Nchi moja yenye katiba mbili? Zanzibsr ni nchi-hujasoisoma? Af unaleta za kuleta?
@hadjihadji1974 ай бұрын
Sio rahisi kuwakanyagia "Nguru wao CCM" wakati ndio wafaidika wa Katiba Mbovu iliopo hivi sasa.
@possianokigwinya99884 ай бұрын
Katiba ni tatizo kwa watawala hatuwezi kuipata Leo Wala kesho Kama warioba amezunguka nchi nzima kwa kutumwa na watawala huku wakijua watu wanawapenda walipoona maoni ya watu kuwa wamechokwa walijilaumu Sana kumtuma warioba hadi Wanakosa aibu wanamzingishia mzee wa watu eti ni mawazo yake.
@MwatijaFikoti4 ай бұрын
Ujobhile mwana gwa Ally.
@kakawataifa67524 ай бұрын
Mimi napendekeza tuwe na muhimili wa nne ambao itahusiha viongozi wa Dini maana ukweli ni kwamba ndio wako na watu
@lucaskatoga68964 ай бұрын
Katiba imetakiwa miaka zaidi ya miaka 30 mpaka leo TUNAJIDANGANYA
@FurahaJeremiah-kd5ht4 ай бұрын
Tanganyika sets kuliongoza taifa.raisi ashitakiwe mikataba yote iende bungeni mawazili waendane na taaluma zao
@rasnchimbi4 ай бұрын
HII MIJADALA KILA SIKU YALEYALE HAKUNAGA HATUA ZOZOTE ZINAZOENDELEA KIVITENDO👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
@gidongailo71744 ай бұрын
Mchakato wa kudai Katiba mpya ni UPUUZI. Kinachotakiwa kudaiwa hapa ni TANGANYIKA, sio Katiba
@namsifubwana21524 ай бұрын
Katiba mpya mtusaidie nyie. Hao watawala ndo wanapindishapindisha mambo ili tusipate katiba mpya