Agizo la Rais Magufuli kuhusu Wamachinga

  Рет қаралды 346,146

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 452
@zuwenaabdi1670
@zuwenaabdi1670 3 жыл бұрын
Walikuja hapa baada ya machinga kufukunzwa gonga like hapa! hapo mama alivaa ngozi ya kondoo
@bonydemaria2030
@bonydemaria2030 8 жыл бұрын
Kauli ya "hapa kazi tu" ni ngumu sana kueleweka. Tupo nyuma yako Mh. Rais... ! Best work ever seen in Tanzania!
@mrdeniskomba6199
@mrdeniskomba6199 3 жыл бұрын
Ungepunguza kupost inauma sana unaposikiliza speech za jpm baba mwenye upendo wa kweli na watu wake.
@hamzaallymwaihojo
@hamzaallymwaihojo 3 жыл бұрын
Kumbe mzee alishamuagiza awatunze machinga hawa, Wanawake, Mungu anawaona😭😭.
@skeetergodwins2576
@skeetergodwins2576 3 жыл бұрын
Siwezi kuacha kukulilia Baba. Ningekuwa na uwezo ningezuia kifo chako. Lakini kila mwanadamu ana ukomo. Mungu atupe mwisho mwema.
@nassorntandu4513
@nassorntandu4513 8 жыл бұрын
nimefurahishwa sana na kauli ya Rais Wangu Magufuli, na agizo lake kwa wafanya biashara wadogowadogo, wachimbaji wadogo, wananchi waliopo kwenye maeneo ya hifadhi za wanyama.UTU, UBINADAMU, ILANI, vizingatiwe! MUNGU AKULINDE SANA RAISI WANGU, NA WANAOKUSAIDIA! Umetibu majeraha ya watu wengi waliokuwa wananyanyaswa kwenye nchi yao! WE LOVE YOU MAGUFULI. tuna njaa lakini tupo salama!
@amosmichael487
@amosmichael487 3 жыл бұрын
Wewe mwanamke Mungu anakuona Mungu yupo
@thomasmwamkinga4018
@thomasmwamkinga4018 3 жыл бұрын
Da huyu mama simuelewi hata kidovo hana huruma
@adelinajonsony5802
@adelinajonsony5802 3 жыл бұрын
Rip tunakukumbuka Sana baba sema tangu umeondoka mama amekiuka kila kitu amekusaliti kwa kiwango Cha Hali ya juu Sana
@felixjilalajilala8398
@felixjilalajilala8398 8 жыл бұрын
mungu atupe nini sisi watanzania katupatia rais mwenye busara nyingi ewe mwenyez mungu mbariki magufuri awe na maisha malefu awe na moyo huohuo wa kuwasaidia watanzania
@nassorokatuga7465
@nassorokatuga7465 7 жыл бұрын
Mungu akupe maisha malefu rais wetu mpendw
@mwajumajuma2999
@mwajumajuma2999 3 жыл бұрын
😭😭😭😭
@tanzaniaonfoot8641
@tanzaniaonfoot8641 8 жыл бұрын
Kwa miaba ya wamachinga wote napenda kusema kuwa tulimuomba Mungu atupe raisi atakaye tetea wanyongi, kweli Mungu katusikia na kujibu maombi yetu! Mungu akujalia maisha malefu yenye afya njema mheshimiwa Dr. J Pombe Magufuli.
@amirlove8036
@amirlove8036 8 жыл бұрын
asante RAIS wetu
@amirlove8036
@amirlove8036 8 жыл бұрын
RAIS magufur we we ni jembe tutetee baba hata bodaboda tunazinguliwa kinoma sana!
