Magufuli Yuko live tena !!!!Tanzania kama naiona vile 👏👏👏👏👏👏
@laylayl51668 ай бұрын
Kabisaa wallahi furaha telee
@laylayl51668 ай бұрын
Mama samiha kwahili la makonda nakupongeza sana badoo kuna jembee lingine mama umliacha abdu Ally happy lile nijembee nikiongozi shupavu sana yule ni fitnatu za watu wamemfanyia lakini yule kasimama kwenye haki
@sharifuburuhani19699 ай бұрын
Huyu ndiye angalau anafaa na kufikia viwango vya kuwa Rais
@user-uy1qu5oo7y8 ай бұрын
Nimekukubali makonda piga kazi ccm tunaweza
@user-ry3ez2qd1e8 ай бұрын
Hongela sana poo
@MichaelMachemba-sw1xn9 ай бұрын
Mungu Akusaidie Sana Mtumishi Uzidi Kuwatetea wanyonge
@josephnyirenda-tl4of8 ай бұрын
Nilikuwa,sipendi,ccm,baba,umerudi,kula,yangu,ccm
@laylayl51668 ай бұрын
Kwakweli nahisi furaha makonda mungu akutangulie hapo maadui zako macho kodoooo
@neemamwasomola86638 ай бұрын
Tunateseka sana kuhusu umeme tusaidie Makonda mama anahuruma zimezidi Tanzania bila ukali haiendi
@yuenwilington8358 ай бұрын
Ongezewa nguvu ya bashiru na polepole.chama cha samia kitabaki salama yaan ccm.chama cha mapinduzi.
@VeruliMartini7 ай бұрын
Kaz njema makonda
@Hadija-kk3fd8 ай бұрын
Sawa baba uwe laisi ujayo
@laylayl51668 ай бұрын
Kwakweli dhulma ya ardhi imekuwa ni kubwa mnoo
@JofJoh8 ай бұрын
Mama hongera Kwa kumchagua makonda kuwa mwenezi wa chama nikuombe mama hata sisi waenezi binafic yupo usitusahau
@neemanziku54038 ай бұрын
Safi makonda Mungu akujalie pia miaka ijayo uwe Rais kwa jina la yesu
@maswamills31618 ай бұрын
Anaweza Sana na akikutana na Majaliwa nchi itanyooka.
@user-id9bj7qm6e6 ай бұрын
Unanikimbusha jamani Mangufulo
@StevenLindi8 ай бұрын
Raisi gani tuliepewana mungu ? Magifuli pekee wengine wauwajitu
@user-zd3ds6vt7u8 ай бұрын
Makonda ,sabaya,hayo nimajembe yampendwa wetu mheshimiwa sana jpm,huyo ndiye rais .tuliyopewa namungu nasivinginevyo jpm mpaka sasa tunae mioyoni mwetu unayoyafanya unatukumbusha mbali hadichozilanitoka mungu baba mlaze pema kipenzichawa tz amina
@user-zx3he3lp3o8 ай бұрын
Hi bwana katibu muenezu tatizo la umeme nisugu nchi nzima hali yawananchi I.ekuwa duni sana mfanoajira zimekuwa ngumu sana kwa maisha kw ujumla
@maryhaule56258 ай бұрын
Chapa KAZI Makonda
@OmaryHaroun-zq8vl8 ай бұрын
Hongera makonda ❤
@user-qv6xu1mi3e7 ай бұрын
Huyu jamaa alipita mwanza igoma akadai upanuzi WA barabara utaanza 20,12,2023 mpàka Sasa hakuna kinachoendelea ni maigizo tup
@mussaelisha37339 ай бұрын
Sasa mh ichi Zima hutaweza wewe mtu moja pole sana
@user-gi6xv2kt8o8 ай бұрын
Makonda unapiga kazi ushariri tu mama aongeze ukali na utumbuaji wazembe wengi huku mtaani wasije wakakukwamisha 2025
@user-mj5cb4gu9q6 ай бұрын
Nakuomba uwende Tanga wilaya ya lushoto tarafa ya mlola Kata ya makanya kunawajene wazulumia nawatu halafu silekari bado haija watetea wajane wale kwahiyo nakuomba ufanye ziara huko
@user-ig4in5ut9k8 ай бұрын
Sikta zone.zimeoza.kaza buti
@user-wl8zj8ub7x7 ай бұрын
Kwani makonda masasi haufiki maana chama kinazaraulika 4:00
@MSOMBAAlon-gh3ps9 ай бұрын
Safii sana makonda Mungu akulinde sana CCM wachafu wengi sana wamejificha ndani ya CCM Ili wasifuatiliwe . Rais Mimi nakupongeza sana kumteua makonda . Ww upo vizuri sana ila machawa wako asilimia 97%.99 wamo hump ni kero sana tunaomba namba zako na huyo makonda ziwekwe wazi tuwe tuna kutumia sms sio wakurugenzi wakuu wa wilaya na WA mikoa hao ni wanafiki sana utaona Tz itakavyo kuwa vizuri nakuomba chukua ushauri huu japo Mimi ni mnyonge nisiyeweza hata kusikika. Mpe meno huyo makonda Wala usimsikilize mtu . Chama kitakuwa vizuri sana. Si mda mrefu utaona watakavyoanza kumchukia makonda hao watu wako wa karibu. Wanafiki sana hao mkuu .Mungu ibariki Tz Mungu mbariki Rais wetu . Umpe hekima na Neema yakutosha mwondolee mabaya yote
@gracelukumaybarikiwasanara71146 ай бұрын
Jamani umeme umekua kero hta mashine hazifany kazi na watu walikopa ela sasa kwa hali hii mkopo tutalipa na nini?
