Wanahabari mnazingua ,iv kuna shida ukitumia kiswahili fasih bila kuchanganya lugha .. muangalie mnaongea na na nani ndio ufikilie aina ya lugha unayopswa kutumia
Kwann win anakuw mwanamke wa kwanza kwa wanaume wengi
@geofreygeorge9502Ай бұрын
Uyu kweli kipensi komando
@kisinza6077Ай бұрын
Siyo Lazima umri bwana mnazingua sana
@denisrukangula2227Ай бұрын
Komando wa kigambon i❤
@MwanaishaShattryАй бұрын
Mtangazaji kichefu chefu weye mwenyewe umeanza kutiwa unaumri wa miaka sita na humjui aliyekutia hadi leo ushamsahau maana ulukuwa mdofo unatiwa ile mbaya. Wacha kuuliza mambo ya kishenzi shemzi. Huna mvuti dada Kakojoe ukalale.
@godwinmwakibibi274Ай бұрын
Maswali ya kikoro@diva soon huna kazi wasafi uende crown sasa
@musajackson3289Ай бұрын
Mwamba mpole sanaa
@uwezomayonko5101Ай бұрын
Huyu Malaya ikifanya kipindi na Mimi makofi yatamhusu! ana maswali ya kupuuz sana
Mbona watu huwa wana taabu kusema miaka yao.Kwani ndo iweje.Hata kwa wanawake si kuzaliwa kukua kawaida tu?Kwani si hata masaa huenda kila dakika.kuzaliwa mapema au baadae ni jinsi mtu alivywo pangiwa Kuja Duniani.Old is Grace
@user-mf2ll7nz5gАй бұрын
Yaani huyu dada hafai kuwa mtangazaji kabisa
@johnsonlewa9045Ай бұрын
Kabisa
@abdull_hafidhАй бұрын
NIYEYE
@user-yj4iw6pg8uАй бұрын
We mwandishi fara sana yaani unawaza ngono tu unashindwa kuwaza maswali ya muhimu na hiyo ni tatizo ya wanawake wasiyofikishwa.............
@nyumbanituthegendaheka7222Ай бұрын
Utakuta ajasomea hata uandishi...amepata kazi kwa mwili wake...maswali ya kofia umenunua sh ngap ujinga tu
@nichoojr.6747Ай бұрын
Huyu jamaa Tusubirie Siku akiitwa na Skywalker SNS kuijiwa tutajua kilakitu huku Media Zingine wanao stress za Mapenzi huko .. Huyu Diva Anao Mastress Ya Mapenzi na kupunguziwa Mshahara Na Diamond...😡
@sonnyr1899Ай бұрын
Kabisa nakubaliana na wewe miongoni mwa watangazaji wangu bora ni 1. Skywalker 2. Millard Ayo Hawa jama wanahoji bila ku fake fake lugha Yani wanahoji kiuhalisia kabisa.
@user-tw9wu2gz4gАй бұрын
Kabisa kasomea uandishi huyu khaaaaa.
@michaelmulokozi1512Ай бұрын
Sauti ya Diva mpk Komando kalegea😅😅😅
@amossamwel8795Ай бұрын
😂😂noma sana
@fredykephacy5166Ай бұрын
Jamaa kashaenda mjin
@HasnspopАй бұрын
😂😂😂😂😂 jidanganyeni mtachea huyo ni komandoo
@enocklameck3808Ай бұрын
Katikati ya hiyo miaka
@ahmadifataha6677Ай бұрын
Kwa hiyo hakuna cha maana záidi ya kiki
@KiboshoNjengeАй бұрын
This time tuwe makini
@Kim19onlinetvАй бұрын
Mtangazaji ni wakiwango cha chini sana yan maswali na lugha za kuchanganya changanya mara kiingereza mara ki Swahili
@touches4lifeonlinetv46Ай бұрын
Swali zuri lilikua la miaka ambalo nalo halijafanikisha na hatujapata majibu😱
@MwanaishaShattryАй бұрын
Huwezi kuweka wazi umri wako anafahamu huyo weye mzungu lakini mshamba. Umri ni haki ya mtu si la,I'm kutaja wacha ushamba. Unajifanya lakini mambo muhimu hujui. Umri ni hilarious ya mtu tuutangaza huwezi kulazimisha uzungu wako wote kwa hilo umechemsha. Kula hiyo kama change tema.
@ayububakari9942Ай бұрын
we indian unasuta ??!
@EmmanuelJoseph-eg3hsАй бұрын
Daaa!!!! uyu kweli komando: nimechoka alipo ulizwa, uliwai kwenda kwa mganga akajibu apana msikitini au kanisani akajibu mm ni muumini wa angrikana.
@drisakamwakitalima1937Ай бұрын
Kimsingi uyo diva ana matatizo ya kimawasiliano
@edwinmakingi3631Ай бұрын
Nafikiri huyu mwandishi Ni mbobezi wa stori za mapenzi, si mwanzish wa habari professional!!?
