MAPYA YA MUUZA DAFU WA IKULU, JE NI KOMANDO ALIYETUA NA HELIKOPTA? UKIJA VIBAYA LAZIMA NIKUKALISHE" ALIYEUZA MADAFU IKULU AONDOA UTATA KUTUA NA HELIKOPTA MUUNGANO "UKIJA VIBAYA LAZIMA NIKUKALISHE"
Пікірлер: 1 700
@basitjuma608127 күн бұрын
Mnaotaka milard awakutanshe wawili hawa Gonga like
@EdwardSamson-uf1ee27 күн бұрын
Hatuna hata shida nao. waendelee na maisha yao na sisi tuendelee na yetu
@user-yn4di1lj7f26 күн бұрын
Mnachekesha nyny ndo nn ah 😅😅😅😅😅😅😅😅 upumbavu tuu hii nchi
@modekaijames26 күн бұрын
@@EdwardSamson-uf1eeewaaaah
@davisjuma588726 күн бұрын
haiwezi tokea ata sikumoja kiukweli
@user-hp7rx4zk4t26 күн бұрын
Niyeye uyo mmoja
@AlhajiIssa-jb9hr26 күн бұрын
"ASKARI HACHAGUI KAMBI " pigia mstari hilo neno halafu twende sambamba na muuza madafu ikulu.
@janetdundul385826 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@zainabzain343426 күн бұрын
Wanakuwaga hata vichaa mitaa muhimu hivyo yote yanawezekana
@siaammo110426 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@VeronicaAdam-lx8yd26 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@user-vh7ll3vp7w26 күн бұрын
Huyu jamaa Nyota yake inahitaji ikamilishe kusudi la Mungu Mh. Rais ampe tuuu nafasi'
@Amani-kr9ln27 күн бұрын
Tunao tamani huyu jamaa akutane na yule comando tujuane hapa kwa like jamani
@user-bo2ry2dy7x25 күн бұрын
Kweli ili tuamini
@MussaMugumnyi24 күн бұрын
j@@user-bo2ry2dy7xñdztþźc, d3e22&8i
@athumanikadaika581721 күн бұрын
yaani hajikutanishe mwenyewe aaah bado sijaelewa 🤣🤣🤣
@allidehunter322326 күн бұрын
Security top ukija vibaya lazma uka, Askar hachagui kambi, Raisi ajione yupo salma sanaa (kwa maana ya kwamba kila kona wapo) lugha ya mazungumzo inajielezaa - JAMANII SIO YEYEE ILA NA YY NI MIONGONI MWA WALIOMOO-. 2lio pata mafunzo ya kizalendoa JKT naomba tujiane kweny LIKE APOOH👇.
@MahmudSaidy25 күн бұрын
Huwez elewa kama haujasoma fasihii 😂😂😂
@samboy503325 күн бұрын
Komando huyu
@sweetrayuzuwiya837524 күн бұрын
Bado hajasema, kwa nini auze madafu ikulu na kwa nini yupo fiti kiasi hicho na kwa nini afanane na komando kama mapacha na kwa nini yupo flexible kwenye pikipiki kiasi hicho?
@user-yb5hh9mr5q24 күн бұрын
Tulopita jkt kauli kama hizo zipo kwa maafande ,Chengne muuza madafu gan wa nchi gan anaeweza kuongea kauli za kishujaa kama hvyo
@Askari2224 күн бұрын
@@sweetrayuzuwiya8375aiseee
@manp909127 күн бұрын
Mnao taka Millard ayo aende kwa comando mpo gonga like hapa
@user-xy6ed7ve6r27 күн бұрын
Sio aende tu, waitwe wote tuwaone kama ni watu wawili tofauti
@magneticofficialtz27 күн бұрын
Akienda bila gadi ataambiwa akoroge mike iwe uji halafu anywe😅😅😅
@amiibinam777427 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@salimmalaka25627 күн бұрын
@@user-xy6ed7ve6rMILAD AYO MUWONGO WAWEKWE PAMOJA MDIO TUTAMUAMINI
@Ndenza27 күн бұрын
@@user-xy6ed7ve6rwewe ndo una skil
@mugishamajeba962827 күн бұрын
mnao taka Millard ayo aende kwa comando tujuane kwa kugonga lake
@CyprianBCTanzania26 күн бұрын
Wakati wa Mungu kumketisha Mtu juu na Wakuu ukishafika basi amini imekuwa, Bila shaka kabisa ndio wakati wake huyu ndugu yetu kutimia ndoto yake katika maisha na hakika kupitia vinywa vya Watu pia hata kupitia tukio la kufananishwa na moja ya Komando wa JWTZ hii naiona kabisa katika jicho la KiMungu tiki kubwa na tayari imekuwa na zaidi ajiandae tu kupokea maana tayari fursa imeshamfikia mlangoni mwake.
