KUTANA NA "YOHANA MBATIZAJI" SASA BAADA YA YESU WA TONGAREN! 😂😂😂

  Рет қаралды 63,123

Straight Path Dawah

Straight Path Dawah

Күн бұрын

‪@StraightPathDawah‬ tunafikisha ujumbe wa Uislamu hadi mashinani. Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu. Huyu mzee kutoka Nandolia Bungoma County anadai kuwa yeye ndiye Yohana mbatizaji aliyefufuka. Ana wake 46, watoto 290 na wajukuu na vitukuu zaidi ya 600.

Пікірлер: 327
@salimmashjary8028
@salimmashjary8028 Жыл бұрын
Poleni wakristo kusema haya kwa sababu nashangaa sana yani ni NYINYI TU WAKRISTO NDIO MUNAVITUKO HIVI VYA KIPUMBAVU NA UKOSEFU WA AKILI .MARA NYINYI NI MUNGU MARA NI YESU.MARA NABII KAMA HUYU MZEE HATA NA MADEVU YAKE YA AJABU.
@martinamarugu44
@martinamarugu44 Жыл бұрын
Na ndevu zake za ajabu Hana hata haya
@shabanibrahim9201
@shabanibrahim9201 Жыл бұрын
Uzee mwingine ni mtihani sana, Abu Jahal of our generation. Allah amuongoze
@abdazizahmed7113
@abdazizahmed7113 Жыл бұрын
Endelea na hii kazi nzuri ya dawah sheikh wetu ramdan
@fatimahrashid2356
@fatimahrashid2356 Жыл бұрын
Assalam aleykum hustadhi ramadhani nakupenda sana kwaajili ya ALLAH ALLAH akuzidishiye eelimu namaisha maref
@qharolefrancie587
@qharolefrancie587 Жыл бұрын
Kazi nzuri Ramadhani...ningependa kuslim mimi
@Abdifataxow
@Abdifataxow Жыл бұрын
Plz Nenda misikiti iliyo karibu yako
@kutailass6671
@kutailass6671 Жыл бұрын
Karibu na Allah akuongoze
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah Жыл бұрын
Karibu sana, wasiliana na number zetu
@HashimSalim-qj7zn
@HashimSalim-qj7zn 3 ай бұрын
ALLAH akuongoze juu hili tafuta msikiti krb nawe uonane na Ust akuelekeze
@DiasporaGikuyuTv
@DiasporaGikuyuTv Жыл бұрын
Ramadhan you're strong mimi naweza cheka vibaya sana😂😂😂 waluhya watatuonyesha maneno...Ati "mwenyewe".
@mwanajaa-v5x
@mwanajaa-v5x Ай бұрын
Masha Allah MUNGU akuzishie barka, heri nyingi na afya njema. Watu wanahitaji masomo na kweli unawafundisha kwa hekma sana, Nakupenda kwa ajili ya Allah na saa nyingine najizuia kucheka hao watu wanachekesha sana
@bakariadamu6068
@bakariadamu6068 Жыл бұрын
Jamani watu tujitokeze tuchangie ili Mwalimu aende sehemu nyingine kufundisha dini wapo watu hawajui dini kabisa atoke nje ya KENYA pia
@gazaomar1414
@gazaomar1414 Жыл бұрын
Shukran Sana Sheikh Ramazani kwa Kazi ngum unayoifanya
@fatimahirakoze7311
@fatimahirakoze7311 Жыл бұрын
Cheikh wangu kiukweli poleni sana kwaizo subra ñaona kama kwa hikma yangu ni fupi siwezi kufanya kazi kama iyo cheikh kuria Allah awazidishie uvimilivu
@عبداللهباحميد-ن4ق
@عبداللهباحميد-ن4ق Жыл бұрын
ALLAH Akupe Umri Na Afya Njema MASHA ALLAH Kzi Hii Sio Rahisi Tuna Muomba ALLAH aku Jaze Kila Kheeri Na vAkubariki Zaidi Na Zaidi Amin Amin Amin
@fatumampumbo6186
@fatumampumbo6186 Жыл бұрын
Amiin kazi sirahisi kweli huwa najifikiria kama ni mm vile nakasirika haraka sijuwi kungekuwaje mungu akuzishie sbra uweze kuwaelesha mpaka waelewe In sha ALLAH wabilah taufiq
@raiyaaaraiyaa6054
@raiyaaaraiyaa6054 Жыл бұрын
MashaAllah Allah akulipe kila la kher. Sheikh Ramadhan Kuria
@bilalomar1185
@bilalomar1185 Жыл бұрын
Jazakallah kher Sheikh Ramadhan. Doh watu wabungoma watatuangamiza kwa dhambizao.