@kahemamzava1608
@kahemamzava1608 3 жыл бұрын
Mapumziko mema baba Mungu akulaze mahali pema peponi
@elmediano8125
@elmediano8125 3 жыл бұрын
Mungu azidi kukuifadhi my G daima tutakukumbuka😭😭😭😭😭😭😭
@japhetselestine2156
@japhetselestine2156 3 жыл бұрын
Tunakukumbuka baba, tena Tunakukumbuka kwa mazuri siyo kwa mabaya, RIP my president
@oswardjunior7310
@oswardjunior7310 3 жыл бұрын
Delila alikuwa yuko makini kumsikiliza kumbe ki moyo nafsi yake ilikuwa inamuuma
@mukhsintwaha5909
@mukhsintwaha5909 3 жыл бұрын
Pumzika kwa amani JPM ulithubutu daima uliyaishi maneno yko
@matanamaduhu8699
@matanamaduhu8699 3 жыл бұрын
RIP JPM. You will forever remain in hour hearts. You truly devoted your life to serve the poor. Mama seems to forget all these 😭😭😭😭💔💔💔
@ruhumbikabundala2214
@ruhumbikabundala2214 3 жыл бұрын
the guy will remain my President even though he is not alive
@hawamabira1499
@hawamabira1499 3 жыл бұрын
@@ruhumbikabundala2214 me too💔
@daudimariseli3627
@daudimariseli3627 8 жыл бұрын
asante mh rais Allah akupe nguvu na akupe maisha marefu na uongozi uliotukuka baba tupo nyuma yako tukikuombea uzid kutufurahisha baba yetu asante sana kwa maelekezo kwa viongozi wote.....mungu akubariki na mungu aibariki afrika
@jasbirswaran4338
@jasbirswaran4338 8 жыл бұрын
big president JJPM,salute kubwa mkubwa wa nchi,maneno kuntu
@kisianganijob1068
@kisianganijob1068 8 жыл бұрын
how i wish we had this kind of leadership in Kenya....God bless you Mr.President,one of a kind.Long live your excellency and long live Africa!
@clt9914
@clt9914 8 жыл бұрын
For sure, the kind of hyena-like leaders we have in Africa, makes one feel having a commanding president of this caliber. Pretending to be men of rule of law while squandering resources and humiliating their very citizenry is a proof of their insanity.
@allysultani1089
@allysultani1089 3 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akupe rehema nyingi ulipo dokta magufuli.
@karanibonge5906
@karanibonge5906 3 жыл бұрын
Ruto is coming there mtakua poa
@rashidijulius6511
@rashidijulius6511 8 жыл бұрын
Mungu akupe maisha mareefu na yenye furaha. na akuongezee utekelezaji mwingine wa mambo mengine. asante saana mh Rais JPM.
@mwajumajuma2999
@mwajumajuma2999 3 жыл бұрын
😭😭😭
@athewinersdone731
@athewinersdone731 8 жыл бұрын
Wewe ni rulu ya Tanzania pia Africa nimeipenda debate yako kweli you is my true President I'm loving you Mr President
@masterdaudi7683
@masterdaudi7683 3 жыл бұрын
Huyu mama kaja tofauti nawewe daaaah pumzika kwa amani magufuli..
@nathanielshauri5135
@nathanielshauri5135 3 жыл бұрын
Tutakukumbuka sana raisi wa wanyonge kipenzi cha mtetezi wa Tanzania
@fipa1823
@fipa1823 3 жыл бұрын
Magufuli alikuwa one king of Tanzanian pamoja na Africa......
@johanithajacob8715
@johanithajacob8715 3 жыл бұрын
Tulioxkia hotuba ya samia khc machnga tkard tena hapa kwa baba tujuane rest in peace my president
@sengeremaxleo9295
@sengeremaxleo9295 3 жыл бұрын
Hahahah Daaaaaah 😩😩
@sengeremaxleo9295
@sengeremaxleo9295 3 жыл бұрын
Magu alikuwa side ya watu wa hali ya chini lakin mama sio kabxaaaa
@shijalupondeja908
@shijalupondeja908 3 жыл бұрын
Dah hadi inauma sana,pumzika kwa Amani Baba.
