Brother Hadji wasamee wadogo zako hao bado wanasafari ndefu ktk maisha Yao ya kazi wasamee tu.
@scholaemanuel7677 Жыл бұрын
Pole Sana manala
@mjumbemwanda96662 жыл бұрын
Good interview
@SebastianiNgonyani10 ай бұрын
Ndugu Haji Manara tusameheane wanayanga.Msamehe Aly Kamwe.
@UkiJr Жыл бұрын
broo sehemu iliyo kuwa nzuri ni Simba Tu so yanga
@stevenjackson49852 жыл бұрын
Nilivyomsikia Ally na ninavyomsikiliza huyu, nimegundua Manara ni muongo. Ally ni kijana mpole sana.
@sudympanda67042 жыл бұрын
Umekwama manara
@saidysemkumbuu81852 жыл бұрын
Huyu jamaa mbona anapenda kushilikisha mungu kwenye ujinga huuu mungu unamambo mengi ya kufanya
@rassimbaengswahili61912 жыл бұрын
Big up Brother
@prosperkiluwa81842 жыл бұрын
Rizki anagawa Mungu hamwezi kuzuia. Bro Mungu akulinde.
@vicentnyanda8282 жыл бұрын
Mungu gani analinda wanafiki kama huyu??
@kassimomar75892 жыл бұрын
Haji brand kubwa
@josephkulija2932 жыл бұрын
Haji Manara uko vizuri, wewe ni mtu wa watu, wewe ni mwanamichezo wengine wanadhani wanapata kiki kwa kukushambulia kumbe wanazidi kukujenga. Mpira ni furaha, mpira ni Burudani, mpira hutangaza Upendo ambao ndiyo asili ya mema yote. Una kipindi cha mpito tu, utarejea upya na nguvu mpya. Na hao wanaodhani wamekuzibia riziki wanajidanganya. Mwanadamu ukifungiwa mlango huu Mungu anakufunguliwa mlango mwingine.
@magorahassan34912 жыл бұрын
Yuko vizuri kwa kipi ? Au ndio wewe ndio walewale ??
@rithadonatus81102 жыл бұрын
Yaani Joseph seems like your educate but not dear inawezekana ni mwana yanga Ila ushauri tu manara anatake advantage ya skin colour yake kama aujui Ili awe headline Kila siku ...
@JMMM6862 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@venancemwanya42122 жыл бұрын
Hapo msihusishe Mungu kwenye mambo ya kijinga jinga kama haya. Mwacheni Mungu aitwe Mungu kutokana na ukuu wake usio na kifani. Kama mnataka kumtukuza haji mtukuzeni kivyenuvyenu kwakuwa inawezekana mnaendana nae kitabia.
@mohdkhatib2232 жыл бұрын
@@magorahassan3491 Manara yupo vizuri sana, ila nyinyi makolo ndio mnamchukia Manara kwasababu ya kuja Yanga
@stevenidaffa89382 жыл бұрын
Manara Bila Wew Sports Tz. hawana Cha kuandika Hao lazima watumie KiKi Ku trend
@mariamabdallah9847 Жыл бұрын
Wee muongo
@ibunmurshid38852 жыл бұрын
Hamna sehemu Ally kasema umemchafua kasema unamgasi hasifanye KAZI yake kisa umemsaidia.
@duliokechannel61992 жыл бұрын
Fact
@gasperkunambi95382 жыл бұрын
Kiukweli huyo kijana aombe radhi nimemchukia sana
@kimsaid58592 жыл бұрын
manara unaongea vizuri saaan hasa hapo ulipo sema mwandishi yeyote akiandika hujaridhika unamwambia hapohapo na umetoa mfano kama oscar shafii na eddo hii inafanya ukweli wako uwe huru saaana
@rasheedahussein84332 жыл бұрын
Anawachamba
@beatbyrich28912 жыл бұрын
Kamu kama anapania sana katika maisha yake.
