Kwa hivo b4 Magufuli muliishi vipi...na baada ya kufa kwake muliishi vipi...??.....Si ndio nyie muloku mukimpa majina ya Ajabau Mh Hayati Magufuli na kumwita Dictator na mda mwngn mukisema vyuma vimekaza au nmesahau...Wacheni unafiki na tuwapende viongozi wetu hata kama atawekwa baba yako tunahaki ya kumjali na kumheshimu ila akifariki lazima kikatiba atakaa mwngn na pia yeye tumjali. So, mpende Raisi wako samia na uwatakie dua maraisi washaotangulia mbele za haki
@MiriamAbdallah6 ай бұрын
Apewa mauwa yake pumzika kwa amani jpm
@mosesnyelo13806 ай бұрын
Na makamu wake wa Rais mama samia suluhu
@ndukulusudikucho_6 ай бұрын
Don't be racist 😂😂😂
@HhhTt-vl9ct6 ай бұрын
Magufulication still running in Tanzania.
@malikkb64446 ай бұрын
Congrats Tanzania 🇹🇿. Viva the leadership of Dr Samia Suluhu..
@barakakusa76066 ай бұрын
Asante mama Samia hakika unastahili pongezi na kweli mwingi unaupiga,Mitano tena👏👏👏👏
@gidionmasawe47506 ай бұрын
Nampongeza mhemiwa Docta samia sulu hasani rais wa jamhury ya mungano wa Tanzania kwa kazi nzury anayo fanya hongera sana mama samia ,mungu akutumze uishi miaka mingi
@ce-086 ай бұрын
Mmeanza😂😂
@fxmeddy95676 ай бұрын
Tujipongeze watanzania wote kwa kupata mchongoko 😂😂😂😂 KAZI IENDELEE
@MiriamAbdallah6 ай бұрын
Umeme imekaaje hapo😅😅😅😅😅😅
@ce-086 ай бұрын
Baada ya kelele nyingi sana
@AmaniRashidi-i9b6 ай бұрын
Wanao ombaa mungu tusife bila ya kupanda hii tren tuonane hapa😂 like
@MiriamAbdallah6 ай бұрын
Naogopa kuipanda umeme wakikata😢😢😢😢😢😢😢
@AmaniRashidi-i9b6 ай бұрын
😂 tutatumia jenereta
@Jurbeg6 ай бұрын
@@AmaniRashidi-i9b Duu nimekupenda bulee eti Tuta tumia generator 😂😂😂😂👍👍👍
@Muuzambuzi6 ай бұрын
😂😂😂
@isdorchuvu62806 ай бұрын
@@MiriamAbdallahusiombe lipinduke ilo likiwa linakimboa haponagi mtu 😁😂🤣
@sophiekindem90716 ай бұрын
Congratulations my 🇹🇿 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@sephaniangulo40356 ай бұрын
Sasa je.... haya ndiyo mambo tunataka Tanzania. Hongera sana Mama Samia
@DiegoSam-vh8fe6 ай бұрын
Mzee magufuli ulale salama baba hatukudaiii
@mamasane12446 ай бұрын
Me naipongeza serikal kwa kazi hiyo nzuri sana ❤
@emmanuelj75166 ай бұрын
Hongera mama samia , kazi inaendele kweli 🎉🎉
@mkude6 ай бұрын
Hongera MAMA SAMIA SULUHU
@Optionxll_Playz16 ай бұрын
Sasa Proff,simengeweza ongea na Hao Hyundai wakajenga kiwanda TZ ? Shirika la reli liingie ubiya nao ili tuwe tunajenga train zetu hapo hapo Tz tuna wahandisi wengi hawana Kazi
@DudddyWhyCant6 ай бұрын
Acha waandike vibaya, lakini mama kasimama imara... Hongera rais wetu! Kazi iendelee....
