Gombea uraisi makonda tutakupa kura ushinde kwa kishindo 😊
@ErickBandushiEtienАй бұрын
Chapa kazi Mungu akutie nguvu.Aminaaaa
@BraisonMeelaАй бұрын
Hakika utendaji kazi wa huyu mhe. RC wa Arusha unafaa kuigwa na wakuu wote wa mikoa. He is a role model for Regional administration and leadership
@user-pi3sv8kz4fАй бұрын
Barikiwa sana mtu wa mungu bay rev elimbingi lema
@NedjadistАй бұрын
Kuna watakaosema mtindo huu sijui ni uvunjaji wa haki za binadamu....lakini binadamu wanaowatetea ni wale wavunja haki, si wale wanaovunjiwa, kuliwa rushwa, kuteswa katika kupata haki zao.....nasema Makonda mtindo huo ndio unaowafaa majangili wa Tanzania, maana wamekubuhu katika impunity. Ningependa pia wataifishiwe mali zao, watiwe jela, wapigwe viboko 24 na kazi ngumu. Pambaafu hawa!
@gililwiseАй бұрын
Kabisaa tena ni wanafiki.Makonda piga kazi tunakuombea Mungu kwani anajua unachokifanya
@JafariHamisi-gu4efАй бұрын
😅😅😅safi kabisa😅😅
@ezekielsabiyumva8048Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@EliasMollel-kl9hfАй бұрын
Safi Sana mkuu wamikoa matendo Nia Baba makufuli mungu akufunike pia akupe ngufu yakuweesa kutetea haki
@user-vn3wi4dh2cАй бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@jeziofrancis5632Ай бұрын
Mh. Mkuu WA Mkoa, Paul Makonda, apewe Ulinzi. Anafanya kazi nzuri sana , lakini baadhi ya watu hasa WA aina hiyo anaowashughulikia, hawampendi. Mungu wetu akulinde, utetee maslahi ya Watanzania kwa haki
@EmanuelSafari-hi9llАй бұрын
very nice makonda
@bhokemarwa6114Ай бұрын
Hongera sana mk.wa mkoa wa Arusha wewe ni magufuli wa pili.
@filberthenrickАй бұрын
Roho ya Magu kazini, Asante Mungu kunifanya Mtz
@nikoletaugi3247Ай бұрын
Mungu wangu akubariki sana ,nakuombea kaka Mungu akulinde
@isdolypaulo8822Ай бұрын
kuna watanzania baba zao ndii wezi wanasubil makonda akosee kidogo waanze kutuma mesegi kwamba makonda ana kibuli anatukana sasa mmeona kazi kubwa anayo fanya makonda ndio mjue makonda yupo kazini na ataendelea kufanya kazi mpak mwisho wake utakapoishia asante mungu aendelew kukupa pumzi ndefu mheshimiwa MAKONDA🔥🔥🔥✅
@jumannemagawa5095Ай бұрын
Fanya kazi baba mwenyez mungu atakulinda
@sudymohamedy9717Ай бұрын
Hakika makonda unayoyafanya Mungu akulinde
@barakamgimba5706Ай бұрын
Team makonda like zenu apa❤
@makambamohamed3632Ай бұрын
Siipendi ccm lakini watu wanaofanya vizuri kama hayati Magufuli na huyu Makonda bigap sana mwamba ninaona taswira ya Magu ndani yako
@JolotaErastoJumaАй бұрын
Ni mwendo wa span tu span tu piga kazi kaka🎉🎉🎉🎉❤❤❤🎉🎉❤❤🎉🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉
@FloraIlokoАй бұрын
Naomba mungu akulinde makonda wezi apa wapo bize kukimbia mtakimbia kwa makonda lakini hamtakimbia jicho la bwana na maskini baadae nyie mtakuja kutubu ole wenu kwa laana mtakayoicha kwa vitoto vyenu na vijukuu
@gladysmugwa1859Ай бұрын
Mkuu tunakufwatilia sana hapa kwenye hongera unafhanya kasi nzuri
@nuramwamedy-yg6sdАй бұрын
Mung atakusimamia na atakulinda mpk mwsho wa maisha yako
@amirabdallah2827Ай бұрын
Mhe Makonda piga kazi kaka kwani rushwa na uzembe ni adui wa haki !!
@aminaomary5567Ай бұрын
Chapa kazi mwanangu na mtani wangu mungu atakulinda tu wala usiogope❤❤❤🙏🙏👍👍🎉🎉🎉
@gladysmugwa1859Ай бұрын
Mkuu tukuhamishie kwetu Kenya uje utuokoe Makonda Mungu akusidishie neema
@johnmgeni4860Ай бұрын
Munguakubariki.makonda.usihofu.mungu anakupigania.wewe ndo kiongozi Bora mkiwa namamasamia mnafaa
@bakarimakalo7128Ай бұрын
Wote hao ni wezi. Genge ni Moja kama Makonda akikosa viongozi wa kumuunga mkono Nchi hii itaelekea pabaya. Lazima tunyongane!
