Sikiliza AFM RADIO 92.9Mh.z Dodoma. Online tunasikika kupitia Tunein .Tufuatilie Kwenye Mitandao Yetu Ya Kijamii. Instagram @afmradiotz @Adigitaltz KZbin:A DIGITAL TZ / @adigitaltz
Пікірлер: 87
@estherluvanda11928 ай бұрын
Hongera mtoto mzuri Mungu akubariki na kukulinda
@ObediMeyan2 ай бұрын
Hongera sana dada angu
@gracekagoma32318 ай бұрын
Hongera sana
@leonardchoma37659 ай бұрын
Hizi degree za GPA nzuri tunaomba zituletee mabadiliko ya kweli kwenye nchi zetu za kiafrika.Tumechoka kuwa na wasomi wengi ambao hatuoni faida yao moja kwa moja. Tumechoka kuona wasomi wetu hawaitumii Elimu hiyo ya makaratasi kubuni vitu mbalimbali vya kutusaidia kama Waafrika.Kila kitu kinatoka nje,sisi tunabaki na Sifa za GPA na mbwembwe nyingi za Elimu tuliyoachiwa na Watesi wetu(Wakoloni).Tumekuwa ni watu wa kuwapongeza wanafunzi walioweza kukariri vizuri waliyofundishwa kuliko wanaofanya vizuri kwenye vitendo.Waafrika tubadilike.
@Ndu-wa.uroony29 ай бұрын
Kwa habari ya madiliko sahau.wasomi wetu mambumbumbu tu
@batistamhengilolo43709 ай бұрын
GPA ya Ngapi hiyo?
@AbdillahBakar-qx9sr9 ай бұрын
@@batistamhengilolo4370 37
@fahadfaraj64749 ай бұрын
Kwa mfumo wa elimu zetu mwenye maksi au alama kubwa si Kua anauwezo mkubwa wa akili ila anauwezo mkubwa wa kukariri na ilo litatutesa sana hutoona mabadiliko .
@lukumanisharifu8 ай бұрын
Uko sahihi
@ezekielmabwai4829 ай бұрын
Nawaonea huruma watoto wetu! Na imagini umati huu wa wahitimu, UDOM TU, acha umati wa wahitimu wa vyuo vyote Tz, halafu wanamwagwa mtaani, Duh. Wataanza kuzurura, no Job, hawawezi kujiajiri, balaa!!!
@edwinjhilbajojo24299 ай бұрын
Hongera sana,,,you made it mdogo wangu.
@daffagunda-rm3hj8 ай бұрын
Uadilifu na hofu ya.mungu na kutoiga mambo ya kijinga ya vyuo,kuoana kupikiana na hatimaye kupeana.mimba zisizotarajiwa rushwa za ngono nk.Mungu akutunze Sanaa.
Zidi kumtanguliza Mungu kwa kila hatua utafanikiwa zaidi:Wafilipi:4:13
@daudibukwimba42269 ай бұрын
Anajua excel, database
@benjaminsanare-ug6ge8 ай бұрын
Idadi yote hiyo😂😂,kweli vijana tujiajiri tu
@SylasJacobo9 ай бұрын
Hao wanaume hawaoni aibuu af wanasherekea kwa kucheka nakucheza wakati wamepitwa na kamdada sinamaana mbaya dada yangu hongera inaonesha wanaume walikalia kukutongoza hawakujua Kama ww uko kikazi zaid
@user-oq5wq9vp4u9 ай бұрын
Akil haion ivo rafk
@frankhaule85708 ай бұрын
😂
@ngwacahnyagwaswa99798 ай бұрын
😂😂
@Ommyjr-en9fc8 ай бұрын
Ww Ni mkubw lkn unapoanza kukoment kwa kuwalinganisha et mdada kawazid wanaume, hio sio , Kwan mdada au mwanamke sio binadam mwenyew utimamu tuache kulinganisha kikubw mpe hongera bas ,binadamu wote Ni sawa na wanastahili haki za binadamu( kifungu Cha ibara ya Katiba ya Tanzania) Mungu amekataz kulinganisha ,Kwan ukilinganisha utakufur
@sundaynurdin28649 ай бұрын
Apunguze maongezi mengi na vyombo vya habari Kuna wanaomuangalia Kwa husda
@AbdillahBakar-qx9sr9 ай бұрын
😩😩
@greysonkisinda73909 ай бұрын
Husda ya nn tena mkuu😂😂,hakuna mtu ana shida na Gpa ya mtu kikubw kinachotakiw ni kutoboa maisha ubunifu wa maisha ila cyo maGpa ya kukariri hayo😂
@joycemhana20188 ай бұрын
Wivu😂😂😂😂😂😂😂
@NakivonaSalim-o6w9 ай бұрын
KISWAHILI wallah sio chepesi
@emmanueltillya20178 ай бұрын
Atafutwe baada ya miaka 5,tuone elimu yake ya GPA nzuri imemfikisha wapi.siamini sana kwenye GP.wako wenye GPA za kawaida wamekuwa watu kwenye jamiii na nchi kwa ujumla
@geraldbagole44949 ай бұрын
Hivi siku hizi kuna Best student!Halafu hizi GPA hizi!