@mann94602 жыл бұрын
Aiseeee huyu manara ana uwezo mdogo sana wa kujibu hoja 😂😂😂😂😂
@abdallahmohamed66342 жыл бұрын
Mwachie mungu
@allykingu69542 жыл бұрын
Haj nyie waislam samehaneni , Allah atakulipen khery Sana,
@erastonzogela14052 жыл бұрын
Pongezi kwako Haji
@salimtifah60502 жыл бұрын
Yan weye unalaana ya Simba utapata tabu Sana ulipokuwa Simba uliinjoy Sana nakuonea uruma
@ilungasalle2 жыл бұрын
Haji unajiona bora sana kila wakati na unadhani huwa hukosei kumbe wewe ni wa kawaida sana na unapenda matukio kama mtoto wa kike, unaweka kinyongo kwa Ali kamwe na una unafiki sana wewe
@shijamakoye60132 жыл бұрын
Utakufa na choyo kimekukaba rohoni na ukumbuke mungu anampa amtakaye na hata ufanyeje huwezi kuwa kama haji na wala huwezi kuwa haji
@husseniemmanuel46532 жыл бұрын
Kweli haji Ally kamwe alishawahi kusema umemsaidia, nashangaa kwenye mahojiano anakusema vibaya dogo hajielewi
@dicksonnoel62292 жыл бұрын
Ndugu msikilize haji anachoongea usilete mambo ya chuki nyinyi ndio wachawi wenyewe msikilize anachoongea haji
@richardalfred31052 жыл бұрын
Usilie sana manara sisi bado atujakuchoka hy miaka miwili midogo sanaaaaaaaaaa utarudi tu
@mkukmkuk33582 жыл бұрын
Haji we mwongoo babu tunakujua tena we ni mbea sana unajifanya we ni mwema sana
@myahudi69512 жыл бұрын
Haji nafasi yako ya usemaji ipo palepale tunakusubiri kwa hamu.
@hassanabdala73832 жыл бұрын
Manara sio kila kitu unatakiwa uongee jifunze kunyamaza
@shijamakoye60132 жыл бұрын
Akili yako nikisoda jambo linalochafua jina lake akae kimya yani mtu anasema ikikusaidia badae anakusema na hujawahi sema hivyo harafu ukae kimya hivi nyinyi huwa mnaakili kweli au zimeponyoka kidogo
@hassanabdala73832 жыл бұрын
Hyoo pimbi Manara anapenda kichalulaaa wenzio yeye akiandikwa kidogo anapanic Hana lolote muongo mkubwa
@noru90282 жыл бұрын
Ajasema umemchafua Ila ww ndo ulikua unanshutumu kua anakuchafua cha kujifanya ww mkamilifi hii dunia tunapita
@UkiJr Жыл бұрын
Uko ulitumwa uwame Simba ulitugeuka ww
@beatbyrich28912 жыл бұрын
Yanga Simba ❤
@rashadmohamed43572 жыл бұрын
unajinasibu kuwa wewe ni Muislamu mzuri lakini ni balozi wa kamari na kujisifu kuwa hutaki salamu ya Muislamu mwenzio. Mungu hadhihakiwi
@jareengeorge54782 жыл бұрын
Tunakujua weweeee mnafiki Sana.
@edwinfredrickzakaria47822 жыл бұрын
Tatizo umezidi Kama unafikria juilize kwanini wewe to una matatizo nawatu Tena wengi sana sasa jiuliz kwanini iwe ivo ishu unajipaisha sana ila nivizuri ukipaishwa n'a mungu sio wewe
@zemwanzozefirst2 жыл бұрын
Majigambo yapo kwenye sanaa yyote na sio kosa mzee,kinachofanyika dhidi ya Haji ni chuki tu
@mwasagamwambuli35132 жыл бұрын
Jamani huyu Haji Sunday Ramadhani Manara huu usemaji wa kupindukia ameutoa wapi?! Mbona babake Mzee Sunday si msemaji sana kiakwsi hiki wala hata bsba yake mkubwa Popat Kitwana Manara hakuwa msemaji hivi japokuwa walikuwa watu maarufu katika tasinia ya mpira wa miguu miaka ya 70's?Mbali ya usemaji ; kwa nini amekuwa ni mtu wa kila wakati kufikwa na kuhusishwa na mabalaa tu?! Kwani ni lazima kila jambo ukihusishwa ulisemee kwenye vyombo vya habari ? Je, kumsamehe mtu sharti umtangazie msamaha kupitia vyombo vya habari ????!?? Nilitegemea kama kweli wapenzi wa michezo mje mbele ya vyombo vya habari kutoa mawazo ya namna ya kuweka mikakati ya kuboresha michezo hapa nchini ns wala si malumbano.Hata vyombo vya habari vyenyewe viwajibike kuchochea kupendelea mawazo chanya kuliko kuendekeza hoja za mabishano ambazo mwisho wske ni kudumisha uhasama na kuhatarisha amani miongoni mwa vijana wetu. Li
