Bashe Aonyesha Msimamo Bungeni I Wabunge Wamuunga Mkono I Wakulima Msikilizeni Bashe

  Рет қаралды 68,457

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Жыл бұрын

Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe, amelazimika kujibu hoja mbalimbali za baadhi ya Wabunge waliounga mkono hoja iliyotolewa na Mbunge wa Momba Mhe. Condester Sichalwe ambaye aliomba muongozo kuwa Bunge lisitishwe shughuli zake ili liweze kujadili suala la ukatazwaji wa kuuza Mahindi nje ya nchi, ambapo hoja hiyo iliungwa mkono na Wabunge.
Ambapo Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe, alisimama na kulieleza Bunge namna utaratibu unavyotakiwa kufuatwa ili kila mtu anayetaka kununua Mahindi anatakiwa kuufuata.
Stori zaidi tumekuwekea kwenye akaunti yetu ya KZbin “Clouds Media”.
#KutokaBungeni
#7bisha
#CloudsDigitalUpdates

Пікірлер: 97
@HafidhAli-lt5xt
@HafidhAli-lt5xt 5 ай бұрын
Tanzania has future leaders. Watching from Kenya
@amalikakiva4937
@amalikakiva4937 Жыл бұрын
Huyu misimamo yke na mkumbuka marehemu magu alivyokuwa miundo mbinu ,Bashe chapa kazi
@FelisterLimbu-bs4iw
@FelisterLimbu-bs4iw Жыл бұрын
Kilimo ni ajira Hongera mh Bashe kwa kuinua sekta ya kilimo.
@henrychaula1174
@henrychaula1174 5 ай бұрын
Safi sana mheshimiwa Bashe, binafsi napenda sana uchapa kazi wako, Songa mbele
@dulladulla7744
@dulladulla7744 10 ай бұрын
Kaka unajua hongera
@ephraimkabeya9648
@ephraimkabeya9648 6 ай бұрын
Nice explanation Hon.Bashe let's move into action.
@abelmakalwe
@abelmakalwe 2 ай бұрын
Huwa nakuelewa sana Bashe
@KedimoniLameck-et5xd
@KedimoniLameck-et5xd 2 ай бұрын
Mh.bashe wakomeshe kabisa majizi yanayo tuibia wakulima .kumbe umesha yaona hayondio yanayo sababisha tusipate pesa wakulima.nahasa niviongozi wauma .ndio yanayotuibia.asante baba
@user-oy1tc5kv3j
@user-oy1tc5kv3j 6 ай бұрын
Congratulations Mh waziri, pls toa na bei elekezi ya bei ya korosho.
@ChuchuMahumbi-px2sg
@ChuchuMahumbi-px2sg 2 ай бұрын
Sana wazir wetu wakilimo tanzani
@GilbertNhigula
@GilbertNhigula 5 ай бұрын
Mh Bashe ukoVizuri Sana kwa msimamo wako . Ujumbe Vipi Kuusu Mashamba ya Mbuga ya Mwamala Shigangama iliyopo Wilaya ya Kwimba Mwanza , Mashamba Mengi yamevamiwa na wanakijiji ivyo ni Shida Kati ya Wanainchi wa Pale Kijijini na Wamiliki wa Mashamba hayo , Tunaomba Msaada wako Mh Bashe .
@samuelmajule54
@samuelmajule54 5 ай бұрын
Big up mbunge wetu wa Nzega
@bharyasarbjit1187
@bharyasarbjit1187 2 ай бұрын
Hongera sana sana sana You are Dynamic Action leader. Ongeza Nguvu Zaidi. You are Great truly Blessed.
@bahatibunzali15
@bahatibunzali15 Жыл бұрын
Bashe uko making sana
@amalikakiva4937
@amalikakiva4937 Жыл бұрын
Bashe safi sna,huyu jamaa ni kichwa sna,hivi kwnn mawaziri wengine amuigi
@kamanapomo7029
@kamanapomo7029 3 ай бұрын
wataiga wakati hawana akili!
@zawadisisto8188
@zawadisisto8188 5 ай бұрын
Mheshimiwa uko vizuri sanaa
@FelixAidan
@FelixAidan 2 ай бұрын
Mungu akutie nguvu wazili wetu wewe ni jibu ktk nchi
@OmriPengo
@OmriPengo 5 ай бұрын
Good mh bashe
@marcusfalinzungu4543
@marcusfalinzungu4543 5 ай бұрын
Waziri Bashe ana mawazo chanya sana. Huwa ninapata matumaini katika michango yake na utendaji wake. Nia yake kwa Watanzania ni njema, tumuunge mkono watendaji katika sekta za kilimo na mifugo
@Amiriallyameir
@Amiriallyameir 2 ай бұрын
Good speech Mh. Bashe, you deserve to be a leader keep it up.
