SIRI NZITO NABII KAIRUKI WA KANUMBA AJITOKEZA,AMJIA JUU MARTHA MWAIPAJA NIPATIE MTOTO WANGU JOSHUA

  Рет қаралды 128,957

kiswahili Tv

kiswahili Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 1 000
@kiswahilitv
@kiswahilitv Ай бұрын
Follow the Kiswahilitvonline channel on WhatsApp: whatsapp.com/channel/0029Va8vvFmDOQIguahdWK2Z
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 23 күн бұрын
Filimasoni mwenzake
@FortunatusDaniel
@FortunatusDaniel Ай бұрын
Jamaa kafanana na Erick Omond
@JanetOchieng-z3q
@JanetOchieng-z3q Ай бұрын
Ukweli kabisa
@ShamsiMbago-n2q
@ShamsiMbago-n2q Ай бұрын
Ewaaaaah mwanzo nkajua yy 😂😂
@blessedone3156
@blessedone3156 Ай бұрын
Kabisa😂😂
@AkinyiTheKenyan
@AkinyiTheKenyan Ай бұрын
😂😂😂😂
@SELINENYANGARESI
@SELINENYANGARESI Ай бұрын
Kweli
@vanvickermoviemakau1960
@vanvickermoviemakau1960 Ай бұрын
Kama akona mtoto wako,unamwambia unataka mtoto wako,unafikiria huo wakati wote mtoto amekuwa akila Nini,akivaa nini,akiishi nini?Kama haukuwa na lengo la kumuoa,bona ukambebesha mimba?kwenda huko una mdomo mwingi.Watumishi wa Mungu hawapayuki hivyo.Akikushtaki hizo nyakati amekuwa akilea damu yako,utaweza kumlipa.
@DinahMwadime
@DinahMwadime Ай бұрын
@@vanvickermoviemakau1960 Huyu kama ashtakiwe kwa kumteleza mtoto na aanze kujukumika kuanzia sasa .Na domo lake afunge na ajivue utumishi ajirekebishe.
@RoidaMbemba
@RoidaMbemba Ай бұрын
Kweli mungu anakazi kubwa sana Hata huyo mtoto najua atakukataa Kwa sababu hukumjali Leo Martha kafika hapo mnajifanya kuongea sana,laana zenu hazina maana yoyote,mngelaaniwa nyie kwanza,siyo Kila mama anania njema na mtoto wake,angekuwa hana maisha msingehangaina naye,Martha jifunze kunyamaza.
@Osm90-m3j
@Osm90-m3j Ай бұрын
Hakumtelekeza Bali u Msikilize kwamba alimzuia😂😂😂😂😂 Dunia simama nipande ​@@DinahMwadime
@margaretmkangala7774
@margaretmkangala7774 Ай бұрын
Nakutakia safari njema ya Kenya ila usimsahau kumbariki mkwe wako mapema
@MathayoAlfredsaruni
@MathayoAlfredsaruni Ай бұрын
Huyu na yye ni mbovu kabisa.. anatafuta kik tu.. huyo mtoto anafikiri alikuwa anaishije.. na hana hata aibu kuongea utumbo mkubwa kama huu..maanake na yeye ni mzinzi tu..mtumishi gani anawatoto nje ya ndoa yake ?? Saivi kila mtu anamsapoti shetani sana ila martha mwaipaja aanguke..lakini aishivyo Mungu martha atakuwa salama.. na tujichunge sana na midomo yetu hii.. itatuponza. But for now martha azidi kunyamza na tutajua maadui zake apa hapa..
@marthaayuma7065
@marthaayuma7065 Ай бұрын
Martha .hii ni vita Kali Sana🥺🥺nacho amini mungu hatakubali uangamie dada😢.mtetezi wako yupo.bora Tu ufungue moyo wako na mungu atakulinda.msaidie mamako.ukilala ukiamka kumbuka mamako .kwa lolote lile .mkumbuke mama😢.mkumbuke Tu mama....kumbuka mama ni dhahabu .katika maisha yako..mama ni funguo katika maisha yako.
@zeliphangubia6844
@zeliphangubia6844 Ай бұрын
The more Martha is being said, the more am loving her
@annmuringo8438
@annmuringo8438 Ай бұрын
Martha is high time to speak out or ignore everyone and reconcile with your mum only
@femidayahaya9293
@femidayahaya9293 Ай бұрын
mbona kama hili linaniingia akilin mana john said analalamika kwamba martha hatak nimuone mtoto wang..bc ukute kwel ni mtoto wa huyu Dr kairuk ee YESU msaidie da martha jmn😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@LovintaAdhiambo
@LovintaAdhiambo Ай бұрын
Hii nywele si ya mtumishi wa Mungu...a Man who has long hair dishonour himself.
@AnnaKimey
@AnnaKimey Ай бұрын
Ni kama kana ukimwi
@joyprintspro3845
@joyprintspro3845 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂.!
@MariamKarembo
@MariamKarembo Ай бұрын
Wewe nawe kwani nywele yake yakuhusu na nini??? Sikiliza chenye anasema lkn jitho lako limepita Moja kwa Moja hadi kwa nywele akhya😂😂😂😂😂😂
@witnessmallya5114
@witnessmallya5114 Ай бұрын
Ndo maana hawa watu wanaojiita walokole siwaamini na siwaelewag kabisa😅 mchungaji anafanya usinzi na mwinbaji yaani ni uchafu mtupu alaf unasimama madhabahuni unajifanya unawekea watu mikono na unajiita nabii, huyo Roho mtakatifu ni wawapi... Looh jaman tumtafute Mungu kwa nguvu zetu kwa kusimama na kuomba rehema wenyewe sio miujiza nadhan tumejionea hapaa😢😢😮
@MargaretChengo-qg3rw
@MargaretChengo-qg3rw Ай бұрын
Exactly, na bado anakuja kuongea na ujasiri wake wote jamani🤭🤭 Mungu atusaidie 😢
@PamelaHezron
@PamelaHezron Ай бұрын
Huyu si mchungaji bwana mchungaji hawezi jitanabaisha kuwa alizini.
