😂😂😂😂😂😂Nawapenda awa wakiwa pamoja uwa nafurai sana😂😂😂😂😂
@MaulidyMadyoАй бұрын
Msdogo nawakubali sanaaaaaa
@kabhikachambala3392 Жыл бұрын
Ali Kamweeeeee😂😂😂 Yani kitu pekee ulichoweza kuweka shingoni ni tai tu!😂😂😂
@AlexMbagata3 ай бұрын
Watu muhimu Sana Hawa na hapa walikaa kwenye sehemu muhimu na walisema vitu muhimu.
@teddymhagama611 Жыл бұрын
msemaji ni Ahmed Ally wengine mapoyoyo
@mishikombowato1457 Жыл бұрын
Hujioni ww ulivyo mwehu😂
@AndersonAdam-l5uАй бұрын
Alikamwe mbn kama anawasi wasi happ😮😮
@lowasameliyo4027 Жыл бұрын
Mnanichekesha jmn watoto wa azam sport nafurahi kuwaona mko pamoja
@DanielJoshua-b8d2 ай бұрын
❤❤
@lavanicetz2 ай бұрын
Kweli Ahmed ally ndo mtangazaji. Bora kwasababu yey ndo msemaji muongo kuliko wasemaji sikia hii CHAMA hawezi kwenda Clabu yoyote hap TZ mhhhhh na kweli hajaenda
@alifaki20162 ай бұрын
Ally kamwe ameshaongea mangapi ya kuropokwa na yakaenda tofauti na alivyoongea
@alifaki20162 ай бұрын
Au hujui kuwa Ally kamwe mrookaji tu
@masubukopita7201 Жыл бұрын
Ahmed all anajua kuongea hao wengne wanalopoka tu
@josephrobertjohn43362 ай бұрын
Jaman kumbe hapa tz msemaji professional ni mmoja tu Ahmed aly tu check wengine wanaongea kama mademu wanatongozwa
@زيتونتنزانيا Жыл бұрын
Yani hawa ni wahuni vichwa vyao vibovu😅😅
@ujamaabashiri2996 Жыл бұрын
Kuna msemaji na waongeaji, hapo msemaji ni mmoja tyu wengine ni waingeaji
@jumashedafa Жыл бұрын
Kwa timu iliyoitwa hasa langon tunashafungwa tyr mengin ni maajabu ya mpira
@petersonjamess6497 Жыл бұрын
Huwa napenda sana utani wa hawa jamaa
@PatrickWilliam-m8d3 ай бұрын
Watu mnaotowa maoni yenu hebu kuweni naadabu Ahmed tukitafuta wasemaji nayy msemaji? Hauna pwenti
@IbraahChinatz-qj4ovАй бұрын
tatz wew unauteam ndmn huon
@Noelysiwila2 ай бұрын
lakin nani nizaid
@alicenice1711 Жыл бұрын
Semaji ni mmoja tuu hapo Ally kamwe tu
@JoyceMwita-e3w2 ай бұрын
Ali kamwe usihoji umesha sikia ni waa wa😂😂😂😂😂😂
@yusuphjilala846 Жыл бұрын
Ibwe na ahmed akili hamna mkichwaaa😴😢😴😢
@denisrukangula2227 Жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@teddymhagama611 Жыл бұрын
timu ya taifa acheni mageti wazi watu waingie bure, Mwambieni Rais atununulie tiketi maana hili Sasa ndio Jambo lake kindakindaki
@زيتونتنزانيا Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😅
@yusuphjilala846 Жыл бұрын
Waandishi wengi mazuzuu😴!!!!!!
@hemedwalid6570 Жыл бұрын
sasa mechi Kama hii mnaweka kiingilio Cha nin weka bule tu waite watu waje uwanja mechi muhimu nyie mnaweka hela ya kiingilio
@joerryFrancis-mc1mo Жыл бұрын
Ali kamwe unatixha kaka
@norbertmakundi2305 Жыл бұрын
Hawa jamaa nawapenda mno
@Yassirjuma-i1c3 ай бұрын
Ali kamwe n mt w maan sana maan lzma aanze na shkran,na kuw falsafa nzri ya kuongea
@BADAWY575 Жыл бұрын
Hawa wasemaji ni wasemaji upepo hawana upeo au akili au kujua kama wapo katika jambo la nchi ,wanaongea ujinga wao lazma wabadilike kiuhakika hii ni game ya taifa pumbavu zao
@frankhoffa8356 Жыл бұрын
Unajua maana ya utani?
@BADAWY575 Жыл бұрын
@@frankhoffa8356 utani upo na sehemu zake ,au baada ya kufanya walicho itiwa ,but wao ni mwanzo mwisho
@ZakariaNgao Жыл бұрын
Mtoto wa faida kwa Azam media ni Ali kamwe kweli ni pigo