Simba Sasa itatulia huyu jamaa mechi za Simba na yanga alikuwa anacheza chini ya kiwango Sasa huko utopilo alifanya hivyo hatavumiliwa na mashabiki huo ndo ukweli
@emmykassim41326 күн бұрын
MMESHAANZA Simba yaan nyie makolo wapumbVu sana
@jonathansirkintungi74346 күн бұрын
Hakuna kosa chama alikuwa kirusi kwenye timu. Simba alikuwa lazima wamwache ni mchezaji wa manara alikuwa anatumika kuhujumu timu.