LIVE KUTOKA IRINGA: RC HAPI KAKUTANA NA WANANCHI TENA

  Рет қаралды 147,960

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 93
@lawrenceagoko9165
@lawrenceagoko9165 5 жыл бұрын
Rc Hapi aise njo hapa kenya upambane na hawa mabwenyenye I like the platform where you listen at your people good work keep it up 2025 itakua vyema ukiwania urais
@yusuphnkondokaya6801
@yusuphnkondokaya6801 4 жыл бұрын
Mhe hapi utafika mbali sana ktk nchi hii ya tz m km m naamini hivyo uko vzr sana ktk uongozi
@shadyahamad3724
@shadyahamad3724 2 жыл бұрын
tuwache unafiki Ali happy anafanya kazi nzuri anatetea wanyonge tukipata viongozi km hawa tuta heshimian
@arunajuma2285
@arunajuma2285 5 жыл бұрын
Daah unatenda haki kweli wala huogop mtu safi sana kiongoz
@angellobyemerwa8581
@angellobyemerwa8581 5 жыл бұрын
Kaka begup kazi nzuri unafanya mngu aiuwezeshe akupe maisha marefu
@jessicarasigu2220
@jessicarasigu2220 3 жыл бұрын
Rc Hapi,nakupenda tu Sana kwa kazi unayowafanyia Watanzania,hongera tu Sana kaka,naikiwezekana 2025 tafutakiti cha URAISI,plz plz plz kwani waelewa mashida za wananchi Kama tu JPM
@janethjustin5256
@janethjustin5256 5 жыл бұрын
natamani wakuu Wa mikoa wote wafanye hivi tungeheshimiana wallah tena big up sana👏👏👏
@benadetamwashala62
@benadetamwashala62 5 жыл бұрын
YAAN INCHI MBNA INGNYOOKA
@benadetamwashala62
@benadetamwashala62 5 жыл бұрын
Bnafsi namkbar sana
@braysonchalamila1655
@braysonchalamila1655 5 жыл бұрын
Jamani hii mahakama nimeipenda kuliko kawida. Dakika chaçhe mwelekeo unakuwapo mkubwa
@brendachemtai6214
@brendachemtai6214 4 жыл бұрын
I'm went through all video aki nmependeswa sana kwa kweli unasaidia i wish ungekam KENYA aki utusadie sisi timetapeliwa vitu mingi
@safari5774
@safari5774 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@josephlevi5199
@josephlevi5199 5 жыл бұрын
Rc kutoka nairobi kenya mola akufanisi akuhifadhi,wew kiongozi kweli,
@teddymwageni1763
@teddymwageni1763 5 жыл бұрын
Kwema huko Nairobi,hii ndo Tz mpya
@gabrielagano1027
@gabrielagano1027 4 жыл бұрын
Penda sana Rais wangu wamkoa mungu akusimamie ktk Kazi yako mkuu p1sana
@aishaissa2512
@aishaissa2512 2 жыл бұрын
Hongera hapi mungu azidi kukubarik
@fatmakigula8634
@fatmakigula8634 4 жыл бұрын
Haya ni matunda ya magufuli yan wakuu wamekua wanafuata nyao kwel nimeamni mtot wa nyoka ni nyoka magufuli oyeeeeeeeee
@olivadickson1466
@olivadickson1466 4 жыл бұрын
Sani sijutie bado langu hata sk moja 👌
@danielkimario3378
@danielkimario3378 5 жыл бұрын
Mkuuwakow munguakukujalie
@hamzaurassa1492
@hamzaurassa1492 4 жыл бұрын
Yuko juu huyu jamaa mungu mbariki a Sana
@teddymwageni1763
@teddymwageni1763 5 жыл бұрын
Matumula mdogo wa mpiganaji nini? Hapi rais wa baadaye chapa kazi
@andikimanasebadonavine9490
@andikimanasebadonavine9490 5 жыл бұрын
Tanzania mmeendelea sana na democrasia kweli kweli hata kama bado kuna Yale hamjafanya lakini mumefika mbali
@mussabuhe1832
@mussabuhe1832 5 жыл бұрын
Haposawa mahakamani ruuuswatupu unamaliza kelo basi nakupenda nduyangu
@goodluckmgeni5423
@goodluckmgeni5423 4 жыл бұрын
Dah nimefurah mpaka machoz yamenitoka
@ndigimunaziri3575
@ndigimunaziri3575 4 жыл бұрын
Aca wenye vipaji vya kutawala watawele bwana asante saaana mku wa mukowa
@sydnaomary2328
@sydnaomary2328 2 жыл бұрын
Muheshimiwa hao wamejikopesha mamilioni na sio milioni Tano mchezo huo ni meneja wakili na watu wa ardhi maneno yangu mtayakumbuka
@maulidmkessa4171
@maulidmkessa4171 5 жыл бұрын
Njooo nadodoma Mkuu wamkowa unasaldia wanyonge katika mkowa wako
@paulosigara3513
@paulosigara3513 5 жыл бұрын
God blase you Ali hapi
@jessicarasigu2220
@jessicarasigu2220 3 жыл бұрын
Rc Hapi
@benadetamwashala62
@benadetamwashala62 5 жыл бұрын
Dah mwshmiwa hyu yko vzr SNA
@MagidaFafa
@MagidaFafa 8 ай бұрын
Mama samia ajielewi unatoa jembe kama ili kazini nimeumia sana hapy kusimamishwa kazi viongizi wajinga mnatoa wachapa kazi mnatuletea vilaza ifike 2025 utupishe wemama navilaza vyako
@susananyasani6526
@susananyasani6526 7 ай бұрын
Wakamatwe hapo hapo wawekwe ndani sababu ya udanganyifu na wizi wa udanganyifu
@jastonphilipo8532
@jastonphilipo8532 4 жыл бұрын
Wakuu wa mikoa wengine mko wapi ?
