LISSU AKUTANA NA NESI ALIYEMTIBU WAKATI AMEPIGWA RISASI DODOMA, AFUKUZWA KAZI, AELEZEA MAZITO

  Рет қаралды 50,285

Mwanzo TV Plus

Mwanzo TV Plus

16 күн бұрын

#TANZANIA: Tundu Lissu akutana na Nesi aliyemuuguza wakati anapigwaa risasi Dodoma, afukuzwa kazi, aelezea mazito aliyokutana nayo mpaka kufukuzwa kazi, aomba msaada wa kisheria.
Zaidi: • LISSU AKUTANA NA NESI ...

Пікірлер: 180
@user-ef2ln1mx3s
@user-ef2ln1mx3s 15 күн бұрын
Mungu akubariki na uzao wako utabarikiwa
@faustinluambano2958
@faustinluambano2958 15 күн бұрын
Huyu mama ni mkono wa Mungu.Weka jamvi awe na biashara
@bukurunestory3540
@bukurunestory3540 13 күн бұрын
Mungu wa Mbinguni ni Mwema sana
@linogracephord9785
@linogracephord9785 15 күн бұрын
Ni story inayosikitisha Sana! Mungu atabaki kuwa Mungu!
@mugemainyas5241
@mugemainyas5241 14 күн бұрын
Mama samiah asipowasikiliza watu mwisho wa siku hawa watu wanaenda kwa Lissu na hapa watanzania wote wanasikia hii ni issue kubwa .
@user-gc1ez1yv4k
@user-gc1ez1yv4k 14 күн бұрын
Kumbe mtaka wa hovyo sana.ccm ni janga ,mbwa wamejiificha huko.
@frankremishoy5778
@frankremishoy5778 14 күн бұрын
Duuh mungu atakuinua mama.sauti ya wengi ni sauuti ya mungu umekuwa imara wa baraka kutuokolea jemedari wetu
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 14 күн бұрын
Pole sana dadangu.kaka LISU MOtrendeye mosaaada dada wasoo mboya akhiroo! Ncho wajunchwa MOEMO Aghwakhiii tuuuu,,ng'e eyeiii agefotru kamwee..
@user-bp7nb7yp2o
@user-bp7nb7yp2o 15 күн бұрын
Kaka Lisu msaidie Huyo dada kama Kuna uwezekano.
@user-wq2fh5rx4s
@user-wq2fh5rx4s 14 күн бұрын
Nakaa naye jilan huyo
@victaboy7273
@victaboy7273 14 күн бұрын
Amsaidie kivipi sasa. Alifanya kazi yake
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 14 күн бұрын
​@@victaboy7273 amsaidie ili aipate haki yake, Kwani wewe humsikia huyo dada!!!
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 10 күн бұрын
​@@user-wq2fh5rx4ssawa asaidiwe tu Ili apate kazi
@salama1113
@salama1113 13 күн бұрын
Acha mungu aitwe mungu huyu baba kaziyake haijaisha mungu anakusudilake mungu akulinde🤲🤲🤲
@andrewIzdory-sk4cu
@andrewIzdory-sk4cu 14 күн бұрын
Kwahiyo wewe uliyemsaidia Lisu ndo umefukuzwa kazi!! Duh hatareeeee sana.
@williammwamalanga1065
@williammwamalanga1065 14 күн бұрын
Jamani watanzania njooni tuumie na huyu. Muuguzi wa Dodoma
@user-wq2fh5rx4s
@user-wq2fh5rx4s 14 күн бұрын
Naish naye jilan Dom kwa rose mhando kwa pemben yake
@user-xh8kd9ze7o
@user-xh8kd9ze7o 10 күн бұрын
Kwakweli ww mama mungu akubariki Sana na atakupa maisha marefu sana
@austinmcharo928
@austinmcharo928 10 күн бұрын
Very emotional...Mungu awajalie kheri katika vizazi vyao,,,
@paschalmagai751
@paschalmagai751 15 күн бұрын
Mungu ni mwema sana siku zote
@abdulhakeem959
@abdulhakeem959 14 күн бұрын
Na mijitu hata haishughuliki na jaribio hili la mauaji
@josephmkinga9509
@josephmkinga9509 13 күн бұрын
bora wakuu wa mikoa wachqguliwe na wananchi kwa sababu wanasimamia lasimali na kuongoz wanachi mkoa mzima na sio wasichagukiwe na mtu mmmoja ajabu sana masisiemu hayo.
