HUYU HAPA MWANAFUNZI BORA ALIYEONGOZA UDOM/SIYAJUI MAPENZI

  Рет қаралды 68,894

A DIGITAL TZ

A DIGITAL TZ

Күн бұрын

Sikiliza AFM RADIO 92.9Mh.z Dodoma.
Online tunasikika kupitia Tunein
.Tufuatilie Kwenye Mitandao Yetu Ya Kijamii.
Instagram @afmradiotz @Adigitaltz
KZbin:A DIGITAL TZ / @adigitaltz

Пікірлер: 87
@estherluvanda1192
@estherluvanda1192 8 ай бұрын
Hongera mtoto mzuri Mungu akubariki na kukulinda
@ObediMeyan
@ObediMeyan 2 ай бұрын
Hongera sana dada angu
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 8 ай бұрын
Hongera sana
@leonardchoma3765
@leonardchoma3765 9 ай бұрын
Hizi degree za GPA nzuri tunaomba zituletee mabadiliko ya kweli kwenye nchi zetu za kiafrika.Tumechoka kuwa na wasomi wengi ambao hatuoni faida yao moja kwa moja. Tumechoka kuona wasomi wetu hawaitumii Elimu hiyo ya makaratasi kubuni vitu mbalimbali vya kutusaidia kama Waafrika.Kila kitu kinatoka nje,sisi tunabaki na Sifa za GPA na mbwembwe nyingi za Elimu tuliyoachiwa na Watesi wetu(Wakoloni).Tumekuwa ni watu wa kuwapongeza wanafunzi walioweza kukariri vizuri waliyofundishwa kuliko wanaofanya vizuri kwenye vitendo.Waafrika tubadilike.
@Ndu-wa.uroony2
@Ndu-wa.uroony2 9 ай бұрын
Kwa habari ya madiliko sahau.wasomi wetu mambumbumbu tu
@batistamhengilolo4370
@batistamhengilolo4370 9 ай бұрын
GPA ya Ngapi hiyo?
@AbdillahBakar-qx9sr
@AbdillahBakar-qx9sr 9 ай бұрын
@@batistamhengilolo4370 37
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 9 ай бұрын
Kwa mfumo wa elimu zetu mwenye maksi au alama kubwa si Kua anauwezo mkubwa wa akili ila anauwezo mkubwa wa kukariri na ilo litatutesa sana hutoona mabadiliko .
@lukumanisharifu
@lukumanisharifu 8 ай бұрын
Uko sahihi
@ezekielmabwai482
@ezekielmabwai482 9 ай бұрын
Nawaonea huruma watoto wetu! Na imagini umati huu wa wahitimu, UDOM TU, acha umati wa wahitimu wa vyuo vyote Tz, halafu wanamwagwa mtaani, Duh. Wataanza kuzurura, no Job, hawawezi kujiajiri, balaa!!!
@edwinjhilbajojo2429
@edwinjhilbajojo2429 9 ай бұрын
Hongera sana,,,you made it mdogo wangu.
@daffagunda-rm3hj
@daffagunda-rm3hj 8 ай бұрын
Uadilifu na hofu ya.mungu na kutoiga mambo ya kijinga ya vyuo,kuoana kupikiana na hatimaye kupeana.mimba zisizotarajiwa rushwa za ngono nk.Mungu akutunze Sanaa.
@GodenBMDaniel
@GodenBMDaniel 9 ай бұрын
Hongera sana Dada yangu 🎉🎉🎉🎉
@Lydear-l7v
@Lydear-l7v 8 ай бұрын
wow nev nzowa bint toka lyoto class mate wangu hongera mwaya
@dr.lincolng7835
@dr.lincolng7835 9 ай бұрын
Badilika GPA ya 5.0 into 5Milion daaaaah kivumbi
@happyswai6688
@happyswai6688 8 ай бұрын
Hongera sana dear 🎉❤
@sumamwakaje7378
@sumamwakaje7378 8 ай бұрын
Hee nyie Mungu mkubwa hongera nev shogaangu
@leonardchoma3765
@leonardchoma3765 8 ай бұрын
Shoga wako?
@benedictwilfredulomi7033
@benedictwilfredulomi7033 8 ай бұрын
Zidi kumtanguliza Mungu kwa kila hatua utafanikiwa zaidi:Wafilipi:4:13
@daudibukwimba4226
@daudibukwimba4226 9 ай бұрын
Anajua excel, database
@benjaminsanare-ug6ge
@benjaminsanare-ug6ge 8 ай бұрын
Idadi yote hiyo😂😂,kweli vijana tujiajiri tu
@SylasJacobo
@SylasJacobo 9 ай бұрын
Hao wanaume hawaoni aibuu af wanasherekea kwa kucheka nakucheza wakati wamepitwa na kamdada sinamaana mbaya dada yangu hongera inaonesha wanaume walikalia kukutongoza hawakujua Kama ww uko kikazi zaid
@user-oq5wq9vp4u
@user-oq5wq9vp4u 9 ай бұрын
Akil haion ivo rafk
@frankhaule8570
@frankhaule8570 8 ай бұрын
😂
