Рет қаралды 5,378
@marioo_tz anathibitisha ni baraka nyingi zimekuja upande wake baada ya kupata mtoto na moja kati ya baraka hizo ni kuongezeka kwa kipato katika maisha yake kwa ujumla.
Kama baba, @marioo_tz anadai jukumu lake pendwa katika malezi ya mtoto wake ni katika sekta ya kumbadilisha diapers pale anapojisaidia! 🤔• #XXLyaCloudsFM •