Everytime I watch His excellency President Maghufuli I just get to admire him more and more for his honesty, patriotism and Pan-Africanism...
@ianinno3145 жыл бұрын
ahsante sana kwa kutupa updates nzuri sana kwa maendeleo ya nchi yetu.
@hasanially92945 жыл бұрын
Allah ibariki Tanzania mbarki raisi wangu Allah ipe Aman nchi yangu
@athumanomary14385 жыл бұрын
Asante san mwenyez MUNGU kwa muongozo mwema kwa raisi wetu
@nonenone49545 жыл бұрын
Long life JPM
@musamwafongo34305 жыл бұрын
Tunamshukuru JPM KWA kutoa ,5M papo KWA papo na Mungu akubariki.
@athumanomary14385 жыл бұрын
Asante san raisi wetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe
@erickchitumbi13085 жыл бұрын
JPM ni chaguo toka kwa Mungu,hili taifa tumtumie vizuri sana.anagundua vitu vya muhimu kuliko tunavyodhani.ni moja wa mtu muhimu sana kwa maendeleo yetu ya taifa hili.
@williamkitengai36085 жыл бұрын
Wewe umetoka kwa shetani sio...?!!
@MariamNMwadasiro4 жыл бұрын
Mi nafikiri Tanesco wanafikiri wakiwaruhusu watu kutengeneza na kugawa umeme inacontradict malengo yao, Tanesco amkeni umeme ulimonopoliziwa sana. Hongera Rais wangu umeonyesha kuwapa nguvu wananchi wabunifu #mypresidentyouhavemy2020vote
@hatmampyahalisi47465 жыл бұрын
MwenyeChuki awamu hii ya huu Uongozi watapata taabu sana
@barakastephan94255 жыл бұрын
Millard mtu wa nguvu,Shukrani kwa taarifa nzuri. Big up raisi wetu mpendwa, Mungu akulinde
@yonabilshan64245 жыл бұрын
Wewe
@barakastephan94255 жыл бұрын
@@yonabilshan6424 wewe😂
@evanstweve77205 жыл бұрын
hakika tuna Rais wa pekee kabisa kwenye taifa letu, mzalendo kweli kweli. hongera sana mheshimiwa rais
@jonaskilomba40945 жыл бұрын
Rais wetu Mungu akubariki watu wetu wengi wanakwazwa mno
@pascalwissi48055 жыл бұрын
Millard Ayo, natumaini AYO TV itaungana na TANESCO wanapokwenda kuangalia miradi hyo, ili utupe mrejesho
@thelalas92045 жыл бұрын
hivi ndio vitu vyakutuonyesha na kutangaza.sio wanao kaa uchi tu.na kupromote nyimbo za ajabu mara minyama,wowowo,sijui inama mara mihogo.mufanye vipindi hivi kwa sana na mengine zaidi.muwafichua wala rushwa na taabu wanazozipta ndugu zetu wanaokaa vijijini huko.watanzania hatuhitaji magorofa wala mabenzi.mutupe tu huduma husika,maji chakula na sehemu nzuri ya kulala.
@richardgaspari48185 жыл бұрын
Kweli kabisa bro
@juliuszellah10045 жыл бұрын
Sisi Waafrika tuna wivu sana tena sana, huyu mbunifu angepewa tuzo na Tanesco na kumsaidia kupata pesa na kumsajili TIC etc. Da Vinci angeachwa peke yake kama walivyofanyiwa hawa wabunifu Dunia isingekuwa na Ndege etc.