@williammwamalanga1065
@williammwamalanga1065 14 күн бұрын
Pole sana wewe muuguzi wa dodoma nimeumia sana sana Mimi Askofu William Mwamalanga namuomba Mungu Atakuinua sana sana lakini Mhe Rais samia suluhu Hassan atakusaidia
@TitoRufizi-xb2ub
@TitoRufizi-xb2ub 13 күн бұрын
Hii nchi ina watu mashetani yaani viongozi wanaonea wanyonge sana
@driss4957
@driss4957 15 күн бұрын
Hiii nchi Ina uonevu sana...
@timothnkhambi3188
@timothnkhambi3188 14 күн бұрын
Hongera sana dada Kwa kumsaidia,kaka yetu Lisu,Pole sana dada
@kennedykassian5269
@kennedykassian5269 14 күн бұрын
Kwa aliyewah kuishi dodoma lazima anamjua huyu nesi ,ni mcheshi na jasiri sana namkumbuka sann,Mungu amsaidie sana
@robisonikadogo7371
@robisonikadogo7371 14 күн бұрын
We mama mwenyezi mungu skuongezee,na wote muriyo muudumia rissu
@uredmwasembo8579
@uredmwasembo8579 14 күн бұрын
Mungu yupo kwa ili tupo pamoja
@user-rn9og1rk3l
@user-rn9og1rk3l 15 күн бұрын
Huyu jamaa aise ni tunu ya taifa
@elialugano1679
@elialugano1679 15 күн бұрын
Nice and humanity talk
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 14 күн бұрын
Nahisi kutokwa na machozi mie😢😢😢 Anyway Mungu yupo Na anaweza
@user-qz2cs5wm5u
@user-qz2cs5wm5u 15 күн бұрын
Anglia kiongozi unaweza ukamponza maana waliousika awakutaka upone
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 10 күн бұрын
Duh jamani Mungu atakusaidia
@mugemainyas5241
@mugemainyas5241 14 күн бұрын
SIASA SIO SAWA HATA KIDOGO. SIKU ZOTE NILIKULAUM KWA KUWATQJA MADAKTQRI WA NAIROBI NILIHISI KAMA HUTAMBUHI JITIADA ZA MADAKTQRI NA MANESI WA TANZANIA. POLE LISSU NA ASANTE KWA KUONGEA NA HUYO DADA NIMEFARIJIKA.
@LeonardSiame
@LeonardSiame 14 күн бұрын
Hongera sana nesi
@JohnMpongwe-sr7qx
@JohnMpongwe-sr7qx 14 күн бұрын
Ukitendaa wemaa munguu atakulipaa dadaanguu utapungukiwaa
@richardnganya2311
@richardnganya2311 15 күн бұрын
Ilipangwa Lissu afe na sio kuwa hai !! Hivyo wote waliomsaidia kuishi waliipata fresh !!
@dn.n4983
@dn.n4983 15 күн бұрын
Jamani kweli miujiza pole sana pia asante waguzi kweli mnatakiwa kupewe Nobel kwa kweli huyu unatakiwa kufanyia kitu
@HannaSamson-nq3hc
@HannaSamson-nq3hc 6 күн бұрын
Weka namba yake tumchangie afungue biashara. Ila kizazi chake kime barikiwa milele yote.
@salama1113
@salama1113 13 күн бұрын
Mungu mlinde huyu mama mana huu ukweli utakuwa mchungu kwake
@RwegoshoraPatt-os2ik
@RwegoshoraPatt-os2ik 14 күн бұрын
Mama tunakushukuru kwa uzalendo katka kutimiza wajibu wako maana yataka moyo pia mko wengi mliokos maisha ya mh. Lisu
@georgemwapela1654
@georgemwapela1654 15 күн бұрын
Haya majambo yanatutokea sana.Mimi ni Mwl George W.Mwapela mwajiriwa wa ualimu sekondari 2007.Nilitolewa kwenye Payroll 2014..Nimefuatilia jambo langu kwa muda mrefu sana mpaka Leo nafuatilia jambo langu na sijafanikiwa.Naambiwa ni mtoro na sijawahi kusikilizwa sehemu yoyote.Kuna watumishi wanatumia madaraka yao vibaya....
