Рет қаралды 649
FELLOWSHIP YA NEW LIFE IN CHRIST NI HUDUMA INAYOKUTANISHA WAPENDWA WALIOOKOKA PAMOJA BILA KUJALI DINI WALA DHEHEBU. TUNAKUTANIKA KILA SIKU YA JUMATANO SAA 11 JIONI KWA AJILI YA MAOMBI NA JUMAPILI KUANZIA SAA 8 MCHANA HADI SAA 11:30 JIONI.
TUNAKUTANA KATIKA UKUMBI WA NEW LIFE IN CHRIST ARUSHA, ULIOPO KIMANDOLU KWA SHABANI, NJIA YA KUELEKEA KUNDAYO, UNAELEKEA UPANDE WA KUSHOTO MARA BAADA YA KUVUKA KIDARAJA NA MBELE KIDOGO UTAONA UKUMBI
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII :
+255 766 388551
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Follow our Instagram: / nlcarusha
Subscribe our KZbin: www.youtube.co...
Facebook: www.facebook.c...