Congratulations kiongozi mama samia ila je umeme vip kwa watu tu tafrani vip na tren
@FranciscoMathias-nj6ig6 ай бұрын
Ila sempo ilikua tu n moja vichwa vya ndege bas sa mlileta avyo vingne mkajua wa tz watawaelewa pengne bila kuzungumza wa tz mgekausha na ivyo vichwa kama kontena apo mmefanya saw ❤
@exaverysimon10646 ай бұрын
HAPA SAS MTU ATAKAE ANZA KUONGEA UPUUZ KUHUSU TREN HUYO ATAKUWA ANAITAJ MAOMBI
@samsonmwijage18696 ай бұрын
Kweli kabisa. Yupo mmoja anaitwa Ansbert Ngurumo yeye ni hodari sana wa kukebehi na kubeza!!!!
@MiriamAbdallah6 ай бұрын
@@samsonmwijage1869uliza umeme upo wa uhakika haiendeshwi na mafuta mjomba umeme ukizimwa ukiwa njia utakuaje
@Thekidp37026 ай бұрын
Ila Rangi ni mbaya 😿
@HassanMoha-rc8oq6 ай бұрын
Hongera mama yetu kipenzi MAMA SAMIA Hongera CCM hoyeeeee Tanzania isonge mbele ❤❤❤❤❤❤
@kambamazig020246 ай бұрын
Mwisho wa siku EMU's pia ziweze kuwa zinakwenda mpaka Mwanza ili kuleta ushindani mkubwa na mabasi na ndege.
@swahiliicttutorials55686 ай бұрын
mungu awabariki wote mzee mbawara na timu yake, watendaji TRC, mafundi na Rais samia kwa kuwa jambo hili ni la manufaa ya wote wala si ya nafsi yenu. mwenye kufanya jambo jema anaifanyia nafsi yake mwenyewe
@bajagihaji89236 ай бұрын
Tunasubiri kwa hamu bravo kwa wote waliotoa mchango na hili kufanikiwa
@GilbertNhigula6 ай бұрын
Rudini Nyumbani Kumenogaa Mama Kasi yake ni Kasi ya mwendo Kasi !, Kazi iendelee.
@jrsingham6 ай бұрын
Mama anapiga kimya kimya kama pacome😂😂😂
@nickson34736 ай бұрын
NO MORE ESCAPE FROM SOBIBO
@edwinalexander11706 ай бұрын
Waziri imebidi aelezee vizuri kwenye hicho kichwa kwani wabongo hawakawii kuulizia mbona kichwa tofauti.😂😂😂
@hallin95616 ай бұрын
ni baada ya kukosolewa sana kwa yale mapipa mliyoyaleta
@msafirimiracle66136 ай бұрын
Hapo sawa sasa,sio zile kama pua ya mbwa,bongo ndio tunaongoza kwa muonekano Africa,so serikali muwe mnaleta vitu vizuri,tuwanyooshe majirani kwanza
@ndukulusudikucho_6 ай бұрын
Hapa kazi tu na kazi iendelee pia
@eddechriss26646 ай бұрын
Hongereni sana serikali yetu, sema siku za mbeleni mbadilishe design mtuletee zile behewa zenye madirisha matatu tu alafu carve yake between roof and side kipenyo kipunguzwe kidogo hapo zitapendeza sana
@MiriamAbdallah6 ай бұрын
Subiri hapo😂😂😂😂😂😂😂
@BONGOINMOTION6 ай бұрын
Ranginmgeweka bendara ya Taifa
@yousuphnzira32096 ай бұрын
Mawazo yangu kama Yako ndugu yangu.Hata zile ndege wangeweka bendera ya Taifa
@issakwisamwasanjobe5416 ай бұрын
Muwe macho na hujuma za kiuchumi za ndani na nje watawadanganya wawaletee ufanisi kwa kodi
@EzekiaMichael-jn5np6 ай бұрын
Sasa serikali naanza kuelewa sana hii ndio treni nilokua navihitaji I love Tanzania
@sebastiansalamba3136 ай бұрын
Kwa nini?
@salimumohammedsalimu17206 ай бұрын
Vipi kuhusu umeme ama tutatumia gas??
@MiriamAbdallah6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 naona watu wanatoa hongera kama wendawazimu bila kuhoji swala la UMEME 😅😅😅😅
@Thekidp37026 ай бұрын
Kwani hujui mradi wa Nyerere au
@danielmkama246 ай бұрын
Aah!! nmefungua hii video ili nisome zile comment nlizozoea bn znanifurahishaga. kwan leo ni akna nan wanacomment? ndg zng mbn cjawazoea hv??!!