@SaraSara-i1l
@SaraSara-i1l Ай бұрын
Bora waabudu mizimu😂
@neemamdami7466
@neemamdami7466 Ай бұрын
Hayo ni mambo ya ujanani na Mungu ukimuomba msamaha anakusamehe haijalishi huko nyuma ulikuwaje
@JAPHETJOSEPH-b6e
@JAPHETJOSEPH-b6e 14 күн бұрын
Duuuuuu,,,,,wokovu upo ,,walokole wapo ,,,huyu paster simwelewi.
@josephinepaul6169
@josephinepaul6169 Ай бұрын
The more anaaibika the more nazidi kumpenda na kumuombea.Mungu asipungue kwako Martha. Mungu ndie mwamuzi
@slowmeditater
@slowmeditater Ай бұрын
Mungu aruhusu watu wa hekima wamzunguke Martha kwa sasa, hata kama Mungu anamrudi basi asiruhusu akose uwezo wa kujizuia na huu uchungu katika hii moment 🙏🙏
@MaliamuMaliamsaidi
@MaliamuMaliamsaidi Ай бұрын
Na kwa kwa nini umkatae mama
@dianamvuzwa-eh9ov
@dianamvuzwa-eh9ov Ай бұрын
Unajisemeshasha kama wewe ulipata mzdhazi mzuri shukuru kila mtu anapenda awe na mapenzi mema namama lakini yakikukut utalijuwa​@@MaliamuMaliamsaidi
@kigesomichael8061
@kigesomichael8061 Ай бұрын
Hana adabu anaimba nn ss
@JumaKasim-v1e
@JumaKasim-v1e Ай бұрын
Huu hii ngumu sana hivi nikweli au
@NdayishimiyeDerick-v1c
@NdayishimiyeDerick-v1c Ай бұрын
Yani martha kazungukwa namahaduwi huyu postors kazaa naye hakufatiliya mtoto wake hata huyokairuki niwakiduniya anyamanz wengin wasem
@vivianatieno4421
@vivianatieno4421 Ай бұрын
Whatever the situation , human is human 😅 we still love Martha ❤❤❤❤❤❤❤ toa nyimbo zingine tushukuru Mungu pamoja dada , lots of love from kenya .
@AnneySyalo
@AnneySyalo Ай бұрын
Yes mm siezi muacha
@NtamamiloGibson
@NtamamiloGibson Ай бұрын
Hawezi kutoboa hata akitunga wimbo hawezi kufuta machizi ya Mama yake atapata shida tu.
@AMOSMIHAYO-h7c
@AMOSMIHAYO-h7c Ай бұрын
Sio wewe ila ni roho ya mashetani ndio itendayo kazi maishani mwako
@BilhaNduati-pg8wg
@BilhaNduati-pg8wg Ай бұрын
Ukisoma Bibilia vizuri sana ufwate vizuri, Yesu hakuzaliwa tarehe 25 December
@MehaiZephania
@MehaiZephania Ай бұрын
Ndio ukweli
@RehemaKasanga-i1u
@RehemaKasanga-i1u Ай бұрын
Kuna ukwel myuma y pazia ujiulizi miti ya krisimasi na uyo Babu krisimasi vinausiana na nn na kuzaliwa kwa yesu??
@MariamKarembo
@MariamKarembo 19 күн бұрын
@@RehemaKasanga-i1u kumbe tuko wengi tunao jiuliza maswali hayo🤔🤔
@WinWilly4162
@WinWilly4162 Ай бұрын
Hii ndo shida ya kudate na wanaume vilaza😢 Siko upande wa Martha ila huyu jamaa ni hovyo sana.
@emmanueldionismbena3461
@emmanueldionismbena3461 Ай бұрын
Sana sana sanaaa yaani na bange huyu anatumia aki
@MsalabaniReko
@MsalabaniReko Ай бұрын
Wakati wa mungu umetimia ngumu sana kwa mtoto kumkataa mama hii ni htr sana
@ShamsiMbago-n2q
@ShamsiMbago-n2q Ай бұрын
Nikwel kabisa
@healingsschool4630
@healingsschool4630 Ай бұрын
Martha hajamkataa mama. We sema unamtaka Martha
@Ester-y5m9b
@Ester-y5m9b Ай бұрын
​@@healingsschool4630wacha ukweli usemwe
@MsalabaniReko
@MsalabaniReko Ай бұрын
@@healingsschool4630 duh ww sim kubwa bila bando ni mzigo jalibu kununua bando ili usipitwe na mambo ya mitandaon kwa unavofikili wew Martha ni mtu mdogo tz yani kila mtu anaweza kumfikia kilaisi ivo ukiweka bando nenda katazame interview za Mama yake alafu ndo uje kukoment kwangu
@ShamsiMbago-n2q
@ShamsiMbago-n2q Ай бұрын
@@healingsschool4630 anamtaka ampeleke wap!ajamkataa kafanyeje ivo?we unaona raha mama kama yule kutoa machoz kwenye hazara?
@RealGiftLydia
@RealGiftLydia Ай бұрын
Mnakutana ki uduma na huku mna fanya uzinzi, yaani kama kuna watu wanao aibisha Yesu ni basi tu😢😢 ila siku yaja siri zote zita funuliwa,haya bado ni madogo sana.
