Shukran sana shekhe wetu nimeona unatujali wanafamilia Allah akulipe janna ww nafamilia yako kwaujumla
@TURIYU5 ай бұрын
Ameeen shukran sana
@MariamMohamed-wo3vi2 ай бұрын
Alhamdulillah masha Allah
@TURIYU2 ай бұрын
Shukran
@KhadijaIssa-kd4ho5 ай бұрын
Ila namshukuru mungu kwa kwel hizi swala na nyirad za uck nazipata nazisoma na napenda sana kuzisikiliza.ila hali ndio hivyo na saiv ht mume wangu hl ya maisha ni ng um u.
@TURIYU5 ай бұрын
Inshaa allah mungu amfanyie sahali Hali yake ilainike Kwa uwezo wa mola inshaa allah
@KhadijaIssa-kd4ho5 ай бұрын
@@TURIYU aamiin
@sfiaalanazi54794 ай бұрын
Mambo kama haya kama uko na vifungo vya kichawi ni ngumu kufungukiwq hata mafuta pia ukijipaka yana kataa kwa mwili 😢😢
@ashurakabura72683 ай бұрын
shukran saana sheikh Allah akulip kheyri,ila nilikua nauliza je hiyo kafara inatolewa baada ya du'a ao vip?
@TURIYU3 ай бұрын
Ndio inatolewa baada ya dua
@ZaidHamasiZaid4 ай бұрын
A. Aleykum W.W. Nauliza ktk kuchinja je kuna manuizi gani? Pili uchinjaji ni lazima ufanyike usiku wa Ijumaa baada ya kisomo au hata kesho yake asubuhi kwa maana siku ya jumamosi Sheikh??
@TURIYU4 ай бұрын
Uchinjaji hata keshoyake unaweza kuchinja ila manuwizi ni muhimu katika kuchinja
@yusrashaban81385 ай бұрын
Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh sheikh,naeza pia nikiwatilia dua watoto wangu wawe nafahamu kumbukumbu akili
@TURIYU5 ай бұрын
Yes inawezekana usjali
@MahuAbdallah5 ай бұрын
Shukran jazakallaahu,,vitabu pia tuvipate online bi idhini llaahi,,
@TURIYU5 ай бұрын
Inshaa allah
@KhadijaIssa-kd4ho5 ай бұрын
Sinyonyeshi Mtoto nishamuachiza ila hali ya ugonjwa tu sijui ht nn nishaomba mungu sana ila sijafanikiwa bado.nina wasiwasi sana.saa nyengine pumzi zinanibana.wala siwez kukaa na njaa .
@KhadijaIssa-kd4ho5 ай бұрын
Tiba km zipi nishaomba mungu Sana ila hali bado km saiv kichwa kinauma hp rohoni pamekaza
@TURIYU5 ай бұрын
Pole Sana ila Kuna mda unaweza kumuomba mungu na asikupe ukitakacho kumbe anakupima kwanza anakupa mtihani aone subra Yako ila we usichoke kumuomba mungu utaona faida yake
@KhadijaIssa-kd4ho5 ай бұрын
@@TURIYU asnte kwa ushaur nitajitahid kumuomba allah sitokata tamaa
@HusseinAbdulrahman-xh2md5 ай бұрын
Ushawahi somewa dada khadija dua ya kumaliza hali hiyo? Kama laa inawezekana huenda Allah yuwataka kukumalizia mtihani wako. Ntafute nikusomee popote ulipo naamini utafaidikapopote ulipo inshallah
@rashidawangara13183 ай бұрын
Assalaam aleikum sheikh. Una nafasi unifanyie hii dua?
@TURIYU3 ай бұрын
Inshaa allah
@KhadijaIssa-kd4ho5 ай бұрын
A.a ustadh mm kutukana na hali yangu siwez kufunga.sasa unanisaidiaje na hii naitaka.naitwa khadija kutoka zanzibar.Nina umri wa miaka 30.
@yusrashaban81385 ай бұрын
Sheikh naeza kutumia msahafu kama sijui kwakichwa
@TURIYU5 ай бұрын
Ndio Haina tabu unatumia tu
@aminarama16335 ай бұрын
Alhamdulillah, shukran sanaa
@TURIYU5 ай бұрын
Inshaa allah
@nakundwamkubwe78234 ай бұрын
Izo suratul Yasin na Mulki kama huzijui unaweza kusoma sura yoyote ile ? Maana wengine tumeishia juzuu amma.
