Amina asante sana apostle maana wachawi wamearibu familia nyingi sana watu hawasongi mbele kwa sababu ya wanga tu kama kuna wachawi katika familia yangu naafe kwa jina la Yesu
@josephatkashendwa11773 жыл бұрын
Ndg Appostlop Mutalemwa kazi yako ni njema na nzuri M/Mungu aendelee kukubaliki ili uendelee kutenda vyema kama ufanyavyo hakika ujana wako ni wa heri na baraka kwa sisi Wanadamu wenzio kwani unautumia vyema kuakisi maisha ya wanadamu, twakuomba uje mkoa wa Kagera hufanye Maombi kama haya ili Neema, heri za mkoa zinufaishe wananchi wa Mkoa wa Kagera na baraka ziendelee kushamili mkoa wa Kagera.
@suzanalemau66013 жыл бұрын
So powerful Mungu aendelee kumtunza chief Apostle mtalemwa aendelee kumpa mafunuo mengi zaid na zaidi hakika nimebarikiwa kwa mafundisho haya
@hellenwanjiku903 жыл бұрын
Oh my God fuzo nzuri sana ,barikiwa sana mtumishi WA mungu, I believe nimefuguliwa.
@janetmulongo27313 жыл бұрын
Waah! I wish I am a member of this church and he is my spiritual father, I will be so happy
@esthercharles22103 жыл бұрын
AMEN Mtumishi wa MUNGU,somo zuri sana MUNGU wa Major one akutunze sana kwaajili yetu.
@emmanuelhitayezu13173 жыл бұрын
Mbalikiwe Sana Mitume wa Yesu Kristo kwa kuwa Ulimwengu wa Jiza Umepigwa vikali kupitia Neno la Bwana Yesu Mfalume Wetu. Amen
@lydiakagai58082 жыл бұрын
Powerful message here thanks
@marcelinongonyani38373 жыл бұрын
Asante Mungu kwa masundisho haya kwani yanifundisha/yanijenga kilaninpofuatilia nafanyika kuwa mpya .Naomba chief apostle Mtalemwa Mungu akutie nguvu haya mafundisho yako yaweke kwenye vitabu maana yataishi milele na azidi kukuinua nakutungua wengi.karibu songea .
@irenengina2333 жыл бұрын
God bless you Apostle..umefungua wengi nikiwa mmoja wao na my family in the name of Jesus Christ
@lilyabel23203 жыл бұрын
Mungu akubariki apostle kwa kazi njema, hakika YESU kristo aliyekuajiri anaishi ndani yako. Kupitia maombi haya nimefunguliwa. Asante Yesu.
@judithabuko60063 жыл бұрын
Mutumishi naomba maombi yako nimepata kazi nzuri naomba nichukuliwe
@jessicamaduhu26273 жыл бұрын
Mafundisho yako so powerful, God bless son of Major 1. Watching from London-UK
@episonfelician76703 жыл бұрын
Mtumishi nakuamuni Sana yaani Napenda Sana Mafundisho yako Nimesha Barikiwa San na ujumbe wako na Mungu atazidi kunibariki kupitia kwako na mm najiungamanisha na Maomba haya
@adelintemu11643 жыл бұрын
I LOVE THESE TEACHING...SO POWERFUL.
@jennymugeya66923 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi, Nina Imani ya kuwa nimefunguliwa kabisa
Na ahimidiwe Mungu aliyewapa watu maarifa ya kuvumbua mitandao ya kijamii maana tunapata Mambo muhimu ambayo tusingeweza kuyajua Hongereni Sana watumishi wa Mungu Kwa kazi nziri ya utume mnayoifanya tunabarikiwa Sana na tunafunguliwa kirahisi Sana asanteni Sana tunapata elimu ya Bure bila gharama
@haddassahmetrine47763 жыл бұрын
Hallelujah glory to God...more grace man of God....
@jacklineikoki66532 жыл бұрын
That's my mentor chief apostle mtalemwa I love you soo much nabarikiwa saana
@judithabuko60063 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu nina imani nami nimefunguliwa mm na familia yangu
@yohanarobert7413 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe kwetu wachawi sana watu wanakufa sana magonjwa hayaishi tunaofanya biashara wanazuia madeni yanasumbua wamekufa watu sita wamebaki wawili babu na mama mzazi wote wachawi sasa wanataka kula wajukuu na nikiwemo namimi hivi sasahivi naumwa miguu miaka miwili
@nuruduma49543 жыл бұрын
Asante Mtumishi wa Mungu Nimebarikiwa Sana.Ubarikiwe Sana.,🙏🏿🙏🏿
@kilangoabraham23903 жыл бұрын
For real this is among of the best teachings. I have equipped myself with this, I am sure witches in the community I live they have to flee no way.
