Maneno mengi vitendo vichache zalisheni sukar muanze kusambaza
@abuuramadhan80932 ай бұрын
Muanze haraka san kuongeza uzalishaji wa kutosha
@fidelfidel-jz4iw3 ай бұрын
Serikali iweke watu sahihi na kuwe na watu wa usalama ilikujua hujuma bila hivyo nitafanya KAZI muda mfupi wadai kimepata hasara kubwa kumbe wamenyonya pesa zote 😂😂😂
@kamanda0072 ай бұрын
Mkumbuke na usafi wa mazingira ya kiwanda, kunaonekana kuchafu na barabara za tope na madimbwi kila kona 😢