No video

🔴

  Рет қаралды 69,240

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

🔴#Live: MCHUNGAJI HANANJA Afunguka MAZITO, DIAMOND Kuchukua NYOTA ya MARIOO | HOTPOT..
Karibu kutazama kipindi cha HOTPOT upate umbea wa motomoto, na leo tumepiga stori na mchungaji Hananja ambaye ameeleza kuhusu mambo mengi yanayoendelea Duniani.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Пікірлер: 82
@janechacky3810
@janechacky3810 2 жыл бұрын
baba mchungaji nakusikiliza na kukuelewa kutoka Manchester UK. Mwenyezi Mungu abariki kazi ya mikono yako
@johngachina3030
@johngachina3030 7 ай бұрын
Helloo
@zuweinaally2413
@zuweinaally2413 2 жыл бұрын
MCHUNGAJI POWA NAMKUBALI SANA NA USANII PIA KAHETIMU..NAMFANANISHA NA SHEIKH KIPOOZEO VERY STRAIGHT AND WELL SPOKEN
@mvugwamanajeem5109
@mvugwamanajeem5109 2 жыл бұрын
Haswaaaaaaaa
@nasambulilian380
@nasambulilian380 Жыл бұрын
Ina pendeza sana ❤❤Amen 🙏🙏🇸🇦🇸🇦
@levinachuwa7622
@levinachuwa7622 8 ай бұрын
Mchungaji Hananja unatisha 😆 Mwenyezi Mungu akubariki daima . Umekuwa msaada mkubwa kwa jamii. Àsante kwa mafundisho ya Neno la Mungu na tafakari. Binafsi nakuombea maisha marefu kwa UTUKUFU wa Mungu❤❤
@jamil1547
@jamil1547 2 жыл бұрын
😅😅😅 Asante sana mimi ni muislam lakini nampenda sana huyu mchungaji
@kachabisnea8815
@kachabisnea8815 Жыл бұрын
Usipende ktangaza udini kumbuka hizi dini zote ni za kuletwa
@dayana5513story
@dayana5513story 2 жыл бұрын
Mchungaji nimekuelewa sana yan mungu kakubari akiri
@hadija846
@hadija846 2 жыл бұрын
Nakukubari sana baba pamoja sana wakati wote🙏😍
@charlesatanaschishsyela2563
@charlesatanaschishsyela2563 2 жыл бұрын
Nashukuru Sana global na mchungaji
@user-sk9qr8jk7b
@user-sk9qr8jk7b 7 күн бұрын
Mchungaji daah ww noma simu ya mafungu ngani hiyo😂😂😂😂😂
@richardnawety707
@richardnawety707 Жыл бұрын
Amen 🙏 barikiwa Mchungaji
@Fauqdaq
@Fauqdaq 7 ай бұрын
Genius pastor ♥️ 💯
@swalehesaad1143
@swalehesaad1143 2 жыл бұрын
Nilichokigundua hapa huyu mchungaji ana uelewa mkubwa Sana na anajalibu kuwaelewesha hawa watangazaji Ila hawa watangazaji wapo na chuki na diamond na wcb ndio maana mada ya uchawi wa kwa mondi wakati hawana ushahidi wowote wao lengo lao mchungaji awasapoti wapate trend Ila mchungaji kashawaelewa na amewakwepa kwa akili na kuwapa elimu.
@user-uv5jf6he8r
@user-uv5jf6he8r 8 ай бұрын
Baba nakupenda saana Kwa taarifa zako
@user-yp6om3lg3g
@user-yp6om3lg3g 7 ай бұрын
Huyo mzee noma kweli kweli
@allykashindi3367
@allykashindi3367 8 ай бұрын
mungu awe pamoja naye amuweke miaka 10000 duniani.
@nyzerjnl7960
@nyzerjnl7960 2 жыл бұрын
KUNA WENGNE WAALIMU, MAKUHANI NA WAZEE WA KANISA NAMKUBALI SANA PASTOR HANANJA
@kellycconrard4185
@kellycconrard4185 2 жыл бұрын
Nakupenda sana mchungaji hananji
@devievicent2735
@devievicent2735 2 жыл бұрын
Father unaakili sanaaaaa
@chiefndatu1895
@chiefndatu1895 2 жыл бұрын
Safi sana paster,, uchawi ni ujinga tu!!