@hawawezidianakukushusha756
@hawawezidianakukushusha756 8 жыл бұрын
da sihakosea kabisa kumpa huyu mtu kura yangu Allah akulinde baba
@emmanuelrugambwa588
@emmanuelrugambwa588 5 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania na Rais Magufuli. From Rwanda
@musamgutu7760
@musamgutu7760 4 жыл бұрын
Alafu eti nikapigie kura upinzani subutuu apa jpm tuuu
@reubenjackson7327
@reubenjackson7327 8 жыл бұрын
ua the best president in Africa,,, swala la wawekezaji hilo cc kama wananchi linatuuma sana,,, tunaomba ulifanyie kaz kwa sababu watanzania weng c wawekezaj na hata wakitafuta uwekezaj hawapew kulipaumbele kama wagen, jpm Fanya kaz!!
@shakirarashid9181
@shakirarashid9181 8 жыл бұрын
shikamoo rais wangu Ni Kweli watu tunakimbia nchi yetu kisa maisha magumu ila kwa ninavyo ona tutaludi na ss nchi kwetu tueshimiwe tumechoka kuitwa mashaghara duuuh Asante mungu kwa kumuleta magufuli
@mickidardyjacksonh4456
@mickidardyjacksonh4456 3 жыл бұрын
Nikwel tutamkumbuka sana aisee
@alecsbiggz418
@alecsbiggz418 8 жыл бұрын
MR.President i salute you! you are more than a President well done good job and may God bless ,protect and guide you . we need more Magufulis in Africa to transform the Continent. the only african Head of state who really worry about the poor. Go on Mr.President the whole continent loves and apreciate what you are doing to the Country.
@goalsworldwide5583
@goalsworldwide5583 8 жыл бұрын
Magufuli oyeeeee Mungu akupe maisha marefu Mh.Rais
@husseinswahili7382
@husseinswahili7382 8 жыл бұрын
Asant baba Asant baba Natamani katiba ya Tanzania ibadilishwe ili ukae madarakani miaka yote ya uhai wako. Ewe mungu tulindie Rais wetu na mpe hekma nyingi.
@rukayyawendo1268
@rukayyawendo1268 3 жыл бұрын
😭😭😭
@gloryidelya9899
@gloryidelya9899 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭MUNGUAmempenda Zaidi Yetu
@ramlaothman5771
@ramlaothman5771 3 жыл бұрын
Kabla ya hapa tulipo mwanamke Ali play part ya usaliti akamsaliti Adam the same to madam president,, inshort wanawake ni wasalitii... Allah atuondolee hiyo roho inshallah
@universalcreativestudio8488
@universalcreativestudio8488 8 жыл бұрын
Heshima kwako!.. Mhe, Rais wetu JONH POMBE JOSEPH MAGUFULI...... Mwenyezi Mungu akulinde... kungekua na uwezekano wakugombea Urasi wa Dunia tunaamin ungepata..... hapa wasio kuelewa ni wazembe wa fikra!... (Viliza). na tunavyokufaham huwezi kukwamishwa na watu wa Design hiyo!.. tuko pamoja na wewe katika maombi!..
@abdallahmagera9160
@abdallahmagera9160 5 жыл бұрын
MUNGU nimipango yako atukujua kama tutampata mtanzania mwenye kuwapenda watu wake tunakuomba MUNGU wetu mtie nguvu na afya njema Amina
@boniphacemshigito2199
@boniphacemshigito2199 8 жыл бұрын
love this speach ,Mungu akupe hekima zaid
@ajeydevgan7108
@ajeydevgan7108 8 жыл бұрын
Nimemuelewa mkuu wa nchi yuko vizuri sana Mungu ambariki sana.
