Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 257
@MariaHamis-cl3nu3 ай бұрын
Nimesikiliza mambo ya passpot nacheka hakimungu😂😂😂
@EmmyMo3 ай бұрын
Uyo hajawah kuwa na passport bana asitudanganye hapa hkn mtoto wake😂😂😂😂😂😂😂😂 Pole kaka mganga kazi unayo😂😂
@nuryatmussa99663 ай бұрын
Eti aliletewa passport bila kwenda uhamiaji
@stellahlinusi82153 ай бұрын
nikweli lakini ni zile za kijani mm sijawai kwenda uamiaji@@nuryatmussa9966
@MwaminiyusuphRwekaza3 ай бұрын
Akiii nqchekaa km mazurii at kujieleza mtihaniii😂😂😂😂
@queentanitah13463 ай бұрын
DIVA as Diva but doesn't have a passport 😂😂😂😂 LOL ohhh my...Tanzanian celebrity
@esthermakelemo28643 ай бұрын
Zamaradi tupe mambo mengi,tunapenda sana mashabiki zako,na full za shoo za gigy
@blandinamyinga94893 ай бұрын
Self respect,self worth and self confidence as a woman is very powerful""treat others the same way you want to be treated""control your temper cause it will cost you badly one day.
@JOCENTE3 ай бұрын
Sheikh apewe crown siyo kila mwanaum ataweza kaa na diva siku2
@AmanaHussein3 ай бұрын
Abdul apewe 👑 👑
@ZulekhaAmar-fy4pm3 ай бұрын
😂😂
@EmmyMo3 ай бұрын
Nikweli😂😂😂
@WinWilly41623 ай бұрын
Kabisa
@MwaminiyusuphRwekaza3 ай бұрын
Saiv ndo naelewa kumbe kingereza sio akilii😅😅😅😅😅
@AishaHaji-jn7sg3 ай бұрын
Hajawahi kuwa na passport huyu😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣angesema ukweli tu waendelee kujaza majibu ya passport yake ya kwanza
@LeeLian953 ай бұрын
🤣🤣umewaza kama Mimi
@marysaituni45843 ай бұрын
Haya maisha yenu ni kama movie 😂😂😂 part 1/2/3/4/5/6/7/8/9/11... Hivi mwisho ni lini.. huyu mume apewe tuzo ya mume Bora.🇰🇪
@witnessmlay74153 ай бұрын
Hehehe Abdul ulipatikana kwenye hii ndoa aisee!😂😂 Diva 🙌🏽🙌🏽
@diannaphabian74403 ай бұрын
Hawa watu waliowanaje jaman hata majina yao hawayajui??😂🙆♀️
@ZaynaAdam2 ай бұрын
Huyu diva hayupo hata romantic
@fettymilly76643 ай бұрын
Mtu uliletewaje passport bila ww mwenyew kufika kule anatuchukuliaje huyu divaaa😂😂😂😂😂
@lilianestephanie78813 ай бұрын
Watu mnanaisha jamani. Yaani milioni tatu mnatumia mwezi???? Hamko serious😂😂😂😂😂😂
@AishaHaji-jn7sg3 ай бұрын
Siwezi kugawa kitu mume wangu kaniletea hata kama kiwe kibaya kiasi gani huwa nakipenda na kukitunza
@mapishiyetumazuri23123 ай бұрын
Huyu ndiva mshamba na mjinga unaleta majina ya 😂😂😂
@BarbaraPatience-qt9cc3 ай бұрын
Yaani nimemsikiza huyu Diva! No way! Hata hana knowledge fupi sana!! Bwana naye mrongo sana! Pwagu na pwaguzi
@MariamIbrahim-h7p3 ай бұрын
Diva mashauzi yote Hana pasport duuuuuu
@reynaaalrawahi41373 ай бұрын
Yaani. Hata mimi nime mshangaa sana
@salmabamba27513 ай бұрын
😂😂 yaan duh
@bahatihassan54133 ай бұрын
😂😂😂😂
@monicakimati46193 ай бұрын
Daah nilikua na muwaza yule Roboti wa kizungu sijui hata kwanin nimewaza hivyo😂😂😂😂
@lilianestephanie78813 ай бұрын
Aiseee ila diva kwa mashauziii
@lilianpeter16313 ай бұрын
Sasa ndo nmejua mganga Hana matatizo huyu diva ndo shida hajui kuongea na mumewe
@AmanaHussein3 ай бұрын
Shida ya huyu diva ni mdomo alafu hajajua nini maan ya mume na ndoa inataka nini
@leokamil62843 ай бұрын
Eti how are you 😂 huku hujui hata Wazazi wako wamezaliwa wapi 😅
@mariamhussein76203 ай бұрын
Kwenye ndoa zenu kuna kazi na hamtuambii😂😂😂😂
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج3 ай бұрын
Unavituko Kwel.😂😂😂😂 Sasa km mamako mzigua hatunaga se mkiwa se niuko iringa wazigua tuna mokiwa hatuna semkiwa.