@lelaomaryАй бұрын
😂
@lizzybrownlizzy6094Ай бұрын
Mtangazaji feilure
@sam_ngulinziraАй бұрын
Homeboy yuko vizuri ila mtangazaji hajafanya poa! Pia kuzungumza maswala ya chama wakati wasikilizaji na washabiki wanatoka vyama tofauti inaweza kuleta picha mbaya kuwa Wasafi ni ya CCM.
@OthanMedia_Ай бұрын
😂😂😂 Eti Komando Madafu,,,,
@prezyb1699Ай бұрын
Hiv huyo mtangazaji kasoma kweli?
@marcominja8850Ай бұрын
nadhani kuna tatizo la msingi kuhusu watangazaji,hawana uwezo wa kuhoji, hawana mtiririko mzuri wa kuhoji, hawajui hata ni nini anachohitaji kuhoji.
@harizondeya7771Ай бұрын
Mahojiano kichefu chefu
@Commonwealth782Ай бұрын
Bora angefanya mahojiano na kipindi cha goodmorning, zembwera, hando, na kitenge, hapo ndo ingenoga
@rashidhamid5437Ай бұрын
Muhojaji hana sifa ya kuhoji na ina magna gani kutia kizungu kati ya mshojiano.wakati anohojiwa hajajibu kingereza ni bora ahamishiwe kuhoji watu kwa kingereza asitese wauza madafu😊
Mtangazaji tunajua unaweza kizungu lakini hiya mahojia no niyaya kiswahili kwanini mnatuchanganya yunoo niyingi ebullient kama mnahitaji kuongea lmambo azishen studio ya
@naimasbuguza2395Ай бұрын
Hiyu jamaa anajua kuongea Sannah, alafu anaakili nyingi Sannah kiasi anaweza kujua kusudio la swali, hivyo anajua kukwepa maswali
@erickkagisa833Ай бұрын
Taja umr wako kijana,,,harafu huyu jamaa ni mbabaishaji tu ,,,
@NASJAYZEROTOBILLIONTZ-gl3sbАй бұрын
kwani wewe ni nani?? mimi sikujui WEWE NI NANI?? mbona kwani mbabaishaji anakuaje na sio mbabaishaji anakuwaje ,imani yako inavyokutuma itakua uko sawa
@johnjoseph1106Ай бұрын
Commando madafu😅
@jizzotheking9238Ай бұрын
Tanzania vitu vya hovyo ndo vinatrend saan, yaan mpk huyo mpuuzi tayari et keshapata Menejs🤔🤔😀😀😀😀
@lucasmkui3160Ай бұрын
Mwandishi zingatia (ethics) maadiliya Habari tafadhari unapomfanyia interview mtu yeyote uwe makini.
@valenakomba7686Ай бұрын
Umeulizwa mwakaaa, unajutetea. We ni kijeba tuu. Shida ndo zinakufanya uonekane mdogo.
@adiliandidasАй бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@angelnicholaus9248Ай бұрын
Una ulazima gani kung'ang'ania mtu akuambie umri wake kama hataki,waandishi wa habari jamani mmmh!!
@maxwell8007Ай бұрын
mwandushi unazingua umri wa mtu ni Siri ya mtu sio lazima akwambie kila kitu hata Leo wakuulize wewe utojibu
@ManenoHussenАй бұрын
Mtangazaj una maswali
@MasanjangwesaJigangaАй бұрын
Ila huyo jamaa aty 20years Old
@user-vi8rt9db2qАй бұрын
Hapa tumepigwa na kitu kizito huy ni kama 33........
@bmtv315Ай бұрын
Class member we2
@laddymghanaАй бұрын
😂😂😂😂 Huyo ni komando kwan nyinyi hammwon huyo hataki maswali mengi 😂😂😂ngoja diva ayatimbe hapo na maswali yake😂😂😂
@jifunzekuhusuwewe7475Ай бұрын
maswali ya kipumbavu
@stellahlinusi8215Ай бұрын
sana
@khamisimaallimtv8539Ай бұрын
Inabidi iandaliwe interview ambayo inawakusanya wote.
@gadiyemarciano1750Ай бұрын
Maswali ya hovyo kichizi😅
@erickkagisa833Ай бұрын
Watangazaji bhana!! Kama vile hawajasoma! Huyu anasema yule aliyeshuka kwenye helcopter ni soldier ,,huyu anasema hapana sio soldier ni commando😅😅 ,,sasa najiuliza commando sio soldier?
@MussaNamkoka-xz4mvАй бұрын
Dhu mbona komando madafu
@josephatdunda1937Ай бұрын
Huyu dada anazingua
@jozetzaАй бұрын
Mtangazaji ongeza ubunifu, watu wanakuchoka
@Kim19onlinetvАй бұрын
Dada wewe unachanganya sana lugha hili nikosa la kiutangazaji elewa uko kwenye idhaa ya lugha gani
@kwisa4899Ай бұрын
Hii nchi vijana tunasafari ndefu sana kujikomboa, tuna tatua matatizo kwa njia ambayo sio sahihi na ya muda mfupi kitu ambacho ni gharama kwa taifa ,Kipindi kama hichi kina Adolf Hitler walikua wanafanya mapinduzi na kina nyerere walikua wanajijenga kisiasa, vyombo vya habari ndio vinapalilia na kumwagilia maji ya ujinga kwene taifa wakishikiriana na wana music wao na utawala mbovu.