@aishachannel8510
@aishachannel8510 Жыл бұрын
ManshAllah shiek wetu❤
@yussufhussein6097
@yussufhussein6097 Жыл бұрын
ManshaAllah Shiekh wetu,,,,Mungu akubariki na endelea hii kazi ya mungu..... PIA NATAMANI KUKUONA🙏🙏🙏Naweza kukutafuta
@softymoha5484
@softymoha5484 Жыл бұрын
najivunia kuwa muislam.kutoka huko western kenya...kweli western watu wamepotea,, sheikh ramadhan...Allah...akufanyie wepesi kwa kazi unayoifanya insha Allah...
@azinahramadhan8326
@azinahramadhan8326 Жыл бұрын
Mwambie Yohana alikatwa kichwa 😂😂😂 amepata wapi kichwa😂😂
@allanmonga3942
@allanmonga3942 Жыл бұрын
Alahamdulillah tunakutaka apa Lubumbashi Drc sheikh Ramadani
@aishahazary4097
@aishahazary4097 Жыл бұрын
Alhamdulillah kwa uislam .Walahy Ramadhan jazaa yako ALLAH mwenyewe ndiye mjuzi.Huyu baba anakir kabisa kwamba wewe ndiye muislam wa kwanza kumfikia.Pamoja na ugumu wa kazi yako usichoke kuwatembelea.Huenda siku moja ALLAH akawapa hidaya wakaiona haki na kusilim
@mwanamtotosaid702
@mwanamtotosaid702 Жыл бұрын
Allahumma Aamin 🤲
@fatmazullu4933
@fatmazullu4933 Жыл бұрын
Pole sana Sheikh wetu na kuangukaa! Ila pole pia kwa kazi hii ngumu sana! Watu ni wa ajabu sana.
@alhajjngoliomahmud6657
@alhajjngoliomahmud6657 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akujaliye zaidi na akufanyiye wepesi zaidi kwa kila jambo kwa shughuli zako zote
@samxx411
@samxx411 Жыл бұрын
Mbona Kenya kuna Maajabu sana???, naona kuna kila aina ya watu wanaonekana Wallahi, haya wacha tuone mambo, Asante Sheikh Ramadhan kwa kutuonesha watu wa maajabu ni dhahiri Dawaa inahitajika sana tena sana bado watu wapo kwenye Giza zito limewafunika wanahitaji kusaidiwa sana ila wabiiishiii.
@nancywambui1073
@nancywambui1073 Жыл бұрын
Weee.... sio Kenya ,ni Bungoma
@lucyoyiela6718
@lucyoyiela6718 Жыл бұрын
Sio Kenya pekee kuna mambo mengi kwa country zingine nivili hatujui
@MohammedAbdu-mc3ex
@MohammedAbdu-mc3ex Жыл бұрын
MashaAllah may Allah akupe jannah
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Hawa watasilim hawa shehe ukiwaelekeza hawa Allah atawafanyiawepesi kuwawaislam biiznillah🤲
@mwakiosalim2914
@mwakiosalim2914 Жыл бұрын
Sheikh Ramadhani una hekma sana...uhojiano wako unapendeza sana...God akuongoze katka mema
@mariamfouziawairimu7991
@mariamfouziawairimu7991 Жыл бұрын
Eid Mubarak to all Muslims. Mwenyezi Mungu azidi kukuongoza ili ueneze ukweli kuhusu uislamu kwa wasiojua. May Allah's protection abide with you always.