@firdaussheikh48173 ай бұрын
Kumbe sheikh anamzidi akili diva na ujuzi wake wote wa social media 😂😂😂😂😂 mpaka amepoteza passport na hajajulisha sheria😂😂😂 Pole hata mm nilipoteza yangu this year I don't know when and where 😢🇬🇧🇰🇪🇾🇪
@BarbaraPatience-qt9cc3 ай бұрын
Yaani kumbe yote haya! Sasa anakua diva na hajasafiri! Huyu ni mjinga Sana
@JOCENTE3 ай бұрын
@@BarbaraPatience-qt9cc😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@sherryx.78973 ай бұрын
Ikiwa mume hana uwezo wa kukununulia gari..usimlazimishe...halafu Diva u don't respect ur husband.. talk to him as a husband sio kama takataka..
@lilianestephanie78813 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌eti nililetewa nmechekaaa
@fettymilly76643 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 anatuona ss machiziii
@minaeli59892 ай бұрын
Huyu Abdul wanasema hana Adabu sijui malaya but he is a realy man mtulivu anampa mke heshima na anamsikiliza vizuri kaka mtulivu
@verbalverbal20193 ай бұрын
Diva anaweza akakwambia babake ni mhaya, lakini yeye siyo mhaya, yeye ni black america, alienda mahakamani kubadili kabila... (Giselle)😂😂😂😂😂
@faridalihondo33223 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@nantaembanusurupia56743 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@peaceisrael81583 ай бұрын
😂😂😂😂😂😅
@lilianestephanie78813 ай бұрын
Nimecheka hapo uliponunuliwa vitenge😅😅😂😂😂
@annajoseph99553 ай бұрын
Huyu passport hajawah miliki bhana,,,,,huyu mwenzetu wa humuhumu tu
@EmmyMo3 ай бұрын
😂😂😂😂
@aminanyembo84713 ай бұрын
Sio wa humu humu tu,sema wa "Bukoba"😂
@saraheunice86613 ай бұрын
na huyu mwanamume kwa kueli n mzuri sana
@rehemapeter86213 ай бұрын
Kumbe muhimbili ni hospital ya muda mrefu😂😂😂and u are a journalist? Heey eh
@Mb0g0z3 ай бұрын
Yan anajifanya mgeni TZ
@MagretSalheart2 ай бұрын
Mmaosema uyu kaka hana shida taften interview yayule mke wake salma kabla yakumuowa diva
@Mb0g0z3 ай бұрын
Baada ya hii show ,Abdul shikamoooooooooooooooo ndo maana ana cheat this is too much for him,anatafuta wakumliwaza
@khairyaalamri40022 ай бұрын
Me na diva nimeanza kumiliki passport me😂😂😂😂😂diva bwabwa
@WinWilly41623 ай бұрын
Abdul ni mwanaume na Robo 3.. Kuishi na kiumbe kama Diva inabidi utumie akili hekima, busara kubwa sana.
