Zahir hongera kwa kazi nzuri unayoifanya Allah akulinde na maadui
@happynesbaemuhappynes8813 Жыл бұрын
MashAllah nyumba nzuri. Allah akujaze kila la kheri na umri mrefu uzidi kutusaidia InshaAllah. Namimi naitaka kama hiyo
@bhemloved-im6or Жыл бұрын
Mashallah Kaka Zahir na cc WA zanzibar tunaomba utusimamiye
@saidaal1679 Жыл бұрын
Mashaallah mjengo unavutia sana kila la kheri kaka zahir ktk majukumu yako
@ITIKAGIDEON5 күн бұрын
Namba za simu please
@FauzyaHassan4 ай бұрын
Bila Shaka Kaka zaid itakuwa nibonge 😂maana Una hema Sana hongera kwa KAZI nitakucheki ngoja nijichange nakianziyo tufanye kazi
@sikitujuma4866 Жыл бұрын
Kazi nzuri sasa kwa kuwa wewe ndio umesimamia ujenzi mwanzo mwisho twambie garama yaiyo nyumba mpaka iko hivyo ili ututamanishe tujipange ili mtu aone kumbe nikiwa kiwango hiki ntapata nyumba
@AfricaQueenАй бұрын
Kweli kabisa🤝
@AmAl-x9j3 ай бұрын
Uwe una fafanua hatua kwa hatua na gharama zote za hatua kwa hatua,,.Sasa unatuambia ukiwa na kiasi kadhaa mara kiasi kadhaa. Sasa tutajuaje bei ya vifaa vya ujenzi Kwa Sasa kama huweki wazi,, Nadhan utakua mpigaji wa chinichini kama mafundi wengine wahuni
@AmaniRazalo7 ай бұрын
Kwakweli ngoja tutafute hela kweli kweli duniani kunamambo mazuri
@SophiaAlly-ih2ss11 күн бұрын
Masha allah nikiwa na milioni 4 utanijengea
@maximumtvonline11 күн бұрын
Nichek sophy tuongee 0753393036
@myunaniniahmad6463 Жыл бұрын
Yani mwenye nyumba akiona hivi ana furahaa kupita maelezo. Na akikumbuka alivyo pigwa vitu vizito na ndugu.❤👏
@HakizimanaSalima-sg7cv Жыл бұрын
Mashaallah Allah akuifadhi Kaka zahiri Allahumma Ameen
@MizeKombeSuleiman-id1rp Жыл бұрын
Mwenzangu ulie jengewa hongera 🎉
@ramlajeffah9831 Жыл бұрын
Ma sha Allah tabaraka Allah lakuwata ila bilah
@aishaissa2512 Жыл бұрын
Hongera zahiri kazi nzuri🎉🎉🎉
@halimasaif3061 Жыл бұрын
Mashallah kaka upo vizuri
@YasmeenKhalifa-zq1zk3 ай бұрын
Assalam aleykum kaka zahir samahan naomba kukuuliza na mikoan unakwenda pia
@YasmeenKhalifa-zq1zkАй бұрын
@@OfficialA83640 mbona mnanicheka
@YasmeenKhalifa-zq1zkАй бұрын
@@aishafrancis7714 njoo 📥 inbox
@Mpakauseme Жыл бұрын
beautiful 😍
@rahamrahma6259 Жыл бұрын
Mashaallah good job
@isunga19649 ай бұрын
Nimeipenda tails kwa jiko jamni uwii
@RahmaAbuubakarАй бұрын
Ndugu yetu nakupigia simu hupokei.