@mussamgonela
@mussamgonela Жыл бұрын
Amin Amiin
@saidbrek9817
@saidbrek9817 Жыл бұрын
Allah awape umri muendelee na kazi yake ya daawah Ameen
@mussamohamedmohamed7048
@mussamohamedmohamed7048 Жыл бұрын
Mashaa Allah,, brother,Allah akupe na akuwezeshe kuendelea na hii kazi ya MANABII,,
@aminaadanaminaadan1359
@aminaadanaminaadan1359 Жыл бұрын
Allah amwongoze Mzee yohana...Ramadan Allah akujaze kheyr in shaa Allah, Kwa da'awa nzuri
@jimjam4148
@jimjam4148 Жыл бұрын
MASHA ALLAH. pili apa nimejifudisha jambo la busara Kwa kulingania dini Kwa wasio kuwa wa islamu.
@shamimnorah9156
@shamimnorah9156 Жыл бұрын
Masha Allah Allah Aku bless sana good job usi choke please 🙏🙏🙏💙
@beatricebwana1234
@beatricebwana1234 Жыл бұрын
Hawa watu vichwa vimepinda.May the Almighty God intervain. Dunia inaisha.
@geofreymulei5695
@geofreymulei5695 Жыл бұрын
Hawa vichaa unawatoanga wapi
@hajinkulunge8493
@hajinkulunge8493 Жыл бұрын
MAASHA ALLAH UKOVIZURI SANA MWALIMU KURIA
@abyolafadhili5734
@abyolafadhili5734 Жыл бұрын
Allah akutie nguvu akhy Ramadhwan, Japo mimi nashangaa sana hawa wenzetu Bible imeletwa na wazungu alafu Yesu na mitume wake wapo kenya na kila mmoja hataki kuongea ya mwenzake na kwamujibu wa andiko walitakiwa wawe pamoja lakini kila mtu na njia yake.
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 Жыл бұрын
Subhanallah Ama kweli duniani kuna watu wa ajabu sana Allah atuongoze na atuepushe na imani hizi potofu
@athumanimvula3718
@athumanimvula3718 Жыл бұрын
Amina
@felixgitonga6783
@felixgitonga6783 Жыл бұрын
Wanapenda wanawake Kama mwamendi alikuwa na 9
@felixgitonga6783
@felixgitonga6783 Жыл бұрын
Uu ni mungojwa wa kili akapimwe akili
@felixgitonga6783
@felixgitonga6783 Жыл бұрын
Sasa qaran himeandikwa na mungu aburaira ni mungu ramathani muongo
@martinamarugu44
@martinamarugu44 Жыл бұрын
Sheikh muulize vizuri baba naona wewe unamuwezaweza
@hamisijm8437
@hamisijm8437 Жыл бұрын
Sheikh Ramadhani Mungu Azikukupatia nguvu zakufanya Dahawa hila duuu Nimecheka sana lakn yasikitisha . Etianaongea na mungu Darect Subuhna Allah
@ambarnelly6071
@ambarnelly6071 Жыл бұрын
Yani ,ni wakristo tu niliopata kuwashuhudia wana hivi vituko mara wengine ni miungu,wengine ni yesu ,wengine ni wanafunzi wa yesu kama huyu yohana apa ,tena mbaya zaidi anakwmbia Mungu ana ndevu kma yye Yaani Mungu atusameh ,mana hawa ndo sabbu ya Maisha kuwa na ukame pia na mambo ya ajabu sana kama mambo ya jinsia moja innalilah wa inna ilahi rajiun 😢
@ramadhanhamidu-bf1po
@ramadhanhamidu-bf1po Жыл бұрын
Dah aisee allah amfanyie wepes huyo babu
@sulimankarusi8345
@sulimankarusi8345 Жыл бұрын
Mashallah ya sheikh. Kenya kuna vituko. We obey Allah to safe you.
