Lilian Lema afunguka ishu ya Connection yake na Aslay! Aelezea ilivyotokea hadi Kanisani kwao
Пікірлер: 22
@CollisBill-mu3zpАй бұрын
Sawa Lilian lakin mhona unajieleza pasipo kuulizwa maswalii lakn unajieleza vizuriii...nimeipenda iyo
@safiyabenda9535Ай бұрын
I love her🥰
@danielmsangaАй бұрын
Umeua mzee ommy
@RoseMsianiАй бұрын
Zdaaah kwel unafaa maan unaongea Atari
@hassanimsiziloАй бұрын
Unyama sana
@Better0worldАй бұрын
Ila harmonize😄
@BerthaModestАй бұрын
Mnajiendekeza snaa
@m.vmediazawadi4570Ай бұрын
kazuli sana kama lulu eliza
@salimjumaa8180Ай бұрын
Hyu ndio yke dda alileta mchakato mzima wa wtoto wa elfu mbili sio.
@enjobw5682Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@mussambilinyi423Ай бұрын
Mcheshi sana huyu bint
@modestmkali3436Ай бұрын
I do love Lil Ommy, mambo ambayo watu wanachukulia negative huwa anajutahidi kuyachimba ili tujue ukweli, firstly watu walikuwa wanachukulia huyu binti kama vile ni katoto kadogo, pili walikuwa wanamchukulia kama vile ni muhuni tu na hana elimu yoyote, now tumejua kuwa kwanza sio mtoto, maana kama kasoma miaka mitatu chuo kikukuu na akamaliza 2017 maana yake sio mtoto mdogo, but also ni msomi, ana akili, from now on mpeni heshima yake
@suzymike78Ай бұрын
Kanajiamini sana
@user-gh3zf4ow4cАй бұрын
Lema WA wapi jaman
@redmarkcreations45Ай бұрын
Lema ni mchaga
@user-gh3zf4ow4cАй бұрын
@@redmarkcreations45 Namm ni mchaga halafu ukoo wangu pia ni lema
@kimchi-91Ай бұрын
Nigeria 🇳🇬
@user-gh3zf4ow4cАй бұрын
@@kimchi-91 Mim natokea Kilimanjaro Kijiji cha kyier
@nancyg8664Ай бұрын
@@user-gh3zf4ow4c😮kumbe unajua af sababu nawewe ni lema. ulikua unatujaribu au