Leo pasta, umeongea namimi asilimia 100.100% ombi langu kwako MUNGU akutie nguvu kwakila unachopitia pia. Akupe nguvu ya kushinda zaidi na zaidi. Kwa jina la Yesu.🙏🏼❤️
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@FurahaKitsao-oq9rm10 ай бұрын
Amen
@FurahaKitsao-oq9rm10 ай бұрын
🙏🙏🙏
@reginahmwanza788710 ай бұрын
Amina
@estherchege907429 күн бұрын
Amen navumilia hadi asubuhi kupambazuke..halleluyah
@mwimamachumu6771 Жыл бұрын
Amina Pastor Bwana akubariki kwa neno la uzima tunapata nguvu za kisonga mbele
@estherchege907429 күн бұрын
Hallelujah .. amen
@user-ps7fy2oj7i2 ай бұрын
Amen Amen
@elishalidya4044 Жыл бұрын
AMENA KUBWA
@Grace-ts2rf Жыл бұрын
I love Ps D. MMBAGA He preaches the good news of Jesus Christ.
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@MildredShinali10 ай бұрын
Amen nimebarikiwa Kwa neno
@user-gk2qc8ds7w7 ай бұрын
Ahsante sana somo lina mwaka tayari lakini nimeliona leo katika wakati sahihi na nikiwa katika kukata tamaa na kuliacha kanisa mungu akubariki sana pr
@NellySakwa9 ай бұрын
Amen Amen 🙏
@perismuia695210 ай бұрын
Amen
@dianarobert7953 Жыл бұрын
Huu ubongo sio wa kawaida kabsa,unajua kugusa maisha asilia tunayoishi.Mungu akutunze tuu pastor,ndilo ombi Langu kila siku,masomo yko yanaponya moyo wangu kila siku.ubarikiwe Sana.
@gelardjames259510 ай бұрын
Barikiw pastor Mmbaga....
@veronicawilsonmbwambo10545 ай бұрын
Barikiwa sana mchungaji
@TeleziaSimbeye-fm3zw11 ай бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji
@estherchege907429 күн бұрын
Amen...
@user-sc7md1es1c9 ай бұрын
Pasta ombea msichana wangu mungu amfungue kuroka minyororo ya umalaya na ampe mume
@rovenancewafula532 Жыл бұрын
powerful sermon pastor may God bless you
@isaack134211 ай бұрын
Amina
@mginitabitha7814 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji,somo hili limenijenga Sana kumtegemea Mungu zaidi ya chochote.
@user-sd6bo1xs2z7 ай бұрын
Pastor Amen nikama umepiga picha ya maisha yangu niko na changamoto nyingi ela ninamuamini Bwana wa Majeshi unapoomba niombee boma yangu shetani amevamia kila kitu ela ninaamini nono laleo na maombi Mungu atanifungua❤🙏
Asante Mungu Baba umesikia kilio changu umenijaza nguvu na utakuwa nami daima hata ukamilifu wa dahari kwa jina la Yesu Kristo Amina.
@josetteirutingabo3621 Жыл бұрын
Asante sana muchungaji.mungu akubariki sana
@rosemarymallya445810 ай бұрын
Kweli 📌💯MUNGU ANAWEZA KUGEUZA USIKU MMOJA UKAWA MCHANA KWA MAISHA YA MTU YYTE🔥🔥Job:yote kujifunza💪💪 I RECEIVE THIS🤲🔥🤲🔥IJMN🙏🙏🙏
@Trusingod12345 ай бұрын
Mungu akuongezeye siku zakuishi ila wendeleye kutulisha
@raelsarange638 Жыл бұрын
I'm blessed pastor and I thank God always for your being there for us help innocent soul like you have done to me glory and honor be to God 🙏🙏
@maurineshunza5936 Жыл бұрын
😮😊
@sarahmosiori97748 ай бұрын
❤
@BarnabasJonas-nv4ig Жыл бұрын
Ombi hili likawe langu AMEN
@doricapeter54510 ай бұрын
Hakika nimekuelewa na nimenenepa ghafra na kujiona ninafaa na mungu yuko pamoja nami, barikiwa mtumish
@josephineogise4485 Жыл бұрын
Amen I am Blessed
@estherkahindo299410 ай бұрын
Amina papa pasteur, mungu aendeleye kukupa hakili na hekima
@luciashayo9896 Жыл бұрын
Pasta yehova mungu wetu akutunze na kukulinda siku zote za maisha yako chini ya jua
@simonmuhune169710 ай бұрын
Pasta, ninashukuru Mungu kwa kutumia kwa hali, isio ya kawaida, kweli Roho wa Mungu anafanya kazi kweli ndani mwako ❤
@carolinemwugusi8945 Жыл бұрын
Asante sana Pastor mahubiri yako yamenikuza kiroho kabisa najiona naelekea mahali pazuri mahubiri ya Leo yamenijenga,yamenionya nashukuru Mungu kunena nami kupitia mtumishi wake barikiwa sana Mungu akutende mema na jamii yako usipungukiwe🙏
@BericKakule10 ай бұрын
Yaani mungu muzuri kwetu mpaka yeye huturudiliya ,asante kwa mahubiri pasta
@ErishamaPetro-nf4lo11 ай бұрын
Pasta umenigusa sana siku moja niritaka kumuuwa mkee,na nikanunuwa na kisu,nikakiweka Musegeni,rakin chaajabu niripotoka ndani nikakuta kire kisu hakipo nikakitafuta nikakikosa,namda huo ulikuwa Ndo mda wakumuua,rakini sikuJuwa ariekitoa kire kisu chamaajabu yure mwanamke Mungu aritengeneza mbinu yakuachananae mpaka leo huyo mwanamke nirishaachananae.jina RABWANA ritukuzwe,niko huru maana sjamuuwa.naomba maombi yako mtumishi.uenderee kuniombea.