@mejamiela7436
@mejamiela7436 2 жыл бұрын
Huyu mchungaji noma sana
@RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny
@RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny 8 ай бұрын
Amen ❤❤❤
@soloartist_ivanvespalusind1609
@soloartist_ivanvespalusind1609 Жыл бұрын
Mbona raha, kumsiliza huyu Mchungaji ni raha na kuna point za kuondoka nazo. Mungu abariki kinywa Chako kizidi katika kunena hekima ya Mungu
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 2 жыл бұрын
Mtangazaji bwana
@anastaziashilole2436
@anastaziashilole2436 2 жыл бұрын
Amen
@aminakawawa5800
@aminakawawa5800 2 жыл бұрын
Nimewamiss jamani nawapenda sana
@tanunewstz
@tanunewstz 2 жыл бұрын
Ni sawa
@Fauqdaq
@Fauqdaq 7 ай бұрын
♥️
@magdalenamynusic5831
@magdalenamynusic5831 8 ай бұрын
Huyuu mchungaji ana hekima na unyenyekevu wa juu. Biblia anaijua hii ni zawadi kubwa sana
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 7 ай бұрын
Sauti Sauti Omoni Zake Mnazijua
@mashoo6781
@mashoo6781 2 жыл бұрын
Huyu jamaa anabahati kuwa hapo kituon sauti haiendan kabisa anaongea kama dem
@magdalenamynusic5831
@magdalenamynusic5831 8 ай бұрын
Sasa nyie waandishi mmekosa weredi. Mchungaji kawakomoa mnamuuliza umbea. Huyo anaakili
@murtalla2826
@murtalla2826 2 жыл бұрын
Mchungaji anasemahuyu 😁😁😁 lakin yoote yanaingia akilini masha Allah
@OnlyRuky
@OnlyRuky 2 жыл бұрын
Kila ck najifunza Walahi huyu mchunguji nimemjua wakati sahihi Allah amuweke
@nicksamkivvy749
@nicksamkivvy749 2 жыл бұрын
Genius
@alexkwekatz9176
@alexkwekatz9176 2 жыл бұрын
Naomba mrudie hiyo no please
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Mtangazaji kiswahili chako cha kichaga
@KipsoiwetBillionaire
@KipsoiwetBillionaire 7 ай бұрын
Huyo kaka mtangazaji, anaongea kama mkenya sana. Jamani turudishieni mkenya wetu😂😂😂.
@emmanulvictory507
@emmanulvictory507 6 ай бұрын
Mchaga uyo
@PidfourYoungTz
@PidfourYoungTz 2 жыл бұрын
Kiiila siku diamond wasafi diamond wasafi hakunaga swaga tz
@denissylvester542
@denissylvester542 2 жыл бұрын
Kwenye maombi nimemkubari Sana mchungaji
@denissylvester542
@denissylvester542 2 жыл бұрын
Ila huyu mchungaji kichwa sana maana anavyotaja mistari ya Bibria utafikiri anasoma
@nawandafamito500
@nawandafamito500 2 жыл бұрын
@@denissylvester542 💯 % uliwai kusafiri, basi moja na, watu wa maombi yaliwai kukuvurugia safari, yani sio bure na mimi pia maomba, kwa jina LA, YESU FAYER yesu moto FAYER yesu choma hao 🔥🔥🔥🔥🔥
@sacg9783
@sacg9783 2 жыл бұрын
Mchungaji yupo vizuri
@elishaenock968
@elishaenock968 2 жыл бұрын
Mchungaji nabalikiwa sana nikiskia maubili yako
@Given-Norman
@Given-Norman 2 жыл бұрын
Kwa habari ya nyimbo sikubaliani nae, huwezi kuchanganya nyimbo za dunia na nyimbo ya Injili
@muhasatv9245
@muhasatv9245 Жыл бұрын
Album mpya imetoka ya shetani
@elizabethnyirato9856
@elizabethnyirato9856 2 жыл бұрын
Huwezi kuwafahamu Hawa mpaka uwe deep kwenye baadhi ya mambo anatekeleza mission
@oscarmario466
@oscarmario466 2 жыл бұрын
Mission gani tumegee kidogo
@ufahamueliyamanga5615
@ufahamueliyamanga5615 2 жыл бұрын
Mchungaji yuko powa Sweden
@sospitajacksonmariserkamo2471
@sospitajacksonmariserkamo2471 Жыл бұрын
una tutia moyo sana swari kwako ukiandamwa na viongozi kwajiri ya nafazi zako
@thatkidluffy6390
@thatkidluffy6390 2 жыл бұрын
Leo mumewezwa dija baby upo wapi leo
@julesngama2508
@julesngama2508 2 жыл бұрын
Yesu ana rudi kwa kweli. Wokovu amuna kabisa kwa inchi iyi ya Tanzania. Wako kimwili sana. Daniel 12:1-4
@patyflaviank5199
@patyflaviank5199 3 ай бұрын
Jamani tuna omba tena mafundisho yake huyu mchungaji.