@badmanno.1650
@badmanno.1650 Жыл бұрын
😂😂😂 Hakuna watu wanacheza na dini yao kama wakristo
@husseinmwenja4398
@husseinmwenja4398 Жыл бұрын
MashAllah kaka RAMADHAN
@hamisijm8437
@hamisijm8437 Жыл бұрын
Uyuanaongea Vitu Vyaajabu Ad hao wenzie Wanacheka kisiri Siri Duuu Uyu mzee atari . Sheikh Ramadhani Kaziukonayo hila insha allahy Mungu akusaidie
@zohramariga6678
@zohramariga6678 Жыл бұрын
Mashala watuwanapotea kweli mungu awaogozetu wajuehaki
@aminaabdallah7702
@aminaabdallah7702 Жыл бұрын
Ubarikiwe !!! lakini nchi ya Kenya ina mambo !!? namiujuza mno Kenya !!? yesu alipatikana Kenya pili makanisa waozesha jinsia moja Léo inapatikana hoana mbatizaji Pia Jéhovah alitembelea subuhana Allah Kenya yiepukane na kila la shari kwa sababu matapeli hawa wanaleta ayibu kubwa nchi ya Kenya
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Duu huyo mzee hayuko sawa 😂😂 kazaliwa malangapi miaka mingi yeye anazaliwatu daaaa😂 hinayo noma
@nomaddamon2197
@nomaddamon2197 Жыл бұрын
He is either ignorant Or he is suffering from a mental condition called a delusion of grandeur.. person's belief that they are someone other than who they are, such as a supernatural figure. We appreciate your work brother Ramadhan, Mwenyezi Mungu akuhifadhi. Ameeen Let's support our brother and his team financially so that they can easily facilitate their movement, it doesn't matter the amount. Let us be part of this amazing Daawah and get the same reward as our brother Ramadhan and his team.
@guenterernst5481
@guenterernst5481 Жыл бұрын
Shida ni Hao wafuasi mibaba mizima Inna lillahi wa Inna ilaihi rajiun
@nomaddamon2197
@nomaddamon2197 Жыл бұрын
@@guenterernst5481Mwenyezi Mungu atuelekeze katika njia ilionyooka. Alhamdulillah that's why we have brother Ramadhan
@nubianqueen6700
@nubianqueen6700 Жыл бұрын
Kweli kabisa, mental health is rampant, Ata yule yesu wa tongareni has tendencies of being a narcissist, I listened to an interview of his two children.
@metrinenyakoe1764
@metrinenyakoe1764 Жыл бұрын
😅😅watu wamechanganyikiwa
@sarahronoh540
@sarahronoh540 Жыл бұрын
Allah akupe kila la kheri Ustadhi Ramadan
@maryamjuma1980
@maryamjuma1980 Жыл бұрын
Allah kuhifadhi sheikh Ramadhan
@mistasaa9214
@mistasaa9214 Жыл бұрын
Shkh Ramadhan ALLAH atakulipa kher kw kz unayoifany ila ao wazee wengine ni wendawazimu wshaugua uchizi wnahtaj kupelekwa mental
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 Жыл бұрын
MWL KURIA UNAFANYA KAZI YA KUTUKUKA!! ALLAH AKUPE AAFIYA NA SUBIRA
@henryajaka
@henryajaka Жыл бұрын
Hawa watu wa Bungoma,pooo mara yesu wa tongareni,mara jehova wanyonyi, now Yohana mbatizaji.Mungu asaidie watu wake.
@dubabaxakatv2993
@dubabaxakatv2993 Жыл бұрын
Wanavituko sana 😂
@moregracekenyaofficial7307
@moregracekenyaofficial7307 Жыл бұрын
Bro keep up good work,,,apart from education you make us laugh
@alimatambwe3402
@alimatambwe3402 Жыл бұрын
Hahahaha,Inalilahi wainailahi Rajiuni,Allah tupe mwisho mwema yaaa Allah,kiama hichi kimeanza kuonesha dalili,sijuwi tutamwambia nini Allah siku za mwisho 🙏🙏🙏🙏🙏Allah tukinge na masihi dajal ,wafwasi wake hao wameshaanza kutanda Duniani.
@sofiakwekwemmbandi7127
@sofiakwekwemmbandi7127 Жыл бұрын
😂😂😂 astaghafirullah
@aibulamilanzi1466
@aibulamilanzi1466 Жыл бұрын
Jononi haya mazito🎉
@zainaal-nabhani9034
@zainaal-nabhani9034 Жыл бұрын
Innalilahi wainna ilaihi rajiun jmn wakrto hamuonitu kama dini yahaki ni uwislam mtihani huu mungu akubariki sana sheh ramazan akulipe kila laheri uzidi kuweneza uwislam
@madetetv6576
@madetetv6576 Жыл бұрын
Sasa wakiristo tunahusika vipi hapo? Sijakatai unabii unaendelea lkn kujiita majina ya manabii waliopita inatoa wasiwasi japo siwezi kuhukumu ila waislamu mnasheria ngumu Kwa manabii wapya hata wayahudi wana Sheria kama zenu ndio maana walimkataa Yesu
@kutailass6671
@kutailass6671 Жыл бұрын
​@@madetetv6576 unabii gani unaendelea nawe, hatotokea nabii mwingine kwa zama hizi hadi kitasimama qhiyama,yan wakristo dunian mna kila kitu, mungu yupo, YESU yupo, manabii mnao, watoto wa mungu mnao, khaa Jmn 🙄
@madetetv6576
@madetetv6576 Жыл бұрын
​@@kutailass6671 Kwahiyo unatak kunambia Mungu katutelekeza ama? Tutawasiliana vp na Mungu bila mitume na manabii?
