Hao viongozi wanao gawana hizo pesa ni wateule wa Rais wana lindwa ukiona mtoto wa simba ujue mama na baba hawako mbali Mpina uko vizuri lakini kuna msema wa waha wanasema Muha mmoja havunji soko.
@raymondnlelwa42712 сағат бұрын
Daah nipo nawe Mpina, Mungu akupiganie kiongozi.
@Aliymohammdi13 сағат бұрын
Kaka tuko pamoja tunajuwa utapambana na wapiga diri ambao walitumbuliwa na magufuli ambao wamerudishwa baada kufa magufuli kaka mungu akutangulie
@gidongailo71745 сағат бұрын
Kwahiyo tuendelee kuhujumiwa kwa kibali cha mahakama yetu😢😢
@FrankNzombo-k3j11 сағат бұрын
Unafaa kuwa chadema huko uliko hahufai
@nyembobea728542 минут бұрын
Umeamua kutrend mpaka wakati wa uchaguzi utakuwa na wafuasi wako unapambana na bashe mtetezi wa maskini waliokuwa wanauziwa sukari kwa bei ya juu kapunguza bei wewe unamshambulia inamaana wewe ulikuwa unapenda tuuziwe sukari kwa shilingi elfu saba mpaka elfu kumi wewe kutwa uko busy na bashe humuwezi huyo genius