Enyewe kaka LUMBASI aiheshimu kazi yako zaidi nikimpongeza ndugu jogoo pori nina imani siku moja ambayo haina jina wala haijulikani tutaonana tuu kwani nyie ni marafiki pia mashemeji na zaidi jirani zangu TZ ingawa mie nimzaliwa wa TZ japo wazee walifanya tuu kutafuta maishana kisha kurudi kwao kenya so TZ ni home big up boys.
@patiencembekelu240 Жыл бұрын
Pole Latifa kwa yote uliyopitia, lakini saihvi umekua msomi wamsaidia mama yako aliekukata.Tujifunze kusamehea,maana bila msamaha hakuna maisha.
@lizyphiri9524 Жыл бұрын
Lĺĺĺĺĺlllĺ0P
@beibzmerce9528 Жыл бұрын
Woyee, sio vizuri kabisa mama kufanya hivi ilhali ndiye anafaa kulinda mwanaye zaidi
@joycemwangala Жыл бұрын
Amen tukopamoja
@sarahsamson9362 Жыл бұрын
❤❤❤❤lucas mze wa kubembeleza nice 👌 voice 😊😊
@hijamwinyi3233 Жыл бұрын
Wahuni wengi ni kina saidi
@sahhgdsag494910 ай бұрын
Leo nimewahii
@sheilaapondi9245 Жыл бұрын
Kwa hii simulizi nimejifunza kua... Ukishauri mtu vibaya Yani itakurudia wew mwenywe, marafiki Wa mama Latifa walijiebusha mno Na mwisho we walipata UKIMWI
@Pretty22750 Жыл бұрын
Jmn kweli wanawake wengine wanapata nguvu wp ya kuacha wtt wao haswa wa kike??kweli wanawake tuweni na moyo wa huruma maana kama mungu bd amekupa pumzi bora kulinda viumbe vyake visivyo kuwa na hatia
@FURSA-REAL-HERO-VIPODOZI9 ай бұрын
Saaaafi
@KavungoSokoni8 ай бұрын
Ilawa mama wakambo nawo daaa 😢😢😢
@aminanuranassor660 Жыл бұрын
Very stor ❤
@halimahaji3856 Жыл бұрын
Burudani swafi kbs ,🥰🥰🥰
@MakalaSimulizi8 ай бұрын
❤
@Pretty22750 Жыл бұрын
Eeh na huo ndo ukweli halisia binadamu asilimia kubwa tunayo hiyo tabia ya kuchunguza maisha ya wenzio na huku hujui mwenzio anapitia changamoto ipi ktk maisha
@user-so4gw1wz9bАй бұрын
❤❤❤❤😂😂
@ftimaramadan4748 Жыл бұрын
❤❤❤
@dalilaamiri Жыл бұрын
❤❤
@princessshani-kr2sj Жыл бұрын
😩😩 napenda hadithi zako sanaa 👊👊 very nice
@rosemaryjuma6328 Жыл бұрын
Leo nimekuwa wapili like
@carlossirya5016 Жыл бұрын
😚😚😚😚😚
@swabrarashidi1082 Жыл бұрын
Hhhhhhh yan nimeanza kisikiliza hii simulizi nilivyoona sielewi nikahisi tu hi simulizi mtunzi ni nijogoo poli hhhhhhh
@yusufuheri6524 Жыл бұрын
Yahni
@selemanikiumwa836 Жыл бұрын
Wewe hii sio saizi yako kasikilize simulizi saizi yako hii inahusu wenye akili timamu tu wenye kujua nini maana ya simulizi hii
@jogoopoll8818 Жыл бұрын
@@selemanikiumwa836 kijana usijibu watu vibaya uku sio FACEBOOK usitake kila mtu aelewe unavyoelewa wewe najua upendi mtu aseme vibaya ila kwa uku usijibu wewe sikiliza tu
@swabrarashidi1082 Жыл бұрын
@@selemanikiumwa836 hhhhhh bro acha kudandia vitu kwa mbele utagongwa
@hudumampyahalisi4846 Жыл бұрын
😭💕💕💕😭😚
@patiencembekelu240 Жыл бұрын
Pole Latifa kwa yote uliyopitia, lakini saihvi umekua msomi wamsaidia mama yako aliekukata.Tujifunze kusamehea,maana bila msamaha hakuna maisha.
@patiencembekelu240 Жыл бұрын
Pole Latifa kwa yote uliyopitia, lakini saihvi umekua msomi wamsaidia mama yako aliekukata.Tujifunze kusamehea,maana bila msamaha hakuna maisha.