@gladysgladys73933 жыл бұрын
Wonderful be blessed alot pastor receive from kenya
@gracehephzibah73863 жыл бұрын
This is how churches should be for deliverance healing and restoration in Jesus name. 🇰🇪
@alicekalemela74353 жыл бұрын
Apostle Mtalemwa, unahitajika huku Kenya, Ni katika kanisa lako la ecg Arusha tu nilipofundishwa na kufahamu kuwa niña uwezo wa kuingia katika ulimwengu wa roho na kufanya ninavyotoka , This revelation has helped me to maneuver in the realm of spirit. Natamani wenzangu walifahamu hili maana wamekosa maarifa haya, neno linasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Wengi wanaangazwa huko Kenya. Tunakukaribisha.
@Jastus1003 жыл бұрын
@@alicekalemela7435 wanaangamizwa sio wanaangamia
@alicekalemela74353 жыл бұрын
@@Jastus100 point taken
@kayisirekarumuna8213 жыл бұрын
Kabisa tumebarikiwa asante sana Apaustle
@maizzo56373 жыл бұрын
Wow, Nmefunuliwa na kuwekwa huru,maana wakati huo wote changu na chuoa vikipasuliwa mwili ulikua unasisimka. I believe I am free from every evil bondage🙏
@annlitunda66463 жыл бұрын
Amen. Connected to the profecy from kenya
@hellinahombuya51742 жыл бұрын
B blessed pst, I'm blessed powerful message from above
@minrayan943 жыл бұрын
Glory be to God 🙏 am blessed with your teaching Ameeeen
@sharonnasambu67533 жыл бұрын
Narejea kwa jina la yesu na nimeondoka kwa jina la yesu naamini matatizo ya familia yangu pamoja na mimi yameondolewa kwa jina la yesu. Ameen Amen Amen
@heavenlyprincess11223 жыл бұрын
Nguvu za giza na kichawi zimeshindwa kwa jina la YESU KRISTO, natamka kuwekwa huru na BWANA, AMINA🇰🇪
@annekangaikathuni95233 жыл бұрын
Amen ...ushindi kwetu .
@sallygrace14953 жыл бұрын
Glory to God Hallelujah 👏👏
@leahtimothy72733 жыл бұрын
Nita comment atakama nimechelewa lazima ni receive na wachawi waniache amen man of God 🔥🔥🔥🙏🙏🙏love more 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@fatumaabdalla96633 жыл бұрын
Halleluya yesu ni bwana wakati chupa ilipo vunjwa kitu kilitoka tumbo nna imani shida za wanangu na mimi zimeisha katika jina la yesu nimepokea uponyaji na nimeekwa huru vitunguu vyote vimevunjika asnte yesu
@fatumaabdalla96633 жыл бұрын
Sio vitunguu vifungo
@nyamburachristine1234 Жыл бұрын
Am pleased and blessed by the teachings
@ninayamat82133 жыл бұрын
Hakika this seminar blessed me a lot thank u Jesus
@robinahumphrey97253 жыл бұрын
Bwana aendelee kukupigania ....namuona mchawi mmoja mkono wake tayari ushavunjika unaumaaa,akuna mfano ...mko ulianzaga wa kwagu kuuma baada ya chungu weweeee...wakwake unauma mpka ajiwezi ananiangalia vibaya ....Makofi kwa Mungu wa Apostle mtalemwa ...Mukama katonda akwembembele.
@joycemaige68383 жыл бұрын
Asnt BABA Yangu wa mbinguni kwa kwakua wewe ndio jibu langu nitaenderea kushikilia madhabau yako
@rosemarymallya44583 жыл бұрын
Hallelujah 📌🔥📌🔥TUNAVUNJA LEOOOO🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌
@edinahkemuntomainya65512 жыл бұрын
Shida zoote kwa familia yangu zivunjike na ziishe kwa jina la Yesu kristo Amina 🙏
@hellenmwenda49712 жыл бұрын
Ameen mtumishi wa mungu naomba tufunguliwe familia yetu yote imafungwa kuolewa na kuachwa na elimu pia kufungwa mungu atafungue ameen
@happynessisack79182 жыл бұрын
Vunja kila uchawi kwenye nyumbani kwangu vunja kila sauti zinazo wajia watoto wangu katika jina la Yesu
@magdalenamoyo98543 жыл бұрын
Aminaaaaaa najiunganisha na madhababu hiiii nabarikiwa sanaaaaaaaa napata uponyaji wa mwili na roho
@faustinriziki67873 жыл бұрын
Ameen, nabarikiwa Sana na mafundisho yako Apostle nikiwa Zanzibar .Ushindi kwetu
@tezilamaximilian15743 жыл бұрын
Nmefunguliwa kwa jina la yesu
@mauwashomari81603 жыл бұрын
Mungu akutiye nguvu zaidi
@joycemaige68383 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@reymasenya64503 жыл бұрын
God bless you man of God
@gracehephzibah73863 жыл бұрын
Amen. I connect and tap the anointing and deliverance in Jesus name
@doctorzero-dj5xg3 жыл бұрын
Yaana ,naipenda sana huduma yako , nakuelewaga sana !