@user-dv4is4vj6g
@user-dv4is4vj6g Ай бұрын
Mweshimiwa waziri, wakati Wengine wanasibiri kuwezeshwa,sisi wengine tumeanza kujiwezesha lakini bado tunahitaji kuwezeshwa ,kwani nguvu yetu ikifika sehemu inakwama na kuhitaji msaada na Kwa kukosa msaada tunajikuta tunakata tamaa .
@husseinchambau3015
@husseinchambau3015 Жыл бұрын
Safi sana
@modestmatle7708
@modestmatle7708 5 ай бұрын
Mhe Bashe Uko fit kwa uongozi
@callebmuzungu342
@callebmuzungu342 2 ай бұрын
For sure I'm Rwandan by nationality but I'm proud of bashe Bashe oeeeeee
@adanmahad7929
@adanmahad7929 Ай бұрын
That lady is perfect.mkukima hawezi process hizo liseni kwa wakati
@omarmohammed7600
@omarmohammed7600 5 ай бұрын
Binafs natamani huyu waziri apate nafasi ya kua raisi wa nchi namkubali sana
@modestmatle7708
@modestmatle7708 5 ай бұрын
Bashe ni kiongozi bora
@sifamwafrica1261
@sifamwafrica1261 Жыл бұрын
Hapa kazi tu
@dulladulla7744
@dulladulla7744 10 ай бұрын
Hakika ww utakuwa raise kwa miaka ya badaye hongera sana
@MasterG-dc1tx
@MasterG-dc1tx 2 ай бұрын
Mama ucmtoe Bashe kwanza
@antonyibrahim5949
@antonyibrahim5949 3 ай бұрын
Ubarikiwe
@BarnabaSamwel
@BarnabaSamwel 10 ай бұрын
Hongera kamanda ila imewasahau wakulima wa tumbaku hawajalipwa na Mkwawa mateso.
@aminimushi6945
@aminimushi6945 5 ай бұрын
Huu ndio uzuri wa shule,hofu ya Mungu,hongera mh Bashe,fanya kazi,achana na utendaji wa akina bashite,Mungu atakuwa nawe,kwani una huruma na Watanzania maskini.
@siphaholelaholela6956
@siphaholelaholela6956 Ай бұрын
Bashe biga Kazi wanaokufifiza kwa CHUKI zao usijali
@user-xl7yv7hr3z
@user-xl7yv7hr3z 4 ай бұрын
very good kaka
@yusuphahmed-yt5gg
@yusuphahmed-yt5gg 5 ай бұрын
❤❤hongera
@florenciamassawe4925
@florenciamassawe4925 2 ай бұрын
Hakuna lisilowezekana.
@user-pq6wd1nj4d
@user-pq6wd1nj4d 4 ай бұрын
Mfipa mwenzangu umepiga maji kidogo ,Ila uko Nondo
@adamyusuphmsigala
@adamyusuphmsigala 11 ай бұрын
Huyu agombee urais tunamkubali sana
@marcusfalinzungu4543
@marcusfalinzungu4543 5 ай бұрын
Jesca upo sahihi katika uchangiaji. NIDA ni kidonda ndugu
@ahmadseaman3487
@ahmadseaman3487 3 ай бұрын
thanks so much
@user-ij2xw3om2t
@user-ij2xw3om2t 10 ай бұрын
Heshima kwako. Bashe
@pendaeli5464
@pendaeli5464 5 ай бұрын
Nakubaliana na hoja za bashed.marufuku mgeni kufwata mazao shambani.anunue kwenye soko
@nasramohamedsultan7994
@nasramohamedsultan7994 Жыл бұрын
Mhs jitahidi kuzipiti wageni kufika mashambani kununua mazao tunashindwa kufanya biashara watanzania tunakuunga mkono kwa hilo
@elimringimotta182
@elimringimotta182 5 ай бұрын
Wakipeleka nje bei ya dola inaingia kwa mfanyabiashara au serikalini?
