#kivumbi MBOWE AVUNJA SHERIA TAZAMA MANENO HAYA MACHAFU CHADEMA IMEISHIWA SERA
Пікірлер: 8
@SarahEdithchambo17 күн бұрын
Lamcngi mzungumze mtatufanyia Nini maana hata kujitolea madawati Hakuna hata kuchimba vicma Hakuna
@SarahEdithchambo17 күн бұрын
Hatuelewi ruzuku unaenda wapi chimbeni vicma au madawati tujue tupo pamoja
@aloycemruma655217 күн бұрын
Machawa .wamechachawa .watajua hawajui muda utafufika
@RBMBAKARI-bv6wn17 күн бұрын
Yaani huyu Mzee watu wake wanaondoka yeye ameshupalia maandamano tu hawezi hata kutoa hoja akipewa nchi atafanya nini ama kweli ukiambiwa changanya na zako
@christinenyagiro666218 күн бұрын
Kwani dege zinazo kuja Tanganyika zinakuja kwa niaba ya CCM? Yaani wasiyo CCM hana parti ya Tanganyika ila ninyi tu?
@christinenyagiro666218 күн бұрын
Hivi huyu CCM hama lo lote ninyi ni mchawa kama michawa mingine
@christinenyagiro666218 күн бұрын
Kwani hayo majengo yalijengwa na TANU watanganyika wote siyo ya CCM. Kwani watanganyika wote walikuwa wanachangia TANU. Tumechoka hata kusikia habari zenu.