@felixkamkala33035 жыл бұрын
Mzee Magufulification Africa Chumaaaaaaaaaa
@josephijumba35825 жыл бұрын
Kumbe kusome sio kujua kila kitu darasa la saba
@myembegrayson9645 жыл бұрын
Mjinga ni yule asiyetambua Mchango wa Raisi John!! Tuzidi kumuombea kwa MUNGU tutafika mbali sana Watanzania
@athumanomary14385 жыл бұрын
Watanzania wenzangu tuzidi kumuombea raisi wetu kwa mwenyez MUNGU kwa imani zetu
@jonathanimdegela10055 жыл бұрын
Jamani da magu ananishawishi kinyama nimpigie kula tena da ccm pow kapat kazi zuri magu
@jamesakhabuhaya61945 жыл бұрын
Aisee huyu raisi hapana,mtu wa daras la saba alimpa uwaziri kudadeki,rispect raisi wangu wewe jembe MUNGU AKULINDE AISEE
@hatmampyahalisi47465 жыл бұрын
Ayoo mnafanya kazi nzuri tunaomba kujua Hatima ya yule kijana aliyebuni Pikipiki wa Kigoma akaitwa na wazili mpa Dar akaishia kuhojiwa na kurudishwa Kigoma.
@HUKUEUROPE.5 жыл бұрын
kazi kazi Ayo tv
@husseinkonz51925 жыл бұрын
Tanzania kumbe vipaj vilikuepo kitambo jpm dli nao utafika mbali anko
@sewandomkuchu24315 жыл бұрын
Big up to Mr President on this but there any many people with different innovation i.e. The guy who made the helicopter .But Mr President , your people in the government and its institutions do not see that we could have leap frog due to these innovations.Imagine how many helicopters we would have but my frustrations are on the top people in these institutions.They normally oppose to the people on the arguments of quality and policy...too bad.Thank you for what you are doing to this country..
@muajiribrahimu26065 жыл бұрын
God blessed you,.
@sewandomkuchu24315 жыл бұрын
@@muajiribrahimu2606 Thanks Muajir .God bless you too
@Plus255studios5 жыл бұрын
Kama tulivyokwisha kusema awali, kiongozi tunae cha muhimu tushirikiane nae katika kazi
@hanifawaliya79765 жыл бұрын
Duuh. Nafuu sisi tusio na vyeo. Alhamdulillahi
@rehemamsekeni96405 жыл бұрын
Mimi pia ni mmoja wa familia ya mbunifu wa mtambo wa kuzalisha umeme mtambo huo uko TILDO
@isaacvtv5475 жыл бұрын
Nakuamini mzee.
@ramadhannakitepe75705 жыл бұрын
Daaah! Mume wangu magufuri mungu akuweke mpaka dunia ikiisha uwe hvyo kwenye akili nyingi mpaka mungu akikuchukua uijue siku hyo ya kuondoka nakupenda sana sana kwa uwezo wako wa juu
@misschagga80425 жыл бұрын
Mume wako kivipi wakati jina lako ni ramadhani nakitepe mwanaume anawezaje kua mkewa wa raisi.
@mosesedwardmagembe96575 жыл бұрын
Sijakuelewa! Ww Ramadhani! Kisha daah mumeo. Samahani kama umekosea sahihisha pia kama umetumia simu ya mumeo mwombe Radhi mumeo. Kimsingi comment nzuri Rais wetu anachapa kz nzuri tumpe support. Love Tz our own country.
@georgelupembe76215 жыл бұрын
....ni furaha kuu baada ya Mzee Eng. Pwagu leo kuwa ana kwa ana na Mh Rais....baada ya awali kuwezesha juhudi zake kufahamika kwa aliyekuwa Rais Kikwete wakati wa uzinduzi wa Mkoa wa Njombe..
@jumaigoti86765 жыл бұрын
Safi sana mweheshimiwa Kama umeliona hiro ni vizuri. Wajasiriamari ni wengi Ila ukibuni kitu mara vibari mara huku mara huko.
@oswardkamendu66485 жыл бұрын
Ongera xn mweshimiwa raisi
@ramadhannakitepe75705 жыл бұрын
Siyo kujidharau Mh.wana roho mbaya sana viongozi wako wachunguze sana wakishafika kwenye viti ni viburi sana awataki kabisa kuwasikiliza watu kama hao wanaweka unadui Mh.uwe unachanhanyachanganya dgeree ni wizi mtupu
@peteralfonce58485 жыл бұрын
Waliosoma shule za sante sante hawa ndo wanaotusumbuwa hawajui kabisa maisha ya mtaani hawa
@abuudharishahidy30745 жыл бұрын
hao choyo na ulafi mwingi
@sewandomkuchu24315 жыл бұрын
Financing innovators is the key so that they could sell their ideas and implement them for the benefits of the country.My advice is that there should a Fund for innovation and reasearch for the implementation and through this also we have industries ..e.g. USA has venture capital which are there to fund viable projects with innovation ..
