Walimu wangu ningewaomba mpunguze jazba mnapodeal na hawa watu wanaouliza maswali, haina maana kuwakebehi kwamba hawajahifadhi biblia, hawa ni watu ambao wanafuata waliyoyakuta kwenye family zao. Alhamdulillah sisi tumepewa neema ya uislamu lakini haina maana tuna ubora wowote mbele ya Allah, maadam bado hawa wenzetu wako hai tuwaombee wapate uongofu nasisi tujiombee kwa Allah atupe msimamo tupate kufa katika uislamu insha'Allah.
@bashirmahero702118 күн бұрын
Asalam alaikum brother Mzee Ali. Walai nakupenda sana
@salimdaawah12317 күн бұрын
Masha Allah tunakupenda sana kwa ajili ya Allah
@josemu87018 күн бұрын
Allahamdhulla kwa neema ya uislamu barikiweni sana sana kwa mafundisho bora
@salimdaawah12317 күн бұрын
Masha Allah
@mohamedhaji224217 күн бұрын
Ali is maashaalah . welcome back.
@salimdaawah12317 күн бұрын
Alhamdulillah
@SheeMaryam.M18 күн бұрын
Huyu jamaa hûwa anakuja na chuki sio kuuliza maswali,, Mwalimu mwambie sisi kama online views tumemkatalia mic😂😂😂 he's just wasting time and bundles
@salimdaawah12317 күн бұрын
Inn shaa Allah
@ibruzah00117 күн бұрын
ALLAHU AKBAR ♥️
@SaidMgeni18 күн бұрын
مشأ الله تبارك الرحمن
@bahsansheikh604218 күн бұрын
MashaAllah karibu tena Sheikh Ali. Tumekumiss sana
@salimdaawah12317 күн бұрын
Masha Allah
@Nora-v1m3p17 күн бұрын
Nyimbo walim wangu tafash
@salimdaawah12317 күн бұрын
Wachungaji walikuja kuweka karibu na sisi tukaamua hatuondoki so wakaongeza sauti
Ustadh Ali tunakupenda kwa ajili ya Allah.. Yani ukiwa msomaji unatufurahisha sana.. Vile unawapatia live😂
@salimdaawah12317 күн бұрын
Masha Allah
@myunaniniahmad646317 күн бұрын
Mashaa الله shekhe Ally zamani hatujakuona. Tumefurahi kukuona tena.
@salimdaawah12317 күн бұрын
Yupo area
@aishaally660218 күн бұрын
Ila makelele ya nyimbo kama wanafanya makusudi jamani
@salimdaawah12317 күн бұрын
Yeah wamekuja kuweka karibu na sisi na pia wakaongeza sauti ni chuki tu
@shabanirukundo427217 күн бұрын
Sheikh Ali anashekesana ati jamaa anawazimu😅
@salimdaawah12317 күн бұрын
🤣😂🤣😂
@husseinelmi446017 күн бұрын
Sheikh Ali please punguza mahasira kidogo. Watu wana angalia tabia sana.
@salimdaawah12317 күн бұрын
Inn shaa Allah
@mohamednurmohamed881217 күн бұрын
Jumaa Kareem ❤❤❤
@xogmalxarandid936917 күн бұрын
Sauti yeni chini tafadhali ongezeni sauti
@salimdaawah12317 күн бұрын
Wachungaji walikuja kuweka nyimbo karibu na sisi tena wakaweka sauti ya juu
@Sal.018 күн бұрын
Huyu Willy au Deki, Ali ali sema ni WAZIMU! Na huyu Kurutu ni Time Waster tuu! Wachana na huyu KURUTU Willy Deki. Ban yeye Kabisa! Sijui kwa nini muna Waste time na huyu Mjinga! Na huyu Cameraman mbona ana pan wapi?? TabarakAllah Team