@maximumtvonlineАй бұрын
0753393036
@mwajoma13739 ай бұрын
Mashaa Allah
@YasmeenKhalifa-zq1zk3 ай бұрын
Assalam aleykum kaka zahir samahan naomba kukuuliza na mikoan unakwenda pia naomba unijibu
@maximumtvonlineАй бұрын
Ndio 0753393036
@ReginaManyangu-u4j3 ай бұрын
Kazi nzr
@Adelina.Kagina11 ай бұрын
Mungu akubariki
@khadijasayeed3381 Жыл бұрын
MashaAllah❤
@KassimAlly-l2r3 ай бұрын
Million hiyo ni ya fundi au niya nyumba mpaka kuisha
@GasperGodfrey-bz7it6 ай бұрын
Ngeneza channel special kwaajili ya ujenzi tu kusipostiwe video zingine tofauti na ujenzi
@ramlajeffah9831 Жыл бұрын
Assalamu alaikum warahmatullahi wabarakatu kakazahir hiyo nyumba ina vyumba vingapi
@JanethMadios2 ай бұрын
Mbona unakimbiza kimbiza camera yaani hujatulia ili tuone vzr
@barakawanga13510 ай бұрын
Je nyumba kaa hiyo Hadi isimame itakua shilingi ngapi
@nicholasamuyunzu72467 ай бұрын
Zahir mimi nahitaji shamba ekari moja Kisha unijenge nyumba kama hii ndugu yangu jumla ya fedha zinazohitajika ni kama ngapi hivi.
@maximumtvonlineАй бұрын
Nichek whatsapp
@maximumtvonlineАй бұрын
0753393036
@ameenaameena422 Жыл бұрын
MashaAllah
@KisaMax3 ай бұрын
Zahir Kuna mdada ulixha wahi kumuoji kile kipind Cha mwanzo kabsa akawa anasema ametupiwa jini na alikua anaxhndwa kutembea vzur tunaeza mpata Kwa kweli manake video zake umefuta naitaji kumsaidia
@muhsinali5536 Жыл бұрын
Zahir fanya mazoezi
@BamBam-q6l2 күн бұрын
Nikwe zair ulikua kimnya sana kaka ila pia pore kwa chang moto za fqmilia
@nishaabdula50159 ай бұрын
Ss i mi 4 ni yk ya iufanya kz au ndo garama ya nyumba nzima
@Tiffahmkundia-lz3tc8 ай бұрын
Nilidhn np peke Najiuliz ilo swali
@nicholasamuyunzu72467 ай бұрын
Kazi safi kweli hongera.
@muhammadhussain449 Жыл бұрын
Sasa mwenzenu sijaelewa milioni nne ndio nyumba imeisha kweli mbna sijaelewa mwenyezenu
@mashamasha-de5xz9 ай бұрын
Kaka zahir nakupata aje ninahitaj kuwasiliana na ww bro 🙏😮
@maximumtvonlineАй бұрын
Nichek whatsapp 0753393036
@mmichaeleletricet45544 ай бұрын
Eti milioni nne kwann usimwambie mtu ukwelii sawa ni nzuri ila milioni nne hakuna
@maximumtvonlineАй бұрын
Kwan nimesema million 4 kamili inamaliza kila kitu!! Nimesema unalipia million 4 tunaanza ujenzi inayobaki unalipia kidogo kidogo
@salmaalkindi573511 ай бұрын
Mjengo huu mpaka nyumba inamalizika kila kitu kiasi gani
@HakizimanaSalima-sg7cv Жыл бұрын
Ok
@muhammadhussain449 Жыл бұрын
Kwaiyo kama ninalimioni 7 nataka munimalizie itakayo baki nalipa deni kila mwezi au
@cobraff79436 ай бұрын
Zanzibar kujengewa
@maximumtvonlineАй бұрын
Tunaenda popote
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Maa shaa Allah
@cosmasthomas91649 ай бұрын
Sasa brother unatuchanganya!bei ya kujenga mjengo wote huo ni kiasi gani?
