amelewa
@rahmajaffar794
@rahmajaffar794 8 күн бұрын
Kwaaama hiyo wazanzibari watoitilia chadema watakuwa hawajielewi kwa sababu watawapatia nafasi ya kuwabagua zaidi
@saidsuleiman9018
@saidsuleiman9018 7 күн бұрын
Mama kama mama alijitahidi kiupande wake
@LAMECKMSUMA
@LAMECKMSUMA 9 күн бұрын
Mweshimiwa umepoteza dira kapumzike
@JosephatMuhoza
@JosephatMuhoza 9 күн бұрын
Hapa ndipo usaliti kwa CHADEMA ulipoanzia!
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 9 күн бұрын
Wewe umenunuliwa
@DoraNyandamba7078-ef2rz
@DoraNyandamba7078-ef2rz 9 күн бұрын
Mbowe endelea kufanya imani chadema chadema bado inakuitaji sana
@StellaKaluwa
@StellaKaluwa 8 күн бұрын
SASA MNALETA UKANILA NA UJISIA MNATUPELEKA SIKO ACHENI WATANZANIA WAAMUE
@JoshuakitilaKilauli
@JoshuakitilaKilauli 7 күн бұрын
Alafu huyu jamaa kalewa aise
@halimamasai2234
@halimamasai2234 8 күн бұрын
😂😂😂😂 kumbe mbowe alilewa siku hiyo 😂😂😂😂😂
@AsiaAroun
@AsiaAroun 4 күн бұрын
Afu kama kalewa vile
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 9 күн бұрын
Acheni ukabila na udini
@shaabaniali6421
@shaabaniali6421 8 күн бұрын
Mwili wa jk sura ya mbowe
@humoudseyd7310
@humoudseyd7310 9 күн бұрын
Daaaa kumbe bora alivo Angushwa......angeleta maharibiko
@SiwakoKalengela
@SiwakoKalengela 4 күн бұрын
Je ni kweli mbowe umesilim cm?
@RobisonJulius
@RobisonJulius 8 күн бұрын
Achen usariti usariti ni mbayaaaaa,
@FahamuHamza
@FahamuHamza 8 күн бұрын
Huon ni ubaguzi mzanzibar hawezi kuongoza kwani sada ndio mtaona ataongoza mzanzibar tena mwanamke
@AhaziSichona
@AhaziSichona 7 күн бұрын
Kalewaaaaaa
@RahmaAbeid-u8h
@RahmaAbeid-u8h 8 күн бұрын
Unajuwa kumshukuru mtu ni jambo la kawaida ila mtu akiamua kukiacha chama sawa kikubwa je mfumo upoje ktk chama? Mimi nashangaa watanzania mfumo wa chama kimoja ktk Dunia hii haupo hivi tunenda wapi kwa hiyo mnakubali watu waende ktk mfumo wa chama kimoja???
@beathapontian2187
@beathapontian2187 8 күн бұрын
Pombe nishetani
@JumaBakir
@JumaBakir 8 күн бұрын
Yoyote kuama chama nijukumu lake na kubaki ni jukumu lake
@janiafaomaa5120
@janiafaomaa5120 9 күн бұрын
WEWE KHADIJA UTAMU UMEKOSEA MBOWE ANATAKA KUKUOWAWEWE AU HUJUWI MNAFIKI MKUBWA
@EzrahMassawe-ug5uo
@EzrahMassawe-ug5uo 3 күн бұрын
Acha kutapatapa
@MalandoJilala-m3r
@MalandoJilala-m3r 9 күн бұрын
Huyo hakuwa mwanasiasa maana asiyekubali kushindwa siyo mshindani
@HenryShaury-j4d
@HenryShaury-j4d 9 күн бұрын
Mwamba yuko konyagi kinoma,
@JamesAlphonsus-x1y
@JamesAlphonsus-x1y 9 күн бұрын
Duh! Kumbe bro ni bwabwa kiasi hiki???
@salhaomar5382
@salhaomar5382 9 күн бұрын
Nyinyi waandishi wa mchongo wagombanish san
@justineliasi8067
@justineliasi8067 8 күн бұрын
Jamani allcohol inasoma ngapi ikipimwa hapo?
@Evance-e1e
@Evance-e1e 8 күн бұрын
Kiongozi mbona sikuelew kaulizako
@deodatusmugalulamugalula
@deodatusmugalulamugalula 8 күн бұрын
Kanywa konyagi nini?au kimpumu?
@SebasitianKikoricho
@SebasitianKikoricho 9 күн бұрын
jamaa kalewa
@valenakomba9218
@valenakomba9218 9 күн бұрын
@annaombay9417
@annaombay9417 9 күн бұрын
😂😂😂
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 9 күн бұрын
Kalewa pombe ile inaitwa pingu
@AmenMushi-j2j
@AmenMushi-j2j 8 күн бұрын
Mm
@MohamedChambela
@MohamedChambela 8 күн бұрын
Duuh
@allymwinyi970
@allymwinyi970 8 күн бұрын
Huo uzanzibar unakujaje kwenye hoja zako mjinga mkubwa wewee. Mbona hina hoja zenye utulivu wa kisiasa
@AdiaAhmad-s5o
@AdiaAhmad-s5o 9 күн бұрын
Komaa mjaruo mkubwa umtaki we wanaccm tipo kibao wewe nani
@charlesmoseti9140
@charlesmoseti9140 6 күн бұрын
Kamanda gani wewe ni ccm b
@QaahtaQaahta
@QaahtaQaahta 9 күн бұрын
UKWELI UTAJULIKANA TU
@judithmwamukinga4448
@judithmwamukinga4448 9 күн бұрын
Msituambie mbona mtanganyika harusiwi hata kipande cha ardhi zanzimbar
@nurumwene4421
@nurumwene4421 8 күн бұрын
Kweli mbowe 💯
@ommarallyhamad7435
@ommarallyhamad7435 8 күн бұрын
Mtaongozaje nchi mzima hali bado yako maeneo na vijiji mmeshindwa kuweka wagombea wa serikali ya vijiji Hata mfikirie na kuñidanganya hii nchi h
@ommarallyhamad7435
@ommarallyhamad7435 8 күн бұрын
Mtaongozaje nchi mzima hali bado yako maeneo na vijiji mmeshindwa kuweka wagombea wa serikali ya vijiji Hata mfikirie na kuñidanganya hii nchi h
@ommarallyhamad7435
@ommarallyhamad7435 8 күн бұрын
Mtaongozaje nchi mzima hali bado yako maeneo na vijiji mmeshindwa kuweka wagombea wa serikali ya vijiji Hata mfikirie na kuñidanganya hii nchi h
How Strong Is Tape?
00:24
Stokes Twins
Рет қаралды 96 МЛН
#iNooroTVLive
Inooro TV
Рет қаралды 216
KWA KISWAHILI HOTUBA YA IBRAHIM TRAORE' MBELE YA RAIS VLADIMIR PUTIN
5:35