Baba na Mama ninawafuatilia tokea nikiwa mtoto miaka hiyooo semina ilikuwa ikifanyika pale Philips viwanjani Arusha 😭😭😭 nimekumbuka mbali na Leo Nina watoto naomba Mungu awabariki sehemu ya roho ya huduma iliyo ndani yako watoto wangu Gabi Daniel na Gloria nilimpenda Mungu Sana anayehubiriwa katika YESU mpaka sasa nampenda huyu MUNGU amenitoa mbali kama si Yeye nisingefika Leo.
@angelamdee93192 жыл бұрын
Ee Mungu katika Roho Mtakatifu, mafuta mapya juu ya watumishi wako kila iitwapo leo!!!
@nemaodhiambo72742 жыл бұрын
Nimejifunza mengi sana kupitia mana ministry na nilipolitendea neno la Mungu kazi nilipata matokeo mazuri Ijapokuwa nipo nchi ya ugeni Bwana anaonekana napia niko katika subira namgoja Bwana Kwa saburi maana pamoja na mapito magumu ninayopitia sasa ameoniondolea (hasira na haraka) 😀😆 with all circumstances actually people who close to me they wondering that where do I get energy when they see me with a big smile on my face and still on storms because storms don't last forever his grace is sufficient, indeed GOD is good and faithful
@lightnesskweka4774 Жыл бұрын
Wooow this one is gud. Glory be to him. Jesus Christ n our God might God 🙏🙏🙏🙏
@anophrinedesdeus61392 жыл бұрын
Nipo katika lango la msimu mpya na ghafla nimekutana na somo hili. Sifa na Utukufu ni kwa Yesu
@joycemajule28462 жыл бұрын
Mmekuwa Msaada Mkubwa KATIKA maisha yangu ya kiroho na kiutumishi. Masomo yenu yamekuwa majibi ya maswali yangu kwa miaka migni Sana na sasa Mzee na muona mUngu kwenye Utumishi wenu. Amen
@user-hk5qs2ih3q Жыл бұрын
Naomba kuombewa wokovu
@ABSALOMUADREA-dq4gy11 ай бұрын
Utukufu na heshima ni kwa Mungu aliye hai 💪
@raymondroyer74142 жыл бұрын
Ubarikiwe Mungu wetu wa Mbinguni Kwa kutujalia Utumishi wa Watumishi wako Christopher na Diana Mwakasege Kwa Neno la Uzima Amen
@blessedtumaini5162 жыл бұрын
Mungu Baba asante kwa ajili ya watumishi wako hawa Christopher na Diana Mwakasege hakika wamekuwa baraka kwangu na uzao wangu. Mungu Baba wape haja ya mioyo yao nguvu zao zisipungue na macho yao yasipofuke kama Musa. KUMBUKUMBU LA TORATI 34:7
@henrymushi83402 жыл бұрын
Mungu akulinde mwalimu na familia yako na team nzima ya Mana
@dennismourice73592 жыл бұрын
Shalom wajoli wa Bwana. Nawiwa kujifunza juu ya mzaliwa wa kwanza na pia somo la kujitathimini. Naomba kama ikiwezekana yarudishwe
@mchernestnnko98092 жыл бұрын
Mungu ameniponya mengi sana kupitia mtumishi wake
@elizabethliving4021 Жыл бұрын
Amina baba mung akulinde
@julianmwanga74722 жыл бұрын
Amina
@saraheliud3913 Жыл бұрын
Nashukuru sana kwa mafundisho
@dominicgreyson37342 жыл бұрын
aminaa mbarikiwe sanaa na Bwana yesu
@kaylamariani31422 жыл бұрын
Nina mshukuru mungu Sana kwa kutuma mtumishi Kama wewe mungu azidi kuku inuwa zaidi na zaidi
@monicaludovick891 Жыл бұрын
Ameen
@kesiamungututeteeezekiel46032 жыл бұрын
Tunaamin mtatuwekea mwendelezo wa SoMo hili, nimebarikiwa sana
@ApostleMathayonnko2 жыл бұрын
Jamani huyo mwimbaji nimempenda ,dada ubarikiwe Mungu akumwagie mafuta mengine zaidi.
