Wewee binti kama kweli unachokisema ndicho Mungu yupo, ila kama ulitumwa na watu Ili kumharibia mwanadamu mwenzio maisha yake pia Mungu yupo, Mimi mwenzenu siyo polisi,lakini bado najiuliza haya yote yaliyokuwa yakifanyika humo kwenye gari ni kusema alishindwa kupiga mayowe? Alishindwa kufanya vurugu ambazo zingeweza kuwa msaada kwake mpaka anaingiliwa nyuma ivi ni kweli huyu binti pamoja na usomi wake wote? Maana kwa Maelezo yake hapa sioni kama huyo bwana Kuna mahali alitumia nguvu au kutishia labda kwa bastola, naona kama vile humo kwenye gari kulikuwa na mazungumzo ya makubaliano flani hivi, maana kwa haya Maelezo mmmmh, labda aseme kuwa huyo hawana alishindwa kumtimizia alichotaka huyu binti ndo maana huyu binti akamgeuka, maana kama huyu binti aliingiliwa kwa nguvu tena mahali pa wazi kabisa kama hapo anapoelezea, jamani sote sisi siyo wajinga kiasi hicho, binafsi siamini kama mkuu wa mkoa mzima na elimu yake aende mahali pa wazi kama pale afanyie uchafu huo hapo wakati Kuna mahoteli kibao, any way sisi tutasema na wenye mamlamka ya kutafsiri Sheria wapo, ila weee dada Kumbuka Mungu na muda ipo siku vitaamua
@charlealex469710 сағат бұрын
Kwenye maisha ukishapewa dhamna, linda maana ni asset,yaani mali!, wadhifa wako usipende wala kurubuni wasichonacho, shamless iissue!.
@johnshauri313010 сағат бұрын
Ameodolewa Kwa sababu gani mbona huelezi?
@mlimawamajibutv11 сағат бұрын
Ukimsikia huyu binti, ukweli wote utagundua kuwa amepangwa na hakuna chochote hapo,ona anavyotafuta umaarufu hakuna hayo mambo,mkuu wa mkoa akuingilie kinyume na maumbile kwa kutumia nguvu Kisha kwenye Gali? amini hilo haiwezekani wewe muongo mkubwa sana,mnafiki sana wewe,haya umeshahalibu maisha na kazi ya mtu,haya frahi mjinga mkubwa wewe unaona ulipewa pesa mkafanya kila kitu usiku huohuo kwa ajiri ya kumharibia mtu.
@MasterOil-qm6vw12 сағат бұрын
kama?swala la kulipa kodi ni swala la kizalendo Na swala la kula kodi za wananchi ni swala la nn?
@MasterOil-qm6vw12 сағат бұрын
Kwa ujinga huu wa kuziuza hizi mashine ndio maana watu wengi hawana mtu bora apige chenga mpaka mtaji wake utakapo kua ndio aitafute
@MasterOil-qm6vw12 сағат бұрын
Akili mbovu kweli yaani mtu anaanza na mtaji wa milioni halafu kwenye hiyo milioni atoe laki 6 anunue mashine abaki na mtaji wa laki 4 siujinga huo
@MasterOil-qm6vw12 сағат бұрын
TRA ina wapigaji wengi sana mashine hizi yatakiwa wafanyabiashara wagaiwe bure kwa sababu ni ya kukusanyia pesa za serikali kwa nn tununue tuuziwe
Hizi mashine ni kwaajili ya kuikusanyia serikali pesa sasa kwa nn mnaziuza tena kwa bei ya ghali laki 6 mumeweka vishoka wa kuziuza hizo mashine wakati mngezigaa bure kwa kila mwenue kibiashara hata biashara ndogo mnakosa mapato kwaajili ya kuwapa vishoka watuuzie mashine ndio maana watu wengi hawana mashine
@masumbukosiyougomvi790013 сағат бұрын
Kumbe wagonjwa wameongezeka, wenye hekima wamenyamaza
@MakoyePaul-ht3co13 сағат бұрын
Vipi maraya irizama yoteyote kabisa
@sulwajackson690613 сағат бұрын
We mjinga kabsa
@MakoyePaul-ht3co13 сағат бұрын
Mhuu ngonja niangarie mkeka wangu kwanza tuachane na huyu maraya
@MakoyePaul-ht3co13 сағат бұрын
Fukuza shure hilo risenge
@MakoyePaul-ht3co14 сағат бұрын
Inamaana wanashirikiana na mama yake mzazi kuliwa nyuma iri wapate hera
@MakoyePaul-ht3co14 сағат бұрын
Maraya mkubwa wewe
@nicholaslikombe490014 сағат бұрын
Lijamaa litashinda kesi. ....
@philipowyinjones964515 сағат бұрын
Malaya Sungu kbisa huyu Maelezo hayaelewek
@user-gw8wv2zf2g15 сағат бұрын
Tuanzie kesi ipi ya wewe kuiba mke wa mtu au wewe uliyelawitiwa
@missarepafra397316 сағат бұрын
Haki ITENDEKE
@veraisaria19 сағат бұрын
Akili kubwa sana hii
@kalebphilip342620 сағат бұрын
Hii ndo Tanzania na Hawa ndo wanafunz taifa la kesho,
@AshanaomyMwakimwagile21 сағат бұрын
seriously!! na unasema kabisa nimekuwa na mahusiano naye... Kuwa na mahusiano na mwanaume wa mtu! je hili si kosa kisheria!? ungeepuka mengi kwa kuwa mbali na mwanaume wa mtu.. USHAURI WANGU tulia, soma. hata kama utakuwa kwenye mahusiano, usijihusishe na WANAUME ZA WATU.