@madetetv6576
@madetetv6576 Жыл бұрын
​@@kutailass6671 unazungua hata nyie wenyewe Kuna baadh ya mambo mnahitilafiana Kuna wanao amini unabii na nyie masunni ambao hamuamini
@kutailass6671
@kutailass6671 Жыл бұрын
@@madetetv6576 hakuna muislamu asie muamini nabii Muhammad, sote tunamuamini khitilafu ni ipi hapo we umeona
@allyabdallah4357
@allyabdallah4357 Жыл бұрын
Shekh Allah akujaalie wepesi kwani una fanya kazi kubwa sana
@umahmed8273
@umahmed8273 Жыл бұрын
Inna LiLlah wainna ilaihi rajiun watu wanajiamini jamani. Allah akuhifadhi ndugu yetu Ramadhan akubarikie
@fegow-farmland8399
@fegow-farmland8399 Жыл бұрын
Who else has noticed Luhyas especially Bukusu People are very fluent in Kiswahili 🖐🖐🖐
@hamisimuhammad3656
@hamisimuhammad3656 Жыл бұрын
SubhaanaAllah Ametakasika mwenyezi mungu
@footballnews9629
@footballnews9629 Жыл бұрын
Maajabu haya
@rizikiali328
@rizikiali328 Жыл бұрын
Sheikh Ramadhan Allah akuhifadhi akupe umri mrefu muzidi kutuilimisha maana
@aburaasmedia3682
@aburaasmedia3682 Жыл бұрын
inalilahi wainailahi Rajiuni. Huu ni msiba. Allah atuokoe na adhabu kutokana na dhambi ya Hawa watu
@mussakilo4916
@mussakilo4916 Жыл бұрын
Khaaa et mungu Ana ndev kama zake ee mwenyezi mungu tunusuru
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
Mtihani mkubwa Kwa kweli dah Allah awaongoze katika dini ya haki inshallah
@mistasaa9214
@mistasaa9214 Жыл бұрын
Hawa wazee wazembe kweli, n wanafny ivo vituko kw kutumw n kusapotiwa n waharibifu wa dunia waliokwsha potea n wanatak kupoteza watu. wameshazitoa muhanga nafs zao n adhabu za ALLAH.
@ntakirutimanavicent-lj2tn
@ntakirutimanavicent-lj2tn Жыл бұрын
Sheikh kazi unayo kuwaokowa makafili sio kazi ya mchezo😅😅😅 wana myoyo mguumu mno
@kihimbamushyaibrahim7284
@kihimbamushyaibrahim7284 Жыл бұрын
Asalam alaikum warahmatullahi je sheikh vipi twawezatukampata anae shereheshea haya maneno matukufu kwawatu viziwi watu wasio sema nakusikia?sign language for those in need
@samweloduor3788
@samweloduor3788 Жыл бұрын
mungu ana ndevu
@hajinkulunge8493
@hajinkulunge8493 Жыл бұрын
Ila huyo Mzee sio mbishi anaweza silimu Insha ALLAH
@apoa8232
@apoa8232 Жыл бұрын
Good job bro, huyu Mzee anapoteza wenzake tu Hana lolote la maana
@essyshiroh4425
@essyshiroh4425 Жыл бұрын
Bungoma tengenezeni nchi yenu muishi mnachosha mna yesu mko na huyu john baptist tena mnajenga yerusalem 😂😢😂😂😂 crazy
@mohamedibrahim7732
@mohamedibrahim7732 Жыл бұрын
staghfirullah staghfirullah staghfirullah eti mungu ana ndevu kama yangu
@NsilimwaAbdulrashid
@NsilimwaAbdulrashid Жыл бұрын
Subahanallah
@guenterernst5481
@guenterernst5481 Жыл бұрын
Ramadhani Uko makini sana na unawaweza na nimecheka
@FaysalMohd-jb2qu
@FaysalMohd-jb2qu 11 ай бұрын
Hakika ndugu yang ramadhan kurya binkaguu unafnya kaz kubwa xana Allah akuhifahd insha Allah na akulipe ujira mwema ww na famlia yako na waislam wote aamiin
@Adm9464
@Adm9464 Жыл бұрын
It’s Allah who guides Wallahi. Hawa watu wako ni shida. Just for a penny here and there people do crazy stuff to make ends meet.
