Kisiwa cha Funzi-Kwale shetani aozwa katika mbuyu mkongwe: Tembea Kenya

  Рет қаралды 13,379

KTN News Kenya

KTN News Kenya

7 жыл бұрын

Kisiwa cha Funzi-Kwale shetani aozwa katika mbuyu mkongwe: Tembea Kenya
SUBSCRIBE to our KZbin channel for more great videos: / ktnkenya
Follow us on Twitter: / ktnnews
Like us on Facebook: / ktnnewskenya
For more great content go to www.standardmedia.co.ke/ktnnews and download our apps:
std.co.ke/apps/#android
KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.

Пікірлер: 17
@grantler1726
@grantler1726 5 жыл бұрын
Katika utamaduni na mila za mijikenda na hata nduguzetu "Wassegeju" Mbuyu, Mwanga, Mkwaju,Mkone na kadhalka,Miti hii ni mitakatifu kwetu. kwa hivyo kua na Mbuyu na Pango pamoja ni neema kubwa sana kwa jamii hiyo ya kisiwa cha Funzi. Endeleeni kuhifadhi utamaduni huo.
@happytimes9896
@happytimes9896 7 жыл бұрын
Mungu yuko jameni wacheni kuabudu majini epukaneni na hiyo jehaman mgeukieni Mungu muumba wa mbingu na ardhi
@wemakalam9415
@wemakalam9415 6 жыл бұрын
Muogopeni mwenyeezi mungu jamani kesho tutaenda kujibu nini?
@kijanahodari2080
@kijanahodari2080 7 жыл бұрын
Nyie washirikina wenye majina ya kiislamu acheni kuharibu dini ya Mwenyezi Mungu uislamu haufundishi kuabudu kitu chocho te kando na Mungu Qur'an 9 : 36. Hakika idadi ya miezi kwa Mwenyezi Mungu ni miezi kumi na mbili katika hukumu ya Mwenyezi Mungu tangu alipo umba mbingu na ardhi. Katika hiyo iko mine mitakatifu. Hiyo ndiyo Dini iliyo sawa. Basi msidhulumu nafsi zenu humo. Na piganeni na washirikina wote kama wao wnavyo pigana nanyi nyote. Na jueni kuwa Mwenyezi Mungu yu pamoja na wachamngu.
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 7 жыл бұрын
waoooh ntaenda nami nkajionee yuko wapi huyo bint jini aliye ozwa naomba nimuone.
@khadijawendomwachirenje3513
@khadijawendomwachirenje3513 7 жыл бұрын
3:50 my uncle miss you Sana jamani daaa hutaki kutoka funzi wewe kabisaa
@kijanahodari2080
@kijanahodari2080 7 жыл бұрын
Khadija Wendo Mwachirenje Mwambie uncle wako aache kuupatia kipao mbele ushirikina ni mambo ya shetani wa motoni uislamu haufundishi kuabudu mizimu
@khadijawendomwachirenje3513
@khadijawendomwachirenje3513 7 жыл бұрын
Uncle angu hajaongelea mambo ya kuabudu mizimu ameongea kuhusu utalii ,,then huwezi hukumu mwenzio maana wewe mwenyewe si msafi muachie mwenye uwezo wa kuhukumu ahukumu na sio wewe mja
@kijanahodari2080
@kijanahodari2080 7 жыл бұрын
Khadija Wendo Mwachirenje Sijamuhukumu ila nimekwambia awachane na kuupatia kipao mbele ushirikina ni mambo ya shetani wa motoni au kutoa vipindi kama hivyo naona wengine tayari wanataka kwenda sehemu hizo kwa ajili ya kufanya ushirikina huo,kama ni mtangazaji asitoe matangazo kama hayo wala asioneshe ushirikina atafute vipindi vyengine vyenye kuleta maadili mema,Ukiunga mkono mambo hayo nawe unakuwa mmoja wao
@khadijawendomwachirenje3513
@khadijawendomwachirenje3513 7 жыл бұрын
Alichofanya nidhambi KUbwa na ataenda Moto ,,je Nani kakupa uwezo wakuambia mwengine ataenda kotoni?unajijua wewe utaingia peponi? Na huyo aliesema hapo nzi hizo hakuepo na kaambiwa watu walitumia hivyo vipo na vitakuepo kutoa taarifa sio kutumia ....
@kijanahodari2080
@kijanahodari2080 7 жыл бұрын
Kwakutoa taarifa kama hizo adi wengine watamani kuenda kufanya ushirikina wakidhani watafaulu ni dhambi na taharifa kama hizo ndizo zinapelekea watu kupoteza muelekeo hakuna aliye msafi duniani ika kuambiana kupo ndio nikasema motoni kama hatutobu kutoa taharifa izo za ushirikina
@beckybeto4328
@beckybeto4328 7 жыл бұрын
What? hizo miaka ni mob
@user-nn5sq8ol4g
@user-nn5sq8ol4g 4 жыл бұрын
Jamali nakuona
@kijanahodari2080
@kijanahodari2080 7 жыл бұрын
vita uchawi na wachawi, kwani Qur-aan inasema: “Na wanajifunza ambayo yatawadhuru wala hayatawafaa” (2: 102). Haya yamehesabiwa miongoni mwa madhambi makubwa yanayoangamiza. Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Jiepusheni na maovu saba yanayoangamiza!” Wakasema: “Ewe Mtume wa Allaah! Ni yapi hayo?” Akasema: “Shirki, uchawi …” (Al-Bukhaariy na Muslim). Hakika ni kuwa uchawi ni ukafiri na shirki. Uchawi unampeleka mtu kutoingia Peponi kama alivyosema Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam): “Haingii Peponi mlevi chakari, wala mwenye kuamini uchawi wala mwenye kukata undugu” (Ibn Hibbaan). Uislamu kuupinga ushirikina umefunga njia zinazotupelekea huko, mojawapo ni kufunga hirizi. Amesema Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam): “Mwenye kuivaa hii (hirizi) huwa ameshirikisha” (Ahmad na al-Haakim). Amesema tena (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam): “Mwenye kuvaa hirizi, Allaah Asimtimizie yake, na mwenye kutundika kaure, Allaah Asimhifadhi” (Ahmad na Abi Ya’la).
@mesedahsaeed987
@mesedahsaeed987 7 жыл бұрын
makubwa
@sandaljodi2700
@sandaljodi2700 7 жыл бұрын
acheni shirki
@thumuumohammed7484
@thumuumohammed7484 6 жыл бұрын
Shirk
Raila aingia serikalini kwa mlango wa nyuma
4:38
NTV Kenya
Рет қаралды 105 М.
Kisiwa cha Wasini eneo la pwani ni chenye historia kongwea
9:05
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 78 МЛН
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 60 МЛН
100❤️
00:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 23 МЛН
Bongo la Biashara: Sonara hodari wa Kwale
4:39
KTN News Kenya
Рет қаралды 334
Rais Ruto akoselewa vikali kuhusu uteuzi wa baraza la mawaziri
4:40
KTN News Kenya
Рет қаралды 49 М.
Historia Fupi ya Kisiwa cha Pate, Lamu.
19:42
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 55 М.
Robert Greene: A Process for Finding & Achieving Your Unique Purpose
3:11:18
Andrew Huberman
Рет қаралды 10 МЛН
THE BEST PLACE TO VISIT WHEN AT THE COAST: FUNZI ISLAND
15:27
Eddie Mors Vlogs
Рет қаралды 2,8 М.
Calls for effective management of tuna fish
1:53
KBC Business
Рет қаралды 60
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 78 МЛН