Alie karibu ya chris amzabe kibao kwajili yangu jamani 😳😳😳😳
@JawahirMadar4 сағат бұрын
Kweli wajinga sana mtu kampa sumu huku shitaki hata polisi ushahidi tosha unge mpata tu
@muhinanjowa72297 сағат бұрын
Heeeee jamani Mr.Felix unatukumbushiaeeeèe mbali sna,hii story tamu na haiishi hamu 😊😊😊twende kwa matembele ya uwani😂😂😂😂
@christinahaule-p8i8 сағат бұрын
❤❤❤
@janethdaud2019 сағат бұрын
Pamoja
@AnnaMelikion10 сағат бұрын
Simulizi ina funzo kubwa san kuhusu undugu . Asante sana ❤
@somoeGodhana10 сағат бұрын
❤❤❤❤
@MossesCaicedo-j7n11 сағат бұрын
👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌😍👌😍
@fetreshazKhamisi11 сағат бұрын
Daah nizuli sana hii simulizi inamafunsisho mengi na matamu ya kusisimua MashaAllah ❤❤, 🇴🇲🇴🇲 kweli nimeamini rafiki ni mama ako mzazi atandugu nae awaminiki
@MariamJaphan12 сағат бұрын
Jaman anko,,fanya mpango mr love naikubali sana
@hawasaid528613 сағат бұрын
usiwaonee huruma wanaume...watakuliza. wengi waliohurumia wanaume na kuwasaidia huishia kulizwa tuuu.
@kibibi782613 сағат бұрын
Muandishi umeongea uhalisia wa Ndugu wakubwa ambao wanajitoa kwa wadogo zao kipindi icho huna kitu yani ukiwa mkubwa alafu uwe hauna pesa dharau,masimango na dharau na kusemwa pia kwa mwanaume au wanaume au wake za wadogo zetu....yani kama ujawai pitia hiyo changamoto ni ngumu kuelewa utaona kama ni simulizi ila wengi wanapitia kilochoandikwa na kusimuliwa😢😢😢tujitoe kwa mipaka ili kueka akiba ya kesho incase lolote litokee😊😊Much love from kenya Mombasa
@avelinabaluhya280415 сағат бұрын
Asante sana Victotia kwa usimuliaji makini wa hadithi yenye mafunzo mengi ♥️♥️♥️🌹🌹🌹🌹🌹👋💃
@MamaSuzi-d3r15 сағат бұрын
Sasa Nuria utaambulia ukimwi tulia fala wewe
@MamaSuzi-d3r15 сағат бұрын
Kweli Nuria angemwacha mdogo wako angekuua wewe
@MwanatumuJumaa-rj4fg15 сағат бұрын
Yaani siku hizi hakuna cha damu nzito kuliko maji juu wasiohusiana nask kwa damu ndio wanaotustiri kuliko ndugu wa damu
@Aishwaraimasiennah13 сағат бұрын
@@MwanatumuJumaa-rj4fg damu sikuhizi si nzito nikama ilitiwa maji🤣🤣
@MwanatumuJumaa-rj4fg15 сағат бұрын
Hizi ndio simulizi zknazofaa katika .jamii..nimejifunza mengi sana ee mola niajalie moyo wa msamaha kama wa Nuria na .....
@SallyJemutai-w5r16 сағат бұрын
Simulizi tabu nimejifunza kitu
@avelinabaluhya280417 сағат бұрын
Jamani kila jambo linakuwa na sababu ktk maisha yajayo,tusiwe na kazi yakulaumu tu sisi binadamu,😂😂😂 ubaya ubwela na udugu umala 😂😂😂
@Aishwaraimasiennah15 сағат бұрын
😂😂
@christinahaule-p8i17 сағат бұрын
❤❤❤
@racheluwda655217 сағат бұрын
❤❤❤❤❤🎉🎉
@Aishamzamilu17 сағат бұрын
❤
@avelinabaluhya280418 сағат бұрын
Ee Mwenyezi Mungu nipe moyo kama wa Nuria,moyo wa dhahabu wakusamehe🙏
@gagabossladygaga-ko2mv18 сағат бұрын
❤❤❤❤
@GraceBakari-wo8ly19 сағат бұрын
❤❤❤🎉🎉
@Mwanahawasaid-w8h19 сағат бұрын
Jamani nimecheka mpaka machozi. 😂😂😂😂😂😂😂😂 isimulizi kiboko
@ZainabuNasibu-v2k19 сағат бұрын
Wa tatu
@zenaathumani814419 сағат бұрын
❤❤❤🎉
@ZainabuNasibu-v2k19 сағат бұрын
Jamn nimekuwa wa kumi na Tano like zangu
@zenaathumani814419 сағат бұрын
❤❤❤🎉
@5araalharmi47420 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂
@AnnaMelikion20 сағат бұрын
Subilini niwafungulie mlango kwanza jman mtanikanyaga😂😂😂
@zenaathumani814420 сағат бұрын
❤❤❤🎉
@AnnaMelikion19 сағат бұрын
@@zenaathumani8144 my dear 😘
@PilyAlly21 сағат бұрын
Kiroba kama kiroba jamni yani nacheka mie kama mwehu yani oen wewe haya bhana acha niendelee kusikiriza utamu wa kiroba
Ivi hii ni movie au hadhi za vitabu😂😂 maana kihualisia mbona aviingii akilini😂😂😂😂
@Jasminehamisi29Күн бұрын
😂😂😂😂 ww mwenyewe umeona ucheje tu sasa huzi nyimbo mbona za kuchawi😅😅😅
@DativaEmmanuel-p6lКүн бұрын
Tunaomba part 2 ya jini mahabaa
@MaSI-p5oКүн бұрын
Hakika mungu ainuliwe maana anaweza.
@ManisaboSifaКүн бұрын
❤❤
@ManisaboSifaКүн бұрын
Tukopamoja
@mawlodafaridaКүн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@KuphaMweroКүн бұрын
Sema ukweli
@ElizaSadaКүн бұрын
❤❤❤❤❤
@live......................2683Күн бұрын
Kwanini
@christinahaule-p8iКүн бұрын
siku zote marafiki ndio wanao tuangamiza na uyo mwajuma ni rafiki mbaya mwenye tamaa na Mali za watu ambazo ajui ata izo mali ajui zilipatikana wapi sheini ni mwanaume mwizi lakini amemsaidia sana sarafina kwa kubakwa kwa mara mbili ❤❤❤