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 8 ай бұрын
😂😂
@Ommyjr-en9fc
@Ommyjr-en9fc 8 ай бұрын
Ww Ni mkubw lkn unapoanza kukoment kwa kuwalinganisha et mdada kawazid wanaume, hio sio , Kwan mdada au mwanamke sio binadam mwenyew utimamu tuache kulinganisha kikubw mpe hongera bas ,binadamu wote Ni sawa na wanastahili haki za binadamu( kifungu Cha ibara ya Katiba ya Tanzania) Mungu amekataz kulinganisha ,Kwan ukilinganisha utakufur
@sundaynurdin2864
@sundaynurdin2864 9 ай бұрын
Apunguze maongezi mengi na vyombo vya habari Kuna wanaomuangalia Kwa husda
@AbdillahBakar-qx9sr
@AbdillahBakar-qx9sr 9 ай бұрын
😩😩
@greysonkisinda7390
@greysonkisinda7390 9 ай бұрын
Husda ya nn tena mkuu😂😂,hakuna mtu ana shida na Gpa ya mtu kikubw kinachotakiw ni kutoboa maisha ubunifu wa maisha ila cyo maGpa ya kukariri hayo😂
@joycemhana2018
@joycemhana2018 8 ай бұрын
Wivu😂😂😂😂😂😂😂
@NakivonaSalim-o6w
@NakivonaSalim-o6w 9 ай бұрын
KISWAHILI wallah sio chepesi
@emmanueltillya2017
@emmanueltillya2017 8 ай бұрын
Atafutwe baada ya miaka 5,tuone elimu yake ya GPA nzuri imemfikisha wapi.siamini sana kwenye GP.wako wenye GPA za kawaida wamekuwa watu kwenye jamiii na nchi kwa ujumla
@geraldbagole4494
@geraldbagole4494 9 ай бұрын
Hivi siku hizi kuna Best student!Halafu hizi GPA hizi!
@eddyrich.3312
@eddyrich.3312 9 ай бұрын
Mwanafunzi bora, karibu mtaani kwetu kwenye kulisaka tonge mitaani maana ajira mtihani mwingine
@saidikobossa7489
@saidikobossa7489 9 ай бұрын
Huyu hana shida ya ajira, huwa wanabaki kufundisha vyuoni au wanapata offers nyingi za ajira ama scholarship. Hatahangaika
@twahaissack7887
@twahaissack7887 9 ай бұрын
Ongeraa usijificheee elimuu haijifichiii
@user-gq9im9tu3d
@user-gq9im9tu3d 8 ай бұрын
Hayajuwi mapenz ahahah malecture hawajajisevia kweli
@daudibukwimba4226
@daudibukwimba4226 9 ай бұрын
Duh!
@ramadhanmazije3882
@ramadhanmazije3882 8 ай бұрын
Tukutane mtaan sasa tuone applicability yake
@AlphaxardMRusweka-jr1wi
@AlphaxardMRusweka-jr1wi 9 ай бұрын
Hizo GPA ,uwa zinawasaidia nini ? Na nyie waandishi,ni watu wa ajabu,badala ya kwenda kuoji watu wanaoingiza hela kwa kazi za mikono yao,nyie mnaendelea kuwapoteza watu na hizo GPA,zitawasaidia nini hizo GPA ? Dunia imebadilika achaneni na hizo,GPA.GPA haimpi mtu chakula,kinachompa mtu chakula,ni kazi inayotokana na kupractise mikono yako,tuache kukalili.mfano fundi ujenzi,anapata hela kirahisu kwa sababu anatumia mikono yake,mvuvi anapata hela kirahisi kwa sababu anatumia mikono yake,mkulima anapata pesa na chakula kwa sababu anatumia mikono yake.Tuache ushamba wa kupromote,vitu ambavyo haviwezi kumpa mtu pesa kirahisi.Nyie waandishi kawaoji wavuvi,mafundi , hawa ndo wanastahili pongezi
@MansaMusa255
@MansaMusa255 8 ай бұрын
Ukisikia umaskini wa akili ndio huu, kwa akili yako unadhan kitu cha msingi ni hela tu!
@mpegesaaswile6581
@mpegesaaswile6581 8 ай бұрын
Kwa akili zako wewe hutakiwi kukoment kitu.Hakuna kitu cha mhimu duniani kama elimu.vipi Ikiumwa wakasema akutibu mtu mwenye hela na daktari mwenye elimu kutakubali utibiwe na nani?
@FatmaMwinyi-jt2rr
@FatmaMwinyi-jt2rr 8 ай бұрын
Mbona kama hiki kitu kimekuuma jamn😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@gamalielialoni5538
@gamalielialoni5538 8 ай бұрын
Hy Gba yake kwa sua ni 2.2
@shinoyane2343
@shinoyane2343 8 ай бұрын
Hiy 2.2 kwa mzumbe ni 1.0
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 9 ай бұрын