@phyllycewanza66499 ай бұрын
Mungu na atukuzwe
@rigarikemz Жыл бұрын
congratulations p.r mungu hakusaidie zaidi unapoendelea na kupeana neno la bwana
@laridistrict47109 ай бұрын
its well in JESUS .UMEONEA NIKAHISI NI SASA UNANIONGELESHA NA YESU AMEKUTUMA NAOMBA NEEMA YA KUMNGONJA BWANA MAANA NIMEELEWA SIO MUNGU ANAHUSIKA BALI NI ADUI AMESHIDWA KWA JINA LA YESU...NIOMBEE
@mwitamwita4500 Жыл бұрын
Amen sana mtu wa mungu mafundisho matamu sana
@lovenessmarecha9065 Жыл бұрын
Barikiwa sana pastor mmbaga nabarikiwa sana na mahubiri yako
@elizabethnaftali8921 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana pastor mbaga
@magrethbisaku3032 Жыл бұрын
Pasta kweli Ili somo kimenijenga kweli Mungu mwenyewe hamuongelei vzr iweje mm na mm Ninan asantee Kwa somo nzr
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@elizabethgodfreytondo3052 Жыл бұрын
Pastor tunamshukuru Mungu kwa ajili yako,Mungu aendelee kukutumia Shambani mwake
@doricapeter54510 ай бұрын
Nimebarikiwa nakupokea uponyaj wa kipekeee pasta😢😢😢😢 nimelia kwa uchunguu, nishike mkono bwana, napia kajidhihilishe wewe mbele ya huyu pasta kwamaa sio yeye bali ni wewe mungu wa mbinguni
@salamam8721 Жыл бұрын
Amen and amen
@suzanaagustinookelo4953 Жыл бұрын
Anajisaidiyaaa dama anavyo dai na ata akulii vizuri Mungu msaidiee
@rovenancewafula532 Жыл бұрын
hallelujah hallelujah hallelujah
@hellenratemo2813 Жыл бұрын
Amen am soo blessed nice courageous and powerful message God bless you pastor
@lilianmugyabuso8908 Жыл бұрын
Mchungaji umeongea na mimi ibada ya leo yote ni yangu, Mungu Anisaidie kuwa na mwisho mzuri, ni kweli kuna wakati napita mapito mengi mazito na magumu na kukata tamaa, lakini kwa ibada hii nimetiwa nguvu na natubu na naanza na Bwana Yesu Tena Na Mungu Anisaidie sana!Mungu akutunze mtumishi wa Mungu
@damamwelu4321 Жыл бұрын
Mchungaji nikependa kuuliza kufuka unaweza kutuma maji pekee
@IreneOwino-dn2ul3 ай бұрын
mimi napenda mahubiri ya pr mmbaga sana ni na nifarigi sana
@maombijofre230211 ай бұрын
AMEN 🙏🙏🙏
@dorcasrhobi8211 Жыл бұрын
Amen ubarikiwe pst
@eustina837 Жыл бұрын
Nshukur Mungu pastor tangu nianze kusikiza mahubir nabata nguvu zaidi nikirudi kenya niko naushuhuda wakutosha kwa Mungu anayo nitendea
@namsamson3443 Жыл бұрын
Amen amen and amen
@dilurai4204 Жыл бұрын
Amen and Amen be blessed pastor
@saphinacuthbet1343 Жыл бұрын
Barikiwa Sana Mchungaji Mmbaga.Umenibariki Sana na somo hili
@nampee66 Жыл бұрын
Yaani nimebarikiwa sana. Asante Yesu kwa kuwezesha sisi tulisikilize neno lako kwa urahisi hivi.
@christinamichael1772 Жыл бұрын
Amina Pastor Mungu akubariki sana maana umenisaidia sana. Mungu akulinde na kila mipango wa adui
@pendonyakiha9051 Жыл бұрын
Mchungaji Bwana adumu kukutumia. Bwana ameongea nami kupitia wewe. Pokea sifa Bwana. Ahsante. Nisaidie kubaki nawe hadi mwisho.