@oprahpelle253122 күн бұрын
AMUAMINI BWANA WETU YESU KRISTO
@AishaOnlineTV23 күн бұрын
WAFANYAKAZI SMZ KICHEKO DR MWINYI MAMBO SAFI kzbin.info/www/bejne/poitqpKDq5agpc0
@talents793427 күн бұрын
Mmemsikia akisema "Hii ni security Top hazipitiki Njia" kwa wanaojua Hii ni kauli ya kijeshi jeshi
@tamisiliwano529127 күн бұрын
kwel kaka maana wana vibao vyao pia huwa wanaadika kuwa hakuna njia Amri😂
@nurumwangoka592427 күн бұрын
Na hapo wala sio kwake anazuga
@anoldmmari-mi7qg27 күн бұрын
Ni sawa ila hizo quote anazotumia zipo kwenye wimbo wa Dizasta vina Tribulations diss track
@AbcD-bn1nz27 күн бұрын
@@tamisiliwano5291😂😂
@peternguma918226 күн бұрын
Iyo anamaanisha, security ya juu ya kulinda mipaka
@presidentofafrica.503825 күн бұрын
muuza madafu , anauza madafu hadi anapata hela ya kwenda kulipia chuo cha karatee.., tunaolewana vzr gonga like😁
@jessemadullu222623 күн бұрын
Ha ha ha! Jamaa wanatuona watoto Sana! Tanzania ya gizani imeshapita! Hatujui kusoma sawa, Ila picha tunaona. Muuza madafu wa kawaida hana ubavu wa kuongea hivi. Anajua zimamoto, FFU, polisi etc.
@IbrahimMohamed-of3sl19 күн бұрын
Na ana bodaboda
@rahmamukhtar52127 күн бұрын
Safari hiyoooooo Majaliwa mwingine huyooooooo Nchi hii ALLAH akiamua kukutoa kwenye Hali Moja kwenda juu hakuna wa kuzuia
@abdillahiabdallah753027 күн бұрын
mhhh nchi yoyote mungu akiamua kukuinua
@simonbura789027 күн бұрын
Huyo ni komando, na yule wa jirani yake pia anaitwa captain paul Elias, kama mlifatilia maonyesho jana ndo alimtaja kama kiongozi wa wale makomando
@joycekaguo847626 күн бұрын
Akai hapo
@johnmwandu211626 күн бұрын
@@joycekaguo8476yaan mtu wa usalama mnaweza mkawa mnaishi naye sehemu moja na mkawa mnachakarika naye mtaani
@Askari2224 күн бұрын
@@johnmwandu2116 hii Nimecheka sanaa
@plukeria60023 күн бұрын
Hqhah
@ezevisionmediastudioezevis785521 күн бұрын
@@johnmwandu2116 na kama ni demu anakupa na mzigo kabisaa
@issakimvuli209927 күн бұрын
Inawezekana ikawa co yy,lkn yupo ndani ya system kwa mtazamo wng!
@raymrash27 күн бұрын
hata mimi naamini hivyo..kwenda kuuza madafu ikulu sio jambo dogo
@itstwinshi217927 күн бұрын
@@raymrash nenda kizembe, ukijua ni ordinary muuza madafu 😂
@MarthaTraceFrancis27 күн бұрын
Jamani ni yeye uyo msidanganywe
@AbcD-bn1nz27 күн бұрын
@@itstwinshi2179😂😂
@1stladyafrica40226 күн бұрын
@MarthaTraceFrancis kabisa ni yeye bana hivi hata macho yanashindwa kuona kweli?