@patricknyaulingo21985 жыл бұрын
Mheshimiwa hawa maofisa wanakaa sana maofisini ndio sababu unasumbuka nao na maswali yasiyo na majibu. Watoke maofisini waende kuwatafuta hawa wabunifu, wawape misaada inayo eleweka.
@godfreylyimo41775 жыл бұрын
Millard unafanya vizuri!! Fanya follow up issue ya yule Mwalimu alidungwa sindano Arusha...Gambo na RPC wake wamechukua hatua...Rais wetu amepata taarifa. Afisa habari wake ataarifiwe
@wenceslausmcharles57805 жыл бұрын
Godfrey Lyimo Niliisikia hiyo habari, hivi anaendelea je?
@godfreylyimo41775 жыл бұрын
@@wenceslausmcharles5780 Yule Mwl bado yupo Hospital lkn inaumiza sn kuona Mkurugenzi na Mbunge wanamwandama Mwl kwa sbb tu amelalamikia utendaji wao
@veronicatweve47865 жыл бұрын
Baba Magufuri naomba unipe kazi yoyote mimi ni muaminifu nitafanya vzuri saana na utafurahi
@chrismwanjalika98925 жыл бұрын
hakika vipaji vya watu wetu tunavizika bure
@hazelsoko15945 жыл бұрын
Mheshimiwa Raisi tunakuomba pia mkurugenzi wa PSSF naye aeleze kuhusu kulipwa kwa wastaafu mara tu baada ya kikotoo, wengine hawajalipwa toka August 2018 mpaka February 2019, wastaafu wanataabika sana sana,tumetumikia kwa uaminifu Taifa letu. Tunaomba msaada sasa kwa Raisi.
@asiamwarabu75104 жыл бұрын
Mimi ndie niliekundua calculata na ndie mm huyo nnaetoka majibu kwenye calculata niwezeshwe ili niwe matoa majibu kwa sauti niweze kununua speaker niweke jmn
@sewandomkuchu24315 жыл бұрын
Mr President , Venture capital fund is needed and also reasearch authority is needed to collaborate all innovations in the country for benefits of all.
safi mkuje na kwenye football huku mikoani kuna vupaji vpo vimwdichwa
@patricknyaulingo21985 жыл бұрын
Sijui ilikuwa ni TBC au Millard Ayo, kusikia ni shida
@edwardkagombora37825 жыл бұрын
Tbc mnaboa sana kukatika hovyo
@mwanamutemi5 жыл бұрын
Watu wa Tanesco wanaogopa kumjibu Rais kwamba wao kama Shirika wanafuata muongozo na kanuni zilowekwa na nchi nzima So kama yapendeza mambo yabadilike Tanesco waanzishiwe mikakati ya kuwatambua na kuwasaidia hawa wabunifu.
@godlovemrosso87155 жыл бұрын
piga kazi mh watakubali tuu sio kupenda kuteuliwa tuu na kukaa ofisini hapa ni kuteuliwa na kuibua pamoja na kufatilia miradi ya kuwasaidia watz tusonge mbele!
@marcobulili43415 жыл бұрын
Watu hawa wasinyang'anywe miradi waliyoiibua badala yake wewe wabia kwenye miradi hyo. Poa wapewe support kuendelea ubuunifu wao.
@naomiherman7015 жыл бұрын
Ongeraaa sanaa Mh.Rais wetu Mzalendooo
@elisantej55125 жыл бұрын
Hawa COSTECH kwa maoni yangu waongeze bidii. Kuna wabunifu wengi sana ambao hawajatambuliwa na kusaidiwa
@pemdumi5 жыл бұрын
Wanakula pesa za tafiti tu.