@mamacompyu5925
@mamacompyu5925 8 жыл бұрын
katika cku ulionifurahisha magufuli leo umenifurahisha Sana Shikmoh bba kweli wwe ni mtetezi WA wanyonge mungu akupe afya njema
@officialkinghezekiah2094
@officialkinghezekiah2094 8 жыл бұрын
sikukupa kuraa mkuu,,bt in the end i realize that yooo the great one,God Bless U
@fatumashabani5341
@fatumashabani5341 5 жыл бұрын
Allah akupe maisha malef rais wetu hatuna cha kukurip ira Mungu atakurip
@abduladhimually3542
@abduladhimually3542 8 жыл бұрын
Hongeera mh.......ila umeongea muda mrefu ila sijaona hata glasi ya maji
@kuhandajoshua8688
@kuhandajoshua8688 8 жыл бұрын
Hakika Mungu anapotaka kujibu maombi ya vilio vya wanadamu hapa duniani, huinua kiongozi aliye na moyo wa Mungu ambaye atawatumikia wanadamu ili kutimiza kusudi la Mungu katika taifa husika. WATANZANIA, TUMWOMBEE JPM...
@HabibaHabiba-mi1ez
@HabibaHabiba-mi1ez 8 жыл бұрын
Nimeamin Kweli Sasa Tanzania Inakiongoz Mwenye Upendo Na Wananchi Wake Mungu Akubalik
@samwelhintay669
@samwelhintay669 8 жыл бұрын
kuepusha matamko ya kila uchao ni lazima mfuate sheria mlizotunga na pia mheshimiwa ingekuwa vizuri ukajenga taifa lenye dira ili hata wewe ukitoka ajaye ataifuata
@denistarange5580
@denistarange5580 3 жыл бұрын
@@samwelhintay669 dah
@johanesbina1302
@johanesbina1302 3 жыл бұрын
Samia anavyochangia kama MTU vilee😂😂😂😂😂😂 duuh haya maisha si powa
@abrah_li5797
@abrah_li5797 3 жыл бұрын
Anaitikia kinafki
@senimagina8455
@senimagina8455 3 жыл бұрын
Pamoja sana kazi yako hata Mungu mwenyewe kaipenda
@simonkiwise4454
@simonkiwise4454 3 жыл бұрын
Mzee tutakukumbuka sana kama ulivyosema mwenyewe! R.i.p
@barakamachard1944
@barakamachard1944 3 жыл бұрын
Daah
@allyfaki7862
@allyfaki7862 3 жыл бұрын
Umeona Mama anavyoitikia na kinachotokea sasa mmmh!
@homeboysinstallers8794
@homeboysinstallers8794 3 жыл бұрын
Police wangu cina comment!
@simplissamba1943
@simplissamba1943 3 жыл бұрын
dah kwann mung alimchukua lkniiiiii😰😰😰😰😰😰😰😰😭😭😭😭😭😭😭😭
@ashaissakambona8560
@ashaissakambona8560 8 жыл бұрын
Asante bb ww.ndie Rais wasaidie wamachiga.hao.wafukuze watendaji zako wa kz.ivi amuwaonei.uluma jamani.wanavoagaika wanawadhalilisha.sana
@ashaissakambona8560
@ashaissakambona8560 8 жыл бұрын
jamani mbona ata uku.dubai wamachiga wapo
@adamdaudi6191
@adamdaudi6191 3 жыл бұрын
“Sisi ndiyo wenye serikali, siyo wao”, napenda sana kiongozi anayetambua mamlaka yake na kuyatumia vizuri, the big JPM!.
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 3 жыл бұрын
Hiyo the big alipotosha sana
@pastorychokala2795
@pastorychokala2795 8 жыл бұрын
ivi anaemsema vibaya huyu rais anaakili au tope? mungu akubariki sana rais wa nchi yangu.
@mbatatakiazi1678
@mbatatakiazi1678 3 жыл бұрын
R.l.P our lovely President. Tutakukumbuka daima.
@joashnyabange8830
@joashnyabange8830 8 жыл бұрын
Rais, Rais, Rais, Rais, Rais, mh magufuli wewe ni kiongozi wa kuigwa kweli kweli tunakupenda sana baba yetu 2020 utapata 100% ya wapiga kura, ila Waziri wa elimu atufungulie mkopo na sisi wenye diploma tupate kuanzia mwakani!