@LuckyMusyki6 ай бұрын
Kweli tunaanza kuwaelewa ,hata mm ni moja hao watanzania walitaka hiyo kichwa
@deniccgabriel61536 ай бұрын
😂😂watu wasingepigia kelele kuuusu Ile mikweche tusingeona hiz walau mlizani watanzania hawakumbuki ahadi zenu embu niwaponge watanzania muendeleee kupigia kelele ili mijitu ibadilike aswa mi CCM...
@MiriamAbdallah6 ай бұрын
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@josephkiwale3746 ай бұрын
Mama anaendelea kuwafua wapinzani kimya kimya
@Mollelmichal6 ай бұрын
Safi ila mpo slow san hii nchi n tajir sana kwaiy fanyeni iendane na heshma yake.
@risukiart46156 ай бұрын
wakunya kazi kwenu
@christopherjoseph83306 ай бұрын
Samia kazi anafanya wengin wanamchukulia poa kwasabb ni mwanamke.
@rashdiyange77583 ай бұрын
Sasa apa walah menifulaisha sana snaan walah apo sawa dar tu dom lisaa limoja tuuu wewe weeeee safi sana walah saf sana ndomana kua sema tren gan ya umeme naenda slooo sana ichi sasa ndo kichwwwa safiiiii samiaaa wewe mamaa angu jaman azen fasta tupande sasa oyoooo🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗💪💪💪💪👊👊👊
@abbassaid93056 ай бұрын
Baada ya mwaka mmoja utasikia treni zinatia hasara na zitafutiwe muekezaji
@MiriamAbdallah6 ай бұрын
Hilo halina shaka na umeme utakuaje huu wa kubip😢😢😢😢😢
@joshuajoseph31686 ай бұрын
Jaman kama na hiz tren zingekuwa za blue na nyeupe ingenoga😂 ... Maana (ndege blue& white, mwendokasi blue tren nazo ziwe blue bas ..... Tukiitwa blue country itapeñdeza alf tren ziwe na picha ya mlima Kilimanjaro
@marandoruzali19466 ай бұрын
Why not Magufuli express
@swalehelshabiby59156 ай бұрын
❤ Tanzanian
@BarakerZeonlist6 ай бұрын
hahah watu wanapenda shape ya mchomolo gonga like
@chrispinegervas56576 ай бұрын
Super
@daudimaniseli7596 ай бұрын
MAISHA NI HADITH BASI KUWA UTAKAYE SIMULIWA VIZUR JAMAN HU MSTARI NIMKUBWA SANA TENA SANA... FANYENI MAJAMBO YATAKAYO KUWA CHANZO CHA WEWE KUHADITHIKA..A😢😢😢😢 ALLAH HUMLIPA THAWABU ALIE FANYA KITU KWA AJILI YA WATU... NARUDIA TENA MAISHA NI HADITH.
@HajiDotto6 ай бұрын
Muheshimiwa sema pesa Kiswahili sio Dola hatuelewi
@bonifassimon79096 ай бұрын
Jama majaribio ya hii kitu kichwa mchongoko yasituache na sie matomaso 😅😅😅hongera serikali yangu kwa hii hatua kubwa ya usafiri wa reli aya wale waliotaka kuona vile tuvionavyo kwenye move leo tupo live kwenye jamvi lililotandikwa kwenye ardhi ya mababu zetu twendeni tukapige picha
@matukutajuma1566 ай бұрын
KWAHILI HONGERA SAMIA WANGU MUNGU AKULINDE I SHALLAH
@AnordErio6 ай бұрын
Hahahahahahahahhaha huo muonekano unaendana na uwezo wa muonekano au ndio mwili wa scania ingni ya suzuki carry 😅😅😅😅😅😅😅😅 ???
