HII NDIO NYUMBA YA SPIKA wa BUNGE wa TANZANIA MHE. TULIA ACKSON DODOMA

  Рет қаралды 183,013

Wasafi Media

Wasafi Media

Жыл бұрын

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 120
@muntueric-oy1ty
@muntueric-oy1ty Жыл бұрын
Mhe Tulia for life... @wasafi for life💪💪💪
@iddyramson2991
@iddyramson2991 Жыл бұрын
ujitambui bado
@ameirdarueshi2593
@ameirdarueshi2593 Жыл бұрын
@@iddyramson2991 kkkkkkkkk
@Oldskulgemini9991
@Oldskulgemini9991 Жыл бұрын
Ndo nn sasa Hivi
@lusupi
@lusupi Жыл бұрын
Kwa tunaoishi dodoma tunaijua hii nyumba ilivokua ina balaaa🔥🔥
@chrissg4026
@chrissg4026 Жыл бұрын
Balaa gani tena?
@SophlaJackson-nt1nc
@SophlaJackson-nt1nc 7 ай бұрын
Ongeleni dodoma ulaya sikuizi
@demetriaswai3193
@demetriaswai3193 Жыл бұрын
Nzuri sana hongera mheshimiwa
@DeusMagere-hd1co
@DeusMagere-hd1co Жыл бұрын
Sisi wenye vyumba kimoja tujuanee 👇👇
@jumakisailo8496
@jumakisailo8496 Жыл бұрын
🙄🙄🙄...mimi Nina chumba kimoja isitoshe kuna sehemu inavuja, Choo changu ni passport size.
@mohamedsaid2882
@mohamedsaid2882 Жыл бұрын
Pamoja sana mwamba 😂😂😂
@AdamFundikira-kk5oj
@AdamFundikira-kk5oj Жыл бұрын
​@@jumakisailo8496 ila anajitahidi kuwabana mawaziri mizigo
@EzzyK438
@EzzyK438 Жыл бұрын
Chumba chenyewe tumepanga 😂
@evertheobald1811
@evertheobald1811 Жыл бұрын
Yote kwa yote sote pumzi yetu inamilikiwa na Mungu, bila kujali elimu, sura. Cheo, n.k,! Na mwisho wa siku nyumba ya kudumu ya kila mmoja baada ya haya maisha ni kaburi, hakika Mungu ni fundi mkuu.🙏🙏
@divaimafuru6844
@divaimafuru6844 Жыл бұрын
Mwembie dk Tulia tunampenda sana
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Жыл бұрын
Hongera sana kwake
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 Жыл бұрын
Mdogo wangu nakupenda sana Spika wabunge
@panchovalentino3576
@panchovalentino3576 Жыл бұрын
Jumba jumba kweli kabisa 💯🔥💥
@Soon815
@Soon815 5 ай бұрын
WaTz elimu duni kwa kwel😢😢 Hiyo nyumba ni ya mhimili wa bunge sio serikali! Hv shule mlienda kusoma nini??? Leo nimeamini Tz kielimu tupo nyuma mno.
@MubinaRoshan
@MubinaRoshan Жыл бұрын
Nampenda spika wa bunge yuko pice saba😂❤❤❤❤❤❤
@imelidamfikwa7954
@imelidamfikwa7954 Жыл бұрын
Hayo ni makazi ya Spika,Nyumba ya Tulia mumuulize mkapige picha kama mtaruhusiwa.Pili kiitifaki kuonyesha hivyo haikai vizuri sana.
@RonicaKolimba-ne3zh
@RonicaKolimba-ne3zh 7 ай бұрын
P
@abdulkarimukusaga3617
@abdulkarimukusaga3617 Жыл бұрын
I love ❤️ spika
@ibrahimally8073
@ibrahimally8073 Жыл бұрын
Hapo Ni kwa spika kama mtumishi wa serikali ila nyumba ni ya serikali na sio nyumba ya spika..
@Udindigwa
@Udindigwa Жыл бұрын
Inapendeza SANA
@sebastianmichael4031
@sebastianmichael4031 Жыл бұрын
Hiyo nyumba ni mali ya serikali, siyo spika mmiliki wa hiyo nyumba.
@user-qs9dm5dc2o
@user-qs9dm5dc2o Жыл бұрын
Home street home Mwangosi jamani tuwe wakweli hiyo nyumba ya kaiwada tu ni mjengo wa kisauziiii😅 Dom na Uzunguni kwetu hapo sema picha imenogesha na hiyo ni ya serikari alienza kukaa hapo Anna Makinda kama spika wa bunge kisha hao wengine wamefuata.
