Рет қаралды 35,973
Nikasema jambo gani Mzee Masanja Kaniitia.? na kwanini anasema nimsamehe na kwa nini? Mzee Masanja akakohoa kwanza, akasema tony nitakayoenda kukuambia ni makubwa sana na ni siri ambayo imenitesa miaka mingi sana nimeshindwa kuvumilia,siwezi kufa na siri hii.