Рет қаралды 2,433
Makundi ya wafuasi wa vyama vya siasa, viongozi wa Chadema na ACT-Wazalendo wakiwa nyumbani kwa aliyekuwa kada wa Chadema, Ali Kibao katika eneo la Usagara mkoani Tanga kwa ajili ya kushiriki mazishi ya kiongozi huyo. Picha na Rajabu Athumani