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 23 күн бұрын
Sasa uyu sialikuwa filimasoni kwaiyo poa tu
@RoseVitalis
@RoseVitalis Ай бұрын
Hadi machozi yananitoka jamani Martha nampenda akamalizane na mamake mambo yanayoendelea haya ili yaishe yananiumiza sana yesu alisema pale msalabani kwa mwanafunzi aliyempenda angalia Mamayyako
@floridakagemulo3183
@floridakagemulo3183 Ай бұрын
Mshaurimi akatubu na kuomba radhi
@RoseMunisi-u8g
@RoseMunisi-u8g Ай бұрын
Mungu akutie nguvu Martha ila Mungu yupo aikuwa sababu ya familia yako kuweka haya Mambo hadharani ,bite ungempenda ndugu yako ungemuombea ndugu ili Mungu amsaidie
@neemalambo9790
@neemalambo9790 Ай бұрын
Jamaniiii huku kunusurika kufa kwa Matha hata mama yake alisema, huyu kairuki namuamini
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
😂😂😂jaman kwan kairuki hawezi kukop maneno ya mama akaja kutudanganya
@neemalambo9790
@neemalambo9790 Ай бұрын
@@nancyg8664 🤣🤣🤣
@JulianaSakatete
@JulianaSakatete Ай бұрын
Ana weza kusikiliza mahojiano ya mama matha kama ulicho sikiliza Kisha nae kaongea kwenye mahojiano Hilo zaidi
@JustinaBalige
@JustinaBalige Ай бұрын
Fact mi mwenyewe simuelewagi huyu jamaaa​@@nancyg8664
@HappyJohn-h8q
@HappyJohn-h8q Ай бұрын
​@@nancyg8664 anaweza kabisa na kama mtoto ni wake kwanini aje mitandaoni si aende mahakamani kudai haki. Siku zote alikuwa kimya leo kaibuka
@MbogoSouljah
@MbogoSouljah Ай бұрын
Kumbe wanaume wengine tunaujinga uliozidi. Hakua andiko mzazi ni Mungu wa pili, na kama lipo toeni.
@newevelastlife2571
@newevelastlife2571 Ай бұрын
Mpe na andiko hili asome pia.Luka 14:26 Mtu yeyote akija kwangu, asipomchukia baba yake, mama yake, mke wake, watoto, ndugu na dada zake, naam, hata na nafsi yake mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi
@SelinaDorcas
@SelinaDorcas Ай бұрын
Jifunze kusona bibilia
@AngelSimon-l6z
@AngelSimon-l6z Ай бұрын
KUTOKA 20 : 12 Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na BWANA, Mungu wako.
@madetetv6576
@madetetv6576 Ай бұрын
Kasema andiko linalosema mzazi ni Mungu wa pili​@@AngelSimon-l6z
@MbogoSouljah
@MbogoSouljah Ай бұрын
@@newevelastlife2571 Kuwaheshimu tunawaheshimu lkn nimesema toa andiko mzazi ni Mungu wa pili. Yohana 17:3 Uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristo uliye mtuma. (Kama sisi wazazi kuhesimiwa na watoto wetu, hatuwezi kuwa Mungu bali kunatufanya kuangukia katika kundi la miungu)
@tatujuma4795
@tatujuma4795 Ай бұрын
Ili haya mambo ya mitandaoni yaishe inabidi muhusika mkuu ambae ni Martha ayamalize kwa kwenda nyumbani kwa mama yake kuomba msamaha warudi ktk hali yao ya maisha ya upendo kama zamani, vinginevyo kila mtu hasa wenye nia mbaya na Martha watatumia mwanya huu kumuangusha. Na asisahau kuamua ni jinsi gani atabalance maisha kati ya familia na huyo Joan wake.
@annkim2690
@annkim2690 Ай бұрын
Huyu jini akiwa hapo haiwezekani
@annkim2690
@annkim2690 Ай бұрын
Huyu jini akiwa hapo haiwezekani
@annkim2690
@annkim2690 Ай бұрын
Huyu jini akiwa hapo haiwezekani
@annkim2690
@annkim2690 Ай бұрын
Huyu jini akiwa hapo haiwezekani
@annkim2690
@annkim2690 Ай бұрын
Huyu jini akiwa hapo haiwezekani
@landrinebagalwa5919
@landrinebagalwa5919 Ай бұрын
Watumishi wa siku za mwisho 😂😂😂😂😂 Tuta watambua kwa matendo na maneno kabisa 😢😢😢😢😢
@Everlyne-zg2qz
@Everlyne-zg2qz Ай бұрын
Hakuna mtu hii Dunia mwenye hana kosa,tena hakuna boma linalo kosa maneno, jamani tuwachane na Martha,Ila tumwombee mtumishi pole Martha jitie Moyo yote yatapita Ni kipindi tu kinapita
@FBT146
@FBT146 Ай бұрын
Sifikirii kama ni sahihi kwa mtu wa Mungu kuzungumza namna hii mtandaoni huku ni kuvunja huduma na kutokimshirikisha roho mtakatifu na je, ulisubiri haya yatokee ndipo ueleze hisia za kimwili. Samahani kwa maongezi yako upo kimwili kazungumze kifamilia muelewane Pia tusiwapotoshe wanaotaka kuifuata njia ya kweli
@joyprintspro3845
@joyprintspro3845 Ай бұрын
Shika ulichonacho , Watumishi ni jina tu ...
@annettemalechela7543
@annettemalechela7543 Ай бұрын
This is bringing more fire ulikuwa ukifanya uzinzi wakati ni mtumishi you need delivarence nay God give strength all of you
@AmynerNeph
@AmynerNeph Ай бұрын
Why he doesn't want to marry her
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA Ай бұрын
WEWE Umeuwa BILA SHOKA WALA PANGA! Umepigaje vile?
@mercymuturi8129
@mercymuturi8129 Ай бұрын
Ako na mke huko Kenya alifuga ndoa na nilikuwa mmoja wa msimazi​@@AmynerNeph
@MaryNjoka-i3t
@MaryNjoka-i3t Ай бұрын
Tubuni jamen
@MaryNjoka-i3t
@MaryNjoka-i3t Ай бұрын
Damu yako wadai Leo ? Ujui hata kulea kusomesha,Uko Kama ulizaa inje na wewe ni mtumishi kwa hivyo ulitenda dhambi
@LYDIAKHALUMI-h2z
@LYDIAKHALUMI-h2z Ай бұрын
waaah dunia inamambo kweli, huo muda wote ulikuwa wapi? ndio uanze kusema haya yote.Kwani Martha ana watoto wangapi?
