Tunajifunza kitu Fulani ktk safari hizi za Makonda tunaona utendaji wa maofisa wa serikali ndio tatizo kubwa mno
@wanguwangu34 Жыл бұрын
Big up makonda, nimesikiliza mikutano mitano iliniuma sana mtu anzurumiwa mpaka makabuli ya wazazi wake.
@tanzcanmediatv4473 Жыл бұрын
Ccm tufike mahali tukabidhi nchi wengine waongoze
@BenardZephaniah Жыл бұрын
Eheee kumekucha🎉🎉🎉 makonda huyooo
@NiarPull-im8fw Жыл бұрын
Kweli hii hospital mi naiogopa sana walitaka kuniuzeshea mguu wangu mpaka leo nilipoteza nyama kubwa ya mguu wangu.😢
@joycekalago532 Жыл бұрын
Mjomba wangu alifia kitete mwrz wa tano mwakajana,sina ham nao mimi😢😢😢😢
@ramadhanmahongole929311 ай бұрын
NIMEAMINI CCM HAIWEZI KUWAONGOZA WATANZANIA MAANA KILA KONA YA NCHI WATANZANIA WANA VILIO AMBAVYO VIMESHINDWA KUTATULIWA NA CCM
@magrethmathayo280011 ай бұрын
tuanzie hapa heka 500 wewe umezipata wapi
@abubakarsaid7303 Жыл бұрын
inchi imejaa majambazi kila sehemu 😂😂😂😂
@allyabdallah4641 Жыл бұрын
Iyonikweli ndio iko ivo bugando bugando kili mtu bugando
@honestbalilo9519 Жыл бұрын
Tatizo viongozi wa ccm hawaisimamii serekali. Na viongozi wa serekali hawawaheshimu viongozi wa kisiasa
@honestbalilo9519 Жыл бұрын
Ccm kazi imewashinda
@isacksimonmahungilo Жыл бұрын
Jamen tunashda
@bensonlameck6348 Жыл бұрын
Mbona kero nyingi ,na Aggrey mwanri alikuwa akipiga kazi huku
@thabitdaudi9815 Жыл бұрын
Alikua anaenda vizur wameshamtishia amenyong'onyea khafla😢 ana delegate kwa hao hao wanaolalamikiwa kutatua shida za wananchi. Kama umechoka au huna mda tulia makonda sio majib ya ajab ajab unayotoa ya kisiasa
@joycekalago532 Жыл бұрын
Ni kweli rufaa nyingi za kitete zinapelekwa bugando kwqnini?
@RenaldaZeramula Жыл бұрын
Kwanini hukuwapamkopi uwpe origonal.? Wewe ndio shida
@MozesPaul-h6i Жыл бұрын
Jamani vionfozi wamikoa tatueni shida zawananchi hili nitatatizo kubwa sana
@prospermsemwa1433 Жыл бұрын
Viongozi wanakimbia nidhairi matatizo ninmengi makonda hawezitoboa kama jpm alipambana ila alishindwa ila kidlteto shida
@jumabonge8577 Жыл бұрын
watendaji waserikali wezi watupu
@aronmtui597 Жыл бұрын
Kwanxa eka 500 amezipataje
@shenjamamzingi7950 Жыл бұрын
INATIA UCHUNGU SANA,..YAANI WANANCHI WANASHIDA NA MALALAMIKO YA MSINGI MENGI BILA MSAADA WOWOTE KUTOKWA KWA SERIKALI KAMA HAIPO
@sebastiansalamba313 Жыл бұрын
Viongozi wa mikoa wanafanya nini?hebu tupeni na sisi tuoneshe mfano
@abubakarsaid7303 Жыл бұрын
Ndiomaana magufuli ali vunja mkataba wa bagamoyo kwa mambo hayahaya
@kelvinnjawike1808 Жыл бұрын
Hao wananchi wanazingua sana wanaingilia taaluma za watu
@LameckMwansa-bb7fj11 ай бұрын
Wapi www unaongea nn ww
@jumanneenos2481 Жыл бұрын
Haya ni matatizo yanatakiwa kutatuliwa, wananchi wanamalalamiko sana, iwepo mikutano ya mara kwa mara.
@warrenmgode1837 Жыл бұрын
Wazili wa afya anafanya Nini ajiuzuli basi ccm munakazi ambayo mbele siyo kuzuli