Inzuri sana hongereni lakini ccm no waizi sio chama
@MtazameKristoTv Жыл бұрын
Japo hii kwaya imeamua kuwapamba CCM tu na Chama hii inahitaji maboresho sana
@PrimroseKChishimba-kh7eo Жыл бұрын
Nyimbo iko na ujumbe ila unafiki upo ndani take Chama chewenyewe hakin mwelekeo Bora tu kuwaambia wawe watetez wa aridhi ila siyo kuileta swala la CCM kwenye kwaya mnakuwa wanafiki kwa mungu Hadi kwa viongoz wenu
@mathayoyohana479 Жыл бұрын
Apana kitu hapa ni bongo tupu imbia Mungu apana watu