@josephevaristi892325 күн бұрын
Walioshtukia jamaa ni muuza madafu wa mchongo, 👇
@AYUBPAULMWANGOKA26 күн бұрын
Kama nakosoa nitasifia pia. Hii ndyo Kazi ya Millard Ayo TV sio ule umbea siju aliposti mtandaoni mtapoteza uaminifu na Nita mshauri bosii wanotuletea udaku WA mtandaoni Awafukuze Kazi Umefanya Kazi nzuri Sana bro nitamshauri boss aongezo kipato chako usithubutu kutuletea udaku!🎉🎉🎉🎉
@HanceBablo-ot8sz26 күн бұрын
God bless you guy
@DStvTz.26 күн бұрын
Hana ndevu na commando Hana ndevu kama umegundua hili ebu gonga like tujuane
@frankdionis770026 күн бұрын
Anaweza kuingiza sana sela
@mussamussa944626 күн бұрын
aliyekwambia komando hana ndevu ni nani, KOMANDO anaweza kuwa vyovyote kulingana na mazingira na hali
@amonymzawaaa893426 күн бұрын
Umenipa akili😂
@jabiryyunus978226 күн бұрын
Makomando wana ndevu kama Osama sasa kama hujuii
@Denis_prudence25 күн бұрын
@@jabiryyunus9782 unachosema ni kwel kaka ila huyu jaamaa anamaanisha komandoo aliyeshuka kwa helikopta siku ile hakuwa na uchebe na huyu wa hapa hana uchebe..
@dicksonmgoga-hj4im27 күн бұрын
Nchi yangu naipenda sana, watu wake wanalala muda wanaotaka, kuna watu wanafanyakazi muda wote! Tuendelee kulinda nchi yetu kila mmoja!
@vitalismushi185826 күн бұрын
Huyu atakuwa anafanya kazi muda wote. Kulala kwake ni kwa machale sana. Commando kutokulala kwa siku kadhaa ni jambo la kawaida kwao.
@dicksonmgoga-hj4im25 күн бұрын
Watu wa hivi tunao wengi Sana, ndo maana kitu chochote kinapotokea kinachohatarisha nchi ni haraka Sana kukidhibiti! Pia alimhakikishia Mama Samia atembee kifua mbele Kwa jeshi letu liko macho!
@user-fs7xc2bb5d24 күн бұрын
Allahuma Amin
@bensonmasanja986226 күн бұрын
Yeah God bless you
@SamwelAngelile27 күн бұрын
Hiyo ni code..watafutwe ili wakutane hiyo ni zuga zuga baada ya mda uyo atapoteah na kurud kambin kwake
@ramadhanfadhil178624 күн бұрын
Anafanyiwa na uhamisho kabisa
@sistertrashid248827 күн бұрын
Mimi watanzania na wa amini Sana kwahiyo wengi wamesema ni yeye Aya na mimi nasema ni yeye😅😅😅
Anajitahidi kuongea kwa kujiweka ndani lakini anajishtukia!
@pascalvitalis27 күн бұрын
Security top hazipiti njia, askar achagui kambi, afu mwamba hacheki😂😂😂 i love Tz🎉
@shufaahmmmohamed183327 күн бұрын
Umeelewa had ongea yake mmmh huwa hawasemi bana mi bado naona anakitu ndan yake
@baloz897427 күн бұрын
Ndio hivyo
@mad006023 күн бұрын
Kackilizeni nyimbo za Dizasta vina..... mtaelewa
@user-sj3wf5vz7l27 күн бұрын
Kuna jamaa mmoja alikuwa secrets office. Akitoka nyumbani anatoka na suti bag ya lap top na gari. Sasa kuna rafiki ya mke wake akamwambia mbona anamwona mtu posta ni kichaa anafanana na mume wake? Huyo dada alishtuka mume wangu kuwa kichaa. Yule dada ilibidi waongozane naye kwenda posta. Walipofika waliona jamaa kichaa anafanana na mume wake. Basi walichukua baunsa wakamnyakua wakampeleka nyumbani wakamweka store. Wakaa kusubiri kama mume atarudi nyumbani mpaka saa tano za usiku alikuwa hajarudi. Baadae yule bwana kichaa alibidi aseme ukweli kwamba alikuwa kazini.