@user-pq6wd1nj4d
@user-pq6wd1nj4d 4 ай бұрын
SERIKALI NUNUA MAZAO YOTE UZA KWA DOLA ,Big business
@kamanapomo7029
@kamanapomo7029 3 ай бұрын
Kuuza kwa dola bado ni kuua uchumi uza kwa dhahabu
@cairomwaitete7978
@cairomwaitete7978 5 ай бұрын
Good analysis 👍
@hamzazuber6905
@hamzazuber6905 3 ай бұрын
Mh bashe jitahidi uongee kiswahili wengine hatujasoma unatuacha hewani
@furanaelijaphasoni5079
@furanaelijaphasoni5079 5 ай бұрын
Mkulima ndie anahumia kwasababu Mimi sijawahi kuona bei ya mahindi elekesi
@emmanuelisarria6321
@emmanuelisarria6321 5 ай бұрын
👍💯
@user-ui7lb5yc2l
@user-ui7lb5yc2l Жыл бұрын
👑💪👍✅
@barnabasngungo3521
@barnabasngungo3521 5 ай бұрын
Mh.Waziri upo vizuri sana endelea
@user-oz1fu4uy1i
@user-oz1fu4uy1i 10 ай бұрын
Makambako safi
@JosephLushinge-uy3tc
@JosephLushinge-uy3tc 4 ай бұрын
Wewe hufai uongo mwingi sana wakulima tuna teseka tunanunua mbegu kilo mbili elfu 20000 mda huu tunauza gunia elfu 48000 nyie wabunge wapuuzi sana hamfai hata kidogo
@benjaminmganyizi1807
@benjaminmganyizi1807 Жыл бұрын
Nimekuelewa mkuu
@JosephLushinge-uy3tc
@JosephLushinge-uy3tc 4 ай бұрын
Anayepongeza ugoro hakusoma bashe hatufai waulizeni waliopewa mtaji na samia wa kwenda kulima wamepata nini wanipe mimi wizara ya killimo mimi ndoo rais wa wakati wanapewa kwenda kulima nilisema watafel sana soko la tanzania sisii wakulima niwatumwa hatujijui jibu mpaka nitapotara mimi na chama cha ukombozi
@sixmundleonard2135
@sixmundleonard2135 4 ай бұрын
Tanzania 🇹🇿 tuna njaa mchel kilo 3200 maharage kilo 3400 bado mnauza njee ya mipaka
@ananiakyando3904
@ananiakyando3904 5 ай бұрын
Mahindi nilime mm mashart ya kuyauza niwekewe hii inakaajee
@user-nr3uw7bq1r
@user-nr3uw7bq1r 5 ай бұрын
Msambaa eka vituko
@seif3401
@seif3401 5 ай бұрын
Huyu JAMA kasoma sana
@magiramagesa37
@magiramagesa37 5 ай бұрын
Msoma
@KedimoniLameck-et5xd
@KedimoniLameck-et5xd 2 ай бұрын
Wewe tunakuomba akulide navita hiyo.kututetea wakulima
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s 2 ай бұрын
Huyu bashe huwa simwelewi kabisa, anatoa majibu ya kisasa
@abdallahkumbi7120
@abdallahkumbi7120 5 ай бұрын
Mh tutembelee Wakulima wa Mkonge Lushoto Umba, tunaumia hatuna corona ya kuchakata Mkonge wetu tunaibiwa nguvu zetu zinapotea ajira zetu ndio hizo tufanye nini mheshimiwa
@user-wc7zt4xj6u
@user-wc7zt4xj6u 5 ай бұрын
Bashe Mimi sina baya na wewe piga kazi mkuu
@user-jz1ur2ny5u
@user-jz1ur2ny5u 2 ай бұрын
Hiyo mipango yenu fungua mipaka watu wanahali mbaya
@florenciamassawe4925
@florenciamassawe4925 2 ай бұрын
Hakika wizara imempata waziri sahihi 💪💪👍👏
@paschalpaul3862
@paschalpaul3862 2 ай бұрын
Tatizo kwa nini mahindi bei ni ndogo na uku soko likiwa holela bei inakuwa kubwa
@hafidhnzota2142
@hafidhnzota2142 5 ай бұрын
KAMA AZAM Bakhresa ni disciplined distributer kwa nini Serikali isimpendelee kumpa tons zote za kuagiza?
@RajabuMponda-lz5od
@RajabuMponda-lz5od Ай бұрын
Mbona ufuta hamtangazi bei mapema. Mnasubiri tulete zao la ufuta gurioni harafu mnatupangia bei.
@PaulNyerembe-pj8fm
@PaulNyerembe-pj8fm 5 ай бұрын
Kwann prodoction ni ufipani tu? Irrigation maeneo mengine vip
@justinmwamloso7559
@justinmwamloso7559 6 ай бұрын
Mbolea laki na ushehe ikushuka 85000 lkn gunia la mahindi halifiki hata 90, 000
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 2 ай бұрын
HIVI KWANINI SPIKA UNASEMA ASANTE ASANTE WAKATI WAZIRI HAJAMALIZA? UNA HARAKA GANI MIMI SIPENDÌ UNAPOSEMA ASANTE ASANTE WAKATI MTU HAJAMALIZA.