@saromejusto9587
@saromejusto9587 3 жыл бұрын
Jmni inaima mbona,na inakua ngumu kwangu kuukubali ukweli kua haupo baba
@kubyjuma4843
@kubyjuma4843 3 жыл бұрын
Rest in internal peace my president of all time..........😭😭😭
@igobekomagessa4430
@igobekomagessa4430 8 жыл бұрын
Mungu wetu tunakushukuru kutupa Rais ambaye kwakweli hatukujua wala hatukutarajia ni kwa upendo wako kwetu mlinde Rais wetu na endelea kumpa ujasiri na maelekezo yatokayo kwako ili kusudi lako litimie Tanzania na kwawatanzania Amen!!!!
@izeman7633
@izeman7633 8 жыл бұрын
haijawahi kutokea maamuzi km hayo upo sawa kabisa u re the right president
@festoignas4146
@festoignas4146 8 жыл бұрын
Naomba Mungu akupe Bodyguard wake malaika wakulinde mana Mungu ameyaoma maonevu ya watanzania kutokana na viongoz bas may God direct you towards victory yote yanayokuandamana yakukose isipokuwa mema tu. Mungu tulindie rais wetu Mh. Dr. John Pombe Mgufuli .
@alfinmbilinyi1326
@alfinmbilinyi1326 3 жыл бұрын
Yeah!huyo ndiyo JPM hasara kubwa ya Tanzania kumpoteza duu tutakukumbuka daima.
@piusemma1
@piusemma1 8 жыл бұрын
This is a Credit. This man is powerful.
@veronicasweets4360
@veronicasweets4360 8 жыл бұрын
Eee Mungu mbariki huyu baba. Mjalie maisha marefu
@shafiimpilika8264
@shafiimpilika8264 5 жыл бұрын
huyu sio Rais tu! Bali ni Mtume wa Mungu kwa sisi watanzania
@cleopatraayhankandal6041
@cleopatraayhankandal6041 3 жыл бұрын
Lait mtu angekuwa anakufa na kurudi tena walah tz kingewaka
@iam1366-o7b
@iam1366-o7b 3 жыл бұрын
NO WAY ICAN FORGET YOU DAD UR KIND LIKE
@issaasumani5182
@issaasumani5182 3 жыл бұрын
Baba president Johnny 🙏🙏🌲🌲🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🌙🌙🤲🤲🤲💐💐💐💐💐🌲🌲🌳🌲🛤️🛤️⛪🕍🗽📿🕯️🕯️🕯️🕯️🛏️🏞️🏞️🙏 Tanzania president Johnny 🙏 baba president
@thobiasboniface338
@thobiasboniface338 8 жыл бұрын
ahsante rais wetu kwa kaz nzur
@babiornewton1008
@babiornewton1008 8 жыл бұрын
This guy speaks alot of sense,In Kenya Hwakers are being humiliated,tossed left and right.I wish we had this kind of president
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 3 жыл бұрын
Hii hotuba ni kitabu cha sulihisho la umachinga RIP Dk JPM . Hotuba zako ni ushaidi. Upendeke, usipendeke , uenziwe, usienziwe hotuba zako zitabaki kuwa ushaidi.
@neemajoseph6596
@neemajoseph6596 3 жыл бұрын
Vizuri Avindum dah tutakuku mbuka daima bab pumzika kwa Amahn mungu Awenawe
@BennyChristian
@BennyChristian 8 жыл бұрын
huyu ndo raisi wallahi, hata hela ikipotea vipi mtaani huyu ndo anafaaa miaka 50 mbele
@simonlulenga2530
@simonlulenga2530 7 жыл бұрын
Asante mheshimiwa unauwezo mkubwa wa kufanya analysis na kumake decision mkubwa na Mungu akubariki Rais wetu. Na siai waendesha pikipiki kwa shughuli za kila Siku tumepigwa marufuku kuingia katikati ya jiji la Dar es salaam, mpaka kwa kibali na kibali ni sh. 170,000/= kwa mwaka! Mh. Rais kwanza ifahamike kwamba tunaendesha pikipiki badala ya magari kwa sababu ya kuwa na kipato chetu kidogo 170,000/= tunazitoa wapi? Na kwa mini pikipiki tu na siyo wamiliki wa magari nao waingie katkati ya jiji kwa vibali??? Huu ni ubaguzi ni ukaburu mkubwa sana. Tunaomba utuangalie na sisi.
