Assalam aleykum warrahmatulullahi wabarrakatuh. Nadhani sisi wa islams, imefikia hatua ya kudhalilishana kwenye media., nadhani kitu muhim tungekua tunashauliana uso kwa uso. Maana hizi media sio nzuri wallahi
@RehemaAbdul-s4g5 сағат бұрын
shekh wangu mimi nakukubalisana kwa mafundisho yako baba natamani ningekuwa tanzania nina amu yakukuona face to face kabla sijafariki nikutane nawewe shekh
@BakaryOmally5 сағат бұрын
Rehema abdul Allwah akuwafikishe na asimamie nia yako siku ukifika ukamuone
@MAHAMUDUDOLLE3 сағат бұрын
Sheh unajuw💯💯
@kamalmukaddam15215 сағат бұрын
Yupo sahihi kishki
@jamaljuma-jw4pz6 сағат бұрын
Sisi wachangiaji tuwe makini na JUU YA michango yetu jeee tunayo elimu juu ya kumuunga mkono sheikh au kumpinga lasiivyo tukasomeni dini yetu ili tusichangie kuugawa uislamu
@yusufulukamata71525 сағат бұрын
Kwaiyo unataka kusema shekh hayuko sahihi ww usitupumbaze din yetu ni yahak hayo mambo kwenye uislam hayapo kishik wakemee mpaka wanyooke wanataka kuchafua sura ya din yetu
@saghirmzee28915 сағат бұрын
Nakumbuka maneno ya shekhe msimu wa babu wa loliondo na yalitokea
@amoschacha28855 сағат бұрын
Hii vita kali sana ngoja tumsubiri firdausi atakuja na jibu gani hapa wanapigana vijembe tu
@AbdallahShaabani5 сағат бұрын
Makadiria ndiyo yanatuchafulia dini👈👈👈
@MejumaaRashid-s8g3 сағат бұрын
Matusi si dawa kama huna hoja sinibora ukimyee tu huo ndio wisiliam ujasiri huo munatpa kwan hamuoni aibu wabana wawatu hinitambia yakukosa madali sote niwanafunzi mwalimu Al kuwa mutume wetu Muhammad (s.a.w) sisi ukikumbushwa makosa yakariri kwa uzuri munatutia aibu wababa wakisilamu unaraauka kuswali ukingia oline matusi acheni hii tabia haifai nduguzangu tumuogopeni Allah kwa ukweli wa kumuogopa heshima muhimu
@HASSANBAKARI-q9c4 сағат бұрын
VIZUKA WA ZAMA IZI 😊
@masoudalriyamy62984 сағат бұрын
Acheni njeaa fanyeni kazi tanzania uchumi upo mabonde yapo leo kwanini hatutaki kulima tufanye mipango ya kugombanisha watu hajui mambo ya ushirikina leo ndio watoto wanapote wanakatwa viungo haya yote nanasababishwa nahawa washirikina wanafika mpaka kuuwa wazee kuuwa walemavu wangozi chanzo hawa watu washirikina haufai ushirikina tumuogope mungu tuache usanii
@KhamisAli-o9r6 сағат бұрын
Hii ni dini,,mambo ambayo hayako kwnye dini lazima yasemwe hakuna kupepesa mambo katika dini ya Allah,,hizi njaa ndo zinapelekea watu kufnya mambo ambayo Quran na Hadithi hayapo,Sheikh Kishki hana makosa tuache janja janja waislamu lazima tukemee UJINGA wakupoteza waislamu
@nelson-cd7fr5 сағат бұрын
Swadaqta
@muliamadi85949 минут бұрын
Uyo firdaus ayo maji anayatumia vibaya, kwanini asiwe anagawa chupa kwa kila mtu?lakini yeye anamwagia watu mwenyewe, aho izo sura alizo somea yeye wengine awawezi kuisomea aweke wazi ni dua ipi tusomee wenyewe.