@tresorkulimushi716 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana na Mungu mwalimu
@joycenuhu15662 жыл бұрын
Mungu awabariki sana Nawapenda sana, Mungu naomba unikumbuke najiunganisha na madhabahu hii.
@jessejackson12812 жыл бұрын
Amen Watumishi narikiwa Sana kwa mafunfisho yenye viwango vya kimungu kiroho- nawapenda Sana aswa napoisikiliza sauti ya Mwalimu mwakasege mapata Furaha kutokana na anachokifundisha kimebeba uhai wa kiroho- ndani yangu Thank Jesus
@liliankimambo8231 Жыл бұрын
Amen
@nemaodhiambo72742 жыл бұрын
🤜🏾🤛🏿 Baba na Mama nawapenda Sana katika jina la YESU
@joycemajule28462 жыл бұрын
Shàlom, Mungu Awatunze na KUWALINDA na kila vita toka kwa adui Shetani
@neemamachangemachange88742 жыл бұрын
Amen Amen
@josephinevicent10102 жыл бұрын
Amen.naomba nitembee na yesu
@user-os7np6po8z9 ай бұрын
God is living
@hilgathjoshua88042 жыл бұрын
Ameni Ameni
@celinetenende54482 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe Napenda kumshukuru Mungu kwa kupata nafasi ya kusikiliza neno lake Ila ninaswali wapendwa wa Mungu mm kila ni kiangalia saa huwa nakuta namba za kufanana kila Mara Yani mfano 11:11,10:10,9:9,3:3 12:12 lasivyo sitafanana kima tamshi yaani 11:5,4:10 kwakweli sielewi inamaana gani hii msaada wenu kwa anayejua hiii imekaaje.
@jacksonbiswalo83602 жыл бұрын
Amina Mtumishi wa Mungu.
@upendoeliudi51962 жыл бұрын
Mungu awatunze na kuwabariki sanaa
@upendoeliudi51962 жыл бұрын
Ameeen Mungu awatunze baba na mama
@MagrethMadila9 ай бұрын
Mungu siwez mimi lakini nzkukabizi wewe jambo hili mimi siwezi sayon arudishe haki yangu
@adamsonwedson50812 жыл бұрын
Thanks God for this session
@hossymunuo97732 жыл бұрын
Mungu awabariki sana 🙏🙏🙏
@estherlemburismollel59012 жыл бұрын
Amen mtumishi wa Mungu
@liliandominickrusheke67702 жыл бұрын
wow nabarikiwa sana
@wendyaaron96962 жыл бұрын
Amen amen hallelujah
@joycekabula2 жыл бұрын
Amen, neno la wakati
@AlfaSanga2 жыл бұрын
Sehemu ya pili tafadhali ? Asante kwa ujumbe mzurii.
@shigongorevocatus85742 жыл бұрын
Barikiwa
@bilugwemwanzije Жыл бұрын
Nguvu za mungu ziwashukie !!?
@janembalinga70742 жыл бұрын
Nguvu za mungu upako mpya ktk msimu mpya
@jacklineasseri95082 жыл бұрын
🙏
@mugoremuzia53982 жыл бұрын
🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@nemaodhiambo72742 жыл бұрын
Tulikuwa tunaishi sekei mitaa ya philips 😭😭😭 Mungu awabariki Sana nimezimisi zile Nyakati maana Niko mbali na nyumbani Ila namshukuru Mungu kwa yote
@marrywema78502 жыл бұрын
Halleluyah
@victoriajames61902 жыл бұрын
Mwendelezo please
@ananiasbanda48282 жыл бұрын
🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🙏
@ndembwamponda76742 жыл бұрын
Mbona somo halikumalizika?
@kunsah22 жыл бұрын
Shalom! Somo ni zuri mno, lakini mbona mmelikatisha?
@tumainimutatembwa43432 жыл бұрын
Amina
@micahpaul86322 жыл бұрын
AMINA MTUMISHI WA BWANA WETU YESU CHRISTO BWANA NA AKUTIE NGUVU NA KUZIDI
@estherfrederick6920 Жыл бұрын
Amen
@amanially75712 жыл бұрын
Amina
@lucanziku78362 жыл бұрын
Amen. sifa, heshima na utukufu n kwa Bwana. Ubarikiwe baba