@hopechriss8739
@hopechriss8739 4 жыл бұрын
Wanawake tuwe makin na viben jmn
@ismailyusuph740
@ismailyusuph740 5 жыл бұрын
Yaani Mh’ Hapi ‘ Huyu Afisa wa mipango miji Aliyevaa shati la bahama ‘ simuelewi ‘ Yaani mikutano yote toka umeanza ‘ ukimwita kujibu maswali ANAVOVONGA tu ...Huyu inaelekea VIATU VINAMPWAYA...! ....AMINI NAKWAMBIA...!
@hajijuma4523
@hajijuma4523 5 жыл бұрын
mm namkubar sana uyu mkuu wa mkoa.nipo.raz kumariza.MB.irimrad nimuangarie yeye kwenye mikutano.ya.wananchi apa.rais.kachagua hajakosea.nakukubar sana mkuu.wa mkoa.wa.iringa
@ismailyusuph740
@ismailyusuph740 5 жыл бұрын
#HajiJuma ....Jombaa hilo jembe...!..kawanyoosha kinondoni wamenyooka...! Halafu kingine wengi wasichojua ‘ Huyo jamaa anapiga sana tizi kinyama..!..Hapi yupo fit...!...Usimuone kachomekea ukamchukulia Poa...!
@asteriambwei95
@asteriambwei95 5 жыл бұрын
Bora wakuu wa mkoa wawe mahakimu kuliko mahakani proces ndefu zinatengeneza rushwa haki hamna rushwa kibao. Wakuu wa mikoa kwanini wasijifunze kwa mkuu wa mkoa iringa mhe appy
@albinishirima6981
@albinishirima6981 5 жыл бұрын
Mnakandamiza wanyonge mkombozi kaja mtanyooshwa tu kisicho rizki hakiliki
@tariqmussa8099
@tariqmussa8099 4 жыл бұрын
Dogo hapy unafanya vizuri
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 5 жыл бұрын
Hii Fasheni nzuri sana yaani inatuburudisha
@janeschurmanns7364
@janeschurmanns7364 5 жыл бұрын
Inatuburudisha sana tu
@mbokaandbahatitv8509
@mbokaandbahatitv8509 5 жыл бұрын
Nakupenda bure mheshimiwa Ally Hapi
@juzepha3160
@juzepha3160 2 жыл бұрын
Mara huko anafanya ivo au ndio iliishia iringa?
@sydnaomary2328
@sydnaomary2328 2 жыл бұрын
Nahua wanazitumia mahakama ndio nguzo zao ninalo langu huku Tanga
@davidkatunge2835
@davidkatunge2835 5 жыл бұрын
Mheshimiwa hapana Sheria inawataka Hawa watu walipwe. Mradi inapokuja na masharti siyo kuwadhulumu wananchi masharti mengi huwa yanakuja kwa masharti kuwa serikali ilipe fidia ndipo hela za mradi zitoke kwa hiyo tangazo la wananchi kupisha ilikuwa udhulumaji
@francesedward918
@francesedward918 4 жыл бұрын
Nataman angekua rais wa nchi hii
@fatmakigula8634
@fatmakigula8634 4 жыл бұрын
Nakuunga mkono yani huyu anafaa kuwa raisi na mkuu wa tabora nampenda
@sydnaomary2328
@sydnaomary2328 2 жыл бұрын
Tunaomba Tanga tupate msaada huo , mtu anakila kitu kitachotakiwa na serekali mpaka Kodi ya kiwanja analipa yeye hivi ninayosema nardhi katibu mkuu wa ardhi amethibitisha kua ni Halali LAKINI ktk nyumba anaishi mtu ambaye ardhi wanamtambua tapeli, Chaajabu kwasababu ya pesa mahakama inamlinda hivi nisemavyo,hatari hii.