@magrethhillary544927 күн бұрын
Duuuh
@fatmamdihiri416427 күн бұрын
Ndio zao Kuna rafiki yangu namjua vzr ndio kazi zake ivyo😂😂😂lkn kanambia ni sisemi watamuhua sababu Ana fichua siri za watu wengi
@magrethhillary544927 күн бұрын
@@fatmamdihiri4164 kheee sas ua anapata faida gani
@rasnchimbi27 күн бұрын
😂😂😂
@EdwardSamson-uf1ee27 күн бұрын
kama huyoo secret service alishikwa mpaka na baunsa na kwenye usafiri akapelekwa basi alikuwa mzembe sana
@joshuanassary507226 күн бұрын
Kauli zake ni tata, very technical...
@AllyMaya-yj3xd26 күн бұрын
Umeona eeeh kazi ya kulinda amani kudumisha umoja ni kazi ya kila mtanzania haya ni maneno ya kitaalam kabisa😂😂
@user-mb2iq8ht3c27 күн бұрын
Anamsikiliza sana Dizasta vina
@joshuajohn266827 күн бұрын
Jamaa anakofia moja ya buku jero ila boot la laki na nusu
@Bruno4cus27 күн бұрын
Kawaida iyo Boss si alikuwa mlinzi
@user-pt4ts3ho3g27 күн бұрын
😂😂 umeona
@innocentlusajo930326 күн бұрын
raia mkakamavu!! jah bless man one day yes
@NathanJulius-jv4dw26 күн бұрын
hahahahhahahaha umeona eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
@SamsonGamba-lk6qx25 күн бұрын
😅😅😅😅😅😂😂😂😂
@MichaelJames-tp6co27 күн бұрын
Baas yule komandoo tuombe nayeye awepo kwenye interview na huyu nae awepo😂😂
@salimmalaka25627 күн бұрын
HAPO SAWA
@annodaboy27 күн бұрын
😂😂😂
@GloryMbwambo27 күн бұрын
Sindo huyo
@GloryMbwambo27 күн бұрын
Acheni kujichanganya ndo huyo huyo wee huon maneno yake Ni kejeli
@ramadhanimtetu365627 күн бұрын
Waje Wawili wote tuone 😂😂😂😂😂😂😂
@achouraachoura576327 күн бұрын
Dunia wawili kweli... Tunaomba uyu kijana awezeshwe...atafika mbali anakitu....mama yetu .SAMIA. SULUHU HASSAN TUNAKUOMBA. inua kipaji cha uyu kijana wako.....NA MNGU. AKUBARIKI📌🙏
@bensonmasanja986226 күн бұрын
Hiyo kofia naijua hongera Ndugu
@keagleeagle82120 күн бұрын
Hii kofia nili search hadi mtandaoni. Nipe siri Maana imefanana na ya huyo commando
@user-id7lc7tk4d27 күн бұрын
Muuza madafu ajieleze vizuri namna iyo ata hakosei
@YAHAYAMTOO27 күн бұрын
Mmmmh bwana watu ao nawajua vizuri umeona ilo buti na staili zake
@SurprisedMacawBird-qh7dg25 күн бұрын
WELL DONE
@oshaimuafrica839827 күн бұрын
Gonga like Kama unamkubali komando chapu hapa tiwazidi wote humu
@AZAM_MEDIA27 күн бұрын
Wa kwanza
@collinstemba604027 күн бұрын
Huyu yupo kwenye system 😮
@1stladyafrica40226 күн бұрын
Kabisa ndo yeye
@wemakalama645826 күн бұрын
Ni spy maybe anachunguza kitu mhh kazi ipo
@graysonjohn108026 күн бұрын
@@wemakalama6458 mnamwonea tuu
@comradejonasrwegoshoramwal572727 күн бұрын
Good interviewer
@vicentmichael502827 күн бұрын
Ukiskiliza interview vzr utaelewa
@nsuriitv246827 күн бұрын
HONGERA SANA MILARD AYO KWA KUFIKISHA SUBSCRIBERS 5ML
@user-yn4di1lj7f26 күн бұрын
Asifikishe Kwa upumbavu 😅😅😅😅😅😅
@jastinj.joseph757727 күн бұрын
Huyo ni afsa wa serikali
@majaliwamussa926827 күн бұрын
Watu wawili tofauti, mapua
@HamadAlex27 күн бұрын
Hongera Millard you're now halfway to get another KZbin button
@christophermgaya467027 күн бұрын
Muuza madafu anafanya mambo yote ya kikomando. Enewei😅😅😅
@HusnaSimbila27 күн бұрын
securuty top haipiti njia
@EdifonceSylvester26 күн бұрын
Angalia hayo macho mzee hyo ni hatari sana
@user-mb2ek2ds1h26 күн бұрын
Jmn mama Samia sema neno bas kama sio yy mpe nafas jmn
@shedrackshaibu198627 күн бұрын
Leo anaongea tofaut na mwanzo mwanzo alikuwa anaongea kiha saiz anaongea vizur
@pulikisia796327 күн бұрын
Afu ni kweli.