@peaceisrael81583 ай бұрын
Jamani hadi leo huna passport jamani😢
@MariaThomas-wm9iq3 ай бұрын
Diva mbona fek mpka majina😅😅😅
@temeketv3 ай бұрын
Mwanetu shehe anapitia vitu vingi vigumu na huyu demu, sema anaweza kukaza, kipindi cha ukoloni watu kama shehe ndo walikua wanasafirishwa na cheni shingoni huku wanachekelea kuenda mambele😂 😂
@rajabdibwa64153 ай бұрын
Si angemwambia diamond amtafutie passport😂
@aboudijaaboudija3 ай бұрын
Anaomba msamaha huku anacheka yaan hajui jns yakuishi na mume waaa japo sijaolewa bado but diva bana
@LubnaAli-y2f3 ай бұрын
Wew diva mulize giving mawigi and nunua wapi akielekezee😂😂😂
@NnajMimi3 ай бұрын
Analazimisha apewe vya thamani wakati hajui bajeti,hajui thamani ya shilingi aiseeee atabaki hapoooo
@NnajMimi3 ай бұрын
Haki diva hajui kuongea vizuri na mume wake,kasema kupika hajui,harafu kumbe haelewi vitu vingi maana hata pasport tuu mume anafaham kuliko yeye msomi,analazimisha apewe vya thamani wakati bajeti hajui,yaani kumbe anamsema mume nje vibaya wakati yeye ndo tatizo,
@EmmyMo3 ай бұрын
Exactly 💯
@sechemaguha72622 ай бұрын
Ujue Huyu dada anajifanya mtoto mdogo asiyejielewa hata kidogo wakati yeye muda wote ni mtoto mchanga
@sechemaguha72622 ай бұрын
Yani mwanamke lazima uwe na kitu cha Ziada cha kumfanya mwanaume ajue mkewe nyumbani kichwa sasa Huyu binti namsikitikia sana hakuna Mke hapo
@leokamil62843 ай бұрын
Hii inanionyesha kwa jinsi gani upeo ni shida katika watu wengi ambao huwezi hata kuamini
@rukaya-jg7hj3 ай бұрын
Muongo huyu aitwi diva 😂😂kadi lake la clinic 😂😂😂
@HabibaIslam-rf4ev2 ай бұрын
Sheh amepoteyaga njiya😮😮😮
@zuwenaally2734Ай бұрын
😂😂😂mamdogo ata ajui alipozaliwa
@josephgatunzi16703 ай бұрын
Tukalime jamani 😂❤😂❤😂❤
@reynaaalrawahi41373 ай бұрын
😂😂😂
@Lovebryan-x7c3 ай бұрын
Kwakweli tushike jembe😅😂
@TabithaAlfred3 ай бұрын
Mmeweza😊😊
@reynaaalrawahi41373 ай бұрын
Diva umeolewa na mzungu 😅
@AminaAfrica-pr3gi2 ай бұрын
Wewe umekwenda kuowa mkridto wakati dini yenyewe inatukataza tusiwaowe hao bali mbaka pale pasipokuea na budi kwakuwa kuna hasara nyingi lakini mapenzi mapenzi yalikuchotaa pole sana ila usipotexe mdu hapo una mkee wanawake wa dizaini hiyo uwa awabadiliki kiamaa pole na jipange tuuu kwa maisha mengine mimi simufichi nskueleza kweli pia kumbuka wew ni shekhe fuata dini basii ole inalilah waina...... Kumbuka hadhi za maswahaba moja alipoambiwa na baba eke abadilishe kizingiti cha mlango ndugu huyo sio mke umueexiiii mbaka kiamaaaa alafu wee shekhe. Ndoa yako ya mkataba ndowa ya bomaniii uyo ni mwamke wa kutumiaaa ana fuchaaa ndugu baldili kixingiti na fuata vigezo vya dini wacha matamanio ya duniaaa shekhe gani wewe badilika ili uendane na cheo chake
@Mwanamkesahihi013 ай бұрын
Kwa hiyo huyu Director hakujua kua kuonesha kuwa diva hapa pass ni brand Damage?????