@gladobwoge8673 жыл бұрын
Amen, blessed from Kenya
@kayisirekarumuna8213 жыл бұрын
Asante mchungazi kwaujumbe mziri
@lydiamakena24943 жыл бұрын
This is a true deliverance. Glory to God
@richardgibiti31312 жыл бұрын
😭😭😭😭😭🙏🙏🙏 Mimi pia niko hapa Kenya Kuria Migori County naungana nawe kupasua uchawi wa kijiji chetu kwa jina la Yesu
@sarasarunguraru81952 жыл бұрын
naomba namba ya apostle....maandiko mazuri sana yamenigusa
@reymasenya64503 жыл бұрын
Ubalikiwe Sana Mwajina Wa Baba Yangu Mutalemwa God bless
@marthamokogoti74312 жыл бұрын
More grace Sir
@upendoeliudi51963 жыл бұрын
Ameeen napokea kwa jina la Yesu
@numpereuben81723 жыл бұрын
Thank Jesus for healing me today
@annekangaikathuni95233 жыл бұрын
Amen Amen!...
@barakafabiani5487 Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu chief
@iweningogoofficial37333 жыл бұрын
Mtumishi wewe ni ndoano ulie tumwa Yesu kutuvua toka kwenye giza mm Nina shida sjawahi kuona mema yakudumu afya ya msimu amani ya msimu hata uchumi kwangu wa msimu nisaidie wewe ninabii uniombee nakumuuliza Mungu juu yangu kwanini naishi hivi kama zuri nambie hata baya nambie please naomba unisaidie kumwomba Mungu nimechoka haya maisha ya msimu
@elishamwakapugi77512 жыл бұрын
Ameeni mkuu ubarikiwe kwa somo zuri
@gladysgladys73933 жыл бұрын
Mama yangu ameteseka na mgongo na kuvimba miguu ndoa yangu kutoelewana kwa imani pasuka kwa damu ya yesu
@annakbunga83772 жыл бұрын
Ameeeeeen mtumishi nmefunguliwa
@priscapaul3393 жыл бұрын
nilipata ajali.kubwa mguu wa kulia baada ya maombi babati nimesikia kama nyama zilizo achia zinajiunga kwenye mguu maana kunashimo barikiwa mtumishi wa Mungu. naitwa prisca niko geita
@lit6293 жыл бұрын
Amen, Glory be to God.
@mattytechglobal3 жыл бұрын
ECG Babati we are very favored.
@innocentmtui63663 жыл бұрын
Kanisa liko wapi hapa babati
@neemahamis63993 жыл бұрын
Napokeaaaaa
@anaba29263 жыл бұрын
Niko🇸🇦Ila Niko murundi🇧🇮napenda mafundisho
@salomeshila36713 жыл бұрын
Ameen
@anaba29263 жыл бұрын
Nå familie yanguafungulivu nå magojwa yakukosa damu
@jacquelinenyange55493 жыл бұрын
Amen Apostle 🙏🏿
@neemammbando9383 жыл бұрын
Thank you Jesus for this revelation.
@franciscambatha43143 жыл бұрын
Amen.by power of holy spirit.
@salomeshila36713 жыл бұрын
Baba tunakuomba uje na Hanang Katesh
@studentagency21853 жыл бұрын
Amen Baba Mlezi
@violetmonyo5783 жыл бұрын
Amen.
@harriethkinjoli54593 жыл бұрын
Asante Yesu
@amosjeremiar80063 жыл бұрын
Ameen chief apostle
@anaba29263 жыл бұрын
Mimi watoto wangu wamefunga akili Zao wakanifungia maisha ya mume wangu Akaniaca sa Leo naangaika nawatoto wanduguzangu magonjwa ya Kilari n'a shida zakilasiku watoto wangu wamefunga faham Zao napokea ufunguli Kupitia maombi ya Apotle mutalemwa apata jlibu nyigi katika kazi
@happynessisack79182 жыл бұрын
Naomba namba zako nimeshangazwa na neno hili
@botayoung77122 жыл бұрын
Uko vizuri mchungaji Mungu aendelee kukusimamia
@neemahamis63993 жыл бұрын
Fireeeee
@anaba29263 жыл бұрын
We mucawi iliofunga maisha yangu nakunifunga nisiolewe Leo nei sikuako ta mwisho
@violethkibwana78553 жыл бұрын
Amen
@anyigulilemwaigomole30123 жыл бұрын
Amen Amen Amen
@BeatrizMushi11 ай бұрын
Nimekuwa nikidhulumi❤
@JosephLeonardMatemba3 жыл бұрын
Hallelujah.......
@pettyzumamhina65833 жыл бұрын
Hallelujah glory be to Gody
@LuvyWughangaChilango8 ай бұрын
Pastor naomba uniombee ndoa yangu Ina matatizo natoka Kenya Mombasa