@priscajube4239
@priscajube4239 Жыл бұрын
Ni kweli. Imenogeshwa kwenye video. Ni nyumba ya kawaida. Ata watu binafsi wanazo zaidi ya hiyo. Naijua pia
@mwanyongamama4407
@mwanyongamama4407 Жыл бұрын
Kazi Spika wangeni wa leo tutacheka hadi tuongeze Siku Ubarikiwe
@pastoraile7195
@pastoraile7195 Жыл бұрын
Africa people kwa mama huyoooo vituu vidogo
@victorjames3730
@victorjames3730 Жыл бұрын
Sjui nilitaka kusema Nini ila acha nilie tu😢😢😢
@tabiaramadhani2348
@tabiaramadhani2348 Жыл бұрын
MUHESHIMIWA TUNAOMBA SISI WAKAZI WA VIKAWE MKOA WA PWANI WILAYA YA KIBAHA UTUANGALIE KWA HII BARABARA AMBAE INATAKIWA WATU WALIPWE PESA NA NDIO IANZE KUTENGENEZWA ASANTE SANA KIONGOZI WANGU
@mwanyongamama4407
@mwanyongamama4407 7 ай бұрын
Nyumbani pamependeza na hao wameongea vizuri Wabarikiww
@jesseboy6024
@jesseboy6024 Жыл бұрын
Makaburi ndio majumba ya uhakika tuyaimarishe haya ya duniani ni mapito tu Akherah ndio makazi✓ {{قل إن الخاسرين الذين خسروا أنفسهم وأهليهم يوم القيامة ألا ذلك هو الخسران المبين}} الآية الزمر.
@mosesmaiga7408
@mosesmaiga7408 Жыл бұрын
Basi wewe subiri ufe uende uko makaburini acha roho zakichawi na hayo mandishi yako yakitumwa mwanaume ni mtu wa kupambana siyo hadithi za kiarabu au za kizungu
@manifestationmastermindset6518
@manifestationmastermindset6518 Жыл бұрын
Kodi yangu
@franktangeki9342
@franktangeki9342 Жыл бұрын
anaishi kama yuko ulaya nyumba nzuri natumaini inazidi ata ya waziri mkuu.Nyumba hiyo inaweza kununua vibanda umiza vyote pale arusha na kubaki chenchi
@richardburundi3090
@richardburundi3090 Жыл бұрын
Ninzuri ila bado wokowatanzania hawana umeme nabato wanakunyamaji yakutoka gisiman
@ikouwasi7644
@ikouwasi7644 Жыл бұрын
@@richardburundi3090 we nae Sasa watu wasijenge kisa
@ikouwasi7644
@ikouwasi7644 Жыл бұрын
@@richardburundi3090 harafu hayo maji ya gisimani ndo maji gani
@filamupictures9349
@filamupictures9349 Жыл бұрын
@@richardburundi3090 binadamu siku zote hamkosi la kusema, hata angekuwa anaishi kwa kujidhiki mngemsema vilevile, ni kheri amejenga jumba lake anaishi, kuwa kiongozi haimaanishi ndio utakuwa Yesu wa matatizo ya watu wote, kiongozi anafanya kadiri ya uwezo wake, wokovu mwengine ni wa mwananchi mwenyewe afanye jitihada kukomboa familia yake. Nyinyi mnaomsema huyo angekuwa mama yenu au shangazi yenu yasingewatoka hayo maneno. Na mpaka mnamuona mtu kafika aliko fika mjue kapambana kwenye maisha yake, acheni ushamba, mnataka watu waishije, huyo kiongozi wa kubeba umasikini wa dunia hayupo
@bigirumanalululouise4540
@bigirumanalululouise4540 Жыл бұрын
❤❤❤
@ibrahimshilinde6129
@ibrahimshilinde6129 Жыл бұрын
Hapo chawa watasifiaaa,Hadi saa kumi jioni.
@cooler3263
@cooler3263 Жыл бұрын
Daah wanainjoi
@seneu.2128
@seneu.2128 Жыл бұрын
Hiyo ni nyumba ya serikali kwa ajili ya makazi ya spika aliyechaguliwa maana yake hata ndungai aliishi hapo na sio nyumba binafsi ya tulia...ila kupitia nyumba hii ndio utajua nikwanini viongozi wa nchi hii hupigania madaraka kwa njia yeyote hata ikibidi kumngoa mtu meno.
@johanesnixon5473
@johanesnixon5473 Жыл бұрын
KUSOMA RAHA
@jamesshaw4011
@jamesshaw4011 9 ай бұрын
Mwafrika ni mtu mweusi tu anajifikiria yeye na family yake tu...Nchi masikini madawa huduma za hospital barabara ufisadi fursa hakuna kwa masikini. MIKATABA ya kifisadi ....kiongozi yeye anatanua tu...mtu mweusi ni mweusi tu.