@elimringimotta182
@elimringimotta182 5 ай бұрын
Je sisi tumeshindwa wapi mpaka wageni waingie biashara shiyo
@user-rd4mk6no3t
@user-rd4mk6no3t 5 ай бұрын
Tuanze na makonda
@elimringimotta182
@elimringimotta182 5 ай бұрын
Serikali inunue mahindi yote itafute bei nje kwa dola
@user-fo9jw2gb2h
@user-fo9jw2gb2h 5 ай бұрын
Jamani huu sio mda wa maongezi tupo milion61 kumbukeni
@jramadhanmgonja6110
@jramadhanmgonja6110 Жыл бұрын
Hongera Sana Bashee your Super Hero
@epimackjohn461
@epimackjohn461 6 ай бұрын
Ni mtaalamu Sana kuongea ila aangalie anakoelekea maneno yake yanaanza kujaa Siasa ikipishana na utekelezaji wa AHADI zake .
@user-nq2sf9rn3l
@user-nq2sf9rn3l 5 ай бұрын
Wewe mweu umesbabisha soko la mahindikushuka kwa mashart magumu
@Omarjumanne-zm9zh
@Omarjumanne-zm9zh 5 ай бұрын
Waziri hujamuelewa lengo bei ya chakula iwe chini kwa waraji. NDani ya nchi
@fatumahossein754
@fatumahossein754 5 ай бұрын
Umechemka waziri umetuletea hasara wakubwa sana. Na mahindi sio elfu 1000 ni 700 waziri wewe ni muongo sanaaaaa.tunamahindi hatuna soko waziri .hilo soko la 1000 liko nchi gani?
@SamwelSichone
@SamwelSichone 3 ай бұрын
Ayoitekesha
@SamwelSichone
@SamwelSichone 3 ай бұрын
Ayoitekesha
@SamwelSichone
@SamwelSichone 3 ай бұрын
Ayoitekesha
@jramadhanmgonja6110
@jramadhanmgonja6110 Жыл бұрын
Kwani Huyu Anayeongea Ni Nani? Shwaini Kabisaa.
@goodluckmbilinyi747
@goodluckmbilinyi747 Жыл бұрын
sijui kala mavi
@allykamanga4366
@allykamanga4366 10 ай бұрын
Kumbe ata hamfaham hauwez muelewa tulia
@joshuabilia1440
@joshuabilia1440 5 ай бұрын
Mbashe wewe ni waziri Mzri Sana Lakini nilitamani Sana Kujua Sana Jimbo La Buchosa zao La Biashara ni lipi ambalo selikari inawapa wananchi Wa Buchosa bei elekezi ya zao hillo make Sisi Buchosa bei elekezi tunaiskia tu Bungeni na mbuge wetu Eric shigongo yupo kimya tu ama buchosa haina wakulima
@eliudfelix7180
@eliudfelix7180 5 ай бұрын
TALKING TOO MUCH BT DOING 0.
@Omarjumanne-zm9zh
@Omarjumanne-zm9zh 5 ай бұрын
Bashe ni.ekuelewa mfumo mzuri sana chakula kitakuwa bei chini kila MTU atamudu kama lndia safi sana mabubu ndo hawafaham
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 6 МЛН
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 4,8 МЛН
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)
00:30
FASH
Рет қаралды 16 МЛН
“Kiongozi ni kusikiliza watu, Serikali mnaficha nini?” - Bashe
16:39
"UMEPATA UBUNGE TU, UKAMUACHA MUMEO, TULIA NIKUPASHE WEWE" - MBUNGE KEISSY
6:07
SHAMBULIO LA LISSU LAMWIBUA BASHE, SPIKA ATOA MSIMAMO
10:35
Mwananchi Digital
Рет қаралды 129 М.
Ах как прекрасно
0:17
Флюр Хафизов
Рет қаралды 19 МЛН
ПОМОГИ РАЗБУДИТЬ ПИЛОТА 😱😱
0:16
ДЭВИД ЛАВА
Рет қаралды 3,9 МЛН
Крокодил получил по-заслугам! 😱
0:32
КиноСклад
Рет қаралды 8 МЛН
Вся страна в очередях, а ты без очереди...
0:52
МиRRные Чувства
Рет қаралды 2,3 МЛН
КАЧЕЛИ ИЗ АРБУЗА #юмор#cat  #топ
0:24
Лайки Like
Рет қаралды 1,9 МЛН