Friji bovu na mdomo mbovu umejaa ubovu! GSM hakuwahi kukutana na kipigo cha bao 4. Hao washachanganyikiwa, tuliwaambia mpaka waseme! Watasemaaaa!
@peterkandaya5657 сағат бұрын
Kipindi mnapigwa goli nne GSM alikuwa hajaichukua Yanga ,acheni kushabikia Mpira kupitia KZbin
@bminawandu21 сағат бұрын
Ben mdogo angu unajitaidi sana kutuletea mahojiano ya nayo vuti hongera sana
@FlowinKayombo12 сағат бұрын
Derby ijayo tutaomba refarii awe magori,na tutawafunga kumi
@IssaMatandi13 сағат бұрын
Simba bado sana.Yanga ni level nyingine.Simba bado sana.
@peterkandaya5657 сағат бұрын
Level nyingine ni ya 20 Africa, Simba ya 6 Africa😂😂😂😂😂😂
@fathimadaid342913 сағат бұрын
Wakishinda kimiya wakifunfwa GSM
@paulmndeme13 сағат бұрын
Waambie wasajili Wachezaji kama yanga kuongea TU hakuta saidia
@peterkandaya5657 сағат бұрын
Na kweli mnajua KUSAJILI mmesajili mpaka KAYOKO😂😂😂😂😂😂😂
@MikidadiKambinda-tr6rl12 сағат бұрын
Asante. Sana. Hizo. Ni. Hasira. Za. Mkizi. Hao. Wazee. Wanafanana. Na. Mzee. Magoma. Hoja. Hiyo. Ni. Batili. Hayo. Ni. Maneno. Ya. Mkosaji. Wao. Wajenge. Timu. Yao. Hao. Wazee. Wanaweweseka. Timu. Mbovu. Wachezaji. Wabovu
@abrahammwakatumbula666314 сағат бұрын
I'll were unajiita fliji bonus mpumbavu sana
@MeshackMayenga15 сағат бұрын
Ukiendelea na ushabiki wa kiwango hiki nitakuwa siangalii interview zako.
@SalimAli-sk3gi20 сағат бұрын
Wazee wamefeli uongizini simba waangalie viongozi watimu wajifunze yanga viongozi vijana wao bado wana ugozwa
@IddiHassan-mr3sb10 сағат бұрын
Sasa kwa maelezo haya gsm inamuhusu vipi?
@hopefully709019 сағат бұрын
Wazee wako sawa
@eliudmnyanya14 сағат бұрын
Hahhhhhhaaaa,na Bado hamjasema
@AgnecyAndrew14 сағат бұрын
Mhhh Kwa hiyo watu hawatakiwi kukutana
@samuelkiama97518 сағат бұрын
Uko vizuri wajina🇹🇿
@musamagulu20237 сағат бұрын
Wameanza kulalamika na milango yao yote ya fahamu na bado hamjasema mpaka mseme
@VLADDYNDANZI13 сағат бұрын
Ondokeni nyie hao wazee ndo nani! hata wewe ni mnafiki sana ushabiki wako Mikiani utakufa mapema
@SospeterNdaga14 сағат бұрын
Waondoke
@rajabdibwa641512 сағат бұрын
Hao wazee walete mdhamini wao kama wanae😂
@Johnsonchristopher-uc5er7 сағат бұрын
Na kijiri bac anahusika mana na yeye. Kajifunga
@chrysanthushakaunga65608 сағат бұрын
Uongo hauna afya itawangharimu bora watulie
@HaikasiaJames-gm7xs20 сағат бұрын
Friji bovu na wazee wako wote wasenge
@stambuimbokwa148011 сағат бұрын
Tokeni mmezoeya vulugu hebu tizameni mchezo wenu na Azam mbona hamkupiga kelele hamkujua maana ya ubaya ubwela maana yake sasa ndio mjuwe maana yaye ndio hiyo
@SalimAli-sk3gi20 сағат бұрын
Kufugwa kibaya
@agnesnombo55167 сағат бұрын
Wamtake Gsm kwani mzamini wao wakae kwa kutulia
@makamahenge134717 сағат бұрын
Wewe mwenyewe mtangazaji NI shabiki WA Simba kabla mchezo ulishawapa ushindi Leo mnaongea ujinga tu kubali mzidiwa na yanga
@jonasmatella551112 сағат бұрын
Wakija waamuzi wa nje mtakufa zaidi shauri yenu yanga sayari nyingine wewe Fridge
@BarnabasMaseme11 сағат бұрын
Hahahaha wafanye usajili GSM kafanyaje?
