LIGI YETU INGEKUWA BORA YANGA 'ISINGESHIKA TOP 4' / VIONGOZI WAO WANAJUA SABABU ZA TIMU YAO KUTOFUZU

  Рет қаралды 9,397

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 41
@matiankomola2391
@matiankomola2391 11 күн бұрын
Baba Mwarabu I salute you ! Upo vizuri, unahubiri ukweli !
@albertvalentino130
@albertvalentino130 11 күн бұрын
Uko sahihi kabisa NASRI,Viongozi na bechi la ushindi,wanahusika na matokeo haya.
@benmpe2227
@benmpe2227 11 күн бұрын
Kocha hajasema ligi sio Bora amesema ligi Haina ushindani
@KalondaWilondja
@KalondaWilondja 11 күн бұрын
alisema ligi haina ushindani
@ayoublupande3007
@ayoublupande3007 10 күн бұрын
😂Hii nikwa Utopolo TU sabab ya udhamini wao kwenye hizo Tim lkn hizi Kauli hawezi zisema Kocha wa Simba kwa anacho kutana nacho Kila mechi ligi kuu😅
@hamisisalimu6908
@hamisisalimu6908 11 күн бұрын
Hivi simba kuishia robo mara x5 ndo kufanya vizuri huko?
@magorymara5515
@magorymara5515 11 күн бұрын
Ukifeli mara 5 unaitwa zero brain
@Salvatoly2000
@Salvatoly2000 10 күн бұрын
Kwan mamelod wanafikaga wapi au toka Simba afike robo mamelod ulisikia wamechukua kombe
@ambamwampwani3627
@ambamwampwani3627 11 күн бұрын
Sasa huon ka.a wao wanahonga ili kupata matokeo rahis..tunawambia Kila siku GSM kudhamin team nyingi kunakosa ushindan halis hamsikii mnalalamika nn saiz
@trustcosta9525
@trustcosta9525 11 күн бұрын
Shida ya yanga ni kununua mechi ndo mana wanacheza dakika 25
@HamisiKayala
@HamisiKayala 11 күн бұрын
Ni sahihi mazungumzo yako
@meshackmihayo7480
@meshackmihayo7480 11 күн бұрын
Kumfukuza Gamondi ndio lilikua kosa kubwa
@DoryGeorge
@DoryGeorge 11 күн бұрын
Jaman nyie mnao sema nane hamjui hesabu nitim 9 simba mbn mnaisahau gsm kiboko yao
@RidhwanfakiRifa2020
@RidhwanfakiRifa2020 11 күн бұрын
Kwani kusema dhaifu ndio nn? Kinachowaumiza nyie ni kuelezwa ukweli maneno hayabadilishi maana yyte acheni ujinga wakati mumeshafuta zamani huo ujinga kwani kusema dhaifu kinakupunfuzieni nn ?? Acheni uswahili na kujiona wajuwaji Sana .
@bernardmboma1461
@bernardmboma1461 11 күн бұрын
Hii yanga yitashuka viwango vya cuf hadi nafasi ya 20.maana mashabiki wa yanga wanaona mpira nikumiliki tu. Mpira wa club bingwa nihesabu akiri nyingi kuliko kumiliki😂😂
@yussufritzy7684
@yussufritzy7684 11 күн бұрын
Akiri ndio nn??
@bernardmboma1461
@bernardmboma1461 11 күн бұрын
@yussufritzy7684 gusa achiaa twende makumbusho 😂😂😂😂
@mastermfaume
@mastermfaume 11 күн бұрын
Sasa kama kigezo ndohiko vipi yule mkubwa mwezao ambae anafanyavizuri huko cafe mbona anapakatwa na Yanga kila siku?????
@OscarTimotheo
@OscarTimotheo 11 күн бұрын
Malefa basha
@Kiva1610
@Kiva1610 11 күн бұрын
Mechi iliyopita hukuiona 😂😂😂
@SaumuSaidi-z2v
@SaumuSaidi-z2v 11 күн бұрын
Bahasha za gsm na injinia na supu ya mchongo
@VentureMbilima
@VentureMbilima 8 күн бұрын
Mliifunga simba kwa uhalisia lini...karudie ya kayoko utaelewa yanga kuifunga simba mpka ifanyike siasa yanga ni tim ya kawaida tatizo wanayanga uelewa akilin mwao ni mdogo sana
@bernardmboma1461
@bernardmboma1461 11 күн бұрын
Nyinyi kimbienikimbieni tu kama nyumba eti ndo mpira. Bc arsenal angekuwa bingwa wa UEFA mara kibao. Gusa achiaa twende makumbusho 😂😂
@bernardmboma1461
@bernardmboma1461 10 күн бұрын
Simba yitabaki kuwa yakimataifa tu nyinyi endeleeni kununua vilabu tuonane mtafika wp ndo maana club bingwa munafeli kule huwezi nunua marefa zinafanyikiwa timu top 10 tu upooo 😂😂😂
@SaumuSaidi-z2v
@SaumuSaidi-z2v 11 күн бұрын
Gamboni alikuwa anaficha sili,gsm na njinia wanaharibu mpila wanahonga pesa ili point wachukue
@bernardmboma1461
@bernardmboma1461 11 күн бұрын
Yanga mbovu ndo maana club hawezi kufika mbali . Hapa yanga anafanyikiwa kwasababu tajiri wao kanunua vilabu 8 ili aokote point kiraisi. Kama yanga ni timu nzuri kwann club bingwa anachungulia tu kwenye makundi? Marefa wa cuf sio wa TFF 😂😂
@ototek8037
@ototek8037 11 күн бұрын
Sio timu 8 zipo 9. Simba unaiachaje wakati inachangia point 6 na magoli 7
@HamzaMduda
@HamzaMduda 11 күн бұрын
Mwambie iyo koro​@@ototek8037
@DoryGeorge
@DoryGeorge 11 күн бұрын
​@@ototek8037mwambie huyo anajisahaulisha😅😅😅
@bernardmboma1461
@bernardmboma1461 11 күн бұрын
@ototek8037 😂😂😂 muko wapi Sasa. Gusa achiaa twende makumbusho sio lobo finally mupoooo
@HamisiHussein-t3k
@HamisiHussein-t3k 11 күн бұрын
kolo umesahau kama Simba nayo imenunuliwa na yanga mana umechangia point ngap
To Brawl AND BEYOND!
00:51
Brawl Stars
Рет қаралды 17 МЛН
Арыстанның айқасы, Тәуіржанның шайқасы!
25:51
QosLike / ҚосЛайк / Косылайық
Рет қаралды 700 М.
Гениальное изобретение из обычного стаканчика!
00:31
Лютая физика | Олимпиадная физика
Рет қаралды 4,8 МЛН
KIMEUMANA: DOTTO MAGARI NA MZAZI MWENZA NUSU WAZICHAPE STUDIO
27:31
Wasafi Media
Рет қаралды 241 М.
🔴#LIVE:SPORTS COURT NDANI YA WASAFI FM - 31/01/2025
1:07:42
Wasafi Media
Рет қаралды 2,4 М.