@meymoh_tz74763 ай бұрын
Pongezi nyingi kwa hayati john pombe magufulu kwa kuanzisha huu mladi pia tujipongeze wananchi kwamaana kodi zetu ndio zinafanya kazi ya haya yote
@jituakilimali156 ай бұрын
Hatujasikia vipi mikoa Ya Kilimanjaro tanga na Arusha hamjatutangazia ujenzi wa SGR
@Zenny896 ай бұрын
Watanzania Ndo hatujui kitu za vitu vizuri…hii treni naipa miezi situuuu…utasikia…vitu vimenyofolewa, Mara mtu kachora chora…ghafla viooo vimevunjwa🤣🤣🤣
@ernestkomba54036 ай бұрын
Sawa safari kamili tunaanza lini?
@Kingsusi6 ай бұрын
Hivi vichwa havina Speed …! Kwanini mnapenda kuwadanganya watanzania ?? Nunueni treni za mwendo kasi
@barikibenson46786 ай бұрын
Kiukweli WAKENYA tunasonga na maendeleo😂
@rashdiyange77583 ай бұрын
KWAKWER MPAKA NIME MUONEA LUMA MBARAWA MANA ANA SISITIZA SANA KWAKWERRRR JAMANI IKI KICHWA CHA NYOKA ILA NIME PENDA TUSINGE ONGEA KISINGE KUJA IKI WALH SAFI WALAH DAAAAAA
@antonydangote58796 ай бұрын
Yani hapo kilichobadilika ni kichwa tu speed ni Ile Ile kinyonga😅
@stephenalmas42096 ай бұрын
Sasa km mlileta used kwa nini tusiseme...tenda km unavyotaka tukutendee ili uendelee kuneemekaa.
@emmanuelmasanja60406 ай бұрын
Jirani zetu wamekaa kimya😂😂😂KIMEWARAMBA
@bbanyikwa6 ай бұрын
Hapo sawa sasa
@bernardjohn87886 ай бұрын
Wangebadili rangi iwe blue 🔵 na white 🤍 hiyo rangi haivutii
@BarakerZeonlist6 ай бұрын
hiyo design ya collor ibadilishwe at least
@saidsobongo9126 ай бұрын
Watanzania wana vurugu yani wameitia tafrani serikal yao mpaka ime badilisha mfumo wa vichwa huko kiwandani mmmmh assalamaleko watz
@betyjoseph68126 ай бұрын
😅😅😅 hatimae tumepata shepu mchomoko
@geofreymaghali1836 ай бұрын
😂😂😂
@omarymkamba30456 ай бұрын
Hawataji kutaniwa na wakenya😂😂😂
@MiriamAbdallah6 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅 na mpaka waseme na umemeeeeeee jeeeeeee😅😅😅😅😅😅
@allymohamed26306 ай бұрын
Kama sio magufuli hata yote leo hii zizani kama yangelikuwepo ila hatuwezi kumsahau makamo wake mama.samia ameendelea kusimama imara kuendeleza yale yoote yalio achwa na mtangulizi wake rip jpm
@jumashedafa6 ай бұрын
Ata mie hil la rangi wangejarib kutumia rangia ya air tanzania ktk ndege, meli na hay mabehew ingependez san bila kumsahau twiga wetu
@jasonwatz74576 ай бұрын
Ile ni rangi ya air tanzania , hii ni ya trc, kila nchi ina rangi yake
@durangobasics61956 ай бұрын
Rangi hii nzuri tu
@jumashedafa6 ай бұрын
@@jasonwatz7457 nchi ni moja yakitofautiana majin na maumbo ya vifaa mf; ndege, vichwa vya treni na meli inatosha ila rangi itumie ile na logo wanawez badil tu ile isitofautian san
@MiriamAbdallah6 ай бұрын
@@jasonwatz7457rangi sio tatiza , umaemeeeeee
@abdulyabdunuru14766 ай бұрын
Mtuambie twende na power bank umeme ukikatika tunaunganisha 😅😅🤪
@noelmarapachi18086 ай бұрын
Vinaitwa Bullet train, sababu ya umbo lake kuchongoka mbele kama risasi