@bullekisimikwe385221 сағат бұрын
Pamoja na maelezo yako yoote wewe binti unauthibitishia ulimwengu kuwa wewe ni malaya uliyekubuhu. Kwa nini ulianzisha mahusiano na baba mtu mzima!? Je, unadhani wazazi wako wanajisikiaje kwa kinachoendelea dhidi yako!? Je, unadhani baada ya yote haya kupita hatima yako itakuwa nini!? Hata mahakama husikiliza kwa siri mashauri kama haya kwa ajili ya kutunza faragha yako na sio mtandaoni kama unavyofanya
@faridhassan230821 сағат бұрын
Kwa sisi wenye vyeti vya criminal investigation maelezo tu jinsi unavyojikanyaga unaonekana wazi kuwa wewe ni malaya tena huo mchezo ni wakwako na umekubuhu umeota makwaru umalaya tu yaani ulichokifanya kuna watu nyuma kisiasa wamekutuma lakini Mwenyezi Mungu atatoa haki kama kweli Mungu atalisimamia upate haki yako na kama uongo na umeamua kumzushia basi Mungu atakufedhehesha na kukudhalilisha sana huku ukijua hasa sababu ya fedheha hizo ni uongo wako Mwenyezi Mungu na wewe muhusika ndio mnaojua ukweli.
@DiwaniMwafongo21 сағат бұрын
Wewe ni mwamba kaka... Kama maCCM yamepeleka Hela kumng'oa yule mchungaji shoga wa kihehe, ahamie CCM, serikali hiyo itashindwa kukinunua ,nisamehe kwa kuuita, " kikoba" Cha wanasheria?
@hamiskimaraonga689922 сағат бұрын
Huyu anashida kichwani, kwanza anakiri kuwa alikuwa na mahusiano nayo, which is wrong kimàadili, pili kama alifanyiwa hivyo, kwanini asipige kelele ili apate msaàda pale kwenye tukio. Tatu, kama alikuwa hakulisni nalo kwanini alikubali kwenda kwa be mtu ambaye amemuambia atamfanyia kitu kibaya. 4. Ili jamii imuamini kuwa anachukia, na sio kuna sababu nyingine, kwanini asingetoa tàarifa kabla kwakuwa tayari ulishaambiwa juu kusudio baya.😊
@chrismassawe293922 сағат бұрын
Mungu akutetee maana unaweza kupotezwa pia wenye nguvu ni hatari kabisa hii ni vita mbaya katika maisha yako..
@wisemaliva537622 сағат бұрын
Nilisikia huyu binti nikawaida yake kuwapa kesi watu pindi wanaposhindwa kumpa ujira wake .
@mosesmabula584023 сағат бұрын
Kwahiyo alikuwa kwenye gari au
@mosesmabula584023 сағат бұрын
Nyie watu huyo binti amezoa kuliwa tigo sema alipewa kidogo
@mosesmabula584023 сағат бұрын
Huyo Binti ni Muongo sana amepangwa, kumbe alikuwa mpenzi wake, hiyo haingii akiriini kabisaaa, yeye angesema wivu wa kuachwa.
@JosefuSwaiКүн бұрын
Toa ya moyoni upone binti uko vizuri kama mzungu kutete utu wako waziwazi usiogope utawaokoa wengi na uyo mfiraji
@JosefuSwaiКүн бұрын
Polisi wasingiliwe na mamlaka yoyote wafanye kazi zao kwa mujibu washeria na kanuni na sio maelekezo ya awaye yeyote
@JosefuSwaiКүн бұрын
Ata kama alikua mpenzi wake siyo sawa kuingia mlango wa nyuma haikubaliki iko wazi unakuwaje na kiongozi wa aina hii mbaya
@bukurunestory3540Күн бұрын
Moshi wako vizuri sana
@alexpangani1944Күн бұрын
Pole sana we binti, hali yako itatendeka
@zitongwang6278Күн бұрын
Kumbe walikuwa NI WAPENZI, mkuu aachiwe huru , hivi kweli mwanaume anawezaje akamla mtu topeni Kwa nguvu ???
@b1vevoКүн бұрын
She is liar, trust me. I have experience on speech of people.
@josephntungwaКүн бұрын
Mmmmmh hi kali kumbe mzoefu pole kwa hilo lakin japo akili yako ni sawa na mwingine ila poa. CCTV Camera haioneshi kwa ndani ulivyofanyiwa au umeonekana unatoka kwa gari police mcheki mzuri
@majigeelieza5180Күн бұрын
😂😂😂uyu demu hata anavyoelezea ni muongo kabisa amna kesi apoo
@ericfelician7996Күн бұрын
Mtoto msenge kweli ,yani huwezi shinda hii kesi,wewe ni malaya tuu,ulienda shule kufanyaje na huwezi shinda
@ericfelician7996Күн бұрын
Aisee huyu dogo boya sana ,afu no malaya mzoefu
@shambogokitundu754Күн бұрын
Wakili msomi ,Unatosha...! Hatutaki mihemko kwenye chama chetu, tunataka watu makini kama wewe.
@rashidkipingu7358Күн бұрын
Mchongo huu kuharibu Brand za watu
@SirajiAbdalahКүн бұрын
Muongo tu
@AmanziyasiniAmanziКүн бұрын
Pole sana mkuu kuwa makini huyo binti katangulizwa kuna maadui zako nyuma yake kuna kitu kimejificha.
@user-id1gu7pr3tКүн бұрын
Ujinga
@user-jj7qv7kh2sКүн бұрын
Hapo Tls tunamtaka Boniface mwabukusi ndio anaweza kutuvusha hapa tulipo.