@AbdallahKawambwa-lk4plАй бұрын
Mkuu wa mkoa ni mmoja tuu Tanzania nzima makonda tuu
@petermnenuka6968Ай бұрын
Makonda ni magufiri wa pili tunaomba ikiwezekana ccm pendekezeni ashike urais.
@saidsai846Ай бұрын
Duuh! Viongozi wengi Wala rushwa Tanzania hii kazi tunayo kwel huo ni mkoa Moja tu wa Arusha JE hiyo mikoa mingine ambayo viongozi hawafuatiriwi yanafanyika mangapi natamani makonda aje mkoa wetu wa Tanga maana Kuna zuruma zinafanyika sana mungu akupe nguvu mjomba
@aminaomary5567Ай бұрын
❤❤Hakuna kitu hapo mwanangu wanajuwana wote hao
@YonduSelemanАй бұрын
Piga kazi baba sisi kazi yetu kukuombea kwa Mungu tungeku wa na vingozi 10 tu kama wewe tungekuwa mbali sana
@AishayoutubeMoosa-zn1coАй бұрын
Makonda angekuwa rais nchii ingeenyooka kama rula
@eliasjonathan1163Ай бұрын
MUNGU akutie nguvu mheshimiwa chapakazi,japo wengi wanachukia haki ila wewe mtangulize BWANA
@user-vp3ec6qv8nАй бұрын
Mm niseme tu hii afrika haindi bila viboko nishauri tu huyu mama akitaka uongozi wake uende vizuri kama akipata awamu ijayo amchague makonda kua waziri mkuu afrika aihitaji masomi Africa inataka wachapa kazi kama magufuli makonda ni aina ya magufuli mfuatiliaji si mnaonaaaa
@leonardoddiaga4399Ай бұрын
Talk of Mwalimu Nyerere's spirit at work. Hebu mafisadi na wezi wakipatepate.
@manaseliberatus1347Ай бұрын
WAKUU WA MIKOA WOTE WASAIDIENI WANANCHI, WATU WANATAFUNA FEDHA ZA MAENDELEO, WANANCHI WANATESEKA
@betsonkyabukoba-mu2wfАй бұрын
Mheshimiwa Mungu aendelee kukupa nguvu wewe ni mtetezi kweli wa wanyonge baba
@user-pi4dv3oh1uАй бұрын
Makonda alindwe, anatetea wanyonge.
@HenryNuhuАй бұрын
Yaaan huyu jamaa anafiti kila sehem hata ukimtoa huko ukampa hata ujumbe wa wa nyumba10 nako kitanuka vile vileeeee
@VenerandaKundi-ph4hgАй бұрын
Safi makonda mungu akulinde
@ClementJacob-sd8lfАй бұрын
God bless you qualities of good leaders fire for 🔥
@lotimwansule5017Ай бұрын
Pole Eliza Ngobei nakusalimia Dr.Loti Mwansule
@user-ny1tf2gg8gАй бұрын
Inatisha,,,, nchi hii!!! MUNGU saidia. Wasomi wako mitaani, hawana kazi , wezi walikaa maofisinii wanaiba tu. Waachie ofis wengine waadilifu ,na wenye uchungu na watu wa chini, wapate kazi, Makonda , Mungu. Akupe ulinzi, mwanadamu hawezi, nchi nzima ina shida mno, kila kona ni kilio kwa hawa waliochukua dhamana zetu.
@angellambonika3002Ай бұрын
Kwanza Roho wa Mungu akulinde Ucku na mchana . Unachokiona mkoa wa Arusha ndo kielelezo cha utendaji ktk mikoa mingi hapa nchini. Je ,Utamsaidiaje mama kumaliza hiyo saratani ya ufisadi ???
@kennywasike2024Ай бұрын
Good job bro 👏🏽👏🏽👏🏽👍🏽🇰🇪🇰🇪🙏🏽
@PHARESVENANCE-ye8whАй бұрын
Mungu azidi kukuinua Mkuu Pandishwa cheo zaidi
@elizabethcharles6527Ай бұрын
Mi nakuombea sana Makonda mi nakuona kama magu tu 😂❤ nakupenda sana baba
@mariakisinzaАй бұрын
🎉chapa Kaz baba tutetee wanyonge jembe letu songa tunaitaj wachapa Kaz kama ww magufuli wetu kafufuka tena
@user-ut7po2bf8oАй бұрын
Kweli kabisa MH watendaji ndio chanza cha kudhurumu haki za Raia
@fredericntihaboseАй бұрын
kama unapenda SUPER TAMUTAMU bonyeza kwahiyo picture yangu ujuw mengi zaidi na ufanye like
@TAMUTAMUTVАй бұрын
😂😂😂😂😂
@EstherKajalaАй бұрын
Eeeh Mungu nasi wa congomani su tupatiye vyongozi kama hawa!!