@eddyrich.33129 ай бұрын
Mwanafunzi bora, karibu mtaani kwetu kwenye kulisaka tonge mitaani maana ajira mtihani mwingine
@saidikobossa74899 ай бұрын
Huyu hana shida ya ajira, huwa wanabaki kufundisha vyuoni au wanapata offers nyingi za ajira ama scholarship. Hatahangaika
Hizo GPA ,uwa zinawasaidia nini ? Na nyie waandishi,ni watu wa ajabu,badala ya kwenda kuoji watu wanaoingiza hela kwa kazi za mikono yao,nyie mnaendelea kuwapoteza watu na hizo GPA,zitawasaidia nini hizo GPA ? Dunia imebadilika achaneni na hizo,GPA.GPA haimpi mtu chakula,kinachompa mtu chakula,ni kazi inayotokana na kupractise mikono yako,tuache kukalili.mfano fundi ujenzi,anapata hela kirahisu kwa sababu anatumia mikono yake,mvuvi anapata hela kirahisi kwa sababu anatumia mikono yake,mkulima anapata pesa na chakula kwa sababu anatumia mikono yake.Tuache ushamba wa kupromote,vitu ambavyo haviwezi kumpa mtu pesa kirahisi.Nyie waandishi kawaoji wavuvi,mafundi , hawa ndo wanastahili pongezi
@MansaMusa2558 ай бұрын
Ukisikia umaskini wa akili ndio huu, kwa akili yako unadhan kitu cha msingi ni hela tu!
@mpegesaaswile65818 ай бұрын
Kwa akili zako wewe hutakiwi kukoment kitu.Hakuna kitu cha mhimu duniani kama elimu.vipi Ikiumwa wakasema akutibu mtu mwenye hela na daktari mwenye elimu kutakubali utibiwe na nani?
@FatmaMwinyi-jt2rr8 ай бұрын
Mbona kama hiki kitu kimekuuma jamn😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@gamalielialoni55388 ай бұрын
Hy Gba yake kwa sua ni 2.2
@shinoyane23438 ай бұрын
Hiy 2.2 kwa mzumbe ni 1.0
@BIGBOSS-hl3bu9 ай бұрын
Kwa uchunguzi wangu kila mwanafunzi anaefanya vizuri darasani na hata kitaifa ,ni wale ambao hawajui MAPENZI ni nini
@noorbazaar90639 ай бұрын
Hawafahamu hata definitions?!❤
@BinomtonziAlgentius8 ай бұрын
Mhuuu!!! Sure??
@user-gy3wo2ez4d8 ай бұрын
Kama inakubali iv??😂
@petermathias18499 ай бұрын
Huyu presenter ni kama nimesoma nae UDOM hapo hapo aisee
@manenovanga35039 ай бұрын
Yeah tulisomaga nae
@MohammedJaxksonlee9 ай бұрын
Hata Mimi nimeaoma nae
@petermathias18498 ай бұрын
jamaa alikuwa msumbufu sana pale cafteria mida ya game alikuwa anatu diss sana mashabiki wa man u@@manenovanga3503
@Alama_Tv_online9 ай бұрын
Haki siyo ile hesabu nayoijua mimi. 😅
@taturajabukhalfani79539 ай бұрын
😂
@hezronjoseph4059 ай бұрын
Kwanini zile pisi za vyuo hazinaga akili ,,akili wamepewa wengine
@edinerjoseph68649 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-gq9im9tu3d8 ай бұрын
😂😂
@user-gy3wo2ez4d8 ай бұрын
Akili wanazo za kuiba waume za watu
@hezronjoseph4058 ай бұрын
@@user-gy3wo2ez4d 😂😂😂😂😂
@daudibukwimba42269 ай бұрын
Ni ombi langu Serikali itupime Kwa technical ability.
@bahathmuro71458 ай бұрын
Sasa hesabu utaifanyia technical gani
@freddykulwa81909 ай бұрын
Nikawaida kabisa awana mchonzo pili
@betinalupembe58208 ай бұрын
😂😂😂😂
@teddymbwaga97678 ай бұрын
Wivu na chuki siku zote vinatafuta makosa, havitafuti wema.
@kaizamulinda6339 ай бұрын
Jitihada na kujituma ndo point habari ya Mungu achana nayo
@ummu21019 ай бұрын
Akah astaghfirullah
@omytifa64039 ай бұрын
Mtihan
@omytifa64039 ай бұрын
Bila MUNGU utoboi
@adamissa69729 ай бұрын
Subhanallah😢
@PeaceKajiru-ds9cx9 ай бұрын
Haaa amesoma na wakt huo huo pia humwomba MUNGU so bidii na MUNGU pia alimtunuku
@IsaacLameck-nz8yr9 ай бұрын
Ni bikira ?
@AwardHakimu9 ай бұрын
We jamaa unazingua 😂
@RKMEDIATZ8 ай бұрын
Ndiyo
@HassanMugire8 ай бұрын
Aisee
@denisrukangula22279 ай бұрын
Amepewa zawadi gani
@HassanSalum-pg9yu9 ай бұрын
huyo ni muongo anafunuliwa usiku na mchana malaya tu
@atubruno67299 ай бұрын
Wivu 😂
@HalimaSheila-gd9te9 ай бұрын
Acha wivu ww😏😏
@anithasemwano82769 ай бұрын
Acha ushetani wewe!!! kwa nn aseme hivyo kama anafanya,muogope Mungu