@EmilianaMbwambo
@EmilianaMbwambo Ай бұрын
Dunia inamambo sana watumishi wamegeuza hii kama Dili wanatafuta kiki
@esterlwesya6678
@esterlwesya6678 Ай бұрын
Hakuna mtumishi mwenye hekima anaropoka namna hii mtandaoni 😢😢 mkweeéee😅
@philomenastephen3364
@philomenastephen3364 Ай бұрын
HAYA NI MAJIRA YA KILA KITU KUWA HADHARANI. MUNGU YUPO KAZINI KONDOO NA MBUZI WANATAMBULIKA SASA.
@KANGAKARANI
@KANGAKARANI Ай бұрын
Kabisaaa
@awemaqway1201
@awemaqway1201 Ай бұрын
Hii vita kali hadi ma ex wote watajulikana 😢😢 Kifuatacho na kinaendalea kufuata😢
@GraceDaniel-l2n
@GraceDaniel-l2n Ай бұрын
Nmecheka sana afu kumbe watumishi huwa wanazini😅😅😅
@annkim2690
@annkim2690 Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mwasoprince3459
@mwasoprince3459 Ай бұрын
Ma ex wameandamana
@philomenastephen3364
@philomenastephen3364 Ай бұрын
WAO PIA NI WANADAMU KAMA WENGINE WOTE. NA SI WOTE NI WATUMISHI WA UKWELI. NI BIASHARA.​@@GraceDaniel-l2n
@Brendah-i6f
@Brendah-i6f Ай бұрын
𝐴𝑡𝑎 𝑚𝑚 𝑛𝑚𝑒𝑠ℎ𝑢𝑡𝑢𝑘𝑎 𝑠𝑎𝑛𝑎𝑎,, 𝑎𝑛𝑎𝑡𝑎𝑘𝑎 𝑗𝑜𝑢𝑠ℎ𝑎 𝑤𝑎𝑘𝑒😂😂😂😂😂😊​@@GraceDaniel-l2n
@MonicaPeter-h9l
@MonicaPeter-h9l Ай бұрын
Martha MUNGU akutetee katika Hilo,ila mti wenye matunda Huwa unapingwa mawe hivyo usiongope MUNGU yuko pamoja na wewe , wewe ukae kimya ,BWANA YESU atakupigania
@Purity-zl4wt
@Purity-zl4wt Ай бұрын
Naona ni majira ya wazimu🤔yaani kila mtu na zake mungu turehemu
@naomikiula1252
@naomikiula1252 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 uwiiiiiii yani
@mohamedadel-tu6cl
@mohamedadel-tu6cl Ай бұрын
😂😂😂😂ati majira ya vichaa😂😂
@JohnSaqwere
@JohnSaqwere Ай бұрын
Acha kelele. Martha is the best❤
@daisynyerere5730
@daisynyerere5730 Ай бұрын
2024 MWAKA WA UREJESHO, KURUDISHA VITU WATU WALIVYOIBIWA KWENYE ULIMWENGU WA ROHO SASA TUNAINGIA MWAKA WA UTEKELEZAJI WA MUNGU KATIKA YALE YALIOREJESHWA...KAMA HUNA ROHO MTAKATIFU HUWEZI ELEWA HII COMMENT NA KAMA UNAONA HUELEWI PITA🙏🙏
@cathyntakama5919
@cathyntakama5919 Ай бұрын
Amen🙏
@irakozeshakiru1131
@irakozeshakiru1131 Ай бұрын
Amen
@SammyLaizer-s9u
@SammyLaizer-s9u Ай бұрын
Good
@YustinaMorris
@YustinaMorris Ай бұрын
Ameni Mungu anarudisha watu wake walio kwenye michepuko warudi kutubu
@ChazsMassawe
@ChazsMassawe Ай бұрын
Daaaah hizi sarakasi za marta zitaisha lini Mungu wangu. Duuuu hatariiii sana
@adelaidemary5514
@adelaidemary5514 Ай бұрын
Mmefanya nimeenda kutaza wimbo wa pastor kyande😢😢😢😢Nabii hana heshima kwao😢, Martha jipe moyo haya ni mapiti tu
@mosesg.pendael8381
@mosesg.pendael8381 Ай бұрын
Umethibitisha kuwa ni nabii?
@Drkitsao
@Drkitsao Ай бұрын
Sasa martha ni Muabudu shetani ama ni nabii? Unazingua ujue😊😊
@marrieann5278
@marrieann5278 Ай бұрын
Eti Nabii,unajua maana ya Nabii kweli? Nabii na mwimbaji ni watu wawili tofauti
@Launego2024
@Launego2024 Ай бұрын
Nabi wap we uliskia wap
@InnocentBirdNest-nl4eg
@InnocentBirdNest-nl4eg Ай бұрын
Wewe tetea upumbafu
@newevelastlife2571
@newevelastlife2571 Ай бұрын
Mtu akimkataa mama au baba kama wanampotosha kuhusu Mungu hakuna tatizo.Lakini kama unamkataa baba au mama kwa ajili ya tamaa za dunia hapo ndiyo shida.Luka 14:26 Mtu yeyote akija kwangu, asipomchukia baba yake, mama yake, mke wake, watoto, ndugu na dada zake, naam, hata na nafsi yake mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi
@amanijoseph6764
@amanijoseph6764 Ай бұрын
Jamaa ana make sense sana..Kuna kitu haiko sawa kwa huyu Binti Martha..Kwanini wanajificha katika kivuli cha injili ? Kumbe wavurugaji sana..😊😊
@Cyp-x3z
@Cyp-x3z Ай бұрын
Kwa kweli dunia imefika ukingoni kati ya Martha na Joan kuna siri nzito sana ila Mungu atufungue macho
@MiliamJonh
@MiliamJonh Ай бұрын
Wachungaji MUNGU anawaona Mnasherehekea Christmas na happy birthday.. Mbona moto unawasubir
@BandanaKavuzune-gs5zs
@BandanaKavuzune-gs5zs Ай бұрын
Waaah hii ni temptation lakini itaisha
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 23 күн бұрын
Sana imeisha ya p didi hii poa tu
@eunicesemere5555
@eunicesemere5555 Ай бұрын
Watanzania umemuharibia jina pastor Ezekiel mkachoka ss panga imegeukia kwenu aya angalau muanchane na Ezekiel wetu pambaneni na dada yenu ila mama ni mama habari ndio iyo dunia imeisha tuombeni mungu aturehemu tu
@sobrejazz3919
@sobrejazz3919 Ай бұрын
Huyu hajielewi kamwe, kwanza yeye mwenyewe ywahitaji kukombolewa , ywajiita mtumishi na huku anakiri kafanya uzinzi na Martha. Akili yake iko sawa kweli ama ywatafuta kiki tuu. Sijawai kuona ujinga kama huu, kwa kweli hizi ndizo Nyakati za mwisho....hawa manabii wa uwongo wamezidi...