@ummuwawili3 ай бұрын
😂
@RandB_Channel3 ай бұрын
Hata kama mnesemaga mme ooo shehe lakini hata huyo diva hana tabiaya nzuri yakuwa mke wa mtu . Kumbe unatumbo kumbwa hivi wenye wesha zaha ndo wanakuwaga navimatumbo ww imekuwaje 🤔🤔🤔 huyu diva maisha ya ndao hawutaweza ju tabia yako nimbaya
@marymanoni55363 ай бұрын
Mbona kawaida
@Hajer-be2kh3 ай бұрын
Hilo liko wazi
@mapishiyetumazuri23123 ай бұрын
Yani hatari kwa kweye ndo ukivuvuna hiyo huishi na mwanaume kampata huyo mume naye wataka usataa tu
@RandB_Channel3 ай бұрын
@@marymanoni5536 apana kwahawa wasani wana maisha yakuigiza nilisema vile kwasababu wende utizame instagram nahapa nibitu 2 tofahuti kule iko na flati stomeki apa iko namama lawo
@gracekenan46653 ай бұрын
Tumbo kama langu mama kachanga ila soon nalitoa
@walizanasiri49632 ай бұрын
Kwani uyu muislam au mklisto?mbona simuelewi😂😂😂😂😂ila diva
@Mb0g0z3 ай бұрын
Mental health is real
@steveabel58193 ай бұрын
Yaan diva ni vituko jmn mwanaume wake kazi anayo😂🙌 anajikuta sana af hana chochote mxieew na hayo mawigi kama katani
@hollymore49043 ай бұрын
Kumbe muhimbili ni hospital ya muda mrefu!! Hahaha mshamba huyu
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج3 ай бұрын
😂😂😂diva yaan unavitu ww af abdul yuko makin atak ujinga😅😅😅😅mara malinz mara mpare mara muhimbil
@elizabethsamwel86283 ай бұрын
Realty yenu mbaya hainogi
@aminaomary5150Ай бұрын
Duh natumbua mijicho nashangaa majibu ya diva dah kapinda xana
@HabibaIslam-rf4ev2 ай бұрын
Uyo mwanamuke hafayi
@Mb0g0z3 ай бұрын
Hata mume hajui majina ya mkewe
@agnesjohn93823 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@aishaabrahaman99573 ай бұрын
😂😂😂khaaaa jingaaa sanaa halijui kitu upuuzi 😂😂😂 mwingi kwenye kitambulisho cha nidaa lilijaza nini sengeee sanaa😂😂
@activestudios.3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂dah
@jemalulenga4981Ай бұрын
Yaani dada wa ajabu hahahha afu anajikuta mzungu flan
@salama11133 ай бұрын
Nilichogunguwa kweli huyu dada maishayake ni feki we hada ditel ya mzazi wako huzijui au ww sio mtz
@reynaaalrawahi41373 ай бұрын
Puwagu na pwaguzi 😀😀😀
@ZulekhaAmar-fy4pm3 ай бұрын
Pipa namfuniko 😂😂😂
@josephinejames4590Ай бұрын
Kwa hapa nimemaliza huyu kaka,ela yake ya kimaskini kuishi na mtu kama diva alijaribu ni sawa tu walivyoachana
@ZurehaMiraji3 ай бұрын
Diva anaongelea maisha ya kina biyonce walioshajipataga anayaleta kwa mganga wetu wa kienyeji
@ZulekhaAmar-fy4pm3 ай бұрын
😂😂😂
@EmmyMo3 ай бұрын
😂😂😂😂daaah
@lucymtui86803 ай бұрын
😂 we mshenzii😂😂😂
@agnesjohn93823 ай бұрын
😂😂😂 kwanini mganga wenu wa kienyeji jamani
@MagretSalheart2 ай бұрын
Nyie mnaomsema diva angalien inteview yaa salma mwanamke wa huyu kaka aloachana nae ata ela ya chakula anasema alikua aachi uyu kaka
@mvfff72243 ай бұрын
Nacheka mno duu yaan hapa kwenye passport duuu umetuacha sana,,, pass kuhama ipotee😅,, anajiumauma tu😂😂Shekhe kazi unayo,,,, yaan ihi ni comedy
@LeeLian953 ай бұрын