@laylatmlacha472926 күн бұрын
Nimeliona hili
@amonymzawaaa893426 күн бұрын
😂😂😂😂
@HadiaMohammed-ec2dn25 күн бұрын
Kbx yn
@boniphaceemmanuel660422 күн бұрын
BAADA YA MIAKA MIWILI MTANIPA MAJIBU, ""acheni kuchokonoa nchi""
@user-fs8kl1gd7u27 күн бұрын
Cha kwanza kabisa suruali aliyovaaa angalia kwa umakini ndo utajua.pili buti alilovaa tatu mazungumzo yake.nne yupo fitness kabisa huyo yupo kwenye sesytem
@saidihamisi494925 күн бұрын
Mungu anatisha! Duniani wawili wawili Bora mwenzetu wapili yake yupo hapo hapo. Wewe Sasa wapili wako marekani.
@DIRHungweTv202324 күн бұрын
Nice
@thadeusmarkiminja228226 күн бұрын
Kama ni komandoo na anauza madafu nampongeza anafanya kazi nzuri hongera sana bwashe
@mohamedmfaume540820 күн бұрын
KWELI HUYU NI CHUMA
@LandrickMtuimara-mb7hl27 күн бұрын
anamsikiliza sana @dizastavina 🎉🎉
@merrynancesimon156227 күн бұрын
Komando Kama komando picha limeanza ❤❤❤❤❤❤❤❤
@pendosospeter480722 күн бұрын
Huyu ndo yeye ❤❤bhana
@alicksinkamba340126 күн бұрын
Zingatia neno mama Samia awe na Aman kabisa Kwa lile jeshi aliloliona pale
@RichWise67127 күн бұрын
Lakin Hii ni Security Top hazipiti njia 🔥🔥🔥
@scorasticaclement630826 күн бұрын
Nomaaaa
@peternguma918226 күн бұрын
Maana ni kwamba mwanajeshi wa juu wa kulinda mpaka
@mulanmike199726 күн бұрын
top shelf 🌋
@MfaumeRamadhani-wm9gi25 күн бұрын
Hi ni lyrics ya moja ya wimbo wa dizasta vina anatumia kujimwambafai 😂😂😂
@ramadhanisalum389827 күн бұрын
Ogopa sana mungu na teknollj
@edwardouma163027 күн бұрын
Uyo jamaa ni usalama wa taifa asikudanganye by fossil nikiwa Nairobi Kenya
@kennedyodera755526 күн бұрын
Kweli kabixa
@catherinecostantino203426 күн бұрын
Pia tofaut
@Elisha-qn8rc27 күн бұрын
Namba yako nimeisave nitakutafuta komando wangu❤🎉
@user-sg6lc4te4o25 күн бұрын
Utaskia namba unayopiga kwa sasa haipatikani
@samboarnold61127 күн бұрын
Usafi (ndevu ), nidham ya maneno, confidence ... Una juaje mixed martia art ( combat)
@jacquelinesangau476727 күн бұрын
Ni yeye huyohuyo tu
@andrewraphael309821 күн бұрын
😂😂😂😂😂 naijua hiyo
@user-qx6mm2lp2b26 күн бұрын
😂😂😂 safi sana nimependa mwamba huyu..yes huyu by mm ndiye yule ila taratibu haziruhusu kusema yess cz apo anakaz maalum..na yess be kwanza anahusishwa na yule mwamba alie kua muungano day.pili ana vitu vingi vinavyofanana na sifa ya komando mwenye mazoez maalum pia naye anyone mfano fighting skills..na sura plus mophology yan muonekano wanafanana so conclusion yess ndie..usalama wetu wa yaifa uko vzur safi sanaaaaa..❤❤❤❤❤
@josephandrea826627 күн бұрын
Jukumu la kulinda amani na kudumisha umoja ni la kila mtu . Rais Ajiamini yupo mikono salama
@baloz897427 күн бұрын
Umesoma hizo kauli
@rukiamkali209126 күн бұрын
Hio ni kauli ya kujua kua huyo ni mtu wa............