@abdallahmindika1641Сағат бұрын
Tuzingatie Qur an na sunnah zina sema nini kuhusiana na swala kama hili, isipokua kama kitu ukijui hupaswi kupinga wala ku judge tayari tupo kwenye globalization tukiona wote masheikh sasa kama wanapingana waoh sisi yatupasa kuangalia nafsi zetu kwa kusoma qur an hadith na sunna za mtume m (s.a.w) siku ya kiama tutaona mengi allah atupe pepo tu kwakweli waweza kuona sheikh mkubwa akaambiwa pita kulee kushoto
@ChampioniMjelumani4 сағат бұрын
mimi nauliza kati ya mwamposa na huyu shalifu kunatofauti gani wote ni matapeli na timzaozato wezi tu
@masoudalriyamy62985 сағат бұрын
Ulikiona anaoza kitabu kitabu kipi kauza nakakitunga wapi na kinaitwaje hicho kitabu tupe ushahidi kinaitwaje hicho kitabu alichouza kitaje hicho kitabu hamtaki mnasihiwe hataki mkumbshe
@khitamcaptainveca50453 сағат бұрын
Kisha watowa vitabu za wanazioni sio hadith za mtume . Alafu unamsemea kijana vitu hauna Ata uhakika
@hbomy-y5k5 сағат бұрын
wagonge shekh tupo pamoja washatufilisi hao so watu
@IbrahimubakariIbrahimubakari6 сағат бұрын
Wapige spana hao matapeli
@khitamcaptainveca50453 сағат бұрын
Wewe umejuwa he kijana hana itikadi nzuri ? 🙄
@allythabiti81506 сағат бұрын
Sheikh kasema kweli, lazma misingi na taratibu zinakubalika. ila yale mambo ya kumwagia watu maji au mafuta huo ujinga, sahz makristo wanasema et oh naona sahz ndugu zetu waislam wanakuja kwenye mfumo, sasa huku ni kudhalilisha waislamu na Uislamu
@abdallahsaid81572 сағат бұрын
Uislamu hauna jambo lisilo na asili. Utumiaji wa maji na mafuta kwa waislamu una asili na ni jambo la kawaida kwa karne zote wala haijaiga kutoka kwa wakristo. Shida ya baadhi yetu tumekuwa hatusomi bali ni ushabiki tu.
@AbdillahAlly-fl4vh6 сағат бұрын
Kishki sasa umeishiwa na dawa ulinganiaji umekushinda waanza kuropoka unafiatilia mambo yawatu huo ni ujinga sasa umekujaa
@CoudraAbdul6 сағат бұрын
Jieshimu we nijing km sharifu
@AbdillahAlly-fl4vh5 сағат бұрын
@@CoudraAbdulWewe huelewi chochote kaa kimya kunamengine sheikh anakosea anavuka mipaka
@yusufulukamata71525 сағат бұрын
Izo ni chuki zako au na ww hayo ndo mambo yko kishik ni shekh mkubwa misikit mingap wanamlilia aende ww ushaitwa wap na wap acha unafik
@Mohamedishabani-om8qf5 сағат бұрын
Unaonekana nawe pia ni miongoni mwao haoooo matapeli
@dulividuli52373 сағат бұрын
Kwaiyo ww umerizik Waislamu kuibiwa namn hiyo ama vp?
@kijitamfyomi55986 сағат бұрын
Sheikh wewe ukizindua vitabu vyako unauuza misikitini masharifu wakiuza mafuta misikitini unasema ni haramu kufanya biashara misikitini hebu masheikh muwe waadilifu mnatuchanganya sisi maamuma
@CoudraAbdul6 сағат бұрын
Acha upumbavu dini hijuw wwe
@BakaryOmally5 сағат бұрын
Kijitamfyomi sikia pia uisome dini kufanya biashara msikitini ni vibaya sana wala kutoa matangazo ila ndio tunajifanyia tuu kuna mambo ya kufanywa msikitini kuna mambo hayaruhusiwi
@CoudraAbdul5 сағат бұрын
@@BakaryOmally haya sheikhe wa mkoa
@halimaa93674 сағат бұрын
Kweli
@masoudalriyamy62985 сағат бұрын
Njaa hakuna jengine zaidi ya njee kama kunawatu wanafika kuuza viwanja vya waislamu pale changombee wameuza uwanje kunamisikiti mingapi wameuza njumba za wakufu leo watu wakisema hatukuaminini mnasema wanatubagua punguzeni njea ziopeni haki za wakufu