Mungu Akisema ndio Nani akataeeee❤ piga kazi Makonda.
@DudddyWhyCant11 ай бұрын
Hongera kwako mama yetu mpendwa kumuweka Makonda, kwa kweli jamaa amechangamsha! Ccm mbele kwa mbele.
@faridahalwaily8511 ай бұрын
In sha Allaah watafanikiwaaa wanyongeeee Allaah Amuhefadhi makonda kwa imani na use maji wa ukweliii…..na imani….yakee Alopewaaa na mwenyezimngu…..
@hamisirugai252811 ай бұрын
Mama Amepata chombo cha kuinadi CCM, TUACHE UNAFIKI NAMKUBALI MAKONDA
@hamisirugai252811 ай бұрын
RESTORATION in CCM Kweli CCM ina rasilmali watu, Makonda alikuwa reserve!! Hongereni CCM
@CharlesSomeke-s2d11 ай бұрын
No 1 kukoment
@telesphoramtenga56911 ай бұрын
yupo vizur tumpe big up
@evaristmbuya622011 ай бұрын
Makonda ni kijana imara sana nampongeza
@stamelistameli846111 ай бұрын
Safi sana makonda
@hamisirugai252811 ай бұрын
CCM sasa imepata MSEMAJI, VIVA CCM!!
@Hillary_Daudi_Mrema11 ай бұрын
Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@kanoa64511 ай бұрын
Washikaji wanaumia sana maana walidemadema na KUSEMA kumbe waliishiwa mafuta
@hajudocompanylimited799611 ай бұрын
Good Job
@MwinyiBwanga-i3l11 ай бұрын
Chuma hicho kaka Hana unafiki huyo ni mtu kwer kwer mungu ambariki sana sana
@kanoa64511 ай бұрын
Amefunika haswaaaaa, kweli huyu wa kuombea.
@doctarhanda11 ай бұрын
Chama kimechangamka
@hamisirugai252811 ай бұрын
Kwa moto huo, AM PROUD OF C CM
@constanciapeter249711 ай бұрын
Kweli wewe ni Mteule wa Mungu.. Zee JEMBEE AT WORK 🎉🎉🎉
@LusajoKabuka11 ай бұрын
Hata Mimi ccm siipendi ila zamani wakati wa jpm nilipenda japokua sijawahi kua ccm nawapenda watu wachapakazi km makonda sabaya polepole ndipo namuona jpm najua muda wa mungu umefika kukombolewa wanyonge
@al-bashirclinic332611 ай бұрын
Fact
@borysaronge149311 ай бұрын
Makonda mmoja ni sawa na mawaziri wangapi?
@amirially75011 ай бұрын
1000
@hamisirugai252811 ай бұрын
This is C C M!!!
@husseinkadawa284611 ай бұрын
Hii ndio maana halisi ya chama kuisimamia serikali.
@margaretjoseph650111 ай бұрын
👍
@BahatiKweli11 ай бұрын
Huyu ni kiongozi, tuache ubabaishaji, anastahili nafasi ya uwaziri mkuu
@hamisirugai252811 ай бұрын
No hurry, mdogomdogo CCM ni. moto
@kanoa64511 ай бұрын
Jamaa walishatishia amani duh, Makonda hapo umenena, kumbe ccm ina hazina duh
@ntegrity27711 ай бұрын
Tatizo la Makonda ni dharau yaani anajiona mjanja mno! Yaani kama Makonda angesoma straight akawa na vyeti duh! Hapo ameungaunga ila Sasa noma Makonda komaa
@hamisirugai252811 ай бұрын
Great
@evaristmbuya622011 ай бұрын
Pole sana kiongozi
@mussataliye781511 ай бұрын
Kisukuma sio lugha ya taifa
@mussataliye781511 ай бұрын
Watu tupo jijin na hatuna umeme
@LusajoKabuka11 ай бұрын
Kwani kuunga unga sio kusoma acha wivu wapo maprofesa wapo walianza la saba
@MSOMBAAlon-gh3ps11 ай бұрын
Na maana hao watendakazi wa serikari mpaka wakumbushwe ndio maana tunasema CCM wamechoka ona uozo wote huo walikuwa wapi siku zote hizo
@hamisirugai252811 ай бұрын
Inauma sana
@MnubiMm11 ай бұрын
Inaonyesha ni jinsi gani hujui ukubwa wa eneo na taratibu za utawala ndio maana unasema tu CCM CCM wameshindwa