@directorkaswale8047
@directorkaswale8047 14 күн бұрын
Pole Sana
@jilalamaligisa4854
@jilalamaligisa4854 14 күн бұрын
Dah inaumiza sana jamani
@ourearthmatters5206
@ourearthmatters5206 14 күн бұрын
Pole sana mwalimu Tutaftane NIKUSAIDIE
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 14 күн бұрын
Pole sana
@chage97
@chage97 14 күн бұрын
Ripoti ofisi ya chadema Makao makuu haraka tutaita vyombo vya habari
@teddygabriel5662
@teddygabriel5662 14 күн бұрын
Hizo pete vp All in all ulifanya vzr kusave life
@cyprianpetetmbonde6374
@cyprianpetetmbonde6374 14 күн бұрын
Kwa tukio la Lissu na huyo mama ni ushahi di kwamba kuna baadhi ya watumishi ni wapumbavu sana na wanajiamini kiasi kwamba hawatakuwa nje ya ajira kwa sababu yoyote.
@leoncebenjamin8107
@leoncebenjamin8107 14 күн бұрын
Dah pole
@christophermakunzo4232
@christophermakunzo4232 11 күн бұрын
Daaa pole sana...
@LeonardSiame
@LeonardSiame 14 күн бұрын
Mungu atakulipa
@user-bn4br7qm7r
@user-bn4br7qm7r 14 күн бұрын
Cheki huyo mtoto alivyotulia lissu ni mbarikiwa
@philipongenzatv
@philipongenzatv 14 күн бұрын
Safiiii sana
@rugemalilalucas4533
@rugemalilalucas4533 14 күн бұрын
Wewe muuguzi ubwarikiwe na BWANA mno. Jina la BWANA wetu lipewe sifa na heshima zote.
@saidiathuman-og6bc
@saidiathuman-og6bc 15 күн бұрын
Tanzania tumekosa viongoz wazarendo ,so mungu atupe walio bora
@feruzmato4422
@feruzmato4422 14 күн бұрын
Pole mheshimiwa
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 10 күн бұрын
Kamanda Lisu tuko pamoja
@mwijagejoseph1675
@mwijagejoseph1675 14 күн бұрын
Acha Mungu aitwe Mungu
@ngalamawecheslous9976
@ngalamawecheslous9976 14 күн бұрын
Mungu akutangulie mama
@SalamMasanga-hb4lt
@SalamMasanga-hb4lt 9 күн бұрын
Mungu akulinde sana zaidi ya sana
@user-md7sd3hk6l
@user-md7sd3hk6l 14 күн бұрын
pole dada
@InnocentCharles-hm3ff
@InnocentCharles-hm3ff 14 күн бұрын
Tukio hili ,Linahuzunisha sana ...still kuna usemi upo unaitwa " tunajivunia amani yetu"...jah see n know!...
@godfreybitakama9845
@godfreybitakama9845 15 күн бұрын
Hakika mungu wetu ni mwenye nguvu
@Nicolasmosereta
@Nicolasmosereta 14 күн бұрын
Weka mkeka watanzania wafanye jambo Kwa akili ya huyu mtu mwema
@user-md7sd3hk6l
@user-md7sd3hk6l 14 күн бұрын
pole dada pole lisu
@EmanuelMwambu
@EmanuelMwambu 14 күн бұрын
Hapo hakuna cha manesi, Wala dakitari ni mpango wa mungu tu.aTundu lissu uendelea kuishi.
@exprodigitaltechtv5571
@exprodigitaltechtv5571 14 күн бұрын
Mbona we ukiumwa cha kwanza unakimbilia hosptal au duka la dawa sinl utulie kwako usali tu😂😂😂, then mungu ndo mtowaji wa vipawa na vipaji vyote
@GIFTKIWELU
@GIFTKIWELU 15 күн бұрын
Dah
@SamsonLubimbi
@SamsonLubimbi 15 күн бұрын
Inaumiza sana jmn
@odoieriasmonga6591
@odoieriasmonga6591 15 күн бұрын
Hiyo ndiyo Tanzania mnayoisifia kua Nchi ya amani
@jamessiame5169
@jamessiame5169 14 күн бұрын
Kweli kabisa
@dennisezakiel3380
@dennisezakiel3380 14 күн бұрын
Tanzania hakuna haki
@sangomamourice3539
@sangomamourice3539 14 күн бұрын
Hakika ukuu wa mungu
@TitoRufizi-xb2ub
@TitoRufizi-xb2ub 13 күн бұрын
Huu ndo utawala wa ccm
@user-bp7nb7yp2o
@user-bp7nb7yp2o 15 күн бұрын
Jamani inasikitisha sana.