@innobenzol4119Ай бұрын
Chapa kazi Mkuu
@MalackiEliasilubohoАй бұрын
Daah kweli ,unadhamira yakweli mkuu MUNGU akubariki sana🎉
@josephatleonard7262Ай бұрын
Unanafasi huko juu baba 2030 nafasi yako mheshimiwa
@user-ih7zp7kc2uАй бұрын
Mungu akurinde makonda baba nakuombea sana mungu apigane na vita inayokuja kwako ❤❤❤
@lulusenzia4807Ай бұрын
Safi sana watanyooka sasa
@PaulLibentАй бұрын
Chapa kazi baba
@yudanziku6030Ай бұрын
Kwakweli makonda mungu akulinde
@moiseszacariasmoisesmoisesАй бұрын
❤ mungu akuzidishie siku muheshimiwa
@AbouhHawahАй бұрын
ongeza mweshmiwa kwa kazi nzuri mungu akibariki. makonda❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@NedjadistАй бұрын
Angalia polisi huyu mwenye sura mbaya. Mwizi wa kuku hapewi dhamana, mwizi wa milioni 300 apewa dhamana! Hii ndiyo Tanzania.Kama kakimbia si ana mali zake? Zikamateni. Nyie mnakula nao tu.
@LightnessUrio-fo7mqАй бұрын
Aki ungeenda ata kijijini kwetu wallah kule niufisad unyanyasaji dhuluma tuliwai kudhulumiwa aki yetu tukanyanganywa shamba letu aki uko akuna uruma
@user-in6sv4gh5uАй бұрын
Makonda njoo songea ujionee maajabu watu wanaumizwa uku
@ezekieldeus6022Ай бұрын
Mweshimiwa, mkuu wa mkoa makonda nimekuelewa, nchi hii ya tz, kwa hatua iliyofikia tunahitaji watu kama wewe ili kutuvusha, yatosha kusema MUNGU akulinde iliuweze kuyatekeleza majukumu yako ya kibinafsi, na yale ya kitaifa.
@godlistengodlisten7552Ай бұрын
Piga Spana Makonda Mpaka Waite Maji Mma.
@kamandamlimaog3430Ай бұрын
Hongera mheshimiwa ilaa unaposkilozaa hojaa za wananchi kuwaa makini na uwape haki zao kwa mujjbu wa haki na sheriaa Usiinglie maamuz ya taasisi yeyoote bilaa kujuaa sheriaa na kanunii inayosimamia
@swighaghaАй бұрын
Chapa kazi mkuu;
@nuramwamedy-yg6sdАй бұрын
Makonda mungu ampe maish marefu...
@karimmveyange280Ай бұрын
MUHESHIMIWA MAKONDA. HUWEZI AMINI YANI MAMBO YANAVYO FANYIKA NCHINI. TUMEFIKIA HAPA ETI MWIZI WA FEDHA ZA UMMA AMEKIMBIA HAPATIKANI. JESHI HILO LIMEFIKIA UWEZO WA KIWANGO HICHO. HIVI UNAAMINI HAONEKANI HUYU MWIZI KWRLI?? SIYO TZ NINAYO IFAHAMU MIMI ZAMA ZA NYERERE NA MWINYI. HAYA NIMAAJABU
Umekubalika baba kuwa raisi miaka 100 utawala ni wako
@samsonhamery3809Ай бұрын
Huyu binti ananipatia wazo jipya. Naona vyeo vingine vinahitaji afisa mzoefu na mwenye umri wa Kati Siyo hawa vijana wanaotoka vyuoni na kupewa madaraka makubwa kama haya kudhibiti watumishi wezi ndio maana unaona hawezi kujieleza na inaonekana anaogopa madaraka na uwezo wao wa kifedha wakati mwinginevanahofia be hata juu ya uhai wake
@user-ut7po2bf8oАй бұрын
Hayo unayoyasema ndio yanayofanyika hapa NAMTUMBO, familia ya gangisa wameporwa ARDHI yao.ile uliyo fika walitaka wakupe kilio chao jinsi walivyofanyiwa
Naomba makonda apate uraisi maana namuona kama magu ivi
@johnnyambane889Ай бұрын
Ndugu zangu watanzania mko sawa lakini hapa kwetu Kenya tunaumia jini ya doctor ruto.
@juliaspantaleoАй бұрын
Poleni sana mungu ataleta viongozi wazuri
@HamisiMauridiАй бұрын
Mweshimiwa unaweza kuongoza watu
@tinukamlowe2134Ай бұрын
Hongera sana makonda
@YangaNewsАй бұрын
Hapa kuna kitu mimi sioni ukweli wa hili hata kidogo
@KhumaisSoudАй бұрын
Big up sana makonda wapige spana had mwisho
@charleskingimwakasagule5752Ай бұрын
Mdogo wangu makonda umejitoa mhanga kweli make unajitaidi kwalibu mfumo wa ccm wa asili wa kulindana toka zamani hongera sana kama Arusha kuko Ivo Sasa mikoa mingine ikoje?