Fadlu namjua vizuri ashakaa Sana Pietermaritzburg Kule DURBAN kaifelisha Ile timu,then akaja Orlando km assistant then Kocha mkuu,Hakuna la maana alilofanya,Simba wamefeli Tena,sio Kocha huyo WA kukoch timu km Simba,Yanga atapiga 8,tupo hapa😅😅
@adamgwila33957 күн бұрын
Tuache na Simba yetu wewe we sio mungu tutaona
@ebisomola99897 күн бұрын
Mm pia ni simba sana tena ila mengi umeongea mengi mazuri japo kwa asilimia za ubingwa wa yanga. Ni 60% sio 70 na pia tusikatae ukweli huyo mwamba anaongea ukweli kabisa. Wachezaji wengi tunaokota okota tu. Tunachukua wale wale walio maliza mikataba na hatujui walikuwa wanatakiwa na timu zingine zipi mpaka wakaja simba. Ila tuseme mda utaongea. Kama kweli au si kweli
@IsayaJoseph-ty3kq7 күн бұрын
waambie ukweli
@sauka96227 күн бұрын
Shida ligi ya bongo inawachambuz wengi adi vimjusi vipo vngi sana
@kasimuhamidu84677 күн бұрын
We fala tu
@salymgaimale2357 күн бұрын
Jamaa ni maandazi kweli huyu hajui kitu
@suitbertmaro57927 күн бұрын
Jinga hili
@HamadMkubwa7 күн бұрын
ww hakuna uchawa wowote huyu jamaa anaongea ukwel na ww kama humuamini subir ligi ianze utaona ukweli 😢
@collectionline60557 күн бұрын
Huo ndo ukweli kaka😊 umechambua vizur 🙌🙌
@benjaminnelson48347 күн бұрын
Mbona Tim ya taifa anachukua wachezaji kutoka timu tofauti na wanafanya vizuri pili KAZI ya kocha Nini mbona chama alikwenda Belkane mbona kaferi
@iddrisanyange81757 күн бұрын
Weto masta na wanajuwa mpira
@msemakweli...5 күн бұрын
Kwahiyo utopolo wa mo dewji nao wamechukua wachezaji kama timu ya taifa? kwasababu timu ya taifa huwa inaita wachezaji wanaong'aa kwenye vilabu vyao. Halafu sijawahi kuona timu ya .taifa inashiriki ligi kuu au kombe la shirikisho🙄😂😂.
@shalooboyburundi7 күн бұрын
ays unaongeya ukwr
@kainkamwagila60467 күн бұрын
We ni shabiki yanga😅
@Graceyust7 күн бұрын
mtukaneni tu ila mda ukifika mtamkumbuka
@kabujeasukile54627 күн бұрын
Kauli Yako MAKOLO watatoa sana MAPOVU🤣🤣🤣🤣
@AdenSator7 күн бұрын
😂😂😂😂kweli kaka
@KS-iw7qv7 күн бұрын
Ukweli ndio huu Simba Wenzangu.... #Nguvu moja
@AlfredRutaguza7 күн бұрын
Ili uonekane kuwa ni mwanasimba lazima maisha Yako yote uwe muongo Sana ndio mwanasimba wa kweli
@user-pl4rm6rk8n7 күн бұрын
Ambukile ndo ww
@RashidiMkongewa7 күн бұрын
Ngao yanga 8 vs simba 0
@seniormagali55806 күн бұрын
Mbn hujaitwa crown media we mchambuzi mzur unaujua mpira swala si ushabiki
@sophyodago50627 күн бұрын
Mchambuzi maandazi kwelikweli
@jumapindi23137 күн бұрын
Jamaa anaongea ukweli SEMA atapingwa vikali
@tseinlee67277 күн бұрын
Wachambuzi wa skuiz shida sana
@christopherchisuligwe5127 күн бұрын
Huyu ni utopolo siku zote, mwandishi ambaye elimu yake ya mpira ni ndogo sana
@reinfridlipili56666 күн бұрын
Huu ubishi wenu ndio unawafikisha huku na mtapotea zaidi ya msimu ujao! Hampendi kuambiwa ukweli.
@reinfridlipili56666 күн бұрын
Anaongea UKWELI na waswahili hampendi ukweli
@benjaminnelson48347 күн бұрын
We muongo ata Simba wanaboresha kikosi uwezi kujenga kikosi unachukua wachezaji Bora
@user-sz6ht5wm2g2 күн бұрын
Mchambuzi mahili sana anajua pia ni mkweli
@MzeewaYanga-hm8jq7 күн бұрын
Kwl😂😂😂😂
@SanziNzige6 күн бұрын
Dube mnamjualakini.na huyu nae ajiongelesha.eti simba anajenga timu.ubinwa yanga.jamani mpira hamuujui ninyi.na hilo kalio gelee kwa mama yako
@adamgwila33957 күн бұрын
Maandazi wewe utakumbuka naneno yako bichwa wewe
@jonathansirkintungi74347 күн бұрын
Huu ndio uchawa unaoitafuna nchi yetu jinga moja kwasababu ya tumbo lake linajitokeza kuwasemea wengine.
@maulidkawala1047 күн бұрын
Pokea fact iyo acha kiburi uchawa upo wap xx wakat m2 anaongea ukwel