@salmamustapher56112 жыл бұрын
Tumsamehe huyu ni mlemavu wa ngoI so hata akili nahisi itakuw na ulemav kwaniab naomba asamehew tu dish limefikiswa na upepo
@PeterMloha2 жыл бұрын
Bado me naona unamshambulia mwenzio kwamba umemsaidia, sasa hii ni public huko DM je?? Me sikuamini
@maulidmango10872 жыл бұрын
Achaneni na pilau hili msilipe air time
@iddybakar19462 жыл бұрын
alaaaaa kumbe ulimuambia nakutaka uje utie ngv yanga kabla ya mchakato huu ila kwakua sasa mmetofautia amekua km anajihami wenda yy nimiongoni mwa wagombeaji wa iyo nafasi ivyo imemjia hufu Dogo kuwa atakosa kwakua ww uko tasnia yenu mmoja ni hofu tu na watu waliomshawishi kabla ya kumhoji walilitaka jambo km hili litokee.. sheekhe ww manara msamehe mdogo wako maisha yaendeleee...ajui aanzie wapi kupata anachokikusudia
@ashasanga75522 жыл бұрын
Huko umepotea rudi simba bro
@abdallahkihanza4822 жыл бұрын
Huyo Alikamwe ni limbukeni, kuweni makini sana nae, anatafuta Kiki, kishasahau alipo toka,
@超王-b1u2 жыл бұрын
haji kama sallam na konde boy au maalim sefu na lipumba
@philipomshahara62342 жыл бұрын
Kwisha habari yako manara ngoma ikivuma vuvuvuvuvuvuvuuu jua inapasuka pisha vizaz vngine your time is over
@zanzibar.2 жыл бұрын
Manr kwanz una sif ya uongo huongei kweli hlf maneno yko teleee blaa blaa nyingi
@wenge4x4232 жыл бұрын
Sisi watoto wa kariakoo tunajuana sote ni watafutaji lakini wewe haji ni mwizi
@ramajuma56202 жыл бұрын
Wew nn babu to katulie huko
@PeterMloha2 жыл бұрын
NYIE HUYU JAMAA NI MIONGO 😂😂
@TheShakazulu022 жыл бұрын
Ali aliongea vizuri sana na kueleweka vyema tu. Manara anata kuabudiwa tu hana lolote
@narrissajackson38692 жыл бұрын
Hakuwa na sababu ya kuongea yale
@leostar85642 жыл бұрын
@@narrissajackson3869 sure Yule dogo miyayusho
@raybirry38162 жыл бұрын
Mtoto mdogo asie yajua maisha ataongea nini cha maana,labda kwa majuha!kazungumza pumba tupu.
@IbrahimlyenjeNtupwa-ju4ej Жыл бұрын
Heheheeeeeeee
@homeboybeyondtheborders49352 жыл бұрын
Bora nikae kimya
@chikuluchidodokochiitingan3402 жыл бұрын
Mkulungwaa upo vizuri sanaa ,ni chukii hizoo
@lumistarboy84992 жыл бұрын
Kaka hapo mimi nipo na Bugati hata ufungiwie maisha
@raybirry38162 жыл бұрын
ALI KAMWE BADO MTOTO,HAJAIJUA DUNIA,KUTAKA KUJIUA NI USHAHIDI DHAHIRI ANA PSYCHOLOGICAL PROBLEMS,SUICIDALS NI WATU WENYE MENTAL CHALLENGES,NA HUWEKWA CHINI YA UANGALIZI MAALUM NCHI ZILIZOENDELEA.
@stevenjackson49852 жыл бұрын
Ally Kamee hajamjosea huyu hata kidogo.
@matataoneproduction53552 жыл бұрын
Huyu mdomo unamuwasha sasa kachukua ile interview kua ndio content ya kuupoza mdomo aongee tushakushitukia maana Ally Kamwe hakuna baya aliloongea katika ile interview acha kumshutumu dogo tushajua una arost ya press conference ucha kuzuga bro
@alexmulokozi13112 жыл бұрын
Mbn unaongea pumba ujaskia au ujaelewa alichokiongea
@beatbyrich28912 жыл бұрын
Haji kuongea umempa matangazo yule ataitwa clouds. Ungemkaushia tu.
@kennethbenjamin2752 жыл бұрын
MIPASHO MIPASHO MIPASHO MPIRANI
@kennethbenjamin2752 жыл бұрын
Mpira tanzania ni mipasho sana ehh
@hilalalmahrooqi1672 жыл бұрын
Msiwe mnapenda kuapia Apia
@saimonjmai8012 жыл бұрын
TFF duh!!! Shaffi kala miaka 5 ndondo saf Hadji miaka 2 Ndondo hapana.
