Рет қаралды 63,123
@StraightPathDawah tunafikisha ujumbe wa Uislamu hadi mashinani. Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu. Huyu mzee kutoka Nandolia Bungoma County anadai kuwa yeye ndiye Yohana mbatizaji aliyefufuka. Ana wake 46, watoto 290 na wajukuu na vitukuu zaidi ya 600.