Ni mwanaUDOM 2014-2017 shahada ya Sanaa na Elimu (Kifaransa & Kiswahili), tujitahidi sana katika kujieleza, tutumie lugha moja kama ni Kiswahili basi kiwe Kiswahili na kama ni Kiingereza basi kiwe Kiingereza na sio kuchanganya, pia tujitahidi suala la matamshi. Kumbuka: Vipande vya video kama hivi vinatazamwa na dunia nzima hivyo tujitahidi kuhakikisha tunatoa taswira nzuri ya chuo chetu hiki na nchi yetu kwa ujumla. Tuko pamoja Dumu daima UDOM
@SalimHassan-w3d20 күн бұрын
Pazur kwel mung anijalie nimweny kuchaguliwa mwak2024
@fadhilifantastic50324 жыл бұрын
Udom Ambassadors we on fire 🔥
@neemachongolo64984 жыл бұрын
Let us proud UDOM to the world
@magrethrichard56534 жыл бұрын
kwelii n chuo kizurii,mchaka mchaka wa coz work ad raha😘
@ramadhanyahaya57374 жыл бұрын
Msome sana hapo sio pa mchezo mchezo
@rehemabruno4844 жыл бұрын
Udom to the World 🔥🙏
@davidbombeki57974 жыл бұрын
We on 🔥🔥🔥
@dsusuma18754 жыл бұрын
I'm udom ambassador
@paulchalela39254 жыл бұрын
Fire
@evancetilya51404 жыл бұрын
Udom THE best university
@lazarolazaro3084 жыл бұрын
Gud
@coolruler68204 жыл бұрын
Sawa chuo ni kizuri,,,sasa tujitahidi mitaala ya masomo ipatikane ktk lugha yetu ya Kiswahili,,mambo ya you know,,you know,,of coz na ushenzi ushenzi wa kizungu tuachane nao,,,wasomi hao wanaofundisha vyuo vyetu sasa ni wakati muafaka wa kukitumia Kiswahili kwa manufaa ya taifa letu,,,napendekeza Kiswahili ndiyo iwe lugha ya Kwanza kufundishia,,nyingine ziwepo Ila mama awe kiswahili. Ili watu waelimike barabara ni lazima utumie lugha mama yao kuwaelimisha,,tuache kuchanganyana mwisho wa siku wahitimu na washahada ndiyo kama hawa tunaowaona kichwani hakuna chochote zaidi ya kuzungumza kiingereza tena kisichoeleweka. Tunahitaji kuona wahitimu wenye uweledi wa kueleweka na si wahitimu wa kujidai wanazijua lugha za watu ingali kwao hakuna akijuacho
@princessbetty210 ай бұрын
wazo zuri na ndivyo inavyotakiwa natamani hata mimi iwe hivo
@ramadhanyahaya57374 жыл бұрын
Ngojen muanze kutafuta coz work 😯
@mfumbuzionlinetv4 жыл бұрын
😂😂😂😂 moto mwingine huo 😂😂😂 patashika shati kuchanika😂😂
@kadikmctv75784 жыл бұрын
ni Shkopaaaahhhhh ✌
@marynjiku20664 жыл бұрын
UDOM noumaaa!!
@jacobmakono3894 жыл бұрын
..wanafunzi chuo kikuu mnashindwa kabisa kujieleza!you can't express yourselves correctly and precisely...a lot of misuse and mispronunciations of words..both languages Kisw&English..