@magorahassan34912 жыл бұрын
Neno kukusaidia amelirudia zaidi ya Mara Tatu. Ni wazi kuwa ukisaidiwa na Manara ujue utasimangwa mpaka uite maji mma
@drallan68792 жыл бұрын
we kila MTU ugomvi Naye tu
@salimmseza95882 жыл бұрын
Manara ww mavi tuu umezid misifa na mihemko toka huko
@Mumewangu Жыл бұрын
Manara hutakiwi yanga mpaka Ali anazungumza Yale nyuma yake kuna MTU au watu hawakutaki
@kudoja_fish_shop95922 жыл бұрын
Kila siku ugomvi na watu haji jiulize
@shijamakoye60132 жыл бұрын
Wakujiuliza ni wewe kaa chini jiulize ulipaswa kuandika hiki ulichoandika
@kudoja_fish_shop95922 жыл бұрын
@@shijamakoye6013 kipind cha tenga ulifungiliwa karia alipoingia akakufungulia ulipokua simba ukafukuzwa ukaja yanga umezingua hatuja ka sawaa ukamzingua mwandish prisca kishamba kabla halijapoa ukamzingua ali kamwe mmh unatutisha sasa we mtu wa aina gan
@olaislukumay22082 жыл бұрын
Mpira wa bongo unaongezeka mvuto Kwa hizi siasa
@duliokechannel61992 жыл бұрын
Haji tushakuzowea. Kila siku ni ww t mwenye matatizo na wat, mara umemtukan rais wa tff, mara babra, mara unakoromea waandishi, mfululizo wa matukio hayo inaonesha waz mwenye matatizo ni ww
@leonardcameron72162 жыл бұрын
Bugati we we ni mtu mwingine ufananishwi na mtu yoyote kimaisha na kikazi ,nakuomba usijibishane na mtu wengine wanatafuta umaarufu kupitia kwako
@mariamkambuga86472 жыл бұрын
Hajji hebu achana na huyo Ibirisi atakupotezea muda nakwambia☝watu kama Ally kamwe walishapigwa mihuri ya unafiki kwenye rohoo zao
@rmcrmcd49542 жыл бұрын
ww mwizi
@iddkambi56952 жыл бұрын
mezani apo itakua iyo ni nguo ya Simba iyoo
@kingnicky25682 жыл бұрын
Media zote zimekmbia vmekja vji chanel vyeny subscribers wa 5
@nehemiangumba87902 жыл бұрын
Hata wewe mzee unapenda sana sympathy coz una mistreat journalists kwenye interviews zako huwa wana cool 🤣🤣🤣
@lumistarboy84992 жыл бұрын
Unachoshindwa kutfautisha hapo hao hanao wajibu hovyo unakuta washapishana before na wanauliza maswali kinafiki wakiamini hatapanic na kuwajibu hovyo waunganishe dot za kufanya jamii imuone haji mkorofi Ila huyu Haji hanamapungufu yake yeye Kama binadam Ila tujiulize Hawa wachambuzi wetu Mara ngapi wanaposti Habari ambazo tunakuja kupata proof badae kua hawakua sahihi kingine Kama haji ni wa hivyo amedumu VIP Simba miaaka yote maana hata kuondoka ni sababu za kibiashara baada ya madili ya Azam na GSM badala ya kutangaza biashara za mkuu katafutiwa sababu katoka bado hao watu wanazonga Hadi nje huku pia kafungiwa Aya Hawa wachambuzi now wanachambua wafungwa mbona hawamchambue Walio fungiwa wote za kuambiwa mix na zako kidogo maana now wabongo wengi wanajielewa ushabiki usitote kwenye utu mipira yote pumzi ikakata ndio Basi Tena Aina haja ya Jambo la furaha likutengenezee chuki
@samirysharifu86492 жыл бұрын
Ally kamwe kijana sema ana mambo kike
@barakandola31852 жыл бұрын
Ali alijieleza vizuri,ukimsaidia mtu usimfanye akuabudu
@godfreymasele88532 жыл бұрын
Ulikuwa unamtukana INBOX MWANDISHI ALIULIZA HILO. HAJI BADIRIKA UNAKOELEKEA SIYO KUZURI
@shijamakoye60132 жыл бұрын
Yani wewe ni bwege
@godfreymasele88532 жыл бұрын
@@shijamakoye6013 BWEGE NA MPUMBA U ASIYEJUWA KITU ,WEWE UNAZUNGUMZIA MAPENZI NA USHABIKI WA KIJINGA,HUJUI UKWELI. HUMJUI HAJI MANARA MIHEMKO TU ULONAYO. HAJI ALIKUWA CCM, KASOMEA PROPAGANDA UNALIJUWA HILO? CCM WENYEWE WALIMWAGA SABABU UKOROFI UNAJUWA HILO. USIRUKIA MADA KWA UBISHI UONEKANE UNAONGEA KUMBE UTOPORO MTUPU
@dengahmediatz12302 жыл бұрын
Una uhakika kila mtu anavutia upande wake
@selemanmaganga34172 жыл бұрын
Duuuuh! kweli mti wenye matunda ndiyo unaopigwa nawe,,piga kazi Bugatti
@kassongokittapa77622 жыл бұрын
DUUH! ETI HAWEZI UNAFIKI! ANAMWAMBIA NANI ASIYEMJUA!!!?