@nasmakilua42055 жыл бұрын
Kuulizwa maswal na magufuli niheri ya kuulizwa na mungu walah
@annassuleiman45085 жыл бұрын
wewe siyo mzima, ivi ukiulizwa na mungu utaweza kulijibu na moto upo karibu yako??
@kivumaathumani55985 жыл бұрын
nasma kilua unakufuri ndug😇
@kamgomoli36505 жыл бұрын
Kwa staili hii ndio maana profesa anaitwa pumbavu aafu anacheka huku anapiga makofi
@hennerystephano70825 жыл бұрын
Yaani Tanesco wanaudhi sana yamekaa tu officini yanachofanya hamna mahitaji ya umeme ni makubwa kkila sehemu trasfomer zipo hapa hapa nchini lakini yamekaa tu yaani hivyo sijapata kuona
@lemkisaid46885 жыл бұрын
Hahahaha kazi kweli kweli
@salummtosa38855 жыл бұрын
TBC leo mmezingua lekebisheni mitambo yenu
@danielzephaniah42065 жыл бұрын
Sauti ina katakata
@makungaone1475 жыл бұрын
Tucheki KZbin channel kupitia Makunga one1 kwa taarifa mbali mbali kuhusu mambo ya anga pia utajionea jinsi watu wanavyoishi angani
@hamumyahmed96525 жыл бұрын
Wanyooshe wakisha kuwa maofisini wanajisahau
@peteralfonce58485 жыл бұрын
Nipo nzega nimeishia darasa LA kwanza shule ya msingi Nyasa mapangoni.mwaka 1991.LA kwanza hilo hilo linanisaidia mpaka Leo najisikia fahar naendesha maisha yangu vizur 2.wasomi wana2 nyanyasa sana hasa wala waliosoma shule za Boldn boldn hawajui shida za mtaani .@gmeil .com.naitwa peter alfonce .au fundi simu nzega mjini 0786634200
@nashonimasanja76265 жыл бұрын
mbona sauti inakatakata?
@michaelbwoma27605 жыл бұрын
Anawafundisha hii ladha ya kwa na rais ni PHD ananifurahisha sana Mzee wangu huyu
@nosigwebuya55375 жыл бұрын
Shida ya Usomi ulio jaa "nadahria" hauna ubunifu kukabiriana na matatizo yakijamii na kimazingira, wao hutegemea tu nadahraia walizosoma au mwongozo wa ratiba zao za kazi, wanashindwa kuelewa kwamba nadharia nyingi za kimasomo zimeandaliwa nje ya mazingira yetu, au kuzuia ubunifu wetu kama ulimwengu wa tatu,, mfano wa "Vyura kwenda kufugwa mahali pengine, siyo tafauti na mchezo wa makinikia!" Wasomi waondokane na hali ya kuwa kama "Kuku wa kisasa" mbele ya Mwewe!
@hasanially92945 жыл бұрын
Elimu ni kitu kingine na matumiza ya kuzaliwa ni kitu kingine
@hatmampyahalisi47465 жыл бұрын
Mbona inakatakataaaaaaaa
@williamkitengai36085 жыл бұрын
Kila siku live yeye tu
@rahimaaaaa86995 жыл бұрын
Hata mimi nimemchoka
@tegezdomin83635 жыл бұрын
Nanyie wekeni za kwenu
@hennerystephano70825 жыл бұрын
Kwa hiyo akiwa live anakuzuia usile chakula
@williamkitengai36085 жыл бұрын
Anataka aonekane peke yake wakati bunge liko gizani
@innocentpius80835 жыл бұрын
Kuku nyie kuweni live nyie basi..
@wailesdeus37645 жыл бұрын
Defense your job
@siasatanzania11935 жыл бұрын
Raisi mbele ya kamera
@kizitoshitah12505 жыл бұрын
SIASA Tanzania Hongera sana wabunifu wetu.
@isaacemily18895 жыл бұрын
Siasa za maigizo ,hiyo Post inabadiliShaji maisha yetu??