@barakakomba608724 күн бұрын
Kaka hizo lugha za watu wa hitifaki umetisha kwa kugundua hilo 😅
@ajoseph3122 күн бұрын
Apo me mwenyew ndio nlistuka..
@user-zw4tf5os8b18 күн бұрын
Kauli ya kiume hiyo, huyo mwamba ndo yeye
@stivejayngoga140327 күн бұрын
Jamaa siyo yeye!! KWASABABU; 1.Huyu jamaa anavindevu(sharubu) yule komando hana kabisa 2. Muundo wa Pua huyu anapua ndefu kuliko yule komando
@ibrahtv559225 күн бұрын
Duuu yaa wee jamaa😂
@bullahrwabatika801419 күн бұрын
Wauza madafu huwa wana visu vikali saaana vya Likatia madafu rais alienda kununua madafu bila bodyguard yoyote hii inawezekanaje?
@raulianraphael685322 күн бұрын
Upo vzr Madafuboy kaz nzur Nimshaur kitu Achana Na Interview Piga kaz Kua nje ya Camera Kitengo watakuekea kitengo maalum so Kua makini Siri ibaki Sirini Mtaji utaongezewa na majukumu utayatimiza
@MichaelJames-tp6co27 күн бұрын
Sawa kaka tuendelee kuuza madafu yetu,
@twiseghekisilu884526 күн бұрын
Wapo tofauti kabisa,
@latifamuhunzi406125 күн бұрын
Na hasa ukiangalia pua zao ndio utaona utaona tofauti zao,ila wa bongo wakisha shupalia jambo si ujuwaga
@kennethipapo955226 күн бұрын
Mhuuuuuu,, like father like son
@ObedMaturo-bd2zr27 күн бұрын
Huyu jamaa muongo, yaan upate hel yakununua pkpk alaf ukose hela ya pango😂😂😂
@Y.D.c.p26 күн бұрын
Alie beba namba ya comando, gonga like yako hapa chini
@official_vanchaz27 күн бұрын
Sasa Captain kashawaambia kabisa "hii ni SECURITY TOP HAZIPITI NJIA" bado mmekaza fuvu tu acheni UNANGA Ohoo!!
@khadijamisayo747627 күн бұрын
😂😂😂
@theprincejr141727 күн бұрын
Unanitukan wakat unajitukana😂
@theprincejr141727 күн бұрын
Unamtusi dada angu, ambae ni dada ako pia 😂
@DavalsonMarlony26 күн бұрын
hahaha
@abubakarjabir313226 күн бұрын
Dizasta vina ana mashabiki wengi sanaa
@allidehunter322326 күн бұрын
👏
@MastoryWorldwide24 күн бұрын
Duh mbona noma
@VummyEdward27 күн бұрын
Niyeye ila akiwakazini anajisafisha vizili namafuta mazuli naakiwa kitaa ana kua lafu Ili wasimjue tenauyo nimpelelezi waki kesho nawana mafunzo yakuweka miiliyao tofauti tofauti kulingana na mazingila aminini nawaambia
@itanzaniaAS27 күн бұрын
Jamani hata mimi nafanana na mawaziri naomba kazi ya uwaziri
@RamaBakaa25 күн бұрын
Mmmmmhhh,haya bhn
@wilget10927 күн бұрын
Siye kabx sema wamefanana tu🙌
@CuteMaryam81827 күн бұрын
Nikiangalia pua zao kama tofauti kidogo au itakua ni pacha wake 🤔🤔
@wamisangi280127 күн бұрын
Na mustachi kwa mbali. Uko vizuri.