@salimkirungi56766 ай бұрын
Haya hajanunua magufuri acha kujichizisha, hii ni kazi mama Samia kupitia kodi zetu. John Pombe ameshafanya yake na tumeyaona😢😢 tusiwe wachoyo washukurani, hii ni kazi ya mama kizimkazi na hapa ipo 😂😂😂
@MiriamAbdallah6 ай бұрын
Shida UMEME ndugu zangu 😅😅😅😅😅😅😅
@ShabaniMwenyasa-zi9kk6 ай бұрын
❤❤Tz
@clementhiddi14866 ай бұрын
Hopefully watanzania watakuwa wastaarabu, na usafi, pia waandalieni mifuko ya kutapikia tu. Pia waache kula kula hovyo njiani
@omarymkamba30456 ай бұрын
Treni huwa zinapishana kwenye stesheni ya treni
@wozanawewoz9796 ай бұрын
Vitunzwe basi jamani, sio baada ya muda viwe dampoo
@DoriceSawaki-vg4sb6 ай бұрын
Asa vitakuwa vinapishanaje kwenye reli moja, wataalam mtisaidie hapo
@iddrashid70546 ай бұрын
Kuna mtu anahoji eti mama kakopa tilioni 30 wakati haya manunuzi na ujenzi hayajawahi kufanyika toka uhuru
@MichaelMathew-j3f6 ай бұрын
Hii rangi mi sipendi
@braystuskibassa38426 ай бұрын
Mbaka watu wasema au?
@judithkirenga99776 ай бұрын
Still Mchongo, tumepigwa bado
@Fadhilimwamlima6 ай бұрын
Kuletwa zile treni za kwanza ulikuwa mtego kwa wapinzani zimeletwa hizi sijuwi utasema nini tena
@meshacknyandongo5776 ай бұрын
Uharibifu wa pesa, sasa usiongee tu kwa ushabiki
@Livhoodchibz6 ай бұрын
Watanzania na kwa mara ya kwanza😂😂😂
@MathayoMulumbi6 ай бұрын
Viva magu ulithubutu
@reginaldmapunda67026 ай бұрын
Kwani isipochongoka Kuna athari Gani kama mwendo kasi ni uleule ? Au hivyo vina speed yake au uwezo wa kubeba mizigo mingi kuliko hivyo visivyochongoka ?
@matheobaha7736 ай бұрын
Vichwa vizuri kwa mwonekano ila spidi ya kinyonga
@EmmanuelNyinyigwa6 ай бұрын
Apana hapo Mme tupga mmebumba bumba Tu wala sio kwa muonekono huo ila poa Tu hata hivyo tuna wapongeza mmejitaidi
@SaidMaulid-t9m6 ай бұрын
So mulisema kama hatoyamaliza aliyo yanzisha maguful tuwa subra tusiwe wepesi wa kuhukumu
@fredrickmwakalinga63906 ай бұрын
Hata hayo matreni ya kizamani si yanachongwa tu au
@selemanmaganga-le4zg6 ай бұрын
Kenya wanavichwa vya bata maji
@MathayoMulumbi6 ай бұрын
😂😂
@omarybakunda25546 ай бұрын
Nimefurahi sana
@OmariMhina-b8q6 ай бұрын
Apa kwel cyo ile ya mwanzo ya ubungo gerezan
@MohamedAbedi-db7ny6 ай бұрын
yani nyinyi kila kitu kenu kigeni
@HusseinHamza-q2p6 ай бұрын
Viwekwe nakishi ya ranging ya bendera
@profs.a54126 ай бұрын
Hivyo ndio vichwa vya tren ya umeme sasa😂😂 sio Yale mafuso ya mwanzo😂
@fxmeddy95676 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@MiriamAbdallah6 ай бұрын
Umeme uko wapi😂😂😂😂😂😂😂😂
@nickson34736 ай бұрын
AFADHARI ILE ESCAPE FROM SOBIBO IMEWEKWA PEMBENI, HAPO TUNAWAHAKIKISHIA MITANO MINGINE
@mohamedrajabu90556 ай бұрын
Ukweli tumeuona vp mmejipaga vp kuhusu umme
@mussangalawa24036 ай бұрын
Sitoi pongezi coz huo ni wajib wenu
@BONGOINMOTION6 ай бұрын
Kuhusu kutovaa jezi za sundowns gvt ilisema inatania