@abeidkhamis6130
@abeidkhamis6130 Жыл бұрын
Haya yote ya kuitana Nabii na wengine kua wanafunzi chanzo chake ni upagani na kukosa maarifa(elimu) ya kidini na ki Dunia ndio sababu ya upuhuzi wote huu ni kwakua wengi hawana shughuli zinazo waweka busy kwenye maisha.
@esthernjoroge231
@esthernjoroge231 Жыл бұрын
Waluhya mnakasoro kuleni ugali yakushagwa mkiskiza redio hiyo mnaweza 😂😂😂😂😂😂😂😂
@xcvvv6858
@xcvvv6858 Жыл бұрын
Ma sha Allah
@HashimSalim-qj7zn
@HashimSalim-qj7zn 3 ай бұрын
SHEIKH ALLAH AKUSIMAMIE NA UFANYE KAZI YAKE KWA AJILI YAKE (Ikhlaswi)
@alhajjngoliomahmud6657
@alhajjngoliomahmud6657 Жыл бұрын
Jazakallahu khair barakallahu
@jamesabuya3832
@jamesabuya3832 Жыл бұрын
Bungoma Kuna vituko kweli!
@vitelinenyambura5650
@vitelinenyambura5650 Жыл бұрын
Wengi wao wanapata wito,but hawana wakuwaombea Ile kipawa wachopata kwa Mungu ,hats Yesu alipatiswa ,happy alijaswa na roho mtakatifu
@salimmashjary8028
@salimmashjary8028 Жыл бұрын
Wewe wafaa ukapimwe.
@lailahumaid2011
@lailahumaid2011 Жыл бұрын
Mh kenya khatari kuna mungu kuna yesu Allah awaongoze
@JONAISMARTINESAM-vs4jy
@JONAISMARTINESAM-vs4jy Жыл бұрын
Bado malaika,,,,
@yaqubabdi9532
@yaqubabdi9532 Жыл бұрын
Sasa Hawa vijana wanasikiza huyu Mzee urongo yake makunbwa ivi 😅
@nooor1120
@nooor1120 Жыл бұрын
Astaghfirullah jmn yohana umezidi kufru Allah akuhidi atuhidi na sisi.
@husha6372
@husha6372 Жыл бұрын
Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu MIMI Naona Hawa Watu WOTE Yesu wa Tongeren na Huyu yo Hannah mbatizaji WAMESOMA KIDOGO na Wame amini ILE concept Ya DINI Ya HINDUISM huitwa the INCARNATION CONCEPT WATU HUAMINIKUWA HUZALIWA KWA MARA YA PILI
@allymkumba70
@allymkumba70 Жыл бұрын
Duh ndugu yangu Ramadan unapambana na mengi sana umepata bahati kuonana na mtu aliomuona Allah.
@samfone2357
@samfone2357 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@saderajohn3692
@saderajohn3692 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Waluhyia aki mpunguze ugali
@nubianqueen6700
@nubianqueen6700 Жыл бұрын
21 minutes in and I'm pissed, can't continue watching this nonsense. Allah akupe subra sheikh.