@lightnessmsuya317026 күн бұрын
Au Mama yao alizaa pacha mmoja akapitea enz hzo ila najiuliza tu maan mmh
@Ablahisaid27 күн бұрын
Huyo alikua asijioneshee yengelikua vizr zaid
@user-bh4up3dg5m27 күн бұрын
Sio yy wamefanana tu
@kiuje26 күн бұрын
Kwanza mlitakiwa mitumie akili mboni aombi msaada😂
@charlessomi250624 күн бұрын
Asijioneshe aache kufanya majukumu yake kisa watu watamuhisi kua yeye n komando, halafu majukumu yake akayafanye nani
@HusseinBio25 күн бұрын
Nakubali San mwamba
@isackjacob812710 күн бұрын
Weweeeee apo pigia mstari Kwanza
@sengiyumvaathanas881527 күн бұрын
Security top hazipiti njiaa, ukija vibayaa lazima nikukalisheee sijui mnaelewaaaaaaa😀😀😀😀
@twahambowe44027 күн бұрын
😂😂😂😮
@kasukukasuku389627 күн бұрын
Yap security top lugha za kijeshi izo
@audaxbizimana808427 күн бұрын
😅😅😅😅😅😂😂
@radhiaomary559127 күн бұрын
Mm naamgalia logo ya kofia yake tu😂😂atakua jasusi huyo
@aryanamendes870027 күн бұрын
😅😅😅😅
@aishafrancis771427 күн бұрын
Hapo mngemfuata huyo mjeda na yeye ukweli ungejulikana huyo ni yeye anacheza na akili za watu
@IdarousPossy27 күн бұрын
Sas unasema ni yey unauhakik?kuliko yeye anaejisemea?kwamba wewe ndio unajifanya unamjua sana au khaaa achen kulazmisha vitu ambvyo huvujui chizi wewe
@SaidiAmiri-qv5ed27 күн бұрын
Huwa hawaonekani ovyo,utampatia wapi hahahahhahahahha makomando
@naah88427 күн бұрын
Sasa kama ni yeye itakusaidia nn
@SaraMathew-xd2vp27 күн бұрын
Ten itakuwa vzuri kama wakitutanisha nao wote wawili ili tulizike
@baloz897427 күн бұрын
Usikatizie rizki yake tumpigie kampeini achukuwe jeshini
@damaka_26 күн бұрын
Nchi yetu ipo salama❤
@faizaahamd205227 күн бұрын
Mama samia msappoti huyu kijana anaweza 💗
@susanmshindo759327 күн бұрын
Maana Mama mwangalie Kama sie yeye basi muwezeshe Mama yetu
@ezrommkambati155425 күн бұрын
Mara ngapi?
@hassanmasoud789127 күн бұрын
Uyu msenge kauli zake tata sana yn kumamake kuna usoldier ndan yake
@soundmale26 күн бұрын
Haha😂 we tukana2 atakupasua😅
@suzymichaely693825 күн бұрын
Atakukamata ukauze nae madafu ikulu😂😂😂😂😂😂😂
@dicksondkaganga129027 күн бұрын
He is very bright. Kama siyo Askari basi mama mwangalie huyu kijana!
@susanmshindo759327 күн бұрын
Yap! Kabisa kasoma mwelewa Yuko poa atatufaa ki kazi
@ezrommkambati155425 күн бұрын
Ampe mara ngapi mbona wabongo vilaza sana?
@faustinedeogratias433727 күн бұрын
Ntaamin siku nkiwaona ote ktk interview ya pamoja
@mawazoaliselemani26 күн бұрын
Chalii wangu namkubali sana
@sadikidaudi46027 күн бұрын
Ukiona tupo sarama kunawatu wanapambana kwa ajili yenu
@muzzoonlinetv744627 күн бұрын
Respect
@charlesmaestro109227 күн бұрын
Respect true patriots
@bulugubujashi637827 күн бұрын
True respect sana
@mohamedmfaume540820 күн бұрын
KWELI KAKA
@eliaspeter401727 күн бұрын
Vitu vingine ni siri za kiusalama sasa wabongo tumekomaa na mwana aisee, mambo ya Ngonswe tumwachie Ngonswe mwenyewe, utulivu tulionao hapa mamaland Tz kuna watu wenye dhamana ambao ndo kazi zao sasa media zimekomaa na hii ishu ya jamaa
@omariidd997224 күн бұрын
Mmoja anapua kubwa mwengine ndogo😂 it make sense
@JoeliAlfled17 күн бұрын
Niweeeee safiiii sanaaa
@Raysam-ki1rc27 күн бұрын
Aliona A12 agonge like chin hapo
@Trys625427 күн бұрын
Nilijua tu
@IbraMedan15 күн бұрын
Noma
@youthmediatv127 күн бұрын
Duh
@kenedyjoram827627 күн бұрын
Ni yenye
@Mwanah2727 күн бұрын
Niyeye kweli mbona kila akiulizwa kuhusu mambo ya kuwa mjeda ana support sana