@fatmasherallysherally537
@fatmasherallysherally537 8 ай бұрын
Chezea cheo weyye
@czechzyamwaga1021
@czechzyamwaga1021 Жыл бұрын
Walaji wa pesa zetu hao
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Kabisa ila Walimu Madaktari na Manesi na watumishi wadogo tunakatwa makato ya kila aina ili wao waishi peponi. MUNGU umulika hawa
@MichaelSimba-nk7mu
@MichaelSimba-nk7mu 8 ай бұрын
Usipotoshe watu, hayo ni makazi yake binafisi siyo nyumba ya serikali, usiongelee vitu usivyovijua.
@mayrose9772
@mayrose9772 Жыл бұрын
Ya kwake au ya serikal
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Wanaishi peponi walipa kodi wanaishi hohehahe presha kila kukicha
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 8 ай бұрын
Hii nyumba aliyechukua crip alitumia Majenta. Yaani hata kama kijani niyakwaida utadhani waliweka mbolea.
@rambostalon2888
@rambostalon2888 Жыл бұрын
Kudadadeki mnawakandamiza watu wa chini nyie mnaishi kifahari kumaae zenu
@kanghanhankang1440
@kanghanhankang1440 Жыл бұрын
Siku akiacha anaondoka nayo au vip😅😅
@user-sy9wy8gt5l
@user-sy9wy8gt5l Жыл бұрын
Duh bonge la mgeto
@LtW2-om6yj
@LtW2-om6yj Жыл бұрын
Duu mnapesa ila hamna kelele ilaringia TikTok utakitana nawa2 tafta ela tafta ela mpaka kichwa kinauma ila kumbe kunawa2 mnaela na amna kekele
@JJ-fb9jp
@JJ-fb9jp Жыл бұрын
Ila zembwela aisee anapendeza kwenye comedy tu avae vipensi. Kama suti haimtoi
@mariamirumu4669
@mariamirumu4669 Жыл бұрын
Ni nyumba ya serikali au yake binafsi?
@leonardkyara7422
@leonardkyara7422 Жыл бұрын
Hapo wa kusifiwa ni watz kwa kutoa kodi
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
Na wakutukanwa ni watz wanaolipa Kodi halafu zinatafunwa na wachache,,,
@abelicharles6874
@abelicharles6874 Жыл бұрын
Amewaheshimisha kwa lipi ujinga tu
@SelinaMdoe-jv1pu
@SelinaMdoe-jv1pu 8 ай бұрын
Simfanye mlioyafat a mbona sifa nyingi sana hamna hata la msingi vipi mnamwaga sifa tu
@leganmichael6148
@leganmichael6148 Жыл бұрын
Bado mbeya inakuhitaji
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 Жыл бұрын
Ehh
@zahorsalum4976
@zahorsalum4976 Жыл бұрын
Hawa ndo mafisadi wanchii hii.
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Exactly
@faiditv5535
@faiditv5535 Жыл бұрын
Sio faida ya habari hii ndio nin sasa
@khamisame8435
@khamisame8435 Жыл бұрын
Wakesha tok bungen hao utawakut wanaumwa maradhi tele
@alvinbenito5243
@alvinbenito5243 Жыл бұрын
Pepo za dunia sio mchezo
@hydo8027
@hydo8027 Жыл бұрын
Sasa inakuwaje wameingia na viatu ndani😆😆
@AliMohamed-gv7nw
@AliMohamed-gv7nw Жыл бұрын
Upumbavu iwasaidie nn Sasa mnao waonesha ilhali wao wanashida naumaskini
@chikusangalala7759
@chikusangalala7759 Жыл бұрын
Mnajuwa kutuibia
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi Жыл бұрын
Sasa hapo umeibiwa nin🤔🤔🤣
@jacklinemolleli5238
@jacklinemolleli5238 Жыл бұрын
Tulia ni msomi
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 Жыл бұрын
@@TM.Sullusi 😆😆😆😆
@geoufo2858
@geoufo2858 Жыл бұрын
Nyumba nzuri simple yn mama wawatu cio mwizi kwakweli
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Жыл бұрын
Simple kivipi hizo ni kodi za wananchi
@filamupictures9349
@filamupictures9349 Жыл бұрын
​@@ilynpayne7491kwa cheo chake hiyo ni simple
@simonmasunga7398
@simonmasunga7398 Жыл бұрын
Eti siyo mwizi, are you CAG or PCCB?
@ramayonline2281
@ramayonline2281 Жыл бұрын
@@ilynpayne7491 ulitaka awe na nyumba ya aina gani??? Je yey siyo mfanyakazi ambaye analipwa??
@filamupictures9349
@filamupictures9349 Жыл бұрын
@@ilynpayne7491 wewe unadhani kwa mshahara wake hawezi kujenga hivyo? Hasa ukizingatia ana miaka zaidi ya saba bungeni, na alisha kuwaga profesa (wa chuoni, sio wa heshima, wa chuoni, kasoma) kwa miaka kumi na, yani pesa alikuwa nazo kabla hajawa mbunge, bado tu unaamini hawezi kujenga hivyo??