@alineriziki6756 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana na Bwana Mungu
@elizabethmagomamochache5684 Жыл бұрын
Amen 🙏
@salamam8721 Жыл бұрын
Baba nilitaka acha unyumba sababu ya matatizo ila na shukuru Mungu sana kwaneno ili
@salamam8721 Жыл бұрын
Unaniongelea mimi tu
@johnbitati4680 Жыл бұрын
Asanti kwammahubiri nime yasikia leo yamenisaidia nirikuwa mbari mungu akubariki uzidi kuniombea niko canada
@miss_mshana5872 Жыл бұрын
Barikiwa sana Pastor Mbaga, Kuna vipengelee naona unaongea na Mimi kabisa, Mungu akutunze
@kwambokakwamboka8382 Жыл бұрын
God bless pastor,nimejifunza something big from this sermon,I watch from Saudi Arabia🙏🙏
@chrismtavangu8438 Жыл бұрын
Asante sana Mchungaji somo limenibariki na limenigusa. Naamini yote ni kwa Utukufu wa Mungu. Bari,iwa
@messagerkambale5830 Жыл бұрын
Mungu aku bariki,
@esthersimiyu2276 Жыл бұрын
Amina 🙏🙏
@jeanneriziki638 Жыл бұрын
Amen.MUNGU atusaidiye
@rosemarylihawa6547 Жыл бұрын
Powerful message be blessed Pastor
@edithaetanga760 Жыл бұрын
Nabarikiwa Sana'a pastor naposikiliza mahubiri yako
@Promessemashauri Жыл бұрын
Nashukuru pasta kwa mahubiri
@joychan5859 Жыл бұрын
May God bless you ,may His will be done now and forever Amina
@mbarikiwambarikiwa6479 Жыл бұрын
Barikiwa sn mtumishi.
@MrKichinda Жыл бұрын
Barikiwa pastor
@amnamax8676 Жыл бұрын
Hallelujah,blessings pastor
@MN-hi8ll Жыл бұрын
Amina. Kufunga ndiyo kabisa
@maureenperfumeandblazers908 Жыл бұрын
Nimebarikiwa sana…Somo limenigusa na kunipa nguvu mpya🙏🏽
@mugaboj.baptitse3277 Жыл бұрын
Nashukuru sana pastor Mungu azidi kukubariki
@user-mg2dy4zc4r11 ай бұрын
Umesema nami Mtumishi was Mungu/mteule was Mungu.
@jacksonngusi4122 Жыл бұрын
Ahsante Mchungaji umenipa nguvu
@sarahezekiel3301 Жыл бұрын
Spoke into my heart
@funakoshtadash6163 Жыл бұрын
Bwana akubariki sana Mchungaji, umekuwa Mbaraka kwetu
@fazilabahati1562 Жыл бұрын
Amen🙏🏿
@hekimamwashambi6143 Жыл бұрын
God bless you pastor.unanibariki from Mombasa kenya
@khaldn7409 Жыл бұрын
Amina mchungaji
@lucknesschiragwile954 Жыл бұрын
Nabarikiwa sana kutoka arusha
@joycemaxmillian4909 Жыл бұрын
Pastor ombi langu Mungu akutunze na aendelee kukutumia
@julianaisakwisa8697 Жыл бұрын
Aminaaa
@sifagubandja1589 Жыл бұрын
Ameeeeen
@petermbwambo5353 Жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA PASTOR MMBAGA
@BarnabasJonas-nv4ig Жыл бұрын
AMINA
@floraa4928 Жыл бұрын
Jaman huyu baba mungu amtunzee
@timothykyalo3497 Жыл бұрын
Nakufuatilia kwa makini ni Israel 😢
@Conjethamtende-vc8pu11 ай бұрын
Pasta naumwa naomba uniombee
@user-mg2dy4zc4r11 ай бұрын
❤
@ngodozimalulu676610 ай бұрын
Hearts speak with hearts
@user-zk8my3tt7z11 ай бұрын
Natamani sikumoja utaalikwa makambi huku kwetu
@denisebasheka104711 ай бұрын
asante sana,lakini mutu anawezaje kuongeya na pastor in private
@liberataelisha9786 Жыл бұрын
Ubarikiwe kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣mchungaji nimekuelewa.....napitia mengi na mimi sielewi nashindaje sina formula pia
@wattsonsila9056 Жыл бұрын
Mchugaji Mungu akubariki. Mahubiri yako yananisaidia sana kiroho na kunifungua akili
@happinessshilie4019 Жыл бұрын
AMINA Mtumishi
@SonySony-hx5yd Жыл бұрын
Mchungaji umeongea kama ulijuwa napitia wakat mgumu ktk kaz yngu