@febroniamsoma1782 жыл бұрын
Ukibishana nao utawapa kichwa we wapotezee ivoivo ili wapoteane wote
@kiswiguswillah29292 жыл бұрын
Haji bhaana
@jumannerajabu82592 жыл бұрын
me nipita2 bn compren haziish kila siku du
@drallan68792 жыл бұрын
Achana na mtoto WA watu we manara
@sabrinamwampiki64562 жыл бұрын
Unataka kuabidiwa kwa wema wako Acha kuonea vijana mtu mzima kisheti
@kenedysangisoni7052 жыл бұрын
Mfano alisema nikipewa pesa zote za BOT siwezi kwenda Yanga lakini aliongea kama utani lakini ame enda GSM kwashilingi ngapi?hapo anaonekana ni muwongo na muwongo haigii mbinguni
@zablonchiza99392 жыл бұрын
Hahaha et kanaitwa kachawa kisa kana uwezo wa kumlipa mshaala 😂😂😂
MIMI MWENYEWE NILIMSIKILIZA HUYO DOGO NIKAMUONA KAMA KATUMWA NA WELE WALE WACHAMBUZI WENZAKE WA MCHONGO MPOTOSHAJI MKUBWA HUYO KAMA JEMEDARI SAID KAZUMAR KIROPO ROPO.
@nicholauschemka74262 жыл бұрын
Kwanini uwapigie waandishi unawatisha au?
@theosaimon69332 жыл бұрын
Nonsense Nonsense shouting for nothing
@josephjilili35442 жыл бұрын
Kamsemaje mtoto wako mbona hauoneshi hilo?
@franciscomasungulwa35752 жыл бұрын
Muongo huyo...
@matataoneproduction53552 жыл бұрын
Haji shida yako hependi kuonekana umekosea acha ujinga binaadamu aliesahihi anakubali na kukaa kimya maisha yaendelee
@kenedysangisoni7052 жыл бұрын
Kama kweli tuna sali nakuswali tea galie sana kauli zetu mambo ya mungu hayana utani kama Haji anautani ache afanye kazi zake bilakuzidi utani unaza uwongo
@Oscarmarwa-fitnesstrainer2 жыл бұрын
moongezeeni mingine 10 huyu nyumbu
@eliaernest75502 жыл бұрын
Ww siyo Mungu hata akifungiwa maisha bado haitakusaidia huyu ashatajirika sana na huyu binadamu wala siyo nyumbu kumbuka Mungu hazihakiwi hujafa hujaumbika
@laumlimbila43372 жыл бұрын
Hajasema umemchafua bro ulikua unataka Kila akichambua or kutoa maoni unataka awe upande wko tu
@vuaihaji67032 жыл бұрын
ALLY muombe radhi broo huyo mtu watu tena si mtt mdogo
@kastomwaipopo17632 жыл бұрын
Mzee wa kujieleza ivi ww kila mtu anakuonea ndio maana mo na CEO wa Simba waliamua kua kimya awakutaka kujibishana na ww walijua ww ni chizi😂🤣
@mrsilverclassic67852 жыл бұрын
manala ni fundi wa uongo. kumbukeni yale aliyoyafanya alivoomba msamaha kwa TFF alafu alivofungiwa alivoropoka
@Mumewangu Жыл бұрын
Manara hujafunga unakunywa maji
@rachelburton37252 жыл бұрын
Una roho mbaya Sana wewe
@ibrahimmakasi46902 жыл бұрын
Tatizo lako wewe mjinga ni kujiona MUNGU mtu na ilitakiwa ujibu kwa hoja na sio kuropoka.....
@jamessilwamba28622 жыл бұрын
usipogombana na haji manara huwezi kuwa maarufu hilo wanalijua ndio maana wanakupia wawe maarufu
@kamaratsalimsafari88382 жыл бұрын
Tunaotaji Mpira hatuitaji ngonjera mitaani
@gospelistwesley79272 жыл бұрын
Haji unaongea saana, unapoteza calories zako bure wa hao mazezeta, waliobaki wakibweka hovyo kama mbwa koko baada ya kuwaama, ukiangalia woote hao ni upande wa wapinzani.