@ERICAHMWAKILUNGU
@ERICAHMWAKILUNGU Ай бұрын
Hapo Sasa utumishi na uzinzi Mungu tusaidie this are last days
@amirliga6301
@amirliga6301 Ай бұрын
Mtumishi unajiita Nabii wa Mungu bado unakiri kufanya uzinzi kupata na mtoto hadharani kanisa lipi linaruhusu manabii wazinifu log!!!😮😮😮
@RehemaLadislaus-qn5up
@RehemaLadislaus-qn5up Ай бұрын
kwa umri wake inawezekana walikutana wakat hawajaokoka
@peterntandu1919
@peterntandu1919 Ай бұрын
Hapo Sasa anakiri uzinzi
@MargaretMunyao-m3t
@MargaretMunyao-m3t Ай бұрын
Hakuna SHIDA mungu ndiye uhukumu Wacha kuhukumu
@SelinaDorcas
@SelinaDorcas Ай бұрын
Heri kuungama dhambi zako maan hukuweka huru
@marthakitinusa9696
@marthakitinusa9696 Ай бұрын
Kiburi siku zote huleta maanguko.....? Vip kuhusu uzinzi hauleti maanguko. . ? Mungu atusaidie haiko sawa hii
@geraldadolf4928
@geraldadolf4928 Ай бұрын
Acha ufala wew fanya maisha wew ushaambiwa Joan mtoto wa kipare sasa mpare na tunguri ni kama samaki na maji hakuna rangi Martha ataacha kuona
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 Ай бұрын
Na majumba ya konokono😢
@BarakaMbise-lk1eb
@BarakaMbise-lk1eb Ай бұрын
mungu akusaidie Sana Dada angu Martha
@KANGAKARANI
@KANGAKARANI Ай бұрын
Wow mungu anatibitisha kitu.hapaaa tenda bwnaaa
@DamarisGichana
@DamarisGichana Ай бұрын
I am with you brother save the Boy who is innocent
@SuzanaRobert-z5v
@SuzanaRobert-z5v Ай бұрын
Miaka yote hiyo ulikuwa wapi then leo unamuhitaji hata wewe mbwa mwitu miaka yote hiyo ulikuwa wapi kumjali mtoto😂😂
@HappyStephan
@HappyStephan Ай бұрын
Eti 😮😮😮😮😮 kama taperi ivii
@MercyKilonzo-kd5vu
@MercyKilonzo-kd5vu 23 күн бұрын
Wanaounga mkono swala la martha kumkana mamake mungu awape hekima, someni maadiko vizuri
@DaudJohn-p3k
@DaudJohn-p3k Ай бұрын
dada matha fanya ya Mungu kwa bidii usichoke wanadamu wana maneno mengi sana hila Mungu ana neno moja tu kwako mwachie Mungu aliye kuumba apambane nao love you❤❤❤❤❤❤🎉
@pjmaarifa3528
@pjmaarifa3528 Ай бұрын
Aminaaa uko sahihi ,Mungu ana neno Binadamu no maneno be cool Martha YATAPITA TU
@GetrudaTarimo-c7y
@GetrudaTarimo-c7y Ай бұрын
Dada martha wewe ongea na mama yako uombe msamaha maneno yote yanaisha ila usipo patana namama maneno yanaongezeka dada pole sana mtumshi nakupenda sana kipenzi pole jamami vita sio yako mwachie mungu pekee.
@HappinessElisha-b6x
@HappinessElisha-b6x Ай бұрын
Hizo nywele katia dawa au?
@HappyJohn-h8q
@HappyJohn-h8q Ай бұрын
Zinapepeaaa hahaaaaa ndo nabii huyo
@marthamlaki6484
@marthamlaki6484 Ай бұрын
Ulichoongea ni kweli mzazi ni Mungu wa pili yatupasa tutunze wazazi wetu.. Biblia imeandika katika kitabu cha 1 Timotheo 5:8 Lakini mtu ye yote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana Imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini.
@RehemaMtono
@RehemaMtono Ай бұрын
Uwiiii nyie martha Mungu atakupiga kwa mapigo makuu
@denissasso5575
@denissasso5575 Ай бұрын
eti nabii, nabii sambuli gani huyu, kwa hio ulizaa na martha nje ya ndoa sio! bure wewe kabisa, Martha tunakuombea mungu azidi kukubariki.
@MargaretOmondi-pf3uz
@MargaretOmondi-pf3uz Ай бұрын
Mbona sura kama ya Eric Omondi wa kenya? Kariuki, ulikuwa wapi kabla Make Martha kulilia Joan amwache Martha? Umetumwa kumharibie Martha Jina. Tangaza Yesu sio kumchafulia STAR Jina. Hata hivyo, hii sura Martha haezi kubali kuzaa naye. Duniani kote twamjua John Saidi
@AkinyiTheKenyan
@AkinyiTheKenyan Ай бұрын
Umejua taste ya Martha 😂😂
@JoshRumena
@JoshRumena Ай бұрын
Ww ni mushawi uko duniyani sana martha ni mutu wa roho ni sana ndiyo mana alikuasha iyo niukweli ku toka kwa mungu
@fashionKalmahouse
@fashionKalmahouse Ай бұрын
Mtoto Joshua Tena ni mgani yawa.si mama alisema ako na mtoto mmoja alipata kwenye ndoa, Kali sana.