Huyo hajawah kua na passport anazuga tu 😂😂 Shekhe kazi anayo kivipi wakati washaachana hiyo show ya tangu mwaka jana
@JOCENTE3 ай бұрын
@@LeeLian95😂😂😂😂😂
@rosehaule67653 ай бұрын
@@LeeLian95😂😂ndio hivyo.yasn 😂😂😂diva😂😂😂
@MultiBice3 ай бұрын
Kweli ni comedy nimecheka saana Leo 😂😂😂😂😂😂
@fettymilly76643 ай бұрын
Kuna mdada alicomment kwenye behind the gram ya paula na kajala kwamba bora niangalie reality show hii kuliko ya diva sizipend sofa zake ikabid nije kuziangalia😂😂😂😂😂 ni kwel km sofa yang mm nnae kaa vingunguti😂😂😂
@lilianestephanie78813 ай бұрын
Canada 🇨🇦 unaenda kufanya nini? Acha zako diva
@righitkileo3 ай бұрын
Vituko jaman huyu chizi diva ataniua mm.lkn huyu shekhe jmn anaweza je kuwa na huyu ? Ha,ha,ha,ha,😂😂😂😂😂
@SalmaMsangi-n2m3 ай бұрын
Diva jaman
@beatriceevan30743 ай бұрын
@zamaradi tuwekeen na ya kajała na mwanae wengine hatukuiona kwa tv plz
@AminaAfrica-pr3gi2 ай бұрын
Kiongozi wetu ntumee mohamad s(s aw) alidaiwa dhahabu na wake zake wawili na hakuwa na uwezo emu rudi kwenye dini wrwee. Wacha kupoteza muda hakuna jipya kwako amblo alijawahi kutokea enzi za mitume na maswahaba na ndio viongozi wetu tunaotakiwa kuaiga wewe rudi katika imaniii yako wrweeeee vyetu
@maidimples82363 ай бұрын
Ati mama angu alionizaa sindio Rosemary? Reall! Is it possiple your not sure about ur mama name?
@leokamil62843 ай бұрын
Ndio maana kichwa kibovu huyu
@ms_teeonly3 ай бұрын
Hakuwahi kuwa na mama yake..alifariki akiwa mdogo hata mwaka hana
@leokamil62843 ай бұрын
@@ms_teeonly Ooh pole sana kwake
@AminaAfrica-pr3gi2 ай бұрын
Huyo ni mwanake wa kutumiaaa tuuu si unamuona
@awaynaaaa34903 ай бұрын
Yaan ndiy nimeamin kumbe huyu dada uzungu t mwing kichwan hana kitu mana anasem ety tutasem sina passport khaa sasa hajui km tarifa zipo kule nimexhek
@swaiseif29893 ай бұрын
Kuna mimi nikipewa laki mbili inaisha mwez mzm nabdo naulizwa imeishaje 😂😂😂😂
@WardaSaleheАй бұрын
Kama kikwete😅😅
@floraflora94903 ай бұрын
Diva nimejua kweli ww muongo, pp huna na wala hujui maana ya pp,
@happynessmuro64743 ай бұрын
Passport hujui magar hujui hahaha hahha ila jaman tuishinkawaidaaa yan huyo mwanaume anamuenjoy sanaa diva coz anajikuta mjuaji so.mwanaume anakaa nyumanyumaaa,hata kuongea is acting daaa wadada
@elizabethmwakalinga32873 ай бұрын
Prague na Pwaguzi, nimecheka sana leo hiyo issue ya passport.
@Bashitetako3 ай бұрын
She's so fake anajikana mzima mzima eti naenda canada hata burundi hujafika 😅
@fatnaabdulhassan73833 ай бұрын
Dah etiquette waambie hana passport mweh 😂😂😂😂😂😂
@elizabethadabu46703 ай бұрын
Nahapo mwanaume kanyweshwa maziwa tu no food afu anaongea utumbo hapo
Majina magumu kama maisha ya Kenya 😂😂Kwani muhaya sio mtz😂😂
@nyakahodenis14733 ай бұрын
Mwanaume unaujanja mwongi😅
@happybryce12693 ай бұрын
Kochi chafu
@aishaabrahaman99573 ай бұрын
Familia ya kipuuzi hii😂😂😂upareni ila Abdul ana moyo wa kuishi na diva muongo muongo 😅😅😅😅😅😂majina mawili mawili ivi mnamuelewa huyuu mpuuzi bab a mtanzania linajibu muhaya😂😂