@marysaulo324310 ай бұрын
Zaili siku izi usaidii watu wenye alingumu
@tumainimatembo8688 Жыл бұрын
Msingi mfupi ongeza msingi uwe mlefu akiba kma itatokea mafuliko
@aishaissa2512 Жыл бұрын
Zahiri yuko makini kwenye ujenzi kuhusu msingi usiwe na shaka💯
@twix1404 Жыл бұрын
Kweli msingi mfupi sana angeongeza
@aishaz1Ай бұрын
ARUSHA PIA MNAKUJA
@maximumtvonlineАй бұрын
Yap
@Sabratheboss-gd6ie2 ай бұрын
Namba ikowapi
@mashamasha-de5xz9 ай бұрын
Kaka nakupat aje 😢
@samsungoman5626 Жыл бұрын
Maashallah
@hawasaid2670 Жыл бұрын
Mashaallah kaka zahir
@margaridaagostinhoacaciona36569 ай бұрын
Mimi naitaka kujenga
@Latifa123Latifa124 ай бұрын
Nyumba iko poa
@ramlajeffah9831 Жыл бұрын
Kaka zahir nitumie ramamani ya hiyo nyumba kaka
@sophsoph47409 ай бұрын
Hiv jmn hiv vioo vinabei kubwa sana
@maximumtvonlineАй бұрын
Kawaida tu
@khamoshmikidadi618 Жыл бұрын
Mbn hujib msj
@aitharyallyramadhani Жыл бұрын
Mashallah ❤
@JoshuaOwino-u9r Жыл бұрын
Naomba namba mkuu
@muhammadhussain449 Жыл бұрын
Hau ikoje ebu niweke wazi
@leilasaid3623 Жыл бұрын
Kaka zahiri nakutafuta sikupati
@WardaSalehe Жыл бұрын
Hii nyumba imegarm kiasi gani
@shamzone388 Жыл бұрын
Zahir hii nyumba ipo wapi na mtaa gani nijibu plz
@AminaHasan-n6l26 күн бұрын
Zahiri mbona hutwamviagi bei
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
🎉🎉🎉
@AsiaSiraji-ud9ju Жыл бұрын
Naomba namba yako kaka Zair
@queen-jejeog88852 ай бұрын
Nakupataje
@maximumtvonlineАй бұрын
0753393036
@ashazuber6548 Жыл бұрын
Jaman natafuta nyumba iliyo isha kabisa na bei mnitajie❤
@maximumtvonlineАй бұрын
Nichek whatsapp
@maximumtvonlineАй бұрын
0753393036
@watendenassoro1079Ай бұрын
Wewe muongo
@watendenassoro1079Ай бұрын
MashaaAllah nyumba yake ni mzuri Sana na inavutia kwa kila mtu ila wewe Kaka ni muongo na mnafiki mkubwa Tena wewe fezur WA mwisho unavutia biashara yako ili upate mtu akutumie pesa upate kuwajengea watoto wako na Familia yako kitendo ulichomfanyia MWANAMKE mwezetu WA Dubai siyo vizur kabisa arafu unamtishia maisha yake tunakuomba umlipe pesa zake zote amekutumia milioni kumi kasolo laki Sita tu mimi pesa ninayo Lakin sitokutumia ww tapeli pesa zangu eti unijengee nyumba taperi kama wewe rohoooo 😢😢😢😊
@asias8724 Жыл бұрын
Mashallah nzuri sana 👌👌😍😍
@safiyaramadhan373 Жыл бұрын
Tatizo kaka zahir hautoi namba yako utapataje maelekezo sasa
@Rose-ue2ho Жыл бұрын
1
@MrHalima-l1h Жыл бұрын
Milion 4mpka Na bati
@umahmed8273 Жыл бұрын
Hiyo nyumba inauzwa?
@AminaAbdullah-ws3wy Жыл бұрын
Zahir mm nataka naomba namba yako tuongee
@maximumtvonlineАй бұрын
0753393036
@maximumtvonlineАй бұрын
0753393036
@maryammdoe5801 Жыл бұрын
Zahir naomba namba yako tafadhali
@maximumtvonline Жыл бұрын
0625466848 hyo hapo
@daviddouglas8943 Жыл бұрын
Million 4?
@Peninandembo7 ай бұрын
Naomba namba ya simu niwasiliane na wewe
@mhogomchungu7168 Жыл бұрын
Million 4 kujenga mpaka kumaliza nyumba hii au ya kuanzia tu?
@maryamudunga1094 Жыл бұрын
Hata mm nimejiuliza
@OmanOman-vb4uj Жыл бұрын
Vyumba futi ngpa kwa ngapi
@billywilliammyovella2202 Жыл бұрын
Mil 4 kweli? Kweli?
@OmanOman-vb4uj Жыл бұрын
Naona hii yakuanzia ujenzi
@Happy-tx7p Жыл бұрын
Number yk pls
@MaryamAbass-z1x Жыл бұрын
Zahir hongera kwa kazi nzuri unayoifanya Allah akulinde na maadui