@TURIYU4 ай бұрын
Hapana sura ni hizo hizo
@ZuhuraAbass5 ай бұрын
Shekh mbona wanaume tu Kuna wanawake wanalea pekeayo tunataka maisha mazuri ili tuwalee vizuri na ssi tufanyeje
@TURIYU5 ай бұрын
Hahahahaaaa mbona mie sijabagua mtu dada Zuhra? Nakwanini ulee peke Yako na Hali umezaa na mume? Kama anakusumbua mfanyie Dua tu
@Aida-qh3jq4 ай бұрын
Kama huzijui utafanyaje na utasoma aya ipi naomba ufafanuzi shekhe
@TURIYU4 ай бұрын
Soma Hilo jina nililokuelekeza
@habibaramadhani-xv2ed5 ай бұрын
Maishallah
@TURIYU5 ай бұрын
👍
@KhadijaIssa-kd4ho5 ай бұрын
Analolifanya haliendi akiuza biashara halipwi baishara zinaharibika.madeni anayodaiwa ni mingi mpak anfika kuzima .cm
@TURIYU5 ай бұрын
Analolifanya nani mumeo au nani?
@zuhuramwaniki61384 ай бұрын
Naomba kujua jina langu ni nambari ngapi zuhura
@TURIYU4 ай бұрын
Uzito wa zuhra ni 217
@yusrashaban81385 ай бұрын
Pole sheikh kwa usumbufu . kwa hii swala hakuna Allahuakbar wala samiallahulimanhamida wala tashhadu na swalaa annabi ibrahimiyya
@TURIYU5 ай бұрын
Ipo
@KhadijaIssa-kd4ho5 ай бұрын
Nikikaa na njaa tu hali inabadilika afya inadhoof naona kizungu zungu.khadija kutoka zanzibar
@TURIYU5 ай бұрын
Pole Sana bi khadija issah ila je? Vipimo vya vidonda vya tumbo ulishafanya?
@kingarushamsi-gi6yr4 ай бұрын
Shekhe na mbuzi tunafanyaje?
@TURIYU4 ай бұрын
Kama utakavyofanya Kwa kuku
@khadijaismail50155 ай бұрын
Shekh weka internet ya TTCL Tsh. 55000 Kwa mwezi unlimited Hainakitangulizi cho chote
@TURIYU5 ай бұрын
Maa shaa Allah itabidi nifanye hivyo shukran Sana Kwa taarifa hio lakini ishu ni kuipata hiyo line ya ttcl ndio sijui ntaipata wapi
@NoorynMuddy5 ай бұрын
Sheikh samahan unapo andika soma jina hili tunaomba ukiliandika kwa kiarabu andika na kiswahili hili mtu kma anaitafuta vidio zilizo mpita inakua ni raisi kuipata maana co wote wanajua kiarabu
@TURIYU5 ай бұрын
Doooh pole Sana dada noory ila nimekuelewa na ntaanza kufanya hivyo inshaa allah
@jamilashabani85805 ай бұрын
AL Fatah Au Katika kusoma Al Fataha au Yaa Fatah Unasoma Hivo @noorynMiddy Lina andikwa hivo
@Naw895 ай бұрын
YAA FATTAAH
@habibaramadhani-xv2ed5 ай бұрын
ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH
@maryammakata78495 ай бұрын
Subukhu kudus rabbi malaikat waruhkhus ndo hivi
@TURIYU5 ай бұрын
Subuhu kuddusu rabbul malaaikat warruuh
@KhadijaIssa-kd4ho5 ай бұрын
Ndio nimenda spital nimeshapima ila had leo hii sjapata majibu kila siku Nambiw kesho.lkn hii hali mara saiv Naumwa hivi badae naumwa vyengine ndio hivyo
@TURIYU5 ай бұрын
Hizo zoote ni dalili za mashaitwani dadaangu pole inakubidi ungedili Sana na tiba za kuondoa mashaitwani mwilini
@HusseinAbdulrahman-xh2md5 ай бұрын
Kweli kabisa sheikh, anafaa asomewe huyu dada, kama waeza mfanyie ama sivyo naweza msomea na Allah akamwondolea
@HalimaNasser-l9g5 ай бұрын
Mashallah
@TURIYU5 ай бұрын
Shukran
@KhadijaIssa-kd4ho5 ай бұрын
A.a ustadh mm kutukana na hali yangu siwez kufunga.sasa unanisaidiaje na hii naitaka.naitwa khadija kutoka zanzibar.Nina umri wa miaka 30.
@husnamasoud49895 ай бұрын
Mashallah
@TURIYU5 ай бұрын
👍
@KhadijaIssa-kd4ho5 ай бұрын
A.a ustadh mm kutukana na hali yangu siwez kufunga.sasa unanisaidiaje na hii naitaka.naitwa khadija kutoka zanzibar.Nina umri wa miaka 30.
@TURIYU5 ай бұрын
Hali Yako ipoje unanyonyesha au unaumwa au unatatizo Gani bi khadija?