Hatuna faida nihasala kumbwa sana kwenye milandi hii naogea hivyo kwasababu Mimi ni operator wagrade hapa nilipo nimechoka yani unawapa milandi mbila kuweka kiwago cha mishahala yani malipo yanayo lipwa nisawa nahausigerlo huyo nifundi dreva oparetor wote kilio kimoja kweli
@GodfreyErene2 ай бұрын
Haijalishi tutapitia milima au moto wa aina gani ukweli tutasema Kwa gharama yoyote, uwe mwaminifu hata kufa.
@FabianJustine-bq6qv2 ай бұрын
Tunataka milandi yote wapewa watanzani kwa sababu watalamu wapi pesa ipo tunafeli wapi au upigaji ndiyo inasubua
@FabianJustine-bq6qv2 ай бұрын
Unakopa uturuki namilandi unawapa waturiki kwahiyo pesa inarundi kwao
@chalokalunde94292 ай бұрын
Takuja nione kwaya hiyo kwa karibu kabisa.
@FabianJustine-bq6qv2 ай бұрын
Nakuogezea namegineyo hata mishahara yawafanyakazi Iko domackis yani mtanzania opareto mitambo baribari analipwa Doral 500 wakati wahindi waturiki wanachukua Doral 6000 hapo nisawa kwa milandi Mimi niliona huyo niutumwa niliacha kazi nakwenda kulima matikiti
@gowekogoweko58032 ай бұрын
AMANI. BILA HAKI HAKI HAKI HAKUNA
@gracekagoma32312 ай бұрын
Wewe bishop fake unaleta matatizo nchini unahamasisha uadui kati ya wananchi na viongozi wa siasa😢😢