@greetysiame-vr7yg8 ай бұрын
Baraa mama take mimi muwe mnajihariri kabla ya kuuandikia umma
@JohnJohn-lr1nt7 ай бұрын
Emmanuel
@user-ms2cc4fd8e8 ай бұрын
Sasa hivi ccm kumenoga
@JeremiahMwalukosya-eh5nf8 ай бұрын
Sipendi CCM Kwa uovu wake Kwa watz lkn namwona makonda yupo kukitakasa chama Cha kishetani
@user-uy9oc7wn5o7 ай бұрын
100,000
@carinaomari218 ай бұрын
Safi sana kiongoz mchapakazi mtetezi wawanyonge
@JohnKesenda-pg5qz8 ай бұрын
Ccm kaiyanzish myerere kwa sas imezeika
@petermposa62888 ай бұрын
Bashite kama bashite. Sasa hizo kazi za katibu mkuu wa chama unazifanya ww na umegeuza😂cheo cha uenezi kama kiongozi mkuu wa chama au serikali😊
@MbwamboMbwambo-qy4yh8 ай бұрын
Nchi INA watu wenye uwezo mdoogo sana wa kupambanua mambo ya villaza mia kabisa, matazo yoote huyo makonda ni sehemu ya hayo matatizo na ccm yake, sasa anaongea utadhani yeye sio ccm alafu anaisifia ccm, pumba tupu hivyo kabisa,
@msafiriomary8938 ай бұрын
Hakuna kitu kinacho tukera wanainchi kwa sasa kama kukata kata umeme hovyo
@BoniphaceTito8 ай бұрын
Mimi Kwa namna hii ninaanza kuikubali CCM rais sasa amefanya uteuzi sahihi
@user-ny8ly2tr2s8 ай бұрын
Nakwelewa chifu
@JohnKesenda-pg5qz8 ай бұрын
Siamini kama huy anaweza kuvaa viatu vya jpm
@AdrianRichard-mu9jh9 ай бұрын
Good!
@user-xm2cv5uu8l9 ай бұрын
Mh komboa wanyonge hao na wengine walio wengi wapo kwenye mitaa yetu,😂
@LusajoKabuka9 ай бұрын
Hivi kulikuwepo mwenezi baada ya polepole lkwasababu hatufungui tv ndoo maana leo nimefungua
@user-pd2tn5ok1d8 ай бұрын
Kakonda njoo singida tukupe kero zetu
@salehehussein55608 ай бұрын
makonda nenda tanga kuna wanyonge wengi sana wanateseka
@StevenLindi8 ай бұрын
Kama wewe tajiri utamsaidiaje?
@user-gc1ez1yv4k9 ай бұрын
Magufuli aliwagunduq ccm wenzie ni wajinga vya kutosha,aliamua kununua viongozi kutoka upinzani.Hivi kweli makonda naye anakuwa kiongozi?
@augustinonestorysasi36838 ай бұрын
Msizombe watu kweyemikutano yenu!!
@user-eb2gw5ic2q8 ай бұрын
Makinda magufuli na charamila bashe Hawa wanafanya kazi mungu awabariki mama naomba umurudish bashe kokote alipo
@ErnestJames-vv1dn8 ай бұрын
hata ww hawatakuchelewesha una mda mfupi sanaa ww
@user-uk8xj9br9c9 ай бұрын
Kunalushwa,kuhusu,nida,mafinga
@bujikujacksonmudo36778 ай бұрын
Jamani MAGUFULI WETU KARIBU TENA
@user-zx3he3lp3o8 ай бұрын
Wewe ksyibu nijrmbe sasa watu wana imani name kuoata huduma za jamii kwa nini?
@user-wb8cj3bm4w8 ай бұрын
Moto Wamskonda
@user-kd9dc4li7f9 ай бұрын
Muheshimiwa Raisi samia sasa Una Fanya nini kumludisha mtu kma Uyu ktk uongozi yy mwenyewe hanakashifa kibao za Ufisadi ktk Utawala wa mwenda zake sasa ww Unamludisha ktk chama navilevile Kesha haza mmbo yake ya kuzalau wenzake
@stamelistameli84619 ай бұрын
Acha uongo wewe kelele za chura hazimziwii tembo kunywa maji bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi
@PaulMahona-le6dz9 ай бұрын
Acha jembe liwalime mafisadi nyie.
@martinemaganga52538 ай бұрын
Kwani Samia hakuwepo kwenye huo uongozi? Samia ndo alikuwa makamu wa raisi sasa kama Magufuli alikuwa na kashifa kashifa hizo hata Samia na viongozi wote ni zao hivyo jaribu kuwa unafikiria.
@fransiscoaltimon45648 ай бұрын
Si kwa bibi huyu tu viongozi karibu wote ni wapora ardhi ni kilio Kila kona