@jei_Ibrahim
@jei_Ibrahim Жыл бұрын
Kenyaa sihami😂😂 nasubiri Adamu musa na abraham mpaka sasa yesu yohana tuko nao 😂😂 tangu naskitika mpaka na chekaa eeh Alhamdhulillah hawaa wana taka viboko
@abdullazizmohammed7015
@abdullazizmohammed7015 Жыл бұрын
Shukran Kwa kusambaza daawa
@benin9773
@benin9773 Жыл бұрын
kwani Yeye na Yesu wa tongaren wana paa bila mabawa Sh.Ramadhani kweli umekutana na watu wa kushangaza Allah akulipe janatul firdaws kwa unachofanya ❤
@abdul-gw9do
@abdul-gw9do Жыл бұрын
Wakiristo watatuonyesha vituko kuwa hii dunia aky😅
@simpsonisoe8994
@simpsonisoe8994 Жыл бұрын
Huyu ndio yohana wewe
@Adm9464
@Adm9464 Жыл бұрын
Huyu Mzee Yohana is not educated like Yesu wa Tongaren. I think Wekesa was very smart compared to this old man who is like a kindergartner
@shuwehaharuna6309
@shuwehaharuna6309 Жыл бұрын
Kenya kufuru imezidi sasa ndo maana magonjwa makubwamakubwa yanatikisa Sana kenya
@khamismukanda5687
@khamismukanda5687 Жыл бұрын
What interests me is his age and stature. The guy looks enormously strong for his physical age. Siri ni nini?
@farajiawadhi8558
@farajiawadhi8558 Жыл бұрын
Kwani hawa jamaa huwa wanajiamini na nini au ni bangi😆😆😆😆😆😆
@guenterernst5481
@guenterernst5481 Жыл бұрын
Ni bangi na vengine vikali haiwezekani ni akili zake
@Adm9464
@Adm9464 Жыл бұрын
Total confusion. Ajabu. Sometimes I laugh , sometimes I get angry , this old man says he baptized Jesus but I love Western Kenya. It’s one place You will hear all kinda stuff, some even never heard of anywhere in Africa and the world. Huyu mzee anaongea na Mungu na anasema mungu ana ndefu. These people definitely know how to survive in this tough environment/terrain. Sometimes inanibidi ni understand what’s warranting them to say or do what they are doing.
@franciskiarie3840
@franciskiarie3840 Жыл бұрын
They are known by being religious.
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 Жыл бұрын
Asalaam aleikum warahmatullahi wabarakatu sauti sio nzuri sana
@samfone2357
@samfone2357 Жыл бұрын
Saut iko sawa simu yko pengine
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 Жыл бұрын
@@samfone2357 na angalia kwenye TV subhana Allah ,basi hii mara sauti ya huyo mzee iko chini
@hassanmpemba5747
@hassanmpemba5747 Жыл бұрын
Asalam alaikum sheikh Ramadan mitijani ya wanaadam ndio hio
YESU MRASTA AJITOKEZA KENDU BAY
1:02:14
Straight Path Dawah
Рет қаралды 3,2 М.
Wait for the last one 🤣🤣 #shorts #minecraft
00:28
Cosmo Guy
Рет қаралды 9 МЛН
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 122 МЛН
Who’s the Real Dad Doll Squid? Can You Guess in 60 Seconds? | Roblox 3D
00:34
Кәсіпқой бокс | Жәнібек Әлімханұлы - Андрей Михайлович
48:57
MAZINGE VS NDACHA, Je yesu ni mtoto wa Mungu?
1:27:50
AL MUBAJJAL TV
Рет қаралды 30 М.
Polygamy Debate Between Brother Dahud & A Bishop Part 2
1:01:04
The Early Church of the Lord Yeshua Nairobi
Рет қаралды 1 М.
MCHUNGAJI ASHANGAA KUONA MAKATAZO YA ULAJI NGURUWE KWENYE BIBLIA
1:00:32
Straight Path Dawah
Рет қаралды 12 М.
'Malaika' mtu aliyempiga 'mungu' wake picha - Dawah kwa Jehova Wanyonyi (Part 2)
1:07:20
Je, Yesu ni Mungu?  Pastor Wilfred vs Sheikh Salim Ndeda....  2023
1:20:20
Abass Online Tv, Daawa Kenya
Рет қаралды 4,8 М.
Da'wah nyumbani Kwa mungu mtu 'Jehova' Wanyonyi na Malaika wake. (Part 1)
1:00:44
UTACHEKA NDACHA /  YESU WA KENYA /  WAISLAMU
1:11:18
GOSPEL CORNER
Рет қаралды 83 М.
Wait for the last one 🤣🤣 #shorts #minecraft
00:28
Cosmo Guy
Рет қаралды 9 МЛН