@NancyVugutsa-jg6ev
@NancyVugutsa-jg6ev Ай бұрын
Huyu ni kiki anafanya
@fashionKalmahouse
@fashionKalmahouse Ай бұрын
@NancyVugutsa-jg6ev Aki, which is very very wrong.this joke is very expensive.
@annasolomon9855
@annasolomon9855 Ай бұрын
Huyu mbona ni kama kiki . Haki ikigundulikana ni kiki basi hata Ile habari ya Kanumba itakuwa ni uongo 😅
@HifuftfuGudwfy
@HifuftfuGudwfy Ай бұрын
Mungu wambinguni nakuomba kwaajili ya martha simama sasa maana umesema tunapo kutegemea hautatuaibisha shuka sasa Mungu hii sasa nifedhea ongea sasa Mungu naomba usinyamaze 😭😭😭🙏
@AdrofinaRaymond
@AdrofinaRaymond 5 күн бұрын
Kwani we jamaa ulimwona hoyo mtoto, na je ulikuwa ukimpatia matunzo?
@AnethMasaki-c5f
@AnethMasaki-c5f Ай бұрын
Mungu achilia Rehema ktk haya😮😮😮😮
@AnethMushi-c3e
@AnethMushi-c3e Ай бұрын
Hakika inahitaj rehema ya Mungu
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 Ай бұрын
KHAAAAA NO COMMENT 😢😢😢😢😭😭😭🙌🙌🙌 NACHIDWA KU COMMUNITY NALIYAAA🙌🙌😭😭
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
kwahyo kunywa cappuccino ndo bata😂😂😂ila watu wengine bhn
@DanielAudax
@DanielAudax Ай бұрын
Hasemi Cappuccino ni kapuChini😁😁😁😁😁
@mohamedadel-tu6cl
@mohamedadel-tu6cl Ай бұрын
😂😂😂😂
@MaryMueke-s5v
@MaryMueke-s5v 27 күн бұрын
God have mercy 🙏
@AnneNamasaba
@AnneNamasaba Ай бұрын
Pastor's tumeisha neno la mungu tumeacha tunarukaruka tu .Pastor ulikuà unaojàtu hadi Pastor's tunaoja mboga
@AnneySyalo
@AnneySyalo Ай бұрын
😂😂😂
@UpendoMichael-p1z
@UpendoMichael-p1z Ай бұрын
Sijaelewa. Mh. Midomo hii. Ni ya kuchunga sana. Hata shetani ana manabii. Na mungu ana manabii. Ukiwa na akili utajua kuzitofautosha roho. 1wakorintho 14:10-11. Pia 1yohana 4:5-6. Tuache kumchezea mungu. Si Kila roho inatoka kwa mungu nyingine zinatoka kwa yule mwovu.
@FurahaMeckson
@FurahaMeckson Ай бұрын
We have Balthazar in Tanzania too??? 😂😂😂😂
@FaustaEvord
@FaustaEvord Ай бұрын
Duuh! Hawa manabii WA Dunia hii?? Mna mungu wenu nyinyi na huyo Martha wenu!Acheni kulihaibisha Taifa la Mungu aliye hai Mtaadhibiwa vibaya sana!
@PaulinaJenga-y1z
@PaulinaJenga-y1z Ай бұрын
Jaman huo kairuki ni anatabuli kweli tena mungu amemtumia
@AgnesOnesmo
@AgnesOnesmo Ай бұрын
😂😂😂😂😂wewe achana na watu
@emmymutama2394
@emmymutama2394 Ай бұрын
Pauline hata Mimi namshangaa huyu mchungaji. Hajui mtoto wake ana miaka mingapi anakula nini?Hizi ni kiki
@HappyJohn-h8q
@HappyJohn-h8q Ай бұрын
​@@emmymutama2394 anakeraaaa
@ClementJohnson-j9y
@ClementJohnson-j9y Ай бұрын
Mungu yupo kazini mtake mstake kundi lina anguka chetani na mungu mungu ananguvu bola nife maskin
@kumwimbamwanabuteirene5930
@kumwimbamwanabuteirene5930 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂iyi ni maneno uyu muchungaji ni problem
@lisahhans295
@lisahhans295 Ай бұрын
wanawake bwana sasa Martha na huyu mzee dah😊
@kadoluxclassic5634
@kadoluxclassic5634 Ай бұрын
Nilishika Likizo Juu hizi Habari niwe nazipata nikiwa nim Rlax Nimetulia Waooo ikistajabu ya P Ddy utayaona ya Barthazari apa sasa tuona ya Martha kbs waooo
@HappyJohn-h8q
@HappyJohn-h8q Ай бұрын
Ila wewe eti waooooo mbona kama anafurahia hahahaaaaa hiyo waooo mpaka nimecheka sasa
@rahabulukelo8738
@rahabulukelo8738 Ай бұрын
Hakika kabisa looh!
