Hakika huu ni wakati wa mwamuko wa Kiroho, Mungu aendelee kutupatia mafunuo zaidi 🙏
@NaomiMdongo Жыл бұрын
Amina sana pr tunaimani tutafunguliwa hata na sisi wa mbali
@SebastianHilonga-kw9ff Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi kuna mahali umenitoa
@SebastianHilonga-kw9ff Жыл бұрын
❤
@DotiFwihiroАй бұрын
Barikiwa mtumishi kwa huu ufafanuzi mzuri
@carolinemwugusi8945 Жыл бұрын
Barikiwa kwa maswali mazuri na majibu mazuri nimejibiwa swali kuhusu ubatizo hata nami nilibatizwa nikiwa mdogo barikiwa pia kwa mahubiri mazuri
@preciousngofira1479 Жыл бұрын
Amen Pastor:Hakika toka nianze fatilia mahubiri yako najisikia sababu ya kuendelea kuiface kesho yangu kwa ujasiri.. mahubiri yako yanatia moyo waliokata Tamaa..Mungu azidi kukubariki uwe na afya njema na busara ya kimbingu
@ElipendoElias-no6ki Жыл бұрын
Pastor mbaga unanitia moyo sana na mahubir Yako Mungu akubariki sana
@majorazacharia21 Жыл бұрын
Sio mahubiri mahubiri yake hivi hukumbuki kuwa,naye ni chombo kitumikacho mbele ya Mungu? Ikiwa Mungu amempa Neno la kusema basi ujue kwamba,siye yeye anayehubiri bali Mungu anahubiri ndani yake rejea[ warumi 8:15]
@ebrohmedia Жыл бұрын
Asalam alykum.....(amani iwe juu yenu) hii ni mada yangu pendwa nimeisubir Kwa muda mrefu sana.. ahsante pastor Mbaga
@SharonAron-t1j Жыл бұрын
Kwa jinsi hali ilivyo badilika matapeli wanaongezeka kila kukicha lakini Mungu anazidi kuongeza maarifa zaidi kwa watumishi wake japo watumishi hawa ni wachache na hawana mbwembwe
@leonsamosimtana2907 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mchungaji Mmbaga. Nabarikwa sana na mafundisho na mahubiri yako. Natamani siku moja nikutane na wewe ana kwa ana.
@lorainnelarryson3626 Жыл бұрын
Asante sana kwa somo zuri Pastor. Uzidi kubarikiwa.
@shaluamagandi2184 Жыл бұрын
Wimbo super. Mbarikiwe waimbaji. Barikiwa Mchungaji ❤❤
@elizabethbukelebe138 Жыл бұрын
Amina muchugaji mungu akuinuwe zaidi
@bantoguragura5136 Жыл бұрын
Asante psr mmbaga MUNGU awabaliki mzalimie pst keraka emamuel ni mchungaji wangu matare SDA
@jerushakerubo1149 Жыл бұрын
Barikiwa sana pr mungu akupe hekima tena saidi
@neemasinza Жыл бұрын
haika nabarikiwa nikiwa hapa dodoma
@BahatiKazibake Жыл бұрын
Ubarikiwe mchungaji Mungu Akupe siku nyingi ili watu waendelee kufaidika kiroho kukupitia
@edsonbenjamin1978 Жыл бұрын
Jina laMungu wako liinuliwe milele yote na akupe kupenda maalifa katika Mungu
@eldamagere9845 Жыл бұрын
Bwana azidi kukutumia kifunua ukweli wa neno la Mungu kwetu
@chirstophermarwa8836 Жыл бұрын
Mbarikiwe wa mama wa dorika , ubarikiwe sana mongas ,Niko songwe Tanzania nimebarikiwa na huduma yenu
@KamalaKambalejohn Жыл бұрын
Mungu apewe sifa zaidi na kwa ajili ya fundisho na maombi
@wyclifmburia6488 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤ inapendeza God add you more for His people
@msafirimhehe Жыл бұрын
Amina!
@selemanimwanamulenda4655 Жыл бұрын
amin
@MarluckMikundi-hd6cw Жыл бұрын
Nîmes barikiwa sana kwa mafundi
@omankadara6418 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana pasita
@JamesKabonda Жыл бұрын
Asante sana Pr D. Mbaga kwa somo hili ubarikiwe
@miraclegospel3527 Жыл бұрын
God blesse you man of cloth 🙏nina tamani bibilia yakisasa
@leawamukota9217 Жыл бұрын
Huu wimbo umenibariki sana mungu azindi kuwabariki sana waimbaji mzidi kuinuliwa kwa kiwango kingine khaa juu
@elyseekakutu956 Жыл бұрын
Amen amen 🙏🙏🙏🙏
@elyseekakutu956 Жыл бұрын
Amen amen 👏👏👏👏👏
@BarnabasJonas-nv4ig Жыл бұрын
AMINA
@masomoyakarne5122 Жыл бұрын
Ubarikiwe Pr
@deniseliya348 Жыл бұрын
Amina mchungaji
@roseurasa9347 Жыл бұрын
Wimbo umeni bariki sana
@judithnjalambaya2450 Жыл бұрын
Amen
@AliceAsante-q5j Жыл бұрын
Asante sana mungu
@AliceAsante-q5j Жыл бұрын
Michiganji ninatatizo kwanini
@AliceAsante-q5j Жыл бұрын
Ukiwaambiya kuhusuchakula nanjisi wanakala Tena wanasema wanaloho mutakatifu niwakweao
@AliceAsante-q5j Жыл бұрын
Samahani unipejibu
@omolosaline Жыл бұрын
Which book is pastor reading? Especially the book of SDAs. I'd really like to get it.
@johnstephano6486 Жыл бұрын
Hii imeenda.
@leawamukota9217 Жыл бұрын
Asante sana waimbaji kwakunibari na huo wimbo 😢😢😢😢
@AmriMusa-op2xy Жыл бұрын
Mchungaji naomba nisaidie tofauti ya yesu na yehova niipi je? Ninamna gani yakuomba vizuri kati ya yesu na yehova
@ppetetgathee121316 күн бұрын
Naweza pata wapi kitabu cha beyond belief online please pastor
@roseurasa9347 Жыл бұрын
.😂😂😂😂 Filling blessing
@aleroalero277 Жыл бұрын
Yaani mimi nilikua najua Roho na Nafsi ni kitu kimoja
@lucymrimi1323 Жыл бұрын
mamangu Ruth nimefurahi kukuona.
@UserUser-gq1ir Жыл бұрын
Nimebarikiwa
@AwAw-i3d11 ай бұрын
Waimbaji BWANA awabaiki
@m2ibila Жыл бұрын
Title of the song plz
@MarianaIsrail Жыл бұрын
Nimebarikiwa na kununua tena nilipo
@rossarutasha1789 Жыл бұрын
Ina maana huo mfano hivyo vyote nafsi na roho na mwili ni vitu vitatu kama unavyoelekeza sio vyote ni mtu mmoja?
@YohanaDigulaFumbuka-ug6pf Жыл бұрын
Nawafuatilia nikiwa dar es salam mchungaji lakin pia mchungaji sitakata tamaa kukumbusha kuhusu hitaji langu labkitabu chako kilichoandikwa siri ya maombi yaliyojibiwa nisaidie mchungaji