Kwa uchunguzi wangu kila mwanafunzi anaefanya vizuri darasani na hata kitaifa ,ni wale ambao hawajui MAPENZI ni nini
@noorbazaar9063
@noorbazaar9063 9 ай бұрын
Hawafahamu hata definitions?!❤
@BinomtonziAlgentius
@BinomtonziAlgentius 8 ай бұрын
Mhuuu!!! Sure??
@user-gy3wo2ez4d
@user-gy3wo2ez4d 8 ай бұрын
Kama inakubali iv??😂
@petermathias1849
@petermathias1849 9 ай бұрын
Huyu presenter ni kama nimesoma nae UDOM hapo hapo aisee
@manenovanga3503
@manenovanga3503 9 ай бұрын
Yeah tulisomaga nae
@MohammedJaxksonlee
@MohammedJaxksonlee 9 ай бұрын
Hata Mimi nimeaoma nae
@petermathias1849
@petermathias1849 8 ай бұрын
jamaa alikuwa msumbufu sana pale cafteria mida ya game alikuwa anatu diss sana mashabiki wa man u@@manenovanga3503
@Alama_Tv_online
@Alama_Tv_online 9 ай бұрын
Haki siyo ile hesabu nayoijua mimi. 😅
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 9 ай бұрын
😂
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 9 ай бұрын
Kwanini zile pisi za vyuo hazinaga akili ,,akili wamepewa wengine
@edinerjoseph6864
@edinerjoseph6864 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-gq9im9tu3d
@user-gq9im9tu3d 8 ай бұрын
😂😂
@user-gy3wo2ez4d
@user-gy3wo2ez4d 8 ай бұрын
Akili wanazo za kuiba waume za watu
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 8 ай бұрын
@@user-gy3wo2ez4d 😂😂😂😂😂
@daudibukwimba4226
@daudibukwimba4226 9 ай бұрын
Ni ombi langu Serikali itupime Kwa technical ability.
@bahathmuro7145
@bahathmuro7145 8 ай бұрын
Sasa hesabu utaifanyia technical gani
@freddykulwa8190
@freddykulwa8190 9 ай бұрын
Nikawaida kabisa awana mchonzo pili
@betinalupembe5820
@betinalupembe5820 8 ай бұрын
😂😂😂😂
@teddymbwaga9767
@teddymbwaga9767 8 ай бұрын
Wivu na chuki siku zote vinatafuta makosa, havitafuti wema.
@kaizamulinda633
@kaizamulinda633 9 ай бұрын
Jitihada na kujituma ndo point habari ya Mungu achana nayo
@ummu2101
@ummu2101 9 ай бұрын
Akah astaghfirullah
@omytifa6403
@omytifa6403 9 ай бұрын
Mtihan
@omytifa6403
@omytifa6403 9 ай бұрын
Bila MUNGU utoboi
@adamissa6972
@adamissa6972 9 ай бұрын
Subhanallah😢
@PeaceKajiru-ds9cx
@PeaceKajiru-ds9cx 9 ай бұрын
Haaa amesoma na wakt huo huo pia humwomba MUNGU so bidii na MUNGU pia alimtunuku
@IsaacLameck-nz8yr
@IsaacLameck-nz8yr 9 ай бұрын
Ni bikira ?
@AwardHakimu
@AwardHakimu 9 ай бұрын
We jamaa unazingua 😂
@RKMEDIATZ
@RKMEDIATZ 8 ай бұрын
Ndiyo
@HassanMugire
@HassanMugire 8 ай бұрын
Aisee
@denisrukangula2227
@denisrukangula2227 9 ай бұрын
Amepewa zawadi gani
@HassanSalum-pg9yu
@HassanSalum-pg9yu 9 ай бұрын
huyo ni muongo anafunuliwa usiku na mchana malaya tu
@atubruno6729
@atubruno6729 9 ай бұрын
Wivu 😂
@HalimaSheila-gd9te
@HalimaSheila-gd9te 9 ай бұрын
Acha wivu ww😏😏
@anithasemwano8276
@anithasemwano8276 9 ай бұрын
Acha ushetani wewe!!! kwa nn aseme hivyo kama anafanya,muogope Mungu
@joycemhana2018
@joycemhana2018 8 ай бұрын
Wivuuuuuuuuuuu Heheh😂😂😂😂😂
@user-gy3wo2ez4d
@user-gy3wo2ez4d 8 ай бұрын
Et malaya tu jaman😂😂😂 kama inakubali iv
@user-oq5wq9vp4u
@user-oq5wq9vp4u 9 ай бұрын
😂😂😂😂
Brawl Stars Edit😈📕
00:15
Kan Andrey
Рет қаралды 43 МЛН
Самое неинтересное видео
00:32
Miracle
Рет қаралды 2,5 МЛН
BATULI NA MATILDA WAMEFUNGUKA, KUFUNGA NDOA NA MAHUSIANO YAO
6:33
Millard Ayo
Рет қаралды 226 М.
FAHAMU FURAHA KUBWA YA WANAFUNZI NDANI YA CHUO CHA UHASIBU ARUSHA
1:11
Institute of Accountancy Arusha
Рет қаралды 1,5 М.