No video

🔴LIVE: GB64 AWAPA MAKAVU YANGA USAJILI WA CHAMA|GSM HANA UWEZO WA KUMSAJILI CHAMA|ATOA SABABU

  Рет қаралды 7,008

J&R Mtita

J&R Mtita

Күн бұрын

#livestreaming #jobe #jezimpya #mayele #hafiz #manara #pyramid #buza #dabi #derby #mamelodi #luismiquissone #yanga #mkude #leo #simba #mwananchi #jezimpya #mandonga #simbasc #skudu #lilepo #Yangasc #ngoma #mayele #simbaday #derby #barnaba #wasafibet #Mletemzungu #azamfc #chama #no6 #mtibwasugar #namungo #dabi #derby #job #dickson #kibabage #kariakoo #kiama #namungo #wydadathleticclub #riversunited #medeama #mkapastadium #mkapa #azamfc #tff #alahly #benjaminmkapa #marumogallant #inonga #onana #musonda #mahop #simbaday #okrah #yangaday #gamondi #mkwakwani #tanga #skudu #almerrikh #kramo #ihefu #afl #mbwaduke #sankara #msuva #karabaka #diamondplatnumz #mwijaku #moloko #dullamakabila #taifastars stars #crbelouizdad
The Official KZbin Channel Account J&R Mtita From Tanzania Regrister by Tanzania Communications Regulation Authority (TCRA)
Booking : jrmtitatv@gmail.com
Contact : +255 747 384 250

Пікірлер: 28
@nuhu-sanda
@nuhu-sanda 2 ай бұрын
G 64 usije kugeuka kauliyako au umekua muoga Kwa kua ulipelekwa lokapu kua mkweli
@alphoncealmack9240
@alphoncealmack9240 Ай бұрын
Hili jamaa buana😂😂😂😂yan anajua kujitia moyo mwenyewe lkn hajui kitu
@user-mg1yl2rl8s
@user-mg1yl2rl8s 2 ай бұрын
Yaani makelele meengi halafu hata hajui kinachoendelea kwenye timu yake😅
@KondoMhando
@KondoMhando 2 ай бұрын
G64 akili ya lupango aliko pelekwa, haija mtoka. Yaani Chama hawezi akanunuliwa na GSM! Kweli kichwa chake kimejaa Moshi wa lupango
@officialbablee225
@officialbablee225 2 ай бұрын
Naona gb 64 ushakuwa chawa wa mo
@AllyMasangaluka-bm5ib
@AllyMasangaluka-bm5ib 2 ай бұрын
Sio uyotu mbaka ww unaweza kusajiliwa GSM ainamaneno lnatumia pesa tu namtasematu
@user-er9xv9yz7b
@user-er9xv9yz7b 2 ай бұрын
Ili uwa linalopoka tu alijui mpira lilisema yanga aiwezi kuingia robo fainali ya ligi ya mabingwa naikaingia la ovyo
@alphoncealmack9240
@alphoncealmack9240 Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@nicodemuswidambe5132
@nicodemuswidambe5132 2 ай бұрын
Hujui kingereza hafu unaendelea kuropoka. Huyo chama ndo mdudu gani?? Anathamani gani ambayo hawezi kununuliwa? Eti kiboko cha AZIZI KI? haya tutaona mwaka msilete Domo.
@errydeo8865
@errydeo8865 2 ай бұрын
Huyu tangia awekwe jela kavurugwa masikini ya Mungu! Kizu ngu hajui,mpira hajui,kelele tu! CHAMA dhamani yake ishashuka zamani! Yanga tuna namba kumi watatu wa nguvu! Chama akienda Yanga,ni Uyanga na usimba,we dont NEED Chama ! Mo ndo shida ya simba, NOBODY else! Club gani duniani inadhaminiwa na MUHINDI!??
@rashidmohamedmalale4794
@rashidmohamedmalale4794 2 ай бұрын
Kuleta wachezaji sio tatizo taztzo je wataingia na mfumo WA kocha mgunda,maana msije mkasema usajli mbovu ,amkawii kususia timu
@sosomacharles9920
@sosomacharles9920 2 ай бұрын
Sajili siyo kuanza kuleta mambo ya kila mchezaji mnayemsajili ni kwa ajili ya Yanga,mtaendelea kupotea.
@saidingumbo-is2oe
@saidingumbo-is2oe 2 ай бұрын
Mwisho wa msimu unaanza kuwataja hao wanaokuja kuwa wabaya
@saidingumbo-is2oe
@saidingumbo-is2oe 2 ай бұрын
Huyu Huwa anamihemuko
@janeemmanuel3615
@janeemmanuel3615 2 ай бұрын
Ulishindwa kununua simu tu
@alphoncealmack9240
@alphoncealmack9240 Ай бұрын
Mkimpta lawi mkatambike
@sosomacharles9920
@sosomacharles9920 2 ай бұрын
Hizo clip zenu mzitunze
@newtonjames1295
@newtonjames1295 2 ай бұрын
Huyu wakujiita GB64 english broken alafu ni mwalimu.sasa kaenda mbali zaidi eti thank you ya kireno anasema cabrigado badala ya obrigado na kwakumuaga mtu kwa kireno awasemi cabrigado ndio nini sasa
@saidingumbo-is2oe
@saidingumbo-is2oe 2 ай бұрын
Beki wa kuvuta jezi
@msemakweli...
@msemakweli... 2 ай бұрын
Sasa hivi anawasifia eti we flani humjui? ligi ikianza anamsakama mangungu kwamba wamesajiri wachezaji wabovu. Utopolo wa mo dewji aka UTOMO hawana dira, hawana mipango, hawana timu, hawana viongozi na hawana mashabiki wenye akili timamu. Mbona tajiri kijana...mwaka wa 20 sasa tajiri wa utomo bado tu kijana🤣🤣🤣🤣
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 2 ай бұрын
Gb kitumbua
@dismanManota
@dismanManota 2 ай бұрын
Ww nawewe sio mtu wankukusikiliza ngoja uwaaminishe
@user-bt6ep3yb2h
@user-bt6ep3yb2h 2 ай бұрын
Tunza kauli.
@fatumahassan8425
@fatumahassan8425 2 ай бұрын
Wewe kingereza umeona diri wewe ushatombwa kwa kingereza kenge wewe
@user-ox4fv4cf5l
@user-ox4fv4cf5l 2 ай бұрын
Kwani na nyie GSM kawadhamini?? mbona mmekula goli 7 msimu huu?
@jabirkombo5483
@jabirkombo5483 2 ай бұрын
Ww mpka uwanunue wachezaji hamna chengine zaid kijana
@user-so1iu4vd2v
@user-so1iu4vd2v 2 ай бұрын
wewe mtu unae ibomoa team yako kwa mikono yako mwenyewe
@sosomacharles9920
@sosomacharles9920 2 ай бұрын
Porku yupi🤣🤣🤣🤣 eti Fei
王子原来是假正经#艾莎
00:39
在逃的公主
Рет қаралды 7 МЛН
КТО ЛЮБИТ ГРИБЫ?? #shorts
00:24
Паша Осадчий
Рет қаралды 2,7 МЛН
Алексей Щербаков разнес ВДВшников
00:47
王子原来是假正经#艾莎
00:39
在逃的公主
Рет қаралды 7 МЛН