@josephhuberty8248
@josephhuberty8248 8 жыл бұрын
This is leadership we want ,proud of u son of Africa
@kasimuwesu2620
@kasimuwesu2620 3 жыл бұрын
John pombe lala kwa aman lakin hawa ulio waacha huku wamekueka het marehem hana hak ......
@mds5293
@mds5293 3 жыл бұрын
Ni ngumu sana rekodi yako kuvunjwa my president
@RoseMary-hp5bz
@RoseMary-hp5bz 8 жыл бұрын
Amin my president mungu atutangulie
@mtumishimathias7762
@mtumishimathias7762 3 жыл бұрын
Tutakukumbuka sana mzee wetu.
@patricknguya1602
@patricknguya1602 7 жыл бұрын
We ndio raisi wangu miaka1000
@saadamusa8901
@saadamusa8901 3 жыл бұрын
Jaman kweli asiye badirika ni mungu pekeyake
@manenomohamed592
@manenomohamed592 8 жыл бұрын
asante ww ndiye rais wa kwel safi sana nimependa.
@maxmwanza5267
@maxmwanza5267 3 жыл бұрын
magufuli jeshi
@allymapinda8804
@allymapinda8804 8 жыл бұрын
Huyu Rais sio mchezo aisee! speaks to their faces straight.
@anathaliamwangamila3296
@anathaliamwangamila3296 3 жыл бұрын
Hakuna raisi Bora kama wewe. RIP daima unaishi katika mioyo ya wanyonge wengi
@daudimakaya9240
@daudimakaya9240 8 жыл бұрын
kuna watu wanajuashida za watanzania kama huyu raisi wetu magufur ndo maana nakukubal
@mubarikmohammed557
@mubarikmohammed557 4 жыл бұрын
I'm Ghanaian I love this man he did a great job May almighty ALLAH let him win again because he can fight for Africans,rest of the African presidents should look at him and change,all African leader should stop taking loans from china Africa is rich
@fabiandaud8717
@fabiandaud8717 3 жыл бұрын
Baba tunazidi kukukumbuka tunatamani Tena uludi ndunia uone kinacho endelea baba magufuli
@mabugabm7708
@mabugabm7708 3 жыл бұрын
Maisha yanaenda kasi saana jamani aise, duh...?!!! Watetezi wa jana, leo wamegeuka kuwa watesaji tena...!!!
@hawawezidianakukushusha756
@hawawezidianakukushusha756 8 жыл бұрын
asante baba mungu akuongoze ktk maamuzi yako
@jacksonkagwala9144
@jacksonkagwala9144 8 жыл бұрын
mungu akuongoze uzidi kuwatetea wanyonge
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 3 жыл бұрын
Jpm .😭Tutakukumbuka tumeanza kuona dar
@ashrafmohamed6667
@ashrafmohamed6667 3 жыл бұрын
Kweli tumepata pgo kubwa sana wa tz roho inauma sna pumzka baba 😭😭😭
@salimdossa8437
@salimdossa8437 8 жыл бұрын
ewe mwenyezi mungu baliki mtu huyo ktk uongozi wake.magufuru nakuombea rais wangu kazi yako.unajua mpak mtu masikini kweli wewe ndo rais wetu.