@lugelosanga5798Ай бұрын
Nchii hiii kwa kutuchezesha muvi mnajua cc mininga huyuuu jamaaa anatumikaaa huyu ndo yule komandooo wanatuzani cc maboya vyombo vya habariii ni shidaaa ndo mana konki master anawadis na anawajua mambo yenu endeelezeni muviiii zenu tushawajuaaa
@emmanuel_csАй бұрын
Huyu mchizi anaishi kwenye falsafa zake.. Eti katikati ya miaka 20 au 21, dadeq
@user-ui5xc6sb5mАй бұрын
Muza madafua anaye meneja jaman ndoyeye komando madafu aliyeshuka na chopa
@user-qq3fg3kq5jАй бұрын
Ametokea kwa makamu wa rais 😂😂😂
@bilakawaboynew978Ай бұрын
Kumbe wa nyumbani kigoma
@tevintevin6254Ай бұрын
Huyu jamaa mmhhhh
@user-vt3uq3xv3sАй бұрын
21 duuu
@rajumrecords711Ай бұрын
Kipindi kimebuma . Utamuitaje Komando mchakarikaji kwenye kipindi cha Mapenzi😂
@ayububakari9942Ай бұрын
hahahahahaha komandoo anaulizwa umebalee ukiwa na umri gani.. akasema kitaalamu mtu ana balee akiwa na umri wa miaka 12..
@PendoPeter-rr4jkАй бұрын
Miaka huyu 37
@jeremiahcharles6027Ай бұрын
😁😁😁😁😁😁
@njiaya6833Ай бұрын
yaani sijaona swali lolote lenye professional yeyote ya uandishi demu ni wa jamaa flani alipewa mchongo wa kazi au?
@user-zc2ms4wl6rАй бұрын
Du sasa hayo maswali ndio uliotiwa hapo mwambie akaulize ofis za mabasi
@EliaMarcoАй бұрын
Kwa waandishi kama awa tusaau maendeleo
@hassankongolilo8408Ай бұрын
kingeleza cha nini ssa wew mtangazaji. si uongee tu kiswahili mbuzi wewe
@zaidihussein4311Ай бұрын
Matusi ya Nini kuwa mstarabu
@proisolution7166Ай бұрын
hata hivyo hii kitu ina umuhimu gani hii nchi watu wameona mambo nyeti ya nchi kama kunywa kahawa,na hii inasababishwa na viongozi wetu wakuu,hawa vijana wengi kwenye hizi media uelewa wao mdogo,so mmewapa nguvu wakaitwa watu maarufu,unaona kila issue ya nchi wanajifanya kuijuvua hizi ni dalili mbaya kwetu,kwa nafasi yoyote aliyo nayo huyo kijana sisi kwetu ktk kazi zetu za kila siku inatuhathiri nini mpaka mumulete kumuhoji.
@ZiyandaMhlanaАй бұрын
Kicheko chazadhalu
@hilaliusjohn8386Ай бұрын
Mhoji na mhojiwa wote hawajui interview
@MwanaishaShattryАй бұрын
Anayehoji hajui kuhoji kuna vitu huwezi kumuuliza mtu eti umebaledhe umri gani. Hayo masuala binafsi jee wewe akikuuliza umetiwa kwa mara ya kwanza ukiwa na umri gani utaeema. Si utaona aibu maana umetiwa unaumri wa miaka visa hujabalekh. Nyoko weee. Ma hiyo kijana anaakili kuliko weye.
@angelnicholaus9248Ай бұрын
Anayehojiwa yuko vizuri na anajibu kufuatana na mtangazaji ambaye anaonekana hajui kazi yake.
@Nassor2377Ай бұрын
Mnamlaumu mtangazaji huyu mtangazaji hana kosa huwezi kukurupuka tuu kumuuliza maswala kumjua huyo muuza madafu ni nina lazima umtowe katka reli kwanza ili umtege huyo muandishi anamtega ndio maana anamuuliza miaka yake na tayari kamshika katka miaka alikua na demu miaka 11 nyuma it means alianza hahusiano akiwa na miaka 10 ?... dada hodari ila jamaa nae ni mbobevu kiasi katulia utazani sio muuza madafu
@husseinkonz5192Ай бұрын
Mtangazaj huna ujualo unauliza balehe unataka mkia sasa
@mohdkhamis3857Ай бұрын
Ni vyma ufanye interview na Madebe na chanuo
@xxl5239Ай бұрын
UMEBALEGHE UKIWA NA UMRI GANI????? 😂😂😂😂 HUYU MWANDISHI HEHEHEHE MASUALI YOTE ALIYOULIZA HAYAENDANI KABISA NA HUYU JAMAA ALIVYOELEWEKA KATIKA JAMII