@kingkendrickk
@kingkendrickk Жыл бұрын
Siasa inalipa
@cvanoedward3093
@cvanoedward3093 Жыл бұрын
Mbona fupi sana wajameni nilitamani niendelee na mimi nifanye utalii wa ndani kupitia video hii
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Жыл бұрын
Hata mm
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Жыл бұрын
Nyumba ni ya serikali
@samwelmollel602
@samwelmollel602 Жыл бұрын
Yakawaida Sana njooni Arusha
@franktangeki9342
@franktangeki9342 Жыл бұрын
😀😀wabongoo du
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 Жыл бұрын
Tuje arusha kufanya nn
@ikouwasi7644
@ikouwasi7644 Жыл бұрын
we unayo
@lusupi
@lusupi Жыл бұрын
Huijui hiyo nyumba kali sana siku pita nje uione
@madirishasimon9692
@madirishasimon9692 Жыл бұрын
Arusha tena wakati sie tuko dodoma
@suleimanjokoro
@suleimanjokoro Жыл бұрын
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi ni CHACHE Sana na zimejaa taabu nyingi"🤔
@wilsonkaseha2034
@wilsonkaseha2034 Жыл бұрын
Unajaribu kisemaje yaani😂 usitutishe bhana hilo linajulikana
@wilbertmmary9076
@wilbertmmary9076 Жыл бұрын
Ila Kuna nyingine hazina tabu aiseee😅😅😅
@user-qy3gk8of7k
@user-qy3gk8of7k Жыл бұрын
Tafuta pesa
@hamadsuleiman5177
@hamadsuleiman5177 Жыл бұрын
Hii sio ya kushangaaa maana yeye ni SPIKA na B4 alikua Naibu Spika....Sasa hemu jiulizeni ikiwa mbunge anafikia 12M per month including mambo yote yeye jeee??....Soo nirahisi tu kujenga nyumba kama hiyo kwa kweli...Ila pia huyu dada anapiga kazi kweli kweli hilo tumpongezeni sana sana sana
@johnpella8703
@johnpella8703 Жыл бұрын
Miongoni mwa watu watakaoendelea namshukuru JPM.
@emmanuelessaugurtu9421
@emmanuelessaugurtu9421 Жыл бұрын
Hongera Sana Spika wetu kwa nafasi yako hata angelikuwa nani hayo angelifanya,jamani hata kuhani hula madhabahuni Ila mama pambana na maslahi ya watumishi ikiwa ni pamoja na kuondoa kikokotoo,tupeni haki zetu zote za pensheni tufurahie matunda ya kustaafu
@edwingwesso6818
@edwingwesso6818 Жыл бұрын
Nyumba yake au ya serikal?
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 Жыл бұрын
Nyumba ya serikali mahsusi kwa ajili ya speaker kuishi
@frankngoloka5416
@frankngoloka5416 Жыл бұрын
Yakwake hiko salasala
@ibrahimally8073
@ibrahimally8073 Жыл бұрын
Ni nyumba ya serikali..
@ibrahimally8073
@ibrahimally8073 Жыл бұрын
​@@frankngoloka5416 wacha kudanganya watu wewe.. hiyo ni nyumba ya serikali.. na kabla ya huyu tulia ackson.. maspika wote waliotangalia waliishi hapo hapo.. khaaa eti nyumba yake ulimjengea wewe??
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 Жыл бұрын
@@frankngoloka5416 bac hyo ya kwako....hongera kwa nyumba nzuri...aiseee una hasira kali ww😆😆😆😆
@jeffhard5773
@jeffhard5773 11 ай бұрын
Machawa pro MAX A.k a wazee wakujipendekeza hamna baya nyie kazi yenu ni kusifia tu UTOPOLO
ROCK PAPER SCISSOR! (55 MLN SUBS!) feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
ОДИН ДЕНЬ ИЗ ДЕТСТВА❤️ #shorts
00:59
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 9 МЛН
BABA YANGU KIPOFU Full episode/14/ #love
30:06
BabaJoan
Рет қаралды 169 М.
Picha za Jumba la kifahari la Spika wa Bunge Dk Tulia zawa gumzo!
1:53
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 19 М.
😁💸 @karina-kola
0:16
Andrey Grechka
Рет қаралды 6 МЛН
Оказался НЕНУЖНЫМ и Его БРОСИЛИ🐶💀
0:38
ИССЛЕДОВАТЕЛЬ
Рет қаралды 3,3 МЛН
Такого они не видели😱😍
0:55
Следы времени
Рет қаралды 3,5 МЛН
😁💸 @karina-kola
0:16
Andrey Grechka
Рет қаралды 6 МЛН
100❤️
0:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 6 МЛН