@nyembogwazibaka8655
@nyembogwazibaka8655 4 жыл бұрын
Sijawai kuona RC km huyu miaka yangu 57
@shadyahamad3724
@shadyahamad3724 2 жыл бұрын
umeona yuko vizur na kazi
@hopechriss8739
@hopechriss8739 4 жыл бұрын
Yani huyu ni bonge la kiongozi
@tinagorges3741
@tinagorges3741 5 жыл бұрын
Walipeni pesazao msiwadhulum .nyie mmesha.kulapesazao walipeni
@furahafedrick8501
@furahafedrick8501 5 жыл бұрын
milad nawe acha kubweteka rekebisha mitambo
@danielodhiambo8282
@danielodhiambo8282 5 жыл бұрын
Hii ndo mahakama halali
@davidkatunge2835
@davidkatunge2835 5 жыл бұрын
Hicho anachoeleza huyo mhandisi Wala haingii akilini kisheria si kweli
@margarethsaramaki1100
@margarethsaramaki1100 5 жыл бұрын
Hawa Tanroad ni watata hatari
@janethjustin5256
@janethjustin5256 5 жыл бұрын
wanapendekezaje eneo la mtu bila kumshirikisha
@الزغويالزغوي-ض3ن
@الزغويالزغوي-ض3ن 4 жыл бұрын
KWA MAANA HIYO TWAJIFUNZA KUA TAARIFA YA SERIKALI TUSIWAHI KUITEKELEZA ILI KUSUBIRI MANUFAA YA UKAIDI AGIZO LA SERIKALI ! MIMI NILIDHANI ALIYE KAIDI AMRI INGEBIDI AADHIBIWE KUMBE BADALA YAKE NI MALIPO!
@allyissa3771
@allyissa3771 5 жыл бұрын
Njoo nakwetu mkuu
@abelsaba4907
@abelsaba4907 5 жыл бұрын
Hii staili itafanya watu waanze kugoma kuvunja
@delsonandrea5223
@delsonandrea5223 5 жыл бұрын
siku hizi ukiambiwa bomoa usibomoe
@fatmarashidi8353
@fatmarashidi8353 5 жыл бұрын
Kwakwer 😁😁😁
@allyissa3771
@allyissa3771 5 жыл бұрын
Kweli bwana
@fatoomfatoom5590
@fatoomfatoom5590 5 жыл бұрын
Unaweza ucbomoe na uclipwe bahati jamani
@jacklinemoshi2405
@jacklinemoshi2405 5 жыл бұрын
Unaitetea serikal
@fahadfahmy
@fahadfahmy 5 жыл бұрын
Mkisikia adhana mlikua mnyamaze kuipa heshima Adhana
@manyaramrema6531
@manyaramrema6531 5 жыл бұрын
Sio kila mtu anaamini kama ww
@fahadfahmy
@fahadfahmy 5 жыл бұрын
@@manyaramrema6531 Isipokua akipita magufuli mnasimama lakini mnapoitwa kwa mfalme wa wafalme mnapiga kelele,au hujui kama Allah ni Mfalme wa wafalme
@manyaramrema6531
@manyaramrema6531 5 жыл бұрын
@@fahadfahmy unafikiri kila mtu ni muislam pimbi ww
@ruhaymahothman7598
@ruhaymahothman7598 5 жыл бұрын
@@manyaramrema6531 acha ujinga unajiumba mwenyew ww dini gn usiomuogopa mungu shetan wa mguu mmoja
@manyaramrema6531
@manyaramrema6531 5 жыл бұрын
@@ruhaymahothman7598 sio kila dini inaamini hizo kelele zenu za mchana
Usiku wa Kuamkia Leo RC Hapi amuweka Ndani Diwani CHADEMA, KISA?
25:35
''PENGO'' AKIONA CHA MOTO, ''LETA HIYO BARUA HAPA''
24:49
Millard Ayo
Рет қаралды 100 М.
the balloon deflated while it was flying #tiktok
00:19
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 32 МЛН
I tricked MrBeast into giving me his channel
00:58
Jesser
Рет қаралды 20 МЛН
MENGI KIBARABARA AZUA NOMA IRINGA/ MWANAMKE ANA WANAUME WATATU
12:29
RC HAPI 'amtumbua' Daktari Hadharani "una matatizo nilishakwambia"
22:48
Global TV Online
Рет қаралды 733 М.
LIVE: RC HAPI AAGIZA MENEJA WA BENKI AKAMATWE NA KUHOJIWA
9:47
Millard Ayo
Рет қаралды 794 М.
MAMA BILA UWOGA ATOA KARATASI MBELE RC HAPI ''WATU HOI''
11:10
Millard Ayo
Рет қаралды 140 М.