@monicamwanjisi693
@monicamwanjisi693 2 жыл бұрын
We kijana unauliza maswali ya aina Gani,unaulizaje watu wanapenda kufanya Nini kanisani?kwani wasichana warembo hawapaswi kwenda kanisani?
@swalehesaad1143
@swalehesaad1143 2 жыл бұрын
Huyu jamaa simuelewi ana sauti ndogo na mashauzi.
@personpeter2221
@personpeter2221 2 жыл бұрын
Asa sautiyake ndogo wewe inakhusunn acha ushamba
@emmanuelmalale5418
@emmanuelmalale5418 Жыл бұрын
Kamwelewe babako
@selegioelias9076
@selegioelias9076 2 жыл бұрын
Huyu mkaka mbona analembesha sauti ki mama
@brianlucas3167
@brianlucas3167 2 жыл бұрын
Anazingua sana
@brunoyusuph8469
@brunoyusuph8469 2 жыл бұрын
Shoga huo
@kellycconrard4185
@kellycconrard4185 2 жыл бұрын
Watangazaj mmezidiwa na mchungaji
@gwakisamwakambulwe2491
@gwakisamwakambulwe2491 2 жыл бұрын
Uyu mtangazaji wa kiume ana gene za kike.........normal gentleman hayupo ivo
@solangedhesi7813
@solangedhesi7813 Жыл бұрын
Nataka zile mafuta ya nyele nitazipata kivip
@hamisikibwana6642
@hamisikibwana6642 2 жыл бұрын
MCHUNGAJI WEWE NI NOMA
@daudkhatib4678
@daudkhatib4678 2 жыл бұрын
Duhhh. Nikweli. Pasto. Sisi. Wote. Ni. Raia. Wa. Nchii. Mbilii
@karistojoseph4440
@karistojoseph4440 Жыл бұрын
Nimemkubali mchungaji hananja nitamtafuta
@hashimmlawizi7339
@hashimmlawizi7339 2 жыл бұрын
Uyo mwimbaji anaitwa jen misso
@sacg9783
@sacg9783 2 жыл бұрын
Ww mdada jamanii,hamonaize hajatembea na Paula mbona ww upo ivyo
@karimchindema9823
@karimchindema9823 2 жыл бұрын
Maswali yake hata hayaeleweki
@seifhassan7652
@seifhassan7652 2 жыл бұрын
namkubali sana huyu mtu mzima anaejibu maswali
@milliardere9177
@milliardere9177 Жыл бұрын
Diamond kasha zima
@devievicent2735
@devievicent2735 2 жыл бұрын
Mchungaji ungekuwa mganga was kienyeji wewe watu wasingekauka mana unajua kutabana atari
@paskalimallya5294
@paskalimallya5294 2 жыл бұрын
Uyo mymtangazan sjampenda
@nawandafamito500
@nawandafamito500 2 жыл бұрын
Wapi wengi pale studio wake kwa, waume na, unasema huyo unamaanisha ni mtu mmoja, Nani Kati yao na, kwasababu gani?, Kakukosea nini?, Punguza chuki itakutesa sana, maana hata kukujua hakujui, wewe ndo unamuangalia utateseka sana, nakupa ushauri wangu wa bureeeee, badilisha, CHANEL
@magdalenamynusic5831
@magdalenamynusic5831 8 ай бұрын
Nyie watangazi acheni hizo. Sasa diomond na hawasanii mnataka mchungaji awajibgu Nini mmebuginsana
@aminakawawa5800
@aminakawawa5800 2 жыл бұрын
Mchungaji tishaaa hahaha 😆 😂
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@user-go6qe1xu1v
@user-go6qe1xu1v 8 ай бұрын
Mch. Hananja awavunja watu mbavu ibadani, UDSM CCT CHAPLAINCY.
42:54
UDSM CCT MEDIA
Рет қаралды 1,9 МЛН
Yum 😋 cotton candy 🍭
00:18
Nadir Show
Рет қаралды 7 МЛН
Пройди игру и получи 5 чупа-чупсов (2024)
00:49
Екатерина Ковалева
Рет қаралды 3,8 МЛН
Мы сделали гигантские сухарики!  #большаяеда
00:44
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 18 МЛН
WANAWAKE SIKU HIZI KAMA GARI LA MKAA / YESU HATUJUI
36:45
Mjini FM
Рет қаралды 38 М.
THAMANI YA MWANAUME IKO KWENYE MAENEO HAYA HAPA  MCH HANANJA
30:47
#MarriageRealLifeTalk | Rinazon Ministry
Рет қаралды 250 М.
UTOTO UTUMWA, UJANA MASWALI, UZEE MASWALI
46:42
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 256 М.
Yum 😋 cotton candy 🍭
00:18
Nadir Show
Рет қаралды 7 МЛН