@Launego2024
@Launego2024 Ай бұрын
😅😅😅 haloo
@BettuNdururu
@BettuNdururu Ай бұрын
Mmezidi. Wanahabari mbona Martha ni mzuri tuu. 🇰🇪 🇰🇪
@footballonly793
@footballonly793 Ай бұрын
Yuko vizuri kumkataa mama yako
@ANNAJustine-d1k
@ANNAJustine-d1k Ай бұрын
Wana Habari hawana Kosa wao wako kazini tu
@VeronicaMussa-lu1yw
@VeronicaMussa-lu1yw Ай бұрын
Wakati wa Mungu kufichua maovu ya wanaojiita watumish wa Mungu umefika ili watanzania tujue ni Mungu yupi wanamuimbia!!! Mungu alimtumia Beatrice kuropoka mauz ya dada yake
@eunicesemere5555
@eunicesemere5555 Ай бұрын
Kariuki unaongea vibaya ata km unahasira iyo sio nidhamu ya utumishi bro
@SaudaMkwizu-b7g
@SaudaMkwizu-b7g Ай бұрын
Mimi natakanikwambieuliambiwa hapo kwa Matha ulipata SHAMBA la kuotesha mbegu Acha wewe si baba Acha kujitukana wewe ni mùuaji Huna mtoto nani alimlea wewe uje kudai mtoto juu yamama yake kweli amuombe msamaha ila wewe ni mzinzi sio nabii usilitukanishe jina la mungu
@TerezaHenry
@TerezaHenry Ай бұрын
Kwani ulikuwa unatowa uduma kwa mtoto wako jibu ni apana msitaki kuongeza ongeza vitu vingi jamani leo hii ni kwa martha kesho ujuwi ni kwa nani acheni ivo sio sahii
@marykifolo1252
@marykifolo1252 Ай бұрын
Stop vitisho kwa matha.ukumufatilia dio sasa hivyo unasema mtoto ni wako.i you really apastor
@marykifolo1252
@marykifolo1252 Ай бұрын
Miaka kumi ujui mtoto wako akoo wapi.akuna pastor anarani mtu
@marykifolo1252
@marykifolo1252 Ай бұрын
Razzmatazz watu waorewe
@marykifolo1252
@marykifolo1252 Ай бұрын
Hatawewe sio pastor wa ukweli juu unapeana wasichana wa wenyewe mimba na ukaenda
@LUGANOMWANYINGI
@LUGANOMWANYINGI Ай бұрын
Mtu mnapoona anaanguka Mumuombee, Unaongea as kama unauchungu sana na mama uake Martha. It's bora kumshauri kwa upendo na kumuombea. Leo unaleta mambo yako et unataka mtoto. Tena mlipata kwa uzinzi,wote mkiwa watumishi wewe Nabii ,Martha mwimbaji. Haya maneno si ya kutamba hadharqni u ajili aibisha na kujishushia hadji kama kweli ni mrumishi wa Mungi. Uzinzi umetawala makanisani,watu wansimama madhabahuni huku wakifanya uzinzi. Unasikitisha sana. Tena mi naona bora Martha hakuolewa na wewe sijui nabii, Maana huenda ndo ingekuwa mbaya zaidi. Maana unavyoongea?
@asifiwetito7065
@asifiwetito7065 Ай бұрын
Huyu alikuwa kwenye huduma ya uzinzi au huduma gani maan sielewi uzinzi na utumishi wa Mungu ni wap na wap km ulikuja kwenye huduma ya mungu ilikuwaje kumtumia na hukuwa na mpango wa kumwoa kwanza mtumishi wa Mungu ana hekima sio roporopo namna yako😢😢
@RehemaMwamengo-mk6bk
@RehemaMwamengo-mk6bk Ай бұрын
Yani namimi simuelewi hakuna mtumishi apo wanataka tu kumchafua matha
@RehemaLadislaus-qn5up
@RehemaLadislaus-qn5up Ай бұрын
kiukweli hyu simuelewi huduma ya Mungu na uzinzi Mungu atusaidie
@RehemaLadislaus-qn5up
@RehemaLadislaus-qn5up Ай бұрын
ww sio Mungu Vp ww ushatubu hyo dhambi ya uzinzi
@josphinemwangi-mc2tw
@josphinemwangi-mc2tw Ай бұрын
Huduma mkahudumiana😮😮😮😮
@DALALIMTOTOMPANDAKATAVI9169
@DALALIMTOTOMPANDAKATAVI9169 Ай бұрын
Yame nishinda Sanaa Haya ya Martha na kairuki
@melisazwale2226
@melisazwale2226 Ай бұрын
Na nywele vipi weee karioki rudi nyumbani 😂😂😂😂
@mohamedadel-tu6cl
@mohamedadel-tu6cl Ай бұрын
Ati karioki😂😂
@mohamedadel-tu6cl
@mohamedadel-tu6cl Ай бұрын
as a man you too mouthy🫢not good at all
@GodfreyShakale
@GodfreyShakale Ай бұрын
Uuuuwi jamani matha wangu mungu akufunike
@MsalabaniReko
@MsalabaniReko Ай бұрын
Mbaka ukiona ivo basi ujue mungu amemfunua mazaifu yake ili apate kupona ww unafikili ilo jambo ni la Jana
@g_forcemusician4242
@g_forcemusician4242 Ай бұрын
Malaya tu huyu martha
@tufikekapeta8863
@tufikekapeta8863 26 күн бұрын
weeeeeeee😢😢😢😢 ukapotezea mtoto wako unaakili wewe au ila matha kama kweli umemkana mamaako umekosea wangu ludi ulipokosea tengeneza
@MARYNAFULA-d6o
@MARYNAFULA-d6o Ай бұрын
😅😅😅😅😂hataki kuongea mengi na yale ameongea ni mengi zaidi😂😂😂
@hawakibona9402
@hawakibona9402 Ай бұрын
Hakuna ambacho hajaongea yote kaongea
@AnnaNgei
@AnnaNgei Ай бұрын
Ndio nashangaa😂😂
@BelckEustace-di2md
@BelckEustace-di2md Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂nimecheka sana mwenyewe,naona kamaliza amebakiza DNA🤣🤣🤣🤣
@RufinMwanza-e8v
@RufinMwanza-e8v 28 күн бұрын
Kaka atcha Mambo aya shida ni Nini lakini umependa kumujaribu Martha mutumishi wa mungu Yani mungu akusamee
@anneanji4818
@anneanji4818 Ай бұрын
Kariuki mbona hujibu maswali unayo ulizwq😂😂😂
@BerniceOneGB
@BerniceOneGB Ай бұрын
😂😂sio kariuki ni kairuki,usiekelee waKikuyu 😊
@anneanji4818
@anneanji4818 Ай бұрын
@BerniceOneGB wewe mother wake si ni wahuko walibadilisha tu story 😄😄😄😄
@vivianoscar9344
@vivianoscar9344 Ай бұрын
Ko alisubiri yatkee Aya aje adai damu yake, na uyo Beatrice alivyo tembea na shemeji ake ili kua sawa ila kutomsapoti ndo kosa .emu nanyie wanaabari kuwen serious iyo tayali ni vita ya x hakuna x mwenye nidham akaja kujiongelesha ovyo ivi. Mtumishi wa Mungu anazaa uku unaacha unaenda kule na familia isikufahamu iyo kwako ni sawa. Vita ya maneno ii dada Martha nyamaza
@femidayahaya9293
@femidayahaya9293 Ай бұрын
tumuombee dada yetu naamin MUNGU atamkomboa
@eternalhappiness4000
@eternalhappiness4000 Ай бұрын
What made Martha reject Her own Mother ?