@coms2640
@coms2640 15 күн бұрын
God
@stevensteve7519
@stevensteve7519 14 күн бұрын
Weka vizuri cv yako mama 2025 utakuwemoo
@victorphilipo
@victorphilipo 15 күн бұрын
Mama pore uritimaza wajibu wako rakini hawakufurahia hivyo kwa Sasa naye afanye kazi yakisheria akusaidie
@JosephatNziku
@JosephatNziku 14 күн бұрын
mungu mkubwa sana
@leothardngonya4842
@leothardngonya4842 11 күн бұрын
Ili iweje.
@edsonmnego4030
@edsonmnego4030 14 күн бұрын
Watu wengi naona mnasema amsaidie sasa mnavozani atamuacha hvohvo
@Mauya23
@Mauya23 14 күн бұрын
Kuna haja ya Diet balanced Mh. mana hiyo ndambi inaelekea kubaya
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 15 күн бұрын
Jamani tuwakumbuke sana manesi na madaktari na watumishi wa hospitals wanafanya kazi kuokoa masha. Mungu atawalinda tu.
@samsonmweta5040
@samsonmweta5040 14 күн бұрын
Hawa wauguzi na madokta waliokoa maisha yake
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 12 күн бұрын
Ndiyo maana Mungu hatoi taarifa ya kufa kwetu waovu wanapoteza na kuuwa kwa tamaa ya madaraka wajifunze baada ya shambulio lililomkuta Lissu bila shaka walishakufa ndiyo eti wakaitwa mashujaa wa Afrika kwa uovu huu Mungu aliwaonesha ukuu wake kuwa na wao hawastahili kuishi kama ambavyo wao wanawaambia wanasiasa wenzao kuwa anaewapinga hastahili kuishi wanasahau kuwa na wao ni binadamu kama wanaopingana nao kuna siku nilimwona kijana mmoja anawabia Askari wasiulize kama kutakuwa na watu watakaopotea huyo kijana ameshapewa ruhusa na Mungu muovu kuwadhulumu maisha wanaopinzani wake
@ngalamawecheslous9976
@ngalamawecheslous9976 14 күн бұрын
Muujiza unatembea
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 14 күн бұрын
WALIOMPIGA RISASI LISSU WANASIKIA ALIVYOTIBIWA, JEE HAWAONI UCHUNGU? NA FAIDA GANI WALIYOIPATA?
@brunomirambi8792
@brunomirambi8792 14 күн бұрын
WEWE MAMA TULIA HAPO UNAONGEA NA RAIS AJAYE JITUNZE KIAFYA NEEMA IKO MBELE ACHA PAPALA JITUNZE KWA MUNGU ALIYE KUKUTANISHA NA HUYO RAIS AJAYE MH: TUNDU LISSU NI MUNGU TULIA ATAKAYE KUPATIA HAKI NI MUNGU HUYO HUYO KUPITIA TUNDU LISSU
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 14 күн бұрын
Masjabu mambo yote haya unayo yasikiaa mabaya mqbaya nashangaa na bado CCM inashinda bora na mie nimfate huyu shetani ana nguvu kweli hamna njia, napenda uonevu chama kinanifaa hichi 😂😢
@deluxwoiso999
@deluxwoiso999 15 күн бұрын
😢😢😢😢😢
@user-yw3qh6qj8g
@user-yw3qh6qj8g 14 күн бұрын
Huyomtoto aliepakatwa, malezi,nynyanyanya
@TMTZONLINETV
@TMTZONLINETV 14 күн бұрын
hatari sana
@simonshimba7759
@simonshimba7759 14 күн бұрын
Ila inchi imejaa watu waoneaji
@oswaldtemba2770
@oswaldtemba2770 14 күн бұрын
Hivi nyie mliodhamiria kumuua,mnajisikiaje mnavyomuona lisu yuko hai.
@floriankiiza7533
@floriankiiza7533 15 күн бұрын
Lissu hawa manesi ungewapa zawadi kidogo kama shukrani ya kutambua mchango wao.
@danielmakundi8927
@danielmakundi8927 14 күн бұрын
Kwani akimpa hata zawadi kidogo ww una haja Gani kujua?