@bigmaneliudy1906
@bigmaneliudy1906 3 жыл бұрын
Baba tuta kukumbuka leo tume ambiwa tuondoke
@paulmasansi1815
@paulmasansi1815 3 жыл бұрын
Rest in the perfect Paradise Hon.JPM
@elisantemrita9894
@elisantemrita9894 3 жыл бұрын
Viongozi wengi waliokulia mjini hawawezi kumuelewa Huyu magu
@sajokainwomenfootball
@sajokainwomenfootball 3 жыл бұрын
Yaan anajidai yuko makini kumbe msaliti mkubwa yaan samia 😭😭😭😭 daaaah
@leonardlameck7486
@leonardlameck7486 22 күн бұрын
Ikiwa na huyo anayewanyanyasa wamachinga leo alikuwepo hapo,kukiuka kauli ya marehemu kuna usalama kweli mbele za Mungu?Pole zake
@philbertmgaza5434
@philbertmgaza5434 3 жыл бұрын
Mjomba tunakukumbuka na ulisema tutakukumbuka siku moja sasa yametimia RIP MJOMBA
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 3 жыл бұрын
Rais yoyote yule mpime kwa yamtokayo mdomoni ( hotuba zisizo za kuandikiwa) maana mdomo huongea ya moyoni na dhamira. Kama matendo hayafanani na yamtokayo basi huyo wa namna yake
@gracegrace6200
@gracegrace6200 3 жыл бұрын
Muone hapa mama Samia kimya kama malaika. Yote ya Magufuli akayabwaga. Watanzania sasa wanateseka. Baba Magufuli tunakukumbuka sana. Huyu mama ni balaa. Hapo alikuwa akitumia tu unafiki mkubwa kawaonyesha Watanzania. KAWADANGANYA WATANZANIA. 2025BAKICHAGULIWA TENA CCM ITAKUWA INWAKOSEA SANA WATANZANIA. SHE IS UNFIT TO GOVERN THIS COUNTRY.
@thomasmwamkinga4018
@thomasmwamkinga4018 3 жыл бұрын
Kweli huyu mama sio leo hii hanatuona takataka
@alfredymakuru8333
@alfredymakuru8333 3 жыл бұрын
Pumzika kwa amen baba...taifa linakukumbuka kwa memaa yako
@robertndebate5462
@robertndebate5462 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭 Ii aito saulika ujumbe umewafikia
@shadrackfidel809
@shadrackfidel809 3 жыл бұрын
Once upon a time, Tanzania ilimpata kiongozi..
@charlesmwamlima3923
@charlesmwamlima3923 3 жыл бұрын
🤔🤔
@jameskereth3968
@jameskereth3968 3 жыл бұрын
Kwa kweli bora mchawi kuliko mnafiki 😒 🚮 huyu mama alikuwa anaitikia nini sasa na saivi anafanya nini 🙆🏻‍♂️ duuh Tz 🇹🇿 tumepigwa 🤣 2025 chama cha democratic hoyeee ✊siezi mpa kichaa rungu 🤐
KIPINDI MAALUM CHA ZIARA YA RAIS DKT MAGUFULI BANDARINI SEPT 26,2016
34:35
Мен атып көрмегенмін ! | Qalam | 5 серия
25:41
Сестра обхитрила!
00:17
Victoria Portfolio
Рет қаралды 958 М.
UFC 310 : Рахмонов VS Мачадо Гэрри
05:00
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 1,2 МЛН
MSTAAFU KIKWETE ASIMULIA WALIVYOGOMEA IKULU KUHAMISHIWA DODOMA.....
13:30
Global TV Online
Рет қаралды 191 М.
Rais Magufuli atinga kanisani kwa Wasabato Magomeni, awapa pesa
12:33
Rais Magufuli agoma kupandisha mishahara, aeleza sababu
16:34
Rais MAGUFULI Alivyowabana TANESCO, Nusura AWATUMBUE!
27:53
Global TV Online
Рет қаралды 306 М.
TOP 10: KAULI za JPM ZILIZOTIKISA, TAZAMA UNIAMBIE IPI ILIKUKOSHA ZAIDI!
11:53
Global TV Online
Рет қаралды 1,5 МЛН
Мен атып көрмегенмін ! | Qalam | 5 серия
25:41