@mercykariithi7919
@mercykariithi7919 Ай бұрын
Appearance ya huyu mtu haipendezi kama mtu wa Mungu nyoa hiyo nyuele
@emmymutama2394
@emmymutama2394 Ай бұрын
Mercy, wash umesema ukweli. Huyu awache kuaribia wakenya sifa.😅😅😅
@mosesg.pendael8381
@mosesg.pendael8381 Ай бұрын
Kwa nchi gani?
@MargaretOmondi-pf3uz
@MargaretOmondi-pf3uz Ай бұрын
Hahahaaa huyo tapeli
@ReubenJames-pr7nq
@ReubenJames-pr7nq Ай бұрын
Huyo amehalibika tapeli
@Judy254
@Judy254 Ай бұрын
You are right haki
@DzameHamisi
@DzameHamisi Ай бұрын
Kusema ukweli niulize huyu mutumishi anakunywa nini hapa mana mutumishi muzima ila anaropokwa hovyo haki mungu tusaidie
@JanethJames-ri5zq
@JanethJames-ri5zq Ай бұрын
Ana asiraa 😢
@RizikiRemy-n9k
@RizikiRemy-n9k Ай бұрын
Is you Eric omondi 😢😂😂😂
@NeemaBaraka-l7l
@NeemaBaraka-l7l 27 күн бұрын
Mimi niko congo, naonakama iyote ni ufungulivu ya dada Martha, inawezekana huyu Johan ni ibilishi mkubwa ku mahisha ya martha.
@GawaherH
@GawaherH Ай бұрын
Kumbe na weye Pasta ulikuwa katombi tombi😅😅😅😅😅😅😅
@victoriadaizy5277
@victoriadaizy5277 Ай бұрын
😂😂😂
@MargaretOmondi-pf3uz
@MargaretOmondi-pf3uz Ай бұрын
@@GawaherH heheheeeee aibu gani hiyo Jameni? Alijuwa amtangaza Martha kumbe kajitanza hadharani🤣🤣🤣🤣🤣
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA Ай бұрын
UMEUWA BILA BASTOLA !
@DorianeManirakiza
@DorianeManirakiza Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@JumaKasim-v1e
@JumaKasim-v1e Ай бұрын
Pole Martha unamkataa mama huoni hata aibu kwa watu 14:14
@isaacsimon3580
@isaacsimon3580 Ай бұрын
*Mathayo **15:19**-20* Maana moyoni hutoka mawazo ya uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushahidi wa uongo na kashfa. Hayo ndiyo yanayomtia mtu unajisi. Lakini kula chakula bila kunawa mikono hakumtii mtu unajisi.”
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Ай бұрын
Nabii uchwara.
@teyllalugazia
@teyllalugazia Ай бұрын
Ee Mwenyezi Mungu wa rehema tusaidie, hawa ndo wanatakiwa kuwaonesha watu njia ya wokovu kweli? Mungu turehemu.
@edinafaustinez8514
@edinafaustinez8514 Ай бұрын
Huyo mchungaji minywele kama dijei hata kama mchungaji uinyoe hiyo minywele haupendezi kama mtu wa mungu
@bettykinyami5096
@bettykinyami5096 Ай бұрын
Alishakengeuka si anaendaga kwenye makanisa ya ajabu ajabu, aangalie Sana watamchukuwa si alikuwa anatowa Siri zao
@MarthaNangalama
@MarthaNangalama Ай бұрын
Mchungaji ukiwa na hasira hivyo pia wewe ufalme wa mbinguni kuuona ni ngumu. Na kama hujasaidia mtoto miaka hizi zote...si ni makosa...why DNA now. Hakuna mtu safi mbele za mungu. Mungu ampaginie Martha. Vita utashinda. Mama yakp mrejelee.
MAJINA YAO YAMEONDOLEWA KWENYE KITABU CHA UZIMA
32:00
Ukweli Church of Christ
Рет қаралды 59 М.
Ozoda - Alamlar (Official Video 2023)
6:22
Ozoda Official
Рет қаралды 10 МЛН
I'VE MADE A CUTE FLYING LOLLIPOP FOR MY KID #SHORTS
0:48
A Plus School
Рет қаралды 20 МЛН
Непосредственно Каха: сумка
0:53
К-Media
Рет қаралды 12 МЛН
Caleb Pressley Shows TSA How It’s Done
0:28
Barstool Sports
Рет қаралды 60 МЛН
MNAOWEKA PIKO KICHWANI,SIKILIZENI USHUHUDA HUU, KILICHOMTOKEA JESCA. Sambaza Ujumbe huu.
41:08
KANISA TAKATIFU LA YESU KRISTO-CHAMAZI
Рет қаралды 392 М.
MWANAFUNZI WA AJABU Full Movie /Bongo Movie
4:14:23
BabaJoan
Рет қаралды 1,1 МЛН
Ozoda - Alamlar (Official Video 2023)
6:22
Ozoda Official
Рет қаралды 10 МЛН