@philipongenzatv
@philipongenzatv 14 күн бұрын
Serikalini pabaya sana usiombe
@dianamakyara4210
@dianamakyara4210 14 күн бұрын
Yaani lisu nimuujiza unaotembea jamani🤔
@mugemainyas5241
@mugemainyas5241 14 күн бұрын
POLE DADA DU JAMANI
@user-qv4jb7mt5q
@user-qv4jb7mt5q 14 күн бұрын
Atakuwa na uhakika Gani kama ni wewe uliemuhudumia? Muda wote alikuwa wapi? Pengine ni propaganda zime pangwa
@BonaBonala-bp5qm
@BonaBonala-bp5qm 15 күн бұрын
Huyu ni mtumishi wa serekari ya ccm wewe uriee serekarini unaiteetea ccm mtakufa Kwa shock
@daviekleva1856
@daviekleva1856 15 күн бұрын
Tumtag @mtaka
@MussaSimeon
@MussaSimeon 14 күн бұрын
Mungu hashidwi najambo lolote
@ananiamwatebela3159
@ananiamwatebela3159 14 күн бұрын
Mbn hamna saut
@fransicmushenyera9302
@fransicmushenyera9302 14 күн бұрын
ukweli utaujua siulisema magufuri hakukusaidia waliokusaidia ni wakenya sasa ukweli umelipa uwongo unajitenga unaona haibu
@johngerald4677
@johngerald4677 14 күн бұрын
CCM oyee
@dennisezakiel3380
@dennisezakiel3380 14 күн бұрын
Binadamu tunajidai bure leo unamfanyia mwenzio mabaya kwani utaishi milele?? Watu wanyonge ndio wanao kandamizwa alfu leo watu bado wanaishangalia ccm mnaona watu wanvyoteseka?? Tuungane kwa pamoja 2025 ccm itoke madarakani
@francissimwinga-gb2vd
@francissimwinga-gb2vd 15 күн бұрын
Hapo ndio huwa namshangaa MUNGU maajabu yake lakini MUNGU ni fundi kafanya yake lissu anaishi
@JacksonFrances
@JacksonFrances 15 күн бұрын
Milìma Haikutani ilà Binadam huķtanà"
@chage97
@chage97 15 күн бұрын
Jamani tumchangie huyu mama
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 15 күн бұрын
Kweli inabidi tufanye hivyo, ati Tanganyika Kuna haki na amani😢😢😢
@deokimena5168
@deokimena5168 15 күн бұрын
Naunga mkono hoja
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 15 күн бұрын
@@deokimena5168 👍
@davidkawesa3594
@davidkawesa3594 15 күн бұрын
Haki yako umepata Mungu mwema
@johnmwanyika
@johnmwanyika 14 күн бұрын
KAMA SISI, TUNAUMIA HIVI TUKIONA ANAVYOCHECHEMEA KWA SHIDA AKITEMBEA. JE KWA FAMILIA YAKE WANAUMIA KIASI GANI NA WATU WAKE WAKARIBU?. Kuna siku itafika watajulika waliofanya hicho kitendo hakuna kitakacho fichika tena.
@deokimena5168
@deokimena5168 15 күн бұрын
Haki ya mtu haipotei.Tundu do something
@user-ij2lp1om6i
@user-ij2lp1om6i 14 күн бұрын
Huyu mama hizo pete za nini
@franciscoivo1591
@franciscoivo1591 14 күн бұрын
Anton mtaka udescent wote ule kumbe naye yupo hivyo....tumejua mengi asee
@davidkawesa3594
@davidkawesa3594 14 күн бұрын
Wamejificha tu ssm hawezi kaa nawewe kama huendani na m Wao
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 14 күн бұрын
Huyu muuguzi asiporusishwa kazin hakika mkono wa MUNGU utashughukika na hao wooote waliomtoa kazini kimakususi.
@msabahaali758
@msabahaali758 14 күн бұрын
hakika Mungu ni mkubwa pole dada kwa yote yaliokukuta pole lissu kwa yaliokukuta sana ndio maisha na ndio mipango ya Mungu yuko wapi Magufuli leo wako wapi watesi wako
100❤️ #shorts #construction #mizumayuuki
00:18
MY💝No War🤝
Рет қаралды 20 МЛН
Wezi WAKAMATWA ARUSHAA....UWIII....Ona KINACHOTOKEAAA!!
20:48
SUPER TAMUTAMU
Рет қаралды 85 М.
'Tax Even Women With Fake Buttocks!' MP Barasa Tells President Ruto!!
18:35
#LIVE: TUNDU LISSU ANAKIWASHA MUDA HUU JIMBONI KWA WAZIRI MWIGULU
54:58
Enugu Govt. Directs Workers To Ignore IPOB Sit At Home Order
13:25
TVC News Nigeria
Рет қаралды 24 М.
Joe Igbokwe Takes On Aisha Yesufu #Ovevekuve
10:18
Aisha Yesufu
Рет қаралды 7 М.
HALIMA MDEE AINGIA KWENYE 18 ZA TUNDU LISSU AFICHUA TUSIYOYAJUA...
13:54