@AlfaCharles-e8h16 сағат бұрын
Watyu wasio na hela sikuzote huwa hawaishiw maneno,
@ahmedburhan510412 сағат бұрын
Frij bovu sikia. Hivi simba kafungwa nae anadhaminiwa na GSM? SWALA LA MUAMUZ KUMBUKEN KATANGANZWA SK GAN KABLA MECH?
@chrysanthushakaunga65608 сағат бұрын
Simba ni nani kwenye mikataba ya gsm acheni utoto
@SalimAli-sk3gi17 сағат бұрын
Kilicho wakuta mwaka jana wasipo angalia kina jirudia washa pata kiwewe kwa kufugwa
@eliudmnyanya14 сағат бұрын
Hakuna kisingizio mtani,
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv12 сағат бұрын
Mupira ni muchezo wa wazi wapeleke ukichaa wao ukooo
@mrrockboy950820 сағат бұрын
Naona madunduka mmeanza kuongea namilango yote ya faham bado vilabu vyakuzaminiwa bado vipo zamini nanyinyi. Tumewashika pabaya nabado mjasema mpaka msemee Yanga bingwa
@nicholouskihombo150716 сағат бұрын
Hata El sassy hamumtaki?? Dabi iliyopita bila yeye ilikuwa mpasuke 4
@eliudmnyanya14 сағат бұрын
Hata sisi hatumtaki moo
@FlowinKayombo13 сағат бұрын
Hili jamaa uwa linaongea ujinga sana ilimladi tu kuisifia simba
@RevithaRevitha-f5q11 сағат бұрын
Acha unazi wao walikua wapi kipindi iyo saa 6 mjinga wewe ama wao walichelewa alikamwe wakawai mbona wao Elisasii alimeza magoli yetu 3 kama P² ngao ya jamii nani alikutana na Elisasii saa 6
@NazoLongo-u8e12 сағат бұрын
Mimi ni mwana msimbazi wazee wasimba wamepanikitu ,swali dogo usajili wa yanga na usajili wa Simba UPI niwaghari??????????
@deven.oauditx754715 сағат бұрын
Wazee wamevurugwa. Kila mtu wanamlaumu.
@ramadhanrobin-st6hh20 сағат бұрын
Si mlisema yanga watakua na malalamiko vipi njie leo yaan shida yenu mlisema ubaya ubwela ndo huu sasa tengenezeni team ndani ya kiwanja muache fitina za kijinga wakati viongoz wenu wengi n wazee ko weken vijana mpate mafanikio mpira cyo mdomonii
@SuzanKameta18 сағат бұрын
Hivi vitu vipo wazi, Kuna malalamiko ya kweli na ya uongo
@rashidchimwenda12 сағат бұрын
Wapo Mawaziri ni wanasimba na wengine ni wanayanga na Hilo lipo wazi. Sasa wanaongea nini!? Kama walikaa na Kayoko na ushahidi wanao waweke video hadharani. Kiufupi mara zote Simba wakifungwa na Yanga wanaweweseka. Watulie waijenge timu Yao. Hivi kwa class iliyonayo Yanga ya Sasa unawezaje